Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vijana wote tushirikiane kwa hili

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      Gwota's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd March 2011
      Posts : 194
      Rep Power : 514
      Likes Received
      81
      Likes Given
      0

      Default Vijana wote tushirikiane kwa hili

      Nimefanikiwa kufanya utafiti (usio rasmi) kwa watu wa rika mbalimbali wenye elimu chini ya form 4 na wa chache wenye f4 failuire ktk mikoa ya kigoma,pwani, morogoro na dar, Kikubwa nilichokuwa nataka kujua ni kwanini wengi wao hawakupiga kura?
      Walio wengi walijibu hata ningepiga mimi mmoja nisingefanya CHADEMA ishinde,Nilipowauliza km wanafahamu kura yao ina faida hata km Slaa asingeshinda wote walisema hawajui na wanachokifahamu wao baada ya kupiga haina faida tena.
      Nilipowaelezea faida ya hiyo kura yao, kuwa kila chama kinapata gawio kubwa la ruzuku kutoka serikalini kila mwezi kutokana na idadi ya kura kilichopata ktk uchaguzi mkuu, Nikazidi kuwaelimisha kwa kuwapa mfano kuwa ruzuku ya CCM imeshuka kutoka miliion 1200 kwa mwezi hadi million 800 na nyingi zimehania CDM na ndo maana CDM wanapata pesa ya kutosha kuzunguka nchi nzima hadi wilayani kutoa elimu na kuwaeleza haki zenu namna zinavyopindishwa wailijilaumu kwann hawakumpigia Slaa kura yao, mmoja wa hao alikuwa ni mama wa Ngerengere akaniambia atafurahi km CDM watafika Ngerengere.
      Ninchowaomba vijana wenzangu hasa wale wa CDM Tutumie muda wetu mwingi kuwaondoa mawazo haya mabovu hawa wenzetu wasio na elimu ili tujiongezee mtaji wa kura hapo 2015, Tukifanikiwa kulinasa hili kundi ushindi upo nje nje na hatuna sababu ya kushindwa,tuwafafanulie kwa undani km nilivyofanya mm na hadi leo hao nilioongea nao huwa wananipigia simu kuniuliza maendeleo ya CDM na bila shaka hao tayari ni wetu 2015,
      Kwa wale wenye kufanya kazi hasa za mkusanyiko wa watu km mashuleni wasiache kutumia nafasi hizo kuwaelimisha wanafunzi especially O level na A level.

      pamoja Tunaweza...............pipoooz pawaaaa


    2. #2
      plawala's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th January 2011
      Posts : 627
      Rep Power : 553
      Likes Received
      56
      Likes Given
      1

      Default Re: Vijana wote tushirikiane kwa hili

      Hilo litafanyika katika opereshani mojawapo zinazo kuja,kuelimisha kuhusu faida za kupiga kura,kujiandikisha na kujitokeza kupiga kura bila kukosa na matatizo mengine kama kuuza shahada na kupiga kura kwa kurubuniwa na vijizawadi.
      Kwa sab katika ambao hawakupiga kuna ambao hawajawahi kupiga kura kabisa maishani mwao,wengine walishapiga mara nyingi na labda hawakuona jinsi kura inavyoweza kubadili maisha ya mtu

    3. #3
      TUWEKANE BAYANA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 45
      Rep Power : 428
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Vijana wote tushirikiane kwa hili

      The best groundswell movements render the existing power structure irrelevant, because the new belief system adopted by the masses overwhelms the capacity of the elite to maintain control over the former mass delusion over which they presided.

    4. #4
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,240
      Rep Power : 24920
      Likes Received
      4214
      Likes Given
      681

      Default Re: Vijana wote tushirikiane kwa hili

      Haya. Vijana tutajitahidi.

    5. #5
      Hemed Suya's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th February 2011
      Posts : 146
      Rep Power : 453
      Likes Received
      23
      Likes Given
      11

      Default Re: Vijana wote tushirikiane kwa hili

      Elimu ya mpiga kura na uraia kwa ujumla inahitajika kwa watanzania wengi sana, naona umezungumzia form four wakati kuna watu vyuo vikuu na wala hawatambui umuhimu wa kupiga na wengi hawakupiga kura kwa hoja ya kutoamini ya kwamba kura yake itamsaidia. Hivyo basi wote wanapaswa kupata elimu ya uraia katika kuhakikisha watu wanatambua haki zao.


    Similar Topics

    1. Tujadili hili! Ni ipi nafasi ya vijana?
      By kibebii in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 3rd October 2011, 10:24
    2. Kwa vijana wote walio CCM, CHADEMA, CUF, NCCR na kwingineko
      By maoniyangu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 6
      Last Post: 22nd September 2011, 13:28
    3. Replies: 54
      Last Post: 6th May 2011, 19:11
    4. Watanzania, tushirikiane katika hili
      By kachumbari in forum Jukwaa la Elimu (Education Forum)
      Replies: 1
      Last Post: 12th November 2010, 23:01
    5. Tetesi: Dk Batilda Burian kuwalipia vijana wote Arusha kodi ya nyumba wakimchagua
      By Gerad2008 in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 28
      Last Post: 27th October 2010, 17:07

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...