Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 59
    1. #1
      fangfangjt's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2008
      Location : MISRATA
      Posts : 486
      Rep Power : 662
      Likes Received
      33
      Likes Given
      18

      Default Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Source MwanaHALISI

      Baada ya matokeo mabaya kwenye uchaguzi mkuu uliopita na CCM kugawanyika katika makundi mawili, moja ni wale wazalendo na jengine wenye maslahi binafsi.

      Imebainika wakati

      -kundi la wazalendo likijaribu kukiimarisha chama kwa kutaka mafisadi na wale viongozi na wanachama wachafu watengwe na chama,

      -kundi la pili liliojaa wabinafsi limesema matokeo mabaya ya chama uchaguzi mkuu uliopita umetokana na rais ambaye pia ni mwenyekiti wa CCM Taifa kuelemewa na majuku ya kiserikali (ikiwamo kuzidi safari za nje), hivyo kukosa muda kuimarisha chama (kuzunguka kufungua matawi ya chama etc).
      Hivyo wamependekeza Rais hasiwe mwenyekiti wa chama Taifa na kutaka nafasi hiyo ichukuliwe na mtu mwengine. Habari zinasema kuna mkakati wa nafasi hiyo ya Uenyekiti wa CCM Taifa kuchukuliwa na Lowassa ili aweze kuongoza chama kwenye uchaguzi mkuu ujao pamoja na kurahisisha kazi yake ya kujisafi ndani ya chama na kupata "support" yakutosha kujisafisha mbele ya wananchi.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Watu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2008
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,040
      Rep Power : 771
      Likes Received
      232
      Likes Given
      134

      Default Re: Lowassa kua Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaat?

    4. #3
      nndondo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Posts : 614
      Rep Power : 687
      Likes Received
      145
      Likes Given
      1

      Default Re: Lowassa kua Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Briliant, go go go CCM mchumu 'mwaaaaaaaaaaa' hatuwezi kuendelea kumlea mwenyekiti asiyekua na uwezo kama JK, kachoka kachoka kashindwa kashindwa hawezi hawez mwacheni aende, mchumu mwaaaaaaaa halo halo walisema hayawi mbona yamekua walisema hayawezi mbona kayaweza

    5. #4
      LordJustice1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2011
      Posts : 2,069
      Rep Power : 2301
      Likes Received
      409
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By Watu
      Whaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa aaaaaaaaat?
      Kwa Tanzania kila kitu kinawezekana!
      JIULIZE KWANZA likes this.

    6. LAT
      #5
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      well done CCM... a natural death on board
      "Esprit de Corps"

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,195
      Rep Power : 2094
      Likes Received
      1233
      Likes Given
      313

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      ahhahaaaaa JK bwana
      ______________________________ _
      Niko tayari kufa huku nimesimama kuliko kuishi huku nimepiga magoti....

    9. #7
      Speaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 6,172
      Rep Power : 4561
      Likes Received
      1998
      Likes Given
      5029

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      okey,tuna hitaji mazuzu mengi ndani ya ccm as possible
      Mjinga mpe cheo...

    10. #8
      donmzushi's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 5th March 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 417
      Likes Received
      0
      Likes Given
      19

      Lightbulb Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      bora wajianike tuu mafisadi hao; ufisadi hadi ndani ya chama?

    11. #9
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,428
      Rep Power : 1383
      Likes Received
      593
      Likes Given
      405

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      ya ngoso tumwachie ngoso
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    12. #10
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,270
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      693
      Likes Given
      696

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      sio ajabu, binafsi naona poa tu coz ni kawaida kwa mafisadi kutawala na kushika nyazifa za juu!

    13. #11
      Consultant's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th June 2008
      Location : N/A
      Posts : 1,348
      Rep Power : 827
      Likes Received
      106
      Likes Given
      69

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Ilitakiwa iwe hivyo tangu zamani. Wapi na wapi Rais ang'ang'anie u-enyekiti wa Chama pia?.
      It's true that money cannot buy happiness, but I would rather cry in Mercedez than on a Motorcycle

    14. #12
      The Prophet's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 682
      Rep Power : 551
      Likes Received
      94
      Likes Given
      16

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      wakitaka hata shetani wamuweke awe mwenyekiti wao. who cares?

    15. #13
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,249
      Rep Power : 1541
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Utingo
      ya ngoso tumwachie ngoso
      UTINGO umeisikia kwenye basi nini wakati wa kupakia mizigo, siyo ngoso ni NGOSWE. Zao la shule kata

    16. #14
      Lyangalo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th September 2009
      Location : Kintinku-Dodoma
      Posts : 613
      Rep Power : 631
      Likes Received
      61
      Likes Given
      14

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Ya Zuma na Mbeki yanataka kutokea? i wish to be very soon!
      A MAN'S BEST OR WORST CHOICE IN LIFE IS HIS WIFE

    17. #15
      damn's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Posts : 407
      Rep Power : 551
      Likes Received
      15
      Likes Given
      43

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Quote By Nyakageni
      UTINGO umeisikia kwenye basi nini wakati wa kupakia mizigo, siyo ngoso ni NGOSWE. Zao la shule kata
      shika adabu yako mtoto. wangine humu jamvini wakati wakiwa shule ulikuwa hujatundikwa hata mimba. jitahidi kuchagua maneno ya kutumia hata kama mtu ametype vibaya. huo ndiyo ustaarabu!
      Utingo likes this.
      Without a possibility of change in meanings human communication could not perform its present functions.

    18. #16
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6124
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      wacha wafu wawazike wafu wenzao
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    19. #17
      The Prophet's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2011
      Posts : 682
      Rep Power : 551
      Likes Received
      94
      Likes Given
      16

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Quote By lyangalo
      Ya Zuma na Mbeki yanataka kutokea? i wish to be very soon!
      Lowassa must fight. Mamwinyi wa pwani wako kiislam zaidi. asione akichekacheka nao nje. wakiingia misikitini hadithi ni tofauti kabisa.

    20. #18
      CAMARADERIE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Location : 1 Luthuli Street
      Posts : 4,163
      Rep Power : 2720
      Likes Received
      1587
      Likes Given
      1145

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      That is like switching off of the oxygen machine..........in the ICU
      A compliment is something like a kiss through a veil




    21. #19
      msambaru's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 142
      Rep Power : 444
      Likes Received
      10
      Likes Given
      9

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      Lowasa ni jizi acheni atusaidie kuzika wezi wenzake.

    22. #20
      semango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2010
      Posts : 524
      Rep Power : 608
      Likes Received
      27
      Likes Given
      6

      Default Re: Lowassa kuwa Mwenyekiti wa CCM Taifa

      hawa jamaa ni matajiri lakini bado wananjaa na madaraka kama hawajala vile.waTz safari hii tumepatikana!!!!

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Kazi za Mwenyekiti wa BAVICHA TAIFA
      By TUNTEMEKE in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 26
      Last Post: 15th October 2011, 09:39

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...