Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

    Report Post
    Results 1 to 9 of 9
    1. #1
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      NYOTA ya Waziri wa Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, imeendelea kung’ara baada ya wabunge wa CCM kumchagua kwa kura 104 awawakilishe kwenye Halmashauri Kuu ya chama hicho (Nec).

      Katiba ya CCM inaruhusu wabunge wa chama hicho kuwachagua wajumbe 10 kuingia Nec kutoka miongoni mwao.

      Walioingia:
      Livingstone Lusinde(Mtera), Nimrod Mkono (Musoma Vijijini), Abbas Mtemvu (Temeke) , Hawa Ghasia. Wabunge wa Viti Maalumu, Angela Kairuki, Munde Tambwe na Faida Mohamed Bakari, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim na Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba.

      Wabunge walioanguka
      Brigedia Jenerali Mstaafu, Hassan Ngwilizi (Mlalo), Murtaza Mangungu (Kilwa Kaskazini), Naibu Waziri wa Mawasiliano, Dk Athman Mfutakamba, , Dk Charles Tizeba (Buchosa), Christopher Ole Sendeka (Simanjiro).

      Wengine ni Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Profesa Anna Tibaijuka, , Dk Faustine Ndungulile (Kigamboni), , Ahmed Salum Ali (Solwa), , Yahya Kassim Issa (Chwaka), Mwanahamisi Kassim Saidi (Viti Maalumu), Martha Mlata (Viti Maalumu) na Saidi Mussa Zubeir (Fuoni).

      Waliojitoa kabla ya kura kupigwa
      Dk Harrison Mwakyembe(kyela), Dk Hamis Kigwangallah (Nzega), Lediana Mg’ong’o (Viti Maalumu), Naibu Spika, Job Ndugai na Mbunge wa Uzini, Muhammed Seif Khatib.

      Katibu wa Kamati ya Wabunge wa CCM ni Jenister Mhagama
      Mwenyekiti wa kamati hiyo ya wabunge wa CCM ni Waziri Mkuu, Mizengo Pinda.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Gurtu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2010
      Posts : 880
      Rep Power : 638
      Likes Received
      150
      Likes Given
      6

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      Wewe Quinine mbona hao kina EL na RA mbona wanaonekana kwenye kichwa cha habari tu? kwanini kama wameanguka majina yao hayaonekani katika orodha ya walioanguka au waliojitoa?

    4. #3
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      Quote By Gurtu
      Wewe Quinine mbona hao kina EL na RA mbona wanaonekana kwenye kichwa cha habari tu? kwanini kama wameanguka majina yao hayaonekani katika orodha ya walioanguka au waliojitoa?
      Ulitaka nisiwataje, nimewataja makusudi kwa sababu ni mahasimu wakubwa wa Six walitaka Six anyang'anywe kadi asiwemo Nec sasa imekuwa kinyume chake.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    5. #4
      Jenifa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Posts : 412
      Rep Power : 516
      Likes Received
      58
      Likes Given
      9

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      lowassa na rostam ni wajumbe wa nec ulitaka wachaguliwe mara ya pili. inatkiwa wafukuzwe huko wapewe wengine.

      wengine wamepata kura ngapi.

    6. #5
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,196
      Rep Power : 2095
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      heading mbona hakina maana...EL na Rostam hawakugombea sasa unasemaje out...ushabiki mwingine bana
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    7. Miaka 50

    8. #6
      Sigma's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th February 2011
      Location : The 2nd House on the Left
      Posts : 4,282
      Rep Power : 1337
      Likes Received
      918
      Likes Given
      620

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      Quote By Quinine
      Walioingia:
      Livingstone Lusinde(Mtera), Nimrod Mkono (Musoma Vijijini), Abbas Mtemvu (Temeke) , Hawa Ghasia. Wabunge wa Viti Maalumu, Angela Kairuki, Munde Tambwe na Faida Mohamed Bakari, Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Mahadhi Juma Maalim na Mbunge wa Kigoma Mjini, Peter Serukamba.
      .
      Gamba namba Sita(NM), Huyu ni defending midfielder, kwenye ile first eleven ya CCM.
      Bila yeye attacking midfielder gamba namba nane (RA) halishwi, na playmaker (EL)gamba namba 9 hatoi pasi.
      Kuna winga wa kulia hatari sana, anapanda na kushuka na krosi zake goli, gamba namba saba (NK).

      Hii ndo timu nzima: Orodha ya Mafisadi (List of Shame)
      ...------------------------------------------------.---------------------------------------------------------------------..Rather Kill a FRIEND than Risk Missing an ENEMY

    9. #7
      Lilombe's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 237
      Rep Power : 458
      Likes Received
      35
      Likes Given
      1

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      Huyu Serukamba ni mfuasi wa EL na RA

    10. #8
      vena's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th April 2011
      Location : Cienfuegos
      Posts : 315
      Rep Power : 474
      Likes Received
      33
      Likes Given
      10

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      wote lao moja hao...
      mie hata sioni cha ajabu hapo

    11. #9
      Speaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 6,172
      Rep Power : 4561
      Likes Received
      1998
      Likes Given
      5029

      Default Re: NEC CCM: Sitta In Lowassa and Rostam Out

      Yaaani mnaaamini kabisa kwamba EL na RA hawamo?
      Tena kuto onekana kwao kwenye list ndo kuna wapa nguvu zaidi,.....
      Wana kiburi cha pesa hao,which will make them drive/take control of nec and ccm at large
      Mjinga mpe cheo...

    Similar Topics

    1. Sitta, Rostam wapasua CCM Igunga
      By nngu007 in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 25th August 2011, 08:43
    2. Replies: 29
      Last Post: 30th June 2011, 02:05
    3. Replies: 3
      Last Post: 10th December 2010, 19:53
    4. Ugomvi wa lowassa,rostam na lukuvi vs lowassa
      By maarufu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 3
      Last Post: 30th November 2010, 06:32
    5. Lowassa, Rostam waumbuana
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 35
      Last Post: 8th August 2009, 21:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...