Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

    Report Post
    Page 9 of 19 FirstFirst ... 7891011 ... LastLast
    Results 161 to 180 of 371
    1. #1
      Babu Lao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Korokocho
      Posts : 2,019
      Rep Power : 836
      Likes Received
      133
      Likes Given
      69

      Default Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Kila kukicha, unajitokeza ushahidi kwamba kiwango cha kufikiri miongoni mwa wa-Tanzania wengi ni duni. Siku hizi, kwa mfano, imeibuka hii dhana ya mfumo Kristo.

      Walioibuni dhana hii na ambao wanaieneza wana ajenda ya kujenga hoja kuwa mfumo wa utawala na uchumi Tanzania unaendeshwa kwa misingi ya kiKristu, na kwa lengo la kuwanufaisha wa-Kristu na kuwakandamiza na kuwanyima wa-Islam fursa na haki wanazostahili, katika nyanja mbali mbali, kama vile elimu na uongozi.

      Hii ndio dhana ya msingi ya hiki kinachoitwa mfumo Kristo. Wanaojenga hoja hii wanadai kuwa serikali ya Tanzania yenyewe inaendeshwa na maaskofu kama sehemu ya uendelezaji wa huu wanaouita mfumo Kristo.

      Kwanza napenda kusema, kama ninavyosema daima, kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake. Uhuru huu ni pamoja na uhuru wa kuyahoji au kuyapinga mawazo ya wengine, kufuatana na mchakato wa kujielimisha na kutafakari masuala. Ni pamoja na uhuru wa kuyapinga mawazo yako mwenyewe.

      Nashangaa kwa nini mfumo mbovu uhusishwe na jina la Yesu Kristu. Dini zote mbili, u-Islam na u-Kristu, zinamtambua na kumheshimu Yesu. Yesu anatambuliwa kama Mungu katika u-Kristu. Na katika u-Islam, anatambuliwa kama mtume maarufu. Dini zote zinamheshimu sana Yesu.

      Kama mfumo wa Tanzania umeoza kama inavyosemwa, hauwezi kuwa mfumo Kristo. Kuuita mfumo Kristo ni dhihaka isiyo kifani. Huwezi kuuhusisha uchafu wowote na Mungu au mtume. Kama kweli maaskofu wanaendekeza na kuulinda mfumo wa dhuluma, wanakiuka mafundisho na maadili ya Kristo. Huu si mfumo Kristo. Mfumo Kristo ni mfumo wa haki na maadili aliyotufundisha Kristo.

      Sidhani kama inahitaji akili ya pekee sana kuitambua hoja hii. Lakini ni wazi kuwa watu wengi Tanzania wana kiwango duni cha kufikiri au kuelewa mambo. Kwa dhana yao ya mfumo Kristo, wanaudhihaki u-Kristo, na pia wanaudhihaki u-Islam. Ila, kutokana na akili zao duni, hawatambui hilo. Kilichopo ni kuwaombea dua njema, waweze kujitambua na kujirekebisha.

      Source: http://hapakwetu.blogspot.com%20/
      Kinyungu, emalau, kebepa and 7 others like this.
      Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno, tuwang'oe meno walaji ili wenye moyo wasijekata tamaa ya kuijenga!!!!

    2. Miaka 50

    3. #161
      t blj's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 2nd December 2011
      Posts : 111
      Rep Power : 399
      Likes Received
      46
      Likes Given
      5

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      nadhani mtoa mada ana uelewa mdogo sana ,kabla ,alisha wahi kijiuliza hiyo malasia tuliyopata nayo uhuru ina waislam asilimia ngapi?

    4. #162
      Mkolawake's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd August 2012
      Posts : 331
      Rep Power : 408
      Likes Received
      110
      Likes Given
      7

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Quote By BHULULU
      Hivi sheria za Jamii Forum zinasemaje mtu akileta mjadala/chuki za kidini?
      Ingekuwa kama hii ingefungwa mara moja
      http://www.jamiiforums.com/habari-na...bei-mbaya.html

    5. #163
      Pepombili's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th December 2010
      Posts : 423
      Rep Power : 510
      Likes Received
      48
      Likes Given
      166

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Alipokuwepo muisilamu kuiongoza wizara ya mambo ya ndani sijasikia majambazi sasa ....

    6. #164
      kivyako's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd February 2012
      Posts : 568
      Rep Power : 481
      Likes Received
      71
      Likes Given
      69

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Hajala ban kweli huyu! au ndo kesi ya nyani kuamuriwa na tumbili!

    7. #165
      ilonga's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th November 2011
      Posts : 69
      Rep Power : 392
      Likes Received
      8
      Likes Given
      5

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Kwa kweli mtoa mada kama kuna mahali ukiokota hivi vijimawazo,fungua dust bin uvitupe kbs kwa sababu havina tija,nasikia sikia kuna mhubiri mmoja wa kiislamu ndo kazi yake hii ya kutengeneza CD zenye "mafundisho" ya kupinga wakristo na "mfumo kristo" na ww sijui umevibeba bila hata kufikiri....!!!!
      #Kwa hili....go to hell,kajipange upya cos umasikini wa Tz unachochewa na watu kama wewe wenye mawazo mgando.

    8. FemaTV & Radio

    9. #166
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,552
      Rep Power : 5612
      Likes Received
      6208
      Likes Given
      2281

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Unafiki tu unakusumbua

    10. #167
      Dogo1's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th April 2012
      Posts : 140
      Rep Power : 387
      Likes Received
      22
      Likes Given
      1

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Napata shida kufahamu iwapo wachangiaji wote hapa JF wanao ufahamu wa kutosha wa kuelewa hoja na kuchangia hoja.

      Mtoa hoja ametoa hoja yake kwa ufasaha na zaidi ya hayo amejitahidi kuwaongoza wanaopenda kuchangia hoja zao zijikite maeneo yapi. Hakujitambulisha dini yake! Sasa badala ya kuishambulia hoja iliyotolewa, mnamshambulia mtoa hoja!

      Watanzania, na hasa wanaJF tunasafari ndefu kufikia maendeleo. Kwani kama huna cha maana cha kuchangia si uangalie thread unayoweza kuchangia? Matusi yanatija gani?
      PAMOKONUNDA likes this.

    11. #168
      MtamaMchungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th April 2011
      Posts : 1,539
      Rep Power : 805
      Likes Received
      710
      Likes Given
      64

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      As usual, watu wakishindwa kupata sababu madhubuti wanakimbilia kwenye conspiracy theories zisizo na msingi. Unaposema labda malezi ndio yanayochangia, je kuna wakristo wanaolelewa kuwa wezi? Nchi za kikristo zina maendeleo makubwa duniani kuliko za kipagani na kiislamu, if your theory is true, how do you explain that?

    12. #169
      Ally Kombo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,600
      Rep Power : 0
      Likes Received
      785
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By tedo
      Somalia nafikiri pia ni Tawala-Kristo.
      Wenye influence ya uvurugaji ni nani ? Kila penye mafuta Wagalatia wanatia "fitna"

    13. #170
      Ally Kombo's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,600
      Rep Power : 0
      Likes Received
      785
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By The Boss
      Nigeria?
      Wafitini ni Wagalatia, huwezi kuwa na mafuta ukabaki salama !

    14. #171
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,591
      Rep Power : 22053
      Likes Received
      991
      Likes Given
      769

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Kuna kipindi huwa namshukuru mola kwa kuzaliwa mkristu
      Ivi na wewe umekaa ukaamua kuleta hoja kuwa wakristo ndo sababu ya umaskini?
      So far tumeshakuwa na watawala wanne JK,Mwinyi,Ben na sasa Kikwete je ktk vipindi vyote vinne ni kipindi kipi maisha yamekuwa magumu na umaskini kuongezeka,na ugumu wa maisha kuwa juu!

    15. #172
      Nkwesa Makambo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2011
      Posts : 1,029
      Rep Power : 596
      Likes Received
      161
      Likes Given
      153

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Quote By Dogo1
      Napata shida kufahamu iwapo wachangiaji wote hapa JF wanao ufahamu wa kutosha wa kuelewa hoja na kuchangia hoja.

      Mtoa hoja ametoa hoja yake kwa ufasaha na zaidi ya hayo amejitahidi kuwaongoza wanaopenda kuchangia hoja zao zijikite maeneo yapi. Hakujitambulisha dini yake! Sasa badala ya kuishambulia hoja iliyotolewa, mnamshambulia mtoa hoja!

      Watanzania, na hasa wanaJF tunasafari ndefu kufikia maendeleo. Kwani kama huna cha maana cha kuchangia si uangalie thread unayoweza kuchangia? Matusi yanatija gani?
      Sasa wewe ndo umechangia nini kwenye hiyo unayoiita hoja ?

    16. #173
      OTIS's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th September 2011
      Posts : 1,918
      Rep Power : 772
      Likes Received
      477
      Likes Given
      202

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Huu uwezo wako mdogo wa kufikiri wala sitaulinganisha na dini yako.
      ONLY THE ILLUMINATI SUCCEED
      (OTIS)

    17. #174
      bemg's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2010
      Posts : 1,613
      Rep Power : 782
      Likes Received
      218
      Likes Given
      344

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Nchi zote duniani zilizoendelea ni kwa sababu ya mfumo kristo.Sheria zote za nchi hizo zimebase kwenye utaratibu wa kikristo kuwa na umoja na kupenda kufanya yale ungependa wewe ufanyiwe na wenzako.
      Tatizo la nchi yetu si mfuomo kristo bali utawalani wa kifisadi unaolitafuna taifa letu na hao watu tunaishi nao na wanajulikana lakini hawachukuliwi hatua za kisheria
      Ni jambo zuri na la kupendeza sana ndugu kuishi pamoja kwa umoja

    18. #175
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,000
      Rep Power : 580
      Likes Received
      121
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Bull
      Sichukii ukiristo najaribu kutafakari na kuangalia asili ya umasikini wetu pamoja na maliasili zetu zisizotusaidia
      Nataka kujua kama kuna correlation kati ya dini na ufisadi, kwani naamini mazingira anayo kulia yanamchango mkubwa kuleta maamuzi.

      Tujadili tz sio somalia wala Afghan ambako hakuna rasili mali kama TZ
      acha kujibu maswali kama mtu ambaye hajasoma,Somalia na Afghanistan sio nchi? Mbona kwenye Thread uliitaja Malysia

    19. #176
      Henge's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2009
      Posts : 5,440
      Rep Power : 1674
      Likes Received
      918
      Likes Given
      1673

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Quote By Bull
      Hakuna shaka wengi waliosoma, wafanya kazi, na watawala wa ngazi za juu na wanaotoa maamuzi muhimu serikalini na makampuni ya umma ni wakiristo,
      Hadi sasa ni miaka50 bado Tanzania ni nchi ya kimasikini duniani, wakati nchi kama Malaisia ambayo tumepata nao uhuru kwa wakati mmoja wao wametuacha mbali.

      Inanifanya niamini kuwa Waislam ni watu wasio na tamaa, walioridhika na niwaaminifu hasa kuhusiana na mambo ya Fedha.

      Tumeshuhudia mafisadi wengi, wenye tamaa na elimu ya kufoji ni Watawala-Kristo (waislamu wachache), uchafu kama huu haupo sana sehemu kama Zanzibar na ktk jamii za waislamu

      JE!!!
      1. Iko haja ya kufumua mfumo wa tawala-kristo na kuleta utawala mseto kwa ajili ya maslai na maendleo ya nchi?

      2. Tuwaache waendelee watajirekebisha ?

      3. Unafikiri hakuna uhusiano kati ya utawala-kristo na ufisadi, umaskini na uchafu mwingineuliojaa nchini ?


      Tafadhali tujadili kwa kujibu maswala matatu hapo juu, kwa ustaarabu bila matusi wala jazba
      ni kweli mkuu angalia zanzibar ilivyoendelea, inaongozwa na waislam asilimia 100 hawa wakristu wanatunyonya mkuu!
      TUKIWAKAMATA MAFISADI NCHI ITAYUMBA by PINDA

    20. #177
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,000
      Rep Power : 580
      Likes Received
      121
      Likes Given
      17

      Default

      Quote By Smarty
      hali ya umaskini tulio nayo hapa nchini ni mtunda ya nyerere kukumbatia udini...huo ndo ukweli...we jiulize kws nini kanisa katoliki linamiliki maeneo makubwa karibu kila wilaya hapa nchini....nani aliwapa hay maeneo??.....nyerere ndo chabzo cha matatizo yetu...alishindwa kuwahibiti watendaji wake na leo hii wanatuibia.....
      kwa ujinga ulionao unaweza ukasema ufisadi umeanzia kwa Nyerere wkt kwa muislam mwenzenu Mzee Mwinyi. Nyie watu sijui mna akili gn

    21. #178
      Tuyuku's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th January 2011
      Posts : 658
      Rep Power : 559
      Likes Received
      139
      Likes Given
      16

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      hivi Mwinyi na Kikwete ni wakristo?

    22. #179
      IPECACUANHA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th February 2011
      Posts : 1,092
      Rep Power : 636
      Likes Received
      223
      Likes Given
      50

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Viongozi wa Tanzania wanateuliwa kwa kufuata sifa zao na sio dini zao. Imani zao sio msingi wa kazi wanazofanya hivyo kuhusisha Imani kwenye mafanikio au matatizo sio sawa. Nasikititshwa sana na tabia ya WATU Kama wewe ya kuangalia Mtu kwa Imani yake na kumjaji (religious prejudiced individuals).

    23. #180
      markj's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th July 2012
      Posts : 1,006
      Rep Power : 547
      Likes Received
      164
      Likes Given
      143

      Default Re: Mfumo wa tawala-kristo umeleta umasikini tanzania

      Ufumbuzi sahihi ni kugawana nchi tu.
      MZUNGU AKIJICHUBUA HUJUE MOYONI ANA UAFRICA!.by stamina

    24. Study Abroad
    Page 9 of 19 FirstFirst ... 7891011 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Mfumo KRISTO Umemponza Rostam Ndani ya CCM?
      By Left Wing in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 21
      Last Post: 21st October 2011, 20:11

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...