Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

    Report Post
    Page 1 of 9 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 163
    1. #1
      WhoToldU's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 1st April 2011
      Posts : 6
      Rep Power : 417
      Likes Received
      36
      Likes Given
      0

      Default (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

      I am hitting the ground while running.
      Ndugu zangu salamu zangu hizi hapa. Hebu someni attachments hizi muone nani mwongo.
      Regards

      na hii pia:
      Re: Yanayozungumzwa Ministry of Foreign and International Affairs (MFAIC) na mitaani kuhusu FITNA zilizofanywa dhidi ya Professor Mahalu na kesi anayokabiliwa nayo mahakamani Tanzania.
      1: Kwamba Balozi Mahalu alikataa begi lile la “diplomatic bag” lisitumike katika ubebaji wa PESA toka nchi za Ulaya Mashariki zilizopelekwa Ubalozini Roma ili zisafirishwe kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya kampeni ya URAIS ya mwaka 2005.
      Inasemekana kwamba Balozi Mahalu alikataa utumiaji huo wa diplomatic bag kwani haukuwa sahihi. Kwa kuzingatia utaratibu na kanuni yeye alikomolewa kwa kufukuzwa kazi

      2: Kwamba Balozi Mahalu alikataa kushiriki katika njama za kuiba pesa ya Watanzania Euro billioni 2.4 kwani katika tathmini iliyofanywa na Wizara ya Ujenzi kuhusu Jengo la Ubalozi, bei ya Jengo hilo lingegharimu Euro billioni 5.5 na siyo Euro billioni 3.1 bei ambayo ndio bei ya Jengo iliyokubaliwa chini ya usimamizi wa Balozi katika mchakato wa ununuzi.

      Wapo maofisa wa Wizara ya Nje walioshinikiza serikali inunue jingo lile kwa Euro billioni 5.5 kwa kushirikiana na aliyekuwa Honorary Consul, Tanzania Consulate ya Milano, marehemu Avvocato Georgio. Uadui na chuki dhidi ya Balozi Mahalu ulitokana na hilo pia.

      3: Kitendo chake cha kuwakirimu Ubalozini Maaskofu wa Kanisa la Katoliki waliotembelea Italia kilionekana kama kurasimisha UKRISTO wa Ubalozi pale Roma. Tuhuma hizi zipo sambamba na kile alichozusha Shehe na Mnajimu mmoja kwamba Balozi Mahalu ni adui wa Uislamu kwani Balozi Mahalu ndiye aliyetayarisha Memorandum of Understanding (MOU) kati ya Serikali na Kanisa ili Taasisi za Kikristo zilizokuwa chini ya Serikali zirudishwe na kuwa chini ya Kanisa kama ilivyokuwa awali.

      4: Umiliki wa Balozi Mahalu wa shamba la hekta 500 kandokando ya barabara iendayo Bagamoyo haukumfurahisha aliyekuwa Bosi wake enzi zile kama Waziri wa MFAIC. Sasa hivi shamba lote limemegwa na kuwa sehemu ya EPZ ya Bagamoyo.

      5: Kama michezo michafu iliyochezwa kwenye majengo ya Ubalozi wetu Burundi, Khartoum na nchi nyingine, Balozi Mahalu alishitulia NJAMA za kuuzwa kwa jengo la makazi ya Balozi pale Roma. Njama hizi zilibuniwa na maofisa wa MFAIC.

      Balozi Mahalu alihakikisha kwamba suala la uuzwaji huo kiholela limefikishwa kwenye vyombo vya sheria kule Italia na kufanikiwa kurudisha umiliki wa hilo jengo kwa serikali ya Tanzania.

      Na hapo pia balozi Mahalu alijiongezea MAADUI ambao wamedumu hadi leo.
      Attached Files
      Invisible, Recta, Halisi and 31 others like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      DoubleOSeven's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th July 2008
      Posts : 442
      Rep Power : 647
      Likes Received
      29
      Likes Given
      37

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      ... du du duuuuuuu! WhoToldU?
      Ongeauchoke likes this.

    4. #3
      JF-BAN1's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 10,447
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3753
      Likes Given
      2889

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Whotoldyou,

      Naona hayo mahesabu ya mabilioni ya euro umeyatunga.

      Toa hizi pumba hapa. Sikukuu ya wajinga imekwisha muda wake.
      Kalunguine likes this.

    5. #4
      tanga kwetu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th May 2010
      Posts : 934
      Rep Power : 645
      Likes Received
      116
      Likes Given
      30

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      ...kwa sisi tunaomfahamu mkulu hatushangai hii post. jamaa ni mtu wa visasi sana ila kuna watu wataibuka na hoja ya udini ku-divert main theme ya hii thread maana ndio relief yao kuu
      Jasusi, IFUNYA and Kongi like this.

    6. #5
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,235
      Rep Power : 3562
      Likes Received
      3062
      Likes Given
      462

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Quote By WhoToldU
      I am hitting the ground while running.
      Ndugu zangu salamu zangu hizi hapa. Hebu someni attachments hizi muone nani mwongo.
      Regards

      na hii pia:
      Re: Yanayozungumzwa Ministry of Foreign and International Affairs (MFAIC) na mitaani kuhusu FITNA zilizofanywa dhidi ya Professor Mahalu na kesi anayokabiliwa nayo mahakamani Tanzania.
      1: Kwamba Balozi Mahalu alikataa begi lile la “diplomatic bag” lisitumike katika ubebaji wa PESA toka nchi za Ulaya Mashariki zilizopelekwa Ubalozini Roma ili zisafirishwe kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya kampeni ya URAIS ya mwaka 2005.
      Inasemekana kwamba Balozi Mahalu alikataa utumiaji huo wa diplomatic bag kwani haukuwa sahihi. Kwa kuzingatia utaratibu na kanuni yeye alikomolewa kwa kufukuzwa kazi
      2: Kwamba Balozi Mahalu alikataa kushiriki katika njama za kuiba pesa ya Watanzania Euro billioni 2.4 kwani katika tathmini iliyofanywa na Wizara ya Ujenzi kuhusu Jengo la Ubalozi, bei ya Jengo hilo lingegharimu Euro billioni 5.5 na siyo Euro billioni 3.1 bei ambayo ndio bei ya Jengo iliyokubaliwa chini ya usimamizi wa Balozi katika mchakato wa ununuzi.
      Wapo maofisa wa Wizara ya Nje walioshinikiza serikali inunue jingo lile kwa Euro billioni 5.5 kwa kushirikiana na aliyekuwa Honorary Consul, Tanzania Consulate ya Milano, marehemu Avvocato Georgio. Uadui na chuki dhidi ya Balozi Mahalu ulitokana na hilo pia.
      3: Kitendo chake cha kuwakirimu Ubalozini Maaskofu wa Kanisa la Katoliki waliotembelea Italia kilionekana kama kurasimisha UKRISTO wa Ubalozi pale Roma. Tuhuma hizi zipo sambamba na kile alichozusha Shehe na Mnajimu mmoja kwamba Balozi Mahalu ni adui wa Uislamu kwani Balozi Mahalu ndiye aliyetayarisha Memorandum of Understanding (MOU) kati ya Serikali na Kanisa ili Taasisi za Kikristo zilizokuwa chini ya Serikali zirudishwe na kuwa chini ya Kanisa kama ilivyokuwa awali.
      4: Umiliki wa Balozi Mahalu wa shamba la hekta 500 kandokando ya barabara iendayo Bagamoyo haukumfurahisha aliyekuwa Bosi wake enzi zile kama Waziri wa MFAIC. Sasa hivi shamba lote limemegwa na kuwa sehemu ya EPZ ya Bagamoyo.
      5: Kama michezo michafu iliyochezwa kwenye majengo ya Ubalozi wetu Burundi, Khartoum na nchi nyingine, Balozi Mahalu alishitulia NJAMA za kuuzwa kwa jengo la makazi ya Balozi pale Roma. Njama hizi zilibuniwa na maofisa wa MFAIC. Balozi Mahalu alihakikisha kwamba suala la uuzwaji huo kiholela limefikishwa kwenye vyombo vya sheria kule Italia na kufanikiwa kurudisha umiliki wa hilo jengo kwa serikali ya Tanzania. Na hapo pia balozi Mahalu alijiongezea MAADUI ambao wamedumu hadi leo.
      You are very right... thank GOD the truth is out...
      NG'OMBE likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      BONGOLALA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2009
      Posts : 4,854
      Rep Power : 1467
      Likes Received
      1004
      Likes Given
      128

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Mahalu kacheza deal msi mtetee!jee hiyo no 3 alihusika?baada ya kumaliza mou ndiyo kapewa ubalozi huko huko vatican italy?

    9. #7
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,209
      Rep Power : 13074
      Likes Received
      14121
      Likes Given
      14986

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Inawezekama ni kweli, niliwahi sikia ugomvi wa mkulu na Mahalu chanzo ni nyumba ya ubalozo huko Italy. Nadhani ilipochukuliwa na serikali alienda kufungua mkulu wa enzi hizo na waziri wa ujenzi wa wakati ule. Hapo ndo chanzo cha mtafaruku mzima.

    10. #8
      saragossa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Location : Mkunazini
      Posts : 1,411
      Rep Power : 707
      Likes Received
      343
      Likes Given
      74

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      kaaz kweli kweli.........

    11. #9
      Wacha1's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2009
      Posts : 6,737
      Rep Power : 1826
      Likes Received
      1088
      Likes Given
      1260

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Kwani JK kaanza kuiba leo? Hili ni jizi lililobobea haiwezekani tuwe tunaibiwa kila siku namna ile ile bila wezi kukamatwa. Angalia FBI files jinsi wanavyoshika wezi. Tukitumia style yao tutamkamata chacha hivi.
      TANESCO hawashindwi kununua mitambo yao Kama kweli Dowans siyo ya JK ataifishe mitambo hiyo kwa sheria ya uhujumu awafilisi RA, EL vile vile awachukulie hatua waliokwapua fedha BOT

    12. #10
      Mwalimu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 1,171
      Rep Power : 783
      Likes Received
      249
      Likes Given
      669

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Ndio maana kesi inasuasua...kwa mtaji huu Profesa atapeta kiulaiiini!!
      I'm teaching fools some basic rules...

    13. #11
      August's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2007
      Posts : 2,744
      Rep Power : 1162
      Likes Received
      251
      Likes Given
      2511

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      hii ni hao hao ccm wevi na juhudi zao za kutupumbaza na suala la udini, mimi ni mklisto? (mkristo) lakini alicho fanya huyo aliye kuwa barozi/balozi vetu/wetu italia ni wizi hakuna cha udini hapa au aliyekuwa mf or kitu kama hicho na asitake kuegamia wizi mwingine kujinasua, huo wizi mwingine uongelewe independently, na kama mto mada ni mtu mwenye kuitakia tz mema nk , aanzishe tu mada ya wizi kwenye ununuzi wa balozi yetu, burundi ,uingereza nk watu tutachangia kwa minajili ya kujenga na sio kujenga udini. na hata tukijenga huo udini kwa minajili ya kutetea uzembe wizi nk utakuwa ni wa muda tu kwani utaturudi sisi sisi wenyewe wenye kushabikia huo udini. kwani huko hakuna reverse gear., labda tulisukume manual hiulo suala nalo itakuwa ni mapigano ya wenyewe kwa wenyewe mpaka tutakapo heshimiana
      mkomatembo likes this.

    14. #12
      Tiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 1,705
      Rep Power : 895
      Likes Received
      393
      Likes Given
      497

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      To me this is rubbish. Huyu Bwana kwa kushirikiana na Balali na wengineo walikula njama za kuongeza cha juu kwa gharama halisi ya hilo jengo. Tunajua kwamba baada ya kufanikisha malipo hayo na kupata cha juu, Balali alienda Rome na huko alifunga ndoa na huyo anayeitwa mke wake kwa kutumia mgao wa hizo pesa. Balali alikodisha Helicopter na harusi ilifungwa angani!!! Huku kulikuwa ni kulewa pesa za ufisadi!!!! Halafu leo aje mtu hapa na kusema Mahalu hakuhusika na anachukiwa kwa sababu ya dini yake?

      Mahalu naye ni mwizi tu pamoja na Uproffesor wake.

      Tiba
      mkomatembo likes this.

    15. #13
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,235
      Rep Power : 3562
      Likes Received
      3062
      Likes Given
      462

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Matatizo yake na hao wana-CCM ilianzia wakati alipokuwa Director of Higher Education; Wakati huo Waziri ni Mkapa; Katibu Mkuu Bilal
      Yeye alisimamia available scholarship ambazo zilikuwa nusu ya funds zinatoka UNESCO but CCM walitaka watoto wa wakubwa wapate tu sio watoto wa wakulima

      He was tough waanza kumsingizia kuwa analipwa kutoa scholarship no proof... then akaenda ubalozini Ufaransa as Assistant Balozi

    16. #14
      ndutu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 88
      Rep Power : 431
      Likes Received
      14
      Likes Given
      4

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      That is very cheap and no body is prepared to stoop too low ans succumb to your propaganda. The guy has been found to have a case to answer in court and he has been tinkering from one court to another, thinking that he would get a reprieve but to no avail. This is a simple case of theft without any element of religion as you want people to believe. Does this explain or justify why a professor of law had to prepare two sets of contract in respect of the same subject matter and what would be the motive? The Seller has testified and stated in no uncertain terms that the price in one of the contracts was unduly inflated. The evidecne has found that the professor stashed some funds, believed to be proceeds of this illegal business in an account in Monaco or some where in Europe. If you thought people here are so stupid as to suport what you are saying then try somewhere else not in this country where people have all the details at finger tips. You can find another way of diverting attention but using religion as an impediment to a fight against impunity will never be acceptable.
      mkomatembo likes this.

    17. #15
      MchunguZI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th June 2008
      Posts : 1,308
      Rep Power : 819
      Likes Received
      215
      Likes Given
      76

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Mahalu aliposema alitumwa na Katibu mkuu kiongozi alimaanisha nini? Ilikuwa pale mwanzo wa kesi.

      Sijapata ukweli uko wapi lakini tabia yake jamaa huyu pia ni mbaya! mbaya! mbaya! Akiwa pale wizara ya elimu ya juu alifanya madudu managapi na shoga yake Nkapa?
      -Sexual harassment tena zikaandikwa magazetini maana eti scholarship ziliambanishwa na ngono!
      -Kuna pesa (cash) zilipotea akiwa ametumwa mtu kuzipeleka nchi moja ya eastern (nimeishau) kwa ajili ya wanafunzi
      -Ktk balozi zetu nyingi kuna pesa nyingi zilitumwa kwa kusingizia kusomesha watoto wa staff walioko vyuoni, kumbe ni zao na Nkapa

      Baada ya Nkapa kupata U-rais akaona amuondoe ili kufuta nyao. Ubalozini!

      Sasa kwelu huko ali-change? NO! NO!
      The educated differ from the uneducated as much as the living from the dead --Aristotle

    18. #16
      ngwendu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th June 2010
      Posts : 1,971
      Rep Power : 858
      Likes Received
      160
      Likes Given
      50

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      ukiwa mkristo tu, yaani utatetewa humu JF. Nijuavyo hata mtoto akiiba wakati akipata kibano mama yake ikiwa hapo huwa yupo tayari kumtetea mtoto wake kuwa hakuiba. Ukiwa mtu wa baa ni tabu sana
      This is KINYESI! SIMPLY.
      we have to be focused!

    19. #17
      nngu007's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 2nd August 2010
      Posts : 11,235
      Rep Power : 3562
      Likes Received
      3062
      Likes Given
      462

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Quote By ngwendu
      ukiwa mkristo tu, yaani utatetewa humu JF. Nijuavyo hata mtoto akiiba wakati akipata kibano mama yake ikiwa hapo huwa yupo tayari kumtetea mtoto wake kuwa hakuiba. Ukiwa mtu wa baa ni tabu sana
      This is KINYESI! SIMPLY.
      Mimi ni muilsamu and beleved Mahalu was a victim...

    20. #18
      Prodigal Son's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th December 2009
      Location : Dili - ET
      Posts : 739
      Rep Power : 637
      Likes Received
      151
      Likes Given
      60

      Default Re: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi ITALIA

      Quote By ngwendu
      ukiwa mkristo tu, yaani utatetewa humu JF. Nijuavyo hata mtoto akiiba wakati akipata kibano mama yake ikiwa hapo huwa yupo tayari kumtetea mtoto wake kuwa hakuiba. Ukiwa mtu wa baa ni tabu sana
      This is KINYESI! SIMPLY.
      Yaelekea hiyo dini yako imeshakulewesha,ni vema ukawa muumini badala ya kuwa mtumwa wa dini
      ndyoko and NG'OMBE like this.
      ,,,Give a man a fish and you feed him for a day; teach him to fish and you feed him forever,,,

    21. #19
      Goldman's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th December 2010
      Posts : 552
      Rep Power : 538
      Likes Received
      54
      Likes Given
      1

      Default Re: (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu:: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

      Umetoa taarifa nzuri tatizo umeandika uongo kwenye amounts! Nadhan lengo lako ni € in millions not in billions! Kuwa makini ktk kuwasilisha amounts may be your target was tsh in billions?

    22. #20
      Ngekewa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th July 2008
      Posts : 4,488
      Rep Power : 1452
      Likes Received
      388
      Likes Given
      181

      Default Re: (Docs): Siri ya Kesi ya Mahalu:: Ununuzi wa Jengo la Ubalozi Italia

      Quote By WhoToldU
      I am hitting the ground while running.
      Ndugu zangu salamu zangu hizi hapa. Hebu someni attachments hizi muone nani mwongo.
      Regards

      na hii pia:
      Re: Yanayozungumzwa Ministry of Foreign and International Affairs (MFAIC) na mitaani kuhusu FITNA zilizofanywa dhidi ya Professor Mahalu na kesi anayokabiliwa nayo mahakamani Tanzania.
      1: Kwamba Balozi Mahalu alikataa begi lile la “diplomatic bag” lisitumike katika ubebaji wa PESA toka nchi za Ulaya Mashariki zilizopelekwa Ubalozini Roma ili zisafirishwe kwenda Dar es Salaam kwa ajili ya kampeni ya URAIS ya mwaka 2005.
      Inasemekana kwamba Balozi Mahalu alikataa utumiaji huo wa diplomatic bag kwani haukuwa sahihi. Kwa kuzingatia utaratibu na kanuni yeye alikomolewa kwa kufukuzwa kazi
      2: Kwamba Balozi Mahalu alikataa kushiriki katika njama za kuiba pesa ya Watanzania Euro billioni 2.4 kwani katika tathmini iliyofanywa na Wizara ya Ujenzi kuhusu Jengo la Ubalozi, bei ya Jengo hilo lingegharimu Euro billioni 5.5 na siyo Euro billioni 3.1 bei ambayo ndio bei ya Jengo iliyokubaliwa chini ya usimamizi wa Balozi katika mchakato wa ununuzi.
      Wapo maofisa wa Wizara ya Nje walioshinikiza serikali inunue jingo lile kwa Euro billioni 5.5 kwa kushirikiana na aliyekuwa Honorary Consul, Tanzania Consulate ya Milano, marehemu Avvocato Georgio. Uadui na chuki dhidi ya Balozi Mahalu ulitokana na hilo pia.
      3: Kitendo chake cha kuwakirimu Ubalozini Maaskofu wa Kanisa la Katoliki waliotembelea Italia kilionekana kama kurasimisha UKRISTO wa Ubalozi pale Roma. Tuhuma hizi zipo sambamba na kile alichozusha Shehe na Mnajimu mmoja kwamba Balozi Mahalu ni adui wa Uislamu kwani Balozi Mahalu ndiye aliyetayarisha Memorandum of Understanding (MOU) kati ya Serikali na Kanisa ili Taasisi za Kikristo zilizokuwa chini ya Serikali zirudishwe na kuwa chini ya Kanisa kama ilivyokuwa awali.
      4: Umiliki wa Balozi Mahalu wa shamba la hekta 500 kandokando ya barabara iendayo Bagamoyo haukumfurahisha aliyekuwa Bosi wake enzi zile kama Waziri wa MFAIC. Sasa hivi shamba lote limemegwa na kuwa sehemu ya EPZ ya Bagamoyo.
      5: Kama michezo michafu iliyochezwa kwenye majengo ya Ubalozi wetu Burundi, Khartoum na nchi nyingine, Balozi Mahalu alishitulia NJAMA za kuuzwa kwa jengo la makazi ya Balozi pale Roma. Njama hizi zilibuniwa na maofisa wa MFAIC. Balozi Mahalu alihakikisha kwamba suala la uuzwaji huo kiholela limefikishwa kwenye vyombo vya sheria kule Italia na kufanikiwa kurudisha umiliki wa hilo jengo kwa serikali ya Tanzania. Na hapo pia balozi Mahalu alijiongezea MAADUI ambao wamedumu hadi leo.
      Ama kwa upande wangu nakupa hongera kwa jitihadaako lakini kinachonipa wasiwasi kuwa hujajenga hoja ya kunifanya nione kama mtuhumiwa kaonewa.
      1 Sijaona katika vielelezo ulivyoviwasilisha pahala panapoonyesha huo upelekaji wa pesa ulifanyika vipi? Alikataa kutumiwa dipbag kwa maneno tu? Na kukataa kwake kunahusu nini na kuundiwa kesi hii?
      2 Mbona hakuna uthibitisho huo kuwa waliotowa bei ni ujenzi? Barua ninazoziona hapo zote zinatoka Foreign. Hansard uliyowasilisha mbona inazungumzia kiasi hicho kilichokubaliwa na sio hicho unachosema kilitakiwa inunuliwe?
      Hili la kuwakarimu maaskofu ni kanya boya tu la kututaka hapa mambo haya tuyatie katika udini. Serikali ya Tanzania inaongozwa na Wakristo na hata Rais wakati huo. Hili kwa kweli ni kutafuta sapoti ya udini basi.
      3.Hilo la kumiliki ardhi huoni kuwa ni hoja dhaifu mbele ya watu?
      4. Mbona hujawasilisha hili la uokowaji wa fedha zetu kwa vielelezo?
      Mwisho najiuliza tu. hii official na real zilijadiliwa serikalini kabla ya manunuzi?
      Halisi likes this.

    Page 1 of 9 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 71
      Last Post: 21st January 2012, 18:45
    2. Replies: 15
      Last Post: 12th August 2011, 21:40
    3. Tetesi: Ufisadi katika ununuzi wa jengo la TRA
      By Mkeshaji in forum Business & Economic Forum
      Replies: 10
      Last Post: 6th April 2011, 17:52

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...