Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 22
    1. #1
      Kurunzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st July 2009
      Location : DAR ES SALAAM
      Posts : 1,956
      Rep Power : 891
      Likes Received
      386
      Likes Given
      147

      Default Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Kuna tetesi nilizipata jana kuwa hali si nzuri sana kati ya mwenyeki ti na sekretarit ya ccm . Habari hizo ambazo bado ni tetesi zinasema kuwa inaonekana mwenyekiti anampango wa kuwatosa wanasekretariet hao na kuweka watu wake ambao anauhakika hata akiondoka atakiacha chama katika hali nzuri. Na amekuwa akiwatumia baadhi ya wajumbe wa nec katika mpango wake huo bila kuwashirikisha sekretariet hali iliyopeleke Wanasekretariet hao hasa makamba wakimlaumu mwenyekiti kuwa amekuwa anapelekewa umbea na watu kuwa sekretariet imechoka na inapaswa toswe yote. Wakati mwenyekiti akijua jinsi sekretarit hiyo ilivyofanya kazi ya ziada kuhakisha ushindi wa chama chao.

      Hata hivyo habari zinasema baadhi ya wanasekretariet hasa makamba na chiligati wanaona upepo huo huenda ukawakumba hivyo nayenyewe wamejipanga kuhakikisha wataweka waridhi wanaowataka wao ndiyo waitiongoza sekretariet hiyo.

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Mfamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2007
      Posts : 2,884
      Rep Power : 1161
      Likes Received
      286
      Likes Given
      158

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Na waendelee kupashana kama akina waimbaji wa taarabu

    4. #3
      sizy's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th June 2010
      Posts : 22
      Rep Power : 458
      Likes Received
      3
      Likes Given
      1

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      waache waendelee kugombana mwisho wao umeishafika,

    5. #4
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,652
      Rep Power : 16779
      Likes Received
      2519
      Likes Given
      1941

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Chama chao kinaelekea kumeguka...

    6. #5
      escober's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Location : Kitaa
      Posts : 293
      Rep Power : 486
      Likes Received
      68
      Likes Given
      386

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      acheni wafu wazikane
      Kakalende likes this.
      Every man has a right to utter what he thinks truth, and every man has a right to knock him down for it.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Tujadili jinsi ya kupata uhuru wa nchi yetu, achana na mambo yao ya ndani hawa.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    9. #7
      HM Hafif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2009
      Posts : 1,372
      Rep Power : 771
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Quote By KURUNZI
      Kuna tetesi nilizipata jana kuwa hali si nzuri sana kati ya mwenyeki ti na sekretarit ya ccm . Habari hizo ambazo bado ni tetesi zinasema kuwa inaonekana mwenyekiti anampango wa kuwatosa wanasekretariet hao na kuweka watu wake ambao anauhakika hata akiondoka atakiacha chama katika hali nzuri. Na amekuwa akiwatumia baadhi ya wajumbe wa nec katika mpango wake huo bila kuwashirikisha sekretariet hali iliyopeleke Wanasekretariet hao hasa makamba wakimlaumu mwenyekiti kuwa amekuwa anapelekewa umbea na watu kuwa sekretariet imechoka na inapaswa toswe yote. Wakati mwenyekiti akijua jinsi sekretarit hiyo ilivyofanya kazi ya ziada kuhakisha ushindi wa chama chao.

      Hata hivyo habari zinasema baadhi ya wanasekretariet hasa makamba na chiligati wanaona upepo huo huenda ukawakumba hivyo nayenyewe wamejipanga kuhakikisha wataweka waridhi wanaowataka wao ndiyo waitiongoza sekretariet hiyo.

      Dua la kuku halimpati mwewe........

    10. #8
      kilolambwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 377
      Rep Power : 572
      Likes Received
      69
      Likes Given
      67

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Watagawana fito muda si mrefu
      furahi likes this.

    11. #9
      Katavi's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 31st August 2009
      Location : Lyamba Lya Mfipa
      Posts : 19,652
      Rep Power : 16779
      Likes Received
      2519
      Likes Given
      1941

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Quote By HM Hafif
      Dua la kuku halimpati mwewe........
      Sikio la kufa halisikii dawa.........

    12. #10
      TUKUTUKU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Location : KIPALAPALA TU
      Posts : 8,379
      Rep Power : 2116
      Likes Received
      1739
      Likes Given
      682

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Mimi naomba mungu kife kabisa kwa kuwa kimeshafanya dhuruma ya kutosha kwa watanzania!!

    13. #11
      HM Hafif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2009
      Posts : 1,372
      Rep Power : 771
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Quote By TUKUTUKU
      Mimi naomba mungu kife kabisa kwa kuwa kimeshafanya dhuruma ya kutosha kwa watanzania!!
      Kila mchuma majanga basi hula na wakwao. Hakifi ng'o

    14. #12
      Lole Gwakisa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2008
      Posts : 2,959
      Rep Power : 1133
      Likes Received
      462
      Likes Given
      330

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Quote By KURUNZI
      Kuna tetesi nilizipata jana kuwa hali si nzuri sana kati ya mwenyeki ti na sekretarit ya ccm . Habari hizo ambazo bado ni tetesi zinasema kuwa inaonekana mwenyekiti anampango wa kuwatosa wanasekretariet hao na kuweka watu wake ambao anauhakika hata akiondoka atakiacha chama katika hali nzuri. Na amekuwa akiwatumia baadhi ya wajumbe wa nec katika mpango wake huo bila kuwashirikisha sekretariet hali iliyopeleke Wanasekretariet hao hasa makamba wakimlaumu mwenyekiti kuwa amekuwa anapelekewa umbea na watu kuwa sekretariet imechoka na inapaswa toswe yote. Wakati mwenyekiti akijua jinsi sekretarit hiyo ilivyofanya kazi ya ziada kuhakisha ushindi wa chama chao.

      Hata hivyo habari zinasema baadhi ya wanasekretariet hasa makamba na chiligati wanaona upepo huo huenda ukawakumba hivyo nayenyewe wamejipanga kuhakikisha wataweka waridhi wanaowataka wao ndiyo waitiongoza sekretariet hiyo.
      Mkuu Kurunzi, naona habari zako ni za udaku.
      Udaku kwa maana ya yale niliyohighlight kwa wino mwekundu.
      Makamba kwa taarifa zilizo wazi ndiye kinara wa kukikoroga chama na kukididimiza hata JK kupata matokeo ya chini kabisa kuliko marais waliopita.Siyo siri vile vile kuwa Sektreteriat chini ya Makamba ina utendaji hafifu na usio wa kisomi kuliko wakati mwingine wowote.
      Mkuu Kurunzi unajikoroga vile vile unaposema Makamba na Chiligati watateua wardhi(warithi?) wao katika sekretariet!!!
      Nafikiri hizo ndo nasema habari za udaku maana nitakuuliza ni kwa ubavu gani walio nao?
      Yours faithfully!

    15. #13
      Nyunyu's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 9th March 2009
      Location : Here.
      Posts : 3,349
      Rep Power : 2044
      Likes Received
      465
      Likes Given
      2749

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Quote By Lole Gwakisa
      Mkuu Kurunzi, naona habari zako ni za udaku.
      Udaku kwa maana ya yale niliyohighlight kwa wino mwekundu.
      Makamba kwa taarifa zilizo wazi ndiye kinara wa kukikoroga chama na kukididimiza hata JK kupata matokeo ya chini kabisa kuliko marais waliopita.Siyo siri vile vile kuwa Sektreteriat chini ya Makamba ina utendaji hafifu na usio wa kisomi kuliko wakati mwingine wowote.
      Mkuu Kurunzi unajikoroga vile vile unaposema Makamba na Chiligati watateua wardhi(warithi?) wao katika sekretariet!!!
      Nafikiri hizo ndo nasema habari za udaku maana nitakuuliza ni kwa ubavu gani walio nao?
      Ni udaku mtupu mkuu I second you.
      There is no such a thing as part freedom- Nelson Mandela

      e-mail: [email protected]

    16. #14
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,516
      Rep Power : 19751
      Likes Received
      5449
      Likes Given
      3641

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Quote By Nyunyu
      Ni udaku mtupu mkuu I second you.
      Mkuu hapo kwenye RED hebu fanya editing tukuelewe, nimefunguwa mpaka kamusi sijakuelewa bado.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    17. #15
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 835
      Likes Received
      107
      Likes Given
      67

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Safi sana waache watafunane wenyewe kwa wenyewe!~!!!!!!!!!!!!!!!! GOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOOD! I LIKE THAT!

    18. #16
      Mpui Lyazumbi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Location : Matemanga to Tunduru
      Posts : 1,364
      Rep Power : 719
      Likes Received
      156
      Likes Given
      67

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Nimesimama kwenye kona ya uhuru na msimbazi.

    19. #17
      Magogwajr's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Behind u
      Posts : 221
      Rep Power : 480
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Na bado watafarakana sana tu hadi wengine watahama nyie subirini mtaona mambo mengi sana

    20. #18
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,432
      Rep Power : 1384
      Likes Received
      596
      Likes Given
      405

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      who are the secretarieti?
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    21. #19
      punainen-red's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2010
      Posts : 1,737
      Rep Power : 854
      Likes Received
      390
      Likes Given
      19

      Default

      Quote By mpui lyazumbi
      nimesimama kwenye kona ya uhuru na msimbazi.
      endelea kusimama hapo hapo nikupige picha!!!!!! Haa haa haaaaa!!!!!!

    22. #20
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,382
      Rep Power : 12713
      Likes Received
      2194
      Likes Given
      1820

      Default Re: Katika kuelekea kujivua gamba hali ya hewa ndani ya CCM SI SHWARI

      Makamba ndiyo mchawi halisi wa CCM, JK hilo analitambua lakini sijui nini kinamfanya kusita kuchukua hatua. Lakini angalizo langu mimi ni CCM kusoma alama za nyakati.


    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 6
      Last Post: 11th July 2011, 22:47
    2. Kujivua gamba kwa ccm katika falsafa ya kiafrika
      By Kiokote in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 2nd June 2011, 10:25
    3. Siri iliyojificha katika kujivua gamba
      By chibidula in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 16
      Last Post: 28th May 2011, 07:22
    4. Replies: 0
      Last Post: 30th April 2011, 21:34

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...