Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. #1
      Galileo Galilei's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2011
      Posts : 6,278
      Rep Power : 1607
      Likes Received
      559
      Likes Given
      3

      Default Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

      Ikiwa leo ni kilele cha maadhimisho ya wiki ya maji, Mbunge wa Ubungo, John Mnyika (Chadema) ameitaka serikali kutumia siku hiyo kutoa taarifa za kina kuhusu utatuzi wa kero ya maji kwa wananchi wa Mkoa wa Dar es salaam. Mnyika alisema Rais Jakaya kikwete, atumie siku hiyo kutoa kauli kuhusu utekelezaji wa ahadi mbalimbali za kuboresha huduma ya maji na kwamba kinyume chake itaunganishwa nguvu ya umma katika kuchukuwa hatua za ziada kukabiliana na kero husika. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa jana na Mnyika ilieleza kuwa licha ya serikali kutoa ahadi mbalimbali za kuboresha na kutokomeza kero ya maji jijini, lakini zimekuwa hazitekelezwi.
      Mwananchi Machi 22 2011

    2. Study Abroad

    3. #2
      Speaker's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th August 2010
      Posts : 6,163
      Rep Power : 4558
      Likes Received
      1997
      Likes Given
      5018

      Default Re: Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

      Duh,ni mwendo wa vitisho tu
      Mjinga mpe cheo...

    4. #3
      Naloli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th August 2010
      Posts : 356
      Rep Power : 514
      Likes Received
      66
      Likes Given
      2

      Default Re: Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

      Wabaneni mbavu hivyo hivyo Viongozi wachovu hadi wakose muda wa kuchakachua, muda wote wahisi wanaonwa, wakija kutahamaki 2015 hiyoooooooooooooooooooooooooo AIBU YAO

    5. #4
      Gsana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th August 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 2,227
      Rep Power : 888
      Likes Received
      214
      Likes Given
      30

      Default

      Quote By Naloli
      Wabaneni mbavu hivyo hivyo Viongozi wachovu hadi wakose muda wa kuchakachua, muda wote wahisi wanaonwa, wakija kutahamaki 2015 hiyoooooooooooooooooooooooooo AIBU YAO
      hapa kuna point. Cdm mmebana mpaka muda wa kufisadi unakuwa issue bwn!dah!sasa uongozi umekuwa shubiri!

    6. #5
      Ney wa Barca's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 210
      Rep Power : 460
      Likes Received
      3
      Likes Given
      2

      Default Re: Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

      ahadi kibao utekelezaji hewa, Endelea kuwabana mkubwa hadi kueleweke!

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      MANI's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 22nd February 2010
      Location : CHINI YA MBUYU
      Posts : 1,906
      Rep Power : 951
      Likes Received
      564
      Likes Given
      627

      Default Re: Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

      Mpaka kieleweke zile ahadi zote zitimizwe.
      " TANZANIA BILA CCM INAWEZEKANA"

    9. #7
      Haika's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 1,685
      Rep Power : 913
      Likes Received
      237
      Likes Given
      356

      Default Re: Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

      Kwa hili lla maji inabidi niongee.
      Ndugu Mnyika,
      Tafadhali tumia muda huu wa wiki za maji au nyinginezo kutuma ujumbe wa ahadi zilipofikia (kwa mtazamo wako) Kuwasubiri haitakuwa tofauti.
      Sie tunataka kuhama huku kwa ajili ya shida ya maji ambayo haina kichwa wala mguu.
      Inakuwaje bomba linapita hapa mbezi, hatuna maji, lakini watu wa huko mbali wananyeshea ukoka?????
      Yani mie nadhani utapita muda mfupi nitamchanganya mbunge wetu na diwani kati ya kundi la mafisadi.

      Mie sielewi kabisa ugumu uko wapi katika kuwapa maji watu wa mbezi Luis 1km kutoka bomba kuu!!!

      Mnyika unataka uwe waziri wa maji ndio maji yatoke huku?
      au siasa na wewe zimekushinda??

    10. #8
      Mshindo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th March 2009
      Location : Right Here!!
      Posts : 436
      Rep Power : 611
      Likes Received
      145
      Likes Given
      194

      Default Re: Mbunge wa Ubungo John Mnyika aishukia serikali

      hee makubwaa! Ila kwawakilisha watanzania sio kazi ndogo aisee! Watu wenye njaa na dhiki, halafu wagonjwa(ona loliondo), halafu shule adimu, halafu less or mis-informed, halafu siasa chafu.....hebu nichanganyie hapo kisha niambie unapata nini. Pole Mnyika, wapo pia wanaokuelewa usjali!
      Quote By Haika
      Kwa hili lla maji inabidi niongee.
      Ndugu Mnyika,
      Tafadhali tumia muda huu wa wiki za maji au nyinginezo kutuma ujumbe wa ahadi zilipofikia (kwa mtazamo wako) Kuwasubiri haitakuwa tofauti.
      Sie tunataka kuhama huku kwa ajili ya shida ya maji ambayo haina kichwa wala mguu.
      Inakuwaje bomba linapita hapa mbezi, hatuna maji, lakini watu wa huko mbali wananyeshea ukoka?????
      Yani mie nadhani utapita muda mfupi nitamchanganya mbunge wetu na diwani kati ya kundi la mafisadi.

      Mie sielewi kabisa ugumu uko wapi katika kuwapa maji watu wa mbezi Luis 1km kutoka bomba kuu!!!

      Mnyika unataka uwe waziri wa maji ndio maji yatoke huku?
      au siasa na wewe zimekushinda??
      Sent from @non-smart phone.....bear with me

    11. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Replies: 94
      Last Post: 6th November 2011, 19:34
    2. John Mnyika wa Chadema ameshinda Ubungo
      By Kishalu in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 2nd November 2010, 11:15
    3. Mnyika mbunge wa ubungo.
      By Gbollin in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 41
      Last Post: 2nd November 2010, 10:21
    4. Shamsa Mwangunga kuvaana na John Mnyika Ubungo
      By Omutwale in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 44
      Last Post: 6th August 2009, 14:31

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...