Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

    Report Post
    Page 15 of 19 FirstFirst ... 51314151617 ... LastLast
    Results 281 to 300 of 371
    1. #1
      Babu Lao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Korokocho
      Posts : 2,019
      Rep Power : 837
      Likes Received
      133
      Likes Given
      69

      Default Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Kila kukicha, unajitokeza ushahidi kwamba kiwango cha kufikiri miongoni mwa wa-Tanzania wengi ni duni. Siku hizi, kwa mfano, imeibuka hii dhana ya mfumo Kristo.

      Walioibuni dhana hii na ambao wanaieneza wana ajenda ya kujenga hoja kuwa mfumo wa utawala na uchumi Tanzania unaendeshwa kwa misingi ya kiKristu, na kwa lengo la kuwanufaisha wa-Kristu na kuwakandamiza na kuwanyima wa-Islam fursa na haki wanazostahili, katika nyanja mbali mbali, kama vile elimu na uongozi.

      Hii ndio dhana ya msingi ya hiki kinachoitwa mfumo Kristo. Wanaojenga hoja hii wanadai kuwa serikali ya Tanzania yenyewe inaendeshwa na maaskofu kama sehemu ya uendelezaji wa huu wanaouita mfumo Kristo.

      Kwanza napenda kusema, kama ninavyosema daima, kuwa kila mtu ana uhuru wa kutoa mawazo yake. Uhuru huu ni pamoja na uhuru wa kuyahoji au kuyapinga mawazo ya wengine, kufuatana na mchakato wa kujielimisha na kutafakari masuala. Ni pamoja na uhuru wa kuyapinga mawazo yako mwenyewe.

      Nashangaa kwa nini mfumo mbovu uhusishwe na jina la Yesu Kristu. Dini zote mbili, u-Islam na u-Kristu, zinamtambua na kumheshimu Yesu. Yesu anatambuliwa kama Mungu katika u-Kristu. Na katika u-Islam, anatambuliwa kama mtume maarufu. Dini zote zinamheshimu sana Yesu.

      Kama mfumo wa Tanzania umeoza kama inavyosemwa, hauwezi kuwa mfumo Kristo. Kuuita mfumo Kristo ni dhihaka isiyo kifani. Huwezi kuuhusisha uchafu wowote na Mungu au mtume. Kama kweli maaskofu wanaendekeza na kuulinda mfumo wa dhuluma, wanakiuka mafundisho na maadili ya Kristo. Huu si mfumo Kristo. Mfumo Kristo ni mfumo wa haki na maadili aliyotufundisha Kristo.

      Sidhani kama inahitaji akili ya pekee sana kuitambua hoja hii. Lakini ni wazi kuwa watu wengi Tanzania wana kiwango duni cha kufikiri au kuelewa mambo. Kwa dhana yao ya mfumo Kristo, wanaudhihaki u-Kristo, na pia wanaudhihaki u-Islam. Ila, kutokana na akili zao duni, hawatambui hilo. Kilichopo ni kuwaombea dua njema, waweze kujitambua na kujirekebisha.

      Source: http://hapakwetu.blogspot.com%20/
      Kinyungu, emalau, kebepa and 7 others like this.
      Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno, tuwang'oe meno walaji ili wenye moyo wasijekata tamaa ya kuijenga!!!!

    2. RukaaJuu Final

    3. #281
      Mpanzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th January 2011
      Posts : 418
      Rep Power : 507
      Likes Received
      93
      Likes Given
      7

      Default

      Quote By mnyanyaswaji
      Acha uongo wewe, hiyo redio unasikiliza peke yako sasa hivi?

      Kinachozungumziwa ingeneral ni ile double standard inayofanywa na serikali, mfano wakatolea mauaji ya mwembechai iliombwa tume iundwe serikali ikakataa mwaka huohuo akauliwa mbwa wa police sumbawanga tume ikaundwa haraka, wanahoji mifano kama hiyo, lingine Dr. Slaa sms aliyomuandikia IGP ya kitisho je ingekuwa wengine ingekuwaje?

      Kingine kinazungumzua media zilvyokuwa na bad perception na waislamu hada kny suala la sensa. Huwa mnakaa humu na kusema ooh waislamu wanapendelewa sababu wenzao ndio viongozi kama Rais,Igp etc etc lakin haohao ndo sasa hivi wanashutumiwa pia. Huwa najiuliza humu JF watu kama wewe huwa mnawaza before kuleta humu au ili mradi nawe upost hata kama uongo?

      Kajipange tena na propaganda zako za kichekechea.
      Kuna kitu sielewi hapa. Waislam hawa hawa wanaolalamika ndo wanaoipigia kura CCM
      Facilitator likes this.

    4. #282
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Eros
      Chadema ni taasisi wewe unatumia mawazo ya mtu binafsi kuihukumu.
      Haiwezekani 90% ya mawazo ya wana CDM yakawa against uislam halaf ukampinga Ritz anachosema. Fatilia thread zote humu unless uwe mgeni JF. Ntajifikiria upya hata ushabiki wangu na family yangu kwa CDM bora nkawa bila ya chama kama huu upuuzi utaendelea.

    5. #283
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Mpanzi
      Kuna kitu sielewi hapa. Waislam hawa hawa wanaolalamika ndo wanaoipigia kura CCM
      Na wakristo wasiolalamika ndio walioipigia CDM??

    6. #284
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3043
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      4137

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Quote By mnyanyaswaji
      Haiwezekani 90% ya mawazo ya wana CDM yakawa against uislam halaf ukampinga Ritz anachosema. Fatilia thread zote humu unless uwe mgeni JF. Ntajifikiria upya hata ushabiki wangu na family yangu kwa CDM bora nkawa bila ya chama kama huu upuuzi utaendelea.
      umetoa wapi hiyo takwimu? Kwenye sensa au?
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    7. #285
      kebepa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th December 2009
      Posts : 68
      Rep Power : 492
      Likes Received
      4
      Likes Given
      3

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Quote By TIMING
      jukwaa la dini would have been appropriate.. hapa kwenye jukwaa la siasa naona unataka kuchafua hewa tu!!
      Dini nayo ni siasa tu! vingenevyo watu wote wangekuwa na dini moja
      In the market, people are "buyers" and "sellers".In politics they are "enemies" and "friends".

    8. Miaka 50

    9. #286
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Kweli serikali inasikiliza mawazo ya wakristu na kuyaamini, si uliona Loliondo mfano mzuri, Mchungaji alipooteshwa serikali iliamini pia. Kwahiyo wewe baki ukiamini redio imani inadharaulika huku yetu yakinyooka. Ebwana kikombe unaenda lini kupata loliondo kiby???
      Quote By Kiby
      .
      Mbona hayo tumeyasikia toka enzi za kina marehem sheikh Ngaliba na kina marehem Mazige? Ni watu wenye kuongea mambo ya kukaririshwa bila kuwa na ufahamu wa wanachokiongelea.
      Sasa labda tujaribu kuuliza waislamu wanapolalamikia kitu wanachoita mfumo kristo ni chama gani kimeasisi huo mfumo? Na je watawala waliopo(top five) nchini kwa sasa kutokea hicho chama wanatokea dini gani? Bado hao hao wenzao wanaendelea kutowapa haki? Na je kuna harakati zozote za makusudi kwa waisilamu kukiondoa hicho chama madarakani? Si ni hao hao waislamu waliohimizana misikitini kumnyima kura Muisilamu mwenzao Lipumba na kwa nia ya kumuokoa mkristo? Mwenzao Jk? Tukisema kuwa waislamu ni mazu-zu wanaoamini wasichokitenda na kutenda wasichoamini tuna makosa? Mpaka hapo hawa watu watakaposhinda vita ya iliyo ndani ya nafsi zao wenyewe(njaa kali) hawataweza kujitambua na kuanza kupigana vita yenye maslahi mapana kwa umma mpana zaidi.
      Hako karedio imani kameachwa kabwabwaje maana serikali inawajuwa kuwa ni watu wasi madhara. Hawamaanishi kile wanachohubiri. Lakini nakuhakikishia kama ingelikuwa ni radio ya kikristo ingeshafungiwa siku nyingi. Maana ni lazima serikali ihofu kwa hizo kauli maana watakuwa wakijua kuwa zinatolewa na mtu mwenye akili timamu na anaemaanisha kila anachosema.
      .

    10. #287
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Bigirita
      umetoa wapi hiyo takwimu? Kwenye sensa au?
      Number of JF member(cdm)against islam/total number of JF member X 100%. nimetoa formula ya hapo juu. Calculate sasa

    11. #288
      wakubaha's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th November 2008
      Posts : 47
      Rep Power : 545
      Likes Received
      9
      Likes Given
      0

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Mjadala ungekuwa mzuri kama Waislamu wanaosema wanaoona wanaonewa wakaorodhesha jambo moja baada ya lingine na wanayoona Wakristo wanapendelewa nayo yawekwe halafu hoja zichambuliwe na kujadiliwa bila kejeli wala matusi ili tuweze kuwa na mshikamano na sio utengano...mijadala ni kwa ajili ya kuleta suluhisho
      Facilitator likes this.

    12. #289
      Bigirita's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2007
      Location : Under a mango tree
      Posts : 11,263
      Rep Power : 3043
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      4137

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Quote By mnyanyaswaji
      Number of JF member(cdm)against islam/total number of JF member X 100%. nimetoa formula ya hapo juu. Calculate sasa
      sijakuuliza formula, nimukuuliza takwimu. Umeitoa wapi hiyo?
      * LOVE COMES NATURALLY; HATE IS TAUGHT.....by nngu007 wa JF

    13. #290
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Gosbertgoodluck
      Hayo ndiyo mawazo mgando kuongelea idadi ya kura na dini waya wapiga kura. Sijui upunguani huu tutauacha lini maskini sisi!
      We Gosbert lini umeacha upunguani na mawazo mgando?? Hakuna kilaza wa kufikiri kama wewe, comments zako za nyuma refer

    14. #291
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Bigirita
      sijakuuliza formula, nimukuuliza takwimu. Umeitoa wapi hiyo?
      Website ya rc iliyotoa takwimu pia ya idadi ya waislamu na wakristu, na hata tbc zipo, una lingine??

    15. #292
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By wakubaha
      Mjadala ungekuwa mzuri kama Waislamu wanaosema wanaoona wanaonewa wakaorodhesha jambo moja baada ya lingine na wanayoona Wakristo wanapendelewa nayo yawekwe halafu hoja zichambuliwe na kujadiliwa bila kejeli wala matusi ili tuweze kuwa na mshikamano na sio utengano...mijadala ni kwa ajili ya kuleta suluhisho
      Mfano mzuri MoU kati ya serikali na kanisa.. Tuanzie hapo

    16. #293
      Facilitator's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th October 2010
      Location : Osoit l'embijata
      Posts : 1,443
      Rep Power : 722
      Likes Received
      572
      Likes Given
      1234

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Quote By mnyanyaswaji
      Na wakristo wasiolalamika ndio walioipigia CDM??
      Kwani kutokulalamika maana yake ni kuridhika???
      I think, we should stop this. Waislamu na wakristo na wasio na dini, WOTE NI WA TZ. Period.
      I'm only responsible for what I say; NOT for what you understand.

    17. #294
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Mwalimu unayemuita kashata ndiye aliyeongoza ukombozi hata wa juzi,aliyeweza kufanya hivyo before ni MalcomX tu then Ponda. Mwambie kiongozi wenu ajaribu. vp kuna lingine??
      Quote By Remote
      Leo maalim kashata po,nda anatakiwa akulipe zaidi shughuli uliyoifanya ya kuwaelimisha watu wa mfumo si mchezo hahaaaaa!
      [
      QUOTE=mnyanyaswaji;4593771]Website ya rc iliyotoa takwimu pia ya idadi ya waislamu na wakristu, na hata tbc zipo, una lingine??
      [/QUOTE]

    18. #295
      Eros's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 67
      Rep Power : 384
      Likes Received
      20
      Likes Given
      20

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Quote By Ritz
      Unaniletea porojo wewe humu JF tunajuana kwa michango yetu ndio maana niliyomjibu kakaa kimya wewe umekurupuka kujibu tu, taasisi ya wapi Kaskazini.
      Chadema inakunyima raha sana ndugu yangu,vumilia tu,huwezi pingana na mabadiliko. kama vipi ungana nasi kwasababu huwezi kutusimamisha ktk harakati za ukombozi wa taifa letu.

    19. #296
      i pad3's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th March 2012
      Posts : 1,351
      Rep Power : 653
      Likes Received
      334
      Likes Given
      152

      Default

      Quote By peri
      wanafanya kazi kwa misingi ya katiba na chama chao.
      Wangekuwa wanafanya kwa misingi ya uislam tungekuwa na mahakama ya kadhi, tungesha jiunga na oic, kungekuwa na kipengele cha dini kwenye sensa na matakwa mengine ya waislamu yangetekelezwa.

      Pili hao wote wapo ktk hizo nafasi kwasababu walipitishwa na vyama vyao baada ya kupigiwa kura na hawakupendekezwa kwa sababu ya dini zao.

      Umenielewa mkuu?
      Hujaeleweka mkuu.. Ina maana ccm ndio mfumo kristo? Nieleweshe

    20. #297
      Kidzude's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2011
      Posts : 967
      Rep Power : 591
      Likes Received
      115
      Likes Given
      19

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Hizi dini zote tumeletewa tu. je tunajua asili yake nini. Sometime naona mtawala wa hii dunia hapendi kabisa watu wawe na amani na hutumia uvivu wetu wa kufikiri na kukosa maarifa kutumaliza. Mimi siamini mungu kama ameshawahi kupigana kwa ajili ya kutetea neno lake, ila aliwaadhibu wale ambao walikataa mitume. waTanzania tujue na kutambua kuwa ni nyakati za mwisho na za shida huyo mtawala wa dunia ataleta shida ambazo kwayo tutapewa mashari ambayo si ya kiutu kuyatimiza ili tuweze pata kupona njaa. Kwa macho ya kibinadamu hatuwezi ona ila kwa wale wa roho. Maana tumerithi maagano ya ajabu na ibada za ajabu zilizotuletea mateso mpaka leo. Nadhani ukisema mkristo ni yule haswaa atendaye ya kristo, mwislimu simjui tabia yake. Kwa hivyo Tanzania ya leo ni ya wapagani waabudio vitu na watu maarufu wategemeao lamli je kwa maana hiyo bado ni waumini wa hicho muaminicho. Tunatumika na mtawala wa hii dunia bila kujielewa.
      Eros likes this.

    21. #298
      mnyanyaswaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th November 2009
      Posts : 411
      Rep Power : 567
      Likes Received
      58
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By aritoine
      Kwani kutokulalamika maana yake ni kuridhika???
      I think, we should stop this. Waislamu na wakristo na wasio na dini, WOTE NI WA TZ. Period.
      Utanzania utazingatiwa endapo hakuna kukashifiana dini na kufanyia dhuluma yeyote. Waambie hao walengwa wa kushoto sisi waislam hatuna shida, remember Islam=peace=Amani. Je hapo utakuwa na doubt na sisi?? Naamin akina Ritz wote watakubaliana nami

    22. #299
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,164
      Rep Power : 41578
      Likes Received
      6063
      Likes Given
      1057

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Quote By Kidzude
      Hizi dini zote tumeletewa tu. je tunajua asili yake nini. Sometime naona mtawala wa hii dunia hapendi kabisa watu wawe na amani na hutumia uvivu wetu wa kufikiri na kukosa maarifa kutumaliza. Mimi siamini mungu kama ameshawahi kupigana kwa ajili ya kutetea neno lake, ila aliwaadhibu wale ambao walikataa mitume. waTanzania tujue na kutambua kuwa ni nyakati za mwisho na za shida huyo mtawala wa dunia ataleta shida ambazo kwayo tutapewa mashari ambayo si ya kiutu kuyatimiza ili tuweze pata kupona njaa. Kwa macho ya kibinadamu hatuwezi ona ila kwa wale wa roho. Maana tumerithi maagano ya ajabu na ibada za ajabu zilizotuletea mateso mpaka leo. Nadhani ukisema mkristo ni yule haswaa atendaye ya kristo, mwislimu simjui tabia yake. Kwa hivyo Tanzania ya leo ni ya wapagani waabudio vitu na watu maarufu wategemeao lamli je kwa maana hiyo bado ni waumini wa hicho muaminicho. Tunatumika na mtawala wa hii dunia bila kujielewa.
      Habari nzima ya uwapo wa mungu imeletwa na watawala ili kuhalalisha utawala wao.

      Mungu hathibitishiki kwamba yupo, na ingawa kuamini mungu kunaruhusiwa -kama vile kuamini kuwepo kwa vinyamkera kunavyoruhusiwa, kama kutabaki kuamini- kuwapo kwa mungu si kitu kinachojulikana.

      Hivyo, hutakuwa umekamilisha vita dhidi ya udhalili wa hawa wanaotaka kutawala dunia kwa kutumia hii dhana ya mungu kama bado utakuwa unaamini katika uwepo wa mungu.
      Allow others to say their say, but always say your piece, it's only right.


    23. #300
      Eros's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2012
      Posts : 67
      Rep Power : 384
      Likes Received
      20
      Likes Given
      20

      Default Re: Dhana duni ya 'Mfumo Kristo'

      Quote By mnyanyaswaji
      Mfano mzuri MoU kati ya serikali na kanisa.. Tuanzie hapo
      Jengeni shule na Hospitali za kutosha kisha ombeni hiyo MoU, mkinyimwa nitakuwa pamoja nanyi
      kulalama.
      Facilitator likes this.

    Page 15 of 19 FirstFirst ... 51314151617 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Mfumo KRISTO Umemponza Rostam Ndani ya CCM?
      By Left Wing in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 21
      Last Post: 21st October 2011, 20:11

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...