Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kwa Sababu Za Kisiasa; Hoteli Hii Inauzwa!

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Kakalende's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st December 2006
      Posts : 2,911
      Rep Power : 1228
      Likes Received
      381
      Likes Given
      371

      Default

      Maggid website yako http://mjengwa.blogspot.com haifunguki, umekuwa ukiiweka kama reference katika post zako mara kwa mara na mara zote tumeshindwa kuifungua.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Game Theory's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th September 2006
      Posts : 10,054
      Rep Power : 3352
      Likes Received
      240
      Likes Given
      0

      Default

      halafu siyo hivyo tuuu

      Maggd umekuwa huchangii kitu zaidi ya kuposti blogu zako humu

      nadhani kwa mwaandishi kaa wewe mchango wako ungehitajika sana humu lakini naona una yako

      by the way mara ya mwisho niipoingia kwenye blog yako nilipendezwa sana nayo

      kuwa kama mwanakijiji ana website yake na blogu yake lakini ni active member humu na haji kujitangaza tuuu


      rekebisha hilo maggid

      kama huwezi kuwa lurker kama MICHUZI ambaye anaingia lakini hajitangazi

    4. #3
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,007
      Rep Power : 2559
      Likes Received
      784
      Likes Given
      28

      Default

      Yaani CCM wanadhani ilo uwe Mtanzania safi na ufanikiwe lazima uwe CCM ? Mawazo ya kijinga haya ya Sumaye aliyasema wazi kule mwaka fulani na sasa kaja Lowasa hawazi kuua mtu kisa kikiwa madaraka .Kazi kubwa tunayo .

    5. #4
      Mgumu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd November 2006
      Posts : 237
      Rep Power : 689
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default

      Kaka Maggid umeeleweka

    6. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Kuna Sababu Gani Kisiasa,Kiuchumi Na Kiusalama?
      By distazo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 1st November 2011, 14:16
    2. Replies: 1
      Last Post: 30th April 2011, 07:42
    3. Sababu kumi za kushuka kisiasa kwa CUF
      By silver25 in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 27
      Last Post: 15th November 2010, 14:56

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...