Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lugha Rasmi Bungeni: Wabunge watumie Kiswahili au Kiingereza

    Report Post
    Page 2 of 8 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 147
    1. #1
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Lugha Rasmi Bungeni: Wabunge watumie Kiswahili au Kiingereza

      Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


      Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

      Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
      Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
      Jibu:Watara is president

      jamaa akapigwa swali tena
      Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
      Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

      hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
      Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

      Jamani Bunge tamu!
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    2. Miaka 50

    3. #21
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,488
      Rep Power : 1452
      Likes Received
      388
      Likes Given
      181

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


      Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

      Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
      Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
      Jibu:Watara is president

      jamaa akapigwa swali tena
      Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
      Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

      hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
      Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

      Jamani Bunge tamu!
      Ulikuwepo? Hii ni kuonyesha kuwa Wabunge wetu wanakuja humu jamvini kwa majina tofauti. Mgefanya angalau kama Dr Slaa na Zitto kuwa na angalau nafasi moja zenye majina yenu ya kweli ili tuwafikie kiurahisi.
      Kwamex likes this.

    4. #22
      KAPONGO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th May 2009
      Location : Madongo kuinama
      Posts : 602
      Rep Power : 629
      Likes Received
      72
      Likes Given
      216

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


      Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

      Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
      Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
      Jibu:Watara is president

      jamaa akapigwa swali tena
      Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
      Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

      hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
      Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

      Jamani Bunge tamu!
      Hata mimi nilifuatilia...Lakini nadhani ni tatizo la ama mfumo wa mawasiliano pale bungeni, ama masikio yake kuwa na hitilafu ya kusikia vizuri, kwani alikuwa anaonekana dhahiri kujaribu kusikiliza kwa makini lakini alikuwa hasikii kinachoulizwa, hali ambayo hata wagombea wengine wawili walionekana kutatizwa hivyo. Ung'enge alioumwaga mwanzo usingemfanya ashindwe kujibu maswali yale.

    5. #23
      ndetichia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th March 2011
      Location : Mwime - Buswangili
      Posts : 18,266
      Rep Power : 5115
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      232

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      mi mwenyew nilishanga kuona leo bungeni wanatema mayai nilijua tu itakuwa balaa mayai sio mchezo (mayai - kiingereza) ila mi ningeshauri watumie kiswahili kama lugha yao kwan hata huko si kina tumika au ndo hulka zetu wabongo kujifanya wataalam kumbe ushuzi kunuka...GOD BLESS US!!!!!!!!

    6. #24
      bishoke's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 12th January 2010
      Location : Gambushi Ntuzu
      Posts : 175
      Rep Power : 511
      Likes Received
      19
      Likes Given
      17

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


      Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

      Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
      Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
      Jibu:Watara is president

      jamaa akapigwa swali tena
      Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
      Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

      hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
      Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

      Jamani Bunge tamu!
      Bagosha mami! Huyu ni mbunge wa lijimbo gani ngosha anayetaka kuwakilisha linchi letu kwenye mabunge ya nga'mbo?

    7. #25
      DoubleOSeven's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2008
      Posts : 442
      Rep Power : 648
      Likes Received
      29
      Likes Given
      37

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


      Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

      Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
      Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
      Jibu:Watara is president

      jamaa akapigwa swali tena
      Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
      Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

      hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
      Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

      Jamani Bunge tamu!
      ... hii inanikumbusha simulizi ya swali alopewa mTU mmoja kwamba kama Rais wa zamani wa Kenya alikuwa Kenyatta wakati huo, basi taja jina la yule wa Zambia. Jibu alotoa ni, ZAMBIATTA!!

      Haya mambo ya Mjengoni yanaweza kuwa ya kuchekesha sana LAKINI matokeo yake ni GHALI sana kwa Taifa hili. Wabunge wa namna hii (kama yule wa Bunge lilopita aliyeshauri wenye AIDS wawekwe alama usoni... (Yono Kivela)) wanapoteza nafasi na muda wa UWAKILISHI wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Sana sana wao ni namba tu kwenye upigaji kura wa kambi yao pale mjengoni. Simaanishi kwamba kupigwa chenga na u-mombo ni ishara ya ujinga. Hapana.


    8. #26
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By It is Sur_Plus
      Dah kumbe wengi tuliipataile. Dah yan ni aibu coz nilikua barazani na masela tulicheka sana
      acha ndugu yangu, mi nilikua naona noma, halafu kuuwa aibu akawa analeta maneno ya kuchekeshachekesha eti 'when you receive voting paper, don't think just find name Luhaga Mpinda and write strong V shaaaaaa!''
      Freema Agyeman likes this.
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    9. #27
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By DoubleOSeven
      ... hii inanikumbusha simulizi ya swali alopewa mTU mmoja kwamba kama Rais wa zamani wa Kenya alikuwa Kenyatta wakati huo, basi taja jina la yule wa Zambia. Jibu alotoa ni, ZAMBIATTA!!

      Haya mambo ya Mjengoni yanaweza kuwa ya kuchekesha sana LAKINI matokeo yake ni GHALI sana kwa Taifa hili. Wabunge wa namna hii (kama yule wa Bunge lilopita aliyeshauri wenye AIDS wawekwe alama usoni... (Yono Kivela)) wanapoteza nafasi na muda wa UWAKILISHI wa majimbo yao na Taifa kwa ujumla. Sana sana wao ni namba tu kwenye upigaji kura wa kambi yao pale mjengoni. Simaanishi kwamba kupigwa chenga na u-mombo ni ishara ya ujinga. Hapana.
      hapo kwenye red, hata sie hatujasikia hivyo, ila kama jamaa ni wazi yuko mbali sana na mambo yanavyoendelea, Juma Mkamia alimuuliza swali kuhusu UN resolution ambayo council ilivote for no fly zone, yaani anajikanyaga tu, si tu alishindwa kujieleza kimombo bali yuko nnje kabisa ya hivyo vitu, halafu ni mbunge, yaani lile swali hata angeulizwa, sio kwa kiswahili, ila lugha yako ya asili bado angejigongagonga
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    10. #28
      FUSO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 2,933
      Rep Power : 1031
      Likes Received
      761
      Likes Given
      333

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


      Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

      Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
      Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
      Jibu:Watara is president

      jamaa akapigwa swali tena
      Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
      Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

      hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
      Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

      Jamani Bunge tamu!
      Navyojua mimi kiingeleza ni lugha ya pili kitaifa na ya kwanza kwa kufundishia, na ndiyo maana inatumika toka darasa la tisa na kuendelea, Sasa cha kujiuliza huyu mweshimiwa alisomasomaje?

      Ni aibu na hakuna kumtetea eti si lugha yake wakati kaanza kuitumia secondary school, unless mniambie huyu mbunge kaishia darasa la saba - maana hata majibu yake yanaonyesha TATIZO si lugha tu bali hata kutofahamu anachoulizwa.

      Sasa hivi naona yupo hoi - Kweli kiingeleza ni tatizo la kitaifa lakini hili na mbunge limevunja record ya 2011.

    11. #29
      howard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st February 2011
      Posts : 172
      Rep Power : 452
      Likes Received
      21
      Likes Given
      12

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      Sitanii Ndugu yangu, hii kweli na ilikuwa inarushwa Live TBC1
      Ni kweli kabisa hata mimi nimeona

    12. #30
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By FUSO
      Navyojua mimi kiingeleza ni lugha ya pili kitaifa na ya kwanza kwa kufundishia, na ndiyo maana inatumika toka darasa la tisa na kuendelea, Sasa cha kujiuliza huyu mweshimiwa alisomasomaje?

      Ni aibu na hakuna kumtetea eti si lugha yake wakati kaanza kuitumia secondary school, unless mniambie huyu mbunge kaishia darasa la saba - maana hata majibu yake yanaonyesha TATIZO si lugha tu bali hata kutofahamu anachoulizwa.

      Sasa hivi naona yupo hoi - Kweli kiingeleza ni tatizo la kitaifa lakini hili na mbunge limevunja record ya 2011.
      ngoja nicheck profile yake, narudi
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    13. #31
      howard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st February 2011
      Posts : 172
      Rep Power : 452
      Likes Received
      21
      Likes Given
      12

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Ngekewa
      Ulikuwepo? Hii ni kuonyesha kuwa Wabunge wetu wanakuja humu jamvini kwa majina tofauti. Mgefanya angalau kama Dr Slaa na Zitto kuwa na angalau nafasi moja zenye majina yenu ya kweli ili tuwafikie kiurahisi.
      Unataka awepo wapi mbona TBC wamerusha live we vipi acha ushabiki

    14. #32
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By FUSO
      Navyojua mimi kiingeleza ni lugha ya pili kitaifa na ya kwanza kwa kufundishia, na ndiyo maana inatumika toka darasa la tisa na kuendelea, Sasa cha kujiuliza huyu mweshimiwa alisomasomaje?

      Ni aibu na hakuna kumtetea eti si lugha yake wakati kaanza kuitumia secondary school, unless mniambie huyu mbunge kaishia darasa la saba - maana hata majibu yake yanaonyesha TATIZO si lugha tu bali hata kutofahamu anachoulizwa.

      Sasa hivi naona yupo hoi - Kweli kiingeleza ni tatizo la kitaifa lakini hili na mbunge limevunja record ya 2011.
      You will not believe this, Jamaa ni GRADUATE! kasoma mzumbe ni accountant dah! profile yake hii hapa chini kwenye link

      Parliament of Tanzania
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    15. #33
      Masanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2007
      Location : Benaco
      Posts : 1,646
      Rep Power : 937
      Likes Received
      157
      Likes Given
      0

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Bongolander
      Inawezekana kuna point, lakini kuna wakalimani ambao kazi yao ni kuondoa kikwazo cha lugha, na uwakilishi hautakiwi kuwekewa vikwazo vya lugha. Kinachotakiwa ni uwezo wa uwakilishi. Ukiangalia bungei kwetu kuna wabunge wengine kazi yao ni kuhudhuria tu na si kuwakilisha. So what matters most ni uwezo wa uwakilishi na kuondoa vikwazo vya lugha. Si kuongea kiingereza.

      It is absolutely stupid to think that inability to express in English is a tragedy and shame, unless you there is something wrong in your head. We have so many people in Tanzania who are very fluent in English and speak like someone in oxford, but what they utter is absolutely ----. Kuna vijana wa clouds walikuwa wanaongea vizuri sana kiingereza lakini walikwenda chuo Kikuu mlimani wali-disco uwezo wao ulikuwa kuongea kiingereza tu, lakini kichwani hakuna kitu.We have plenty people who can not even express themselves well in Kiswahili, but they are are full of intellect and wisdom, hata ukisikiliza sentensi moja tu wanaongea utajua kuwa ni mtu mwenye akili timamu anaongea.

      Try to listen Medvedev speak English or Hugo Chavez for that matter, unaweza kuona hata huyo mbunge yuko better. I may be wrong, lakini sioni kama kujua au kutojua kiingereza ni aibu.
      Sasa mkubwa,

      wabongo wengi wetu kizungu hakipandi ni janga la kitaifa. Harafu tumtume mwakilishi kwenye chombo kikubwa kama AU ambaye na yeye lugha ni mgogoro. Sasa jamani itakuwaje? si taifa litabaki nyuma? Hapana jamani tuache visingizio. Kila taifa ninalolijua mimi ikija maslahi ya taifa wanatuma their best minds available. Maana huko ndo mnakutana na vichwa. Hapana jamani...lets get best people to represent us. Harafu ujue hao ndo sura ya taifa letu. So we need smart and eloquent people who can express themselves confidently.

      Ila wa nyumbani Luhaga leo kaniabisha..duhhh..si angeipotezea tuu hiyo nafasi? Sasa watu wameshaanza eti wasukuma hatujui kizungu....

      Masanja
      Silaha ya maskini ni elimu.

    16. #34
      Masanja's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st August 2007
      Location : Benaco
      Posts : 1,646
      Rep Power : 937
      Likes Received
      157
      Likes Given
      0

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      You will not believe this, Jamaa ni GRADUATE! kasoma mzumbe ni accountant dah! profile yake hii hapa chini kwenye link

      Parliament of Tanzania
      hahahahaahah....sasa watu wasivyo na adabu watakuja kuanza ku-question credibility ya elimu ya Mzumbe..kuna watu hawana haya ati..lol
      Freema Agyeman likes this.
      Silaha ya maskini ni elimu.

    17. #35
      mfianchi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st July 2009
      Location : Likulufusi
      Posts : 3,576
      Rep Power : 1223
      Likes Received
      581
      Likes Given
      1210

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By Uswe
      Leo Bunge Linachagua watu watakaoliwakilisha Bunge katika Pan African Parliament, Kulikua na mvutano mkubwa kuhusu kanuni ya uchaguzi na lugha itakayotumika katika kujieleza na kuomba kura, hatimaye ikaonekana kanuni inalazimisha mgombea kutumia kingereza katika kujieleza, kujibu maswali na kuomba kura.


      Wengi wameenda poa ingawa kulikua kuna kujikanyagakanyaga kidogo kwa baadhi ya wabunge lakini LUHAGA MPINA ye aliharibu kabisa - AIBU!

      Kila mtu alikua anaulizwa maswali matatu, swali moja aliulizwa
      Swali:What is your personal opinion on issues happening in Ivory cost, and if elected, as a member of PAN what will you do to stop what have happened in IC to repeat in another African country?
      Jibu:Watara is president

      jamaa akapigwa swali tena
      Swali:UN council voted for resolution 1973 calling for no flying zone, do you think the no flying zone was correctly executed?
      Jibu: I don't understand, did you repeat? (hapa alitaka kusema can you repeat plz?)

      hapa spika akaomba swali lirudiwe na liliporudiwa mambo yakawa hivi
      Jibu:I don't understand may be because you are not 'STLET' hapa alikusudia kusema 'straight' but if you ask me about Libya I say what foreign countries is doing is not fairly at all

      Jamani Bunge tamu!
      Jamani si wangemuweka Pro Maji Marefu yeye ni professor ati
      MFUNGWA HACHAGUI GEREZA

    18. #36
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,349
      Rep Power : 2044
      Likes Received
      465
      Likes Given
      2749

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Mimi sina tatizo saaana na kushindwa kwake kujieleza kiinglishi!!! Yaani ahta current burning issues, hawezi kumung'unya hata neno moja!!!

      Taratibu zinawahitaji wajieleza kiinglishi, sasa huy mtu akienda huko si atashindwa hata kuongea na wenzake wakati wa tea break!!!

      Hivi ni vioja, kwa hiyo ina maana hata makabrasha aliyopewa ya muswaada alikuwa hayaelewi pia, duh!!!
      There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela

      e-mail: [email protected]

    19. #37
      mbongopopo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th January 2008
      Posts : 969
      Rep Power : 847
      Likes Received
      123
      Likes Given
      121

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Kwani huko PAN hawatafsiri lugha kwa watu kama yeye kuambiwa kwa kiswahili anajibu kiswahili then wakatafsiri?

      Ila duh kama ni kiingereza tu basi ameulwa
      Ila naamini nchi zinazoongea ki Portugese kifaransa kwani wanalazimishwa kiingilishi tu

    20. #38
      J Rated's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd February 2011
      Posts : 274
      Rep Power : 475
      Likes Received
      43
      Likes Given
      10

      Default

      Quote By Uswe
      You will not believe this, Jamaa ni <u><b>GRADUATE</b></u>! kasoma mzumbe ni accountant dah! profile yake hii hapa chini kwenye link<br />
      <br />
      <a href="http://www.parliament.go.tz/bunge/mpcvs.php?vpkey=443"
      target="_blank">Parliament of Tanzania</a>
      <br />
      <br />
      Unachoshangaa nini!graduates wa hicho chuo ni ma-bogus wa kutupa..hata ukimuuliza dr na cr ni nini hawezi kujibu na ni taaluma aliyosomea..

    21. #39
      WildCard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd April 2008
      Posts : 6,455
      Rep Power : 1980
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      59

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Humu nafurahia kiingereza cha akina Pundit (sijui yuko wapi siku hizi!), Nyani Ngabu, MzeeMwanakijiji, Ogah, Invisible na wengine wengi waliotoka kidogo. Tulioko humu nchini ni matatizo matupu kama huyu Mbunge.

    22. #40
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      441
      Likes Given
      437

      Default Re: AIBU KUBWA, Luhaga Mpina Mbunge, ashindwa kuongea kingereza ajikanyaga kanyaga!

      Quote By bishoke
      Bagosha mami! Huyu ni mbunge wa lijimbo gani ngosha anayetaka kuwakilisha linchi letu kwenye mabunge ya nga'mbo?
      we hii sauti unaisikia kama ya mamii?
      mbona sioni umeme, maji wala barabara, 30% PAYE na Kodi nyingine katika bidhaa, zinaenda wapi?

    Page 2 of 8 FirstFirst 1234 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Lugha gani itumike kufundisha katika taasisi zetu za elimu: Kiswahili au Kiingereza?
      By Kitila Mkumbo in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 87
      Last Post: 7th April 2012, 11:36
    2. Je lugha bora ya utoa elimu ni kiingereza ama kiswahili
      By BUMIJA in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 6
      Last Post: 21st October 2011, 19:42
    3. Replies: 24
      Last Post: 11th October 2011, 11:01
    4. Replies: 5
      Last Post: 9th June 2009, 01:48
    5. Replies: 15
      Last Post: 25th May 2009, 14:09

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...