Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

    Report Post
    Page 19 of 22 FirstFirst ... 91718192021 ... LastLast
    Results 361 to 380 of 427
    1. #1
      Lunyungu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th August 2006
      Location : Malampaka
      Posts : 8,002
      Rep Power : 2557
      Likes Received
      781
      Likes Given
      28

      Question Vyama vya Siasa na Matawi ya Ughaibuni

      Ninataka kujua sheria inasemaje juu ya CCM kuwa na Tawi London!

      Ni baada ya kuona watanzania tunazidi kugawanyika kwa kiasi kikubwa kisa ni vyama na si maslahi ya Tanzania nimeamua kuchukua hatua za makusudi za kutaka kuijua sheria ya Uingereza inasemaje juu ya kuanzishwa kwa vyama siasa au kuwa na matawi nchini humo.

      Nimeshangazwa sana na hatua ya mumewe balozi kuwa kiongozi wa tawi wakati wakijua kabisa kwamba mkewe ni Balozi wa Watanzania wa vyama vyote na wasio kuwa na vyama .Hii ni hatari sana maan nimesha ona matamko hapa kwmaba hata baadhi wanataka kuanza kususia mambo ya TA UK kwa kuwa yana baraka za kisiasa.

      Viongozi wote wa TA UK ni wana CCM lakini wanasahau kwamba walichaguliwa na watanzania wote. Kwa habari hii leo balozi atakuwa na wakati mgumu maana tutaanza kumshuku kwa kuwa mumewe ndiyo kinara wa CCM na hatuwezi kusema kwamba wana tofauti hapana .

      Mimi naomba msaada wenu pamoja na kwamba nimeanza kuandikia mambo ya Nje ya UK nitawapa na anuani za ofisi hizo na mamlaka zingine waweze kutueleza kama ni haki kuwa na Chama cha Siasa rasmi kama ilivyo CCM.

      Watu najua mtasema CUF lakini CUF ni wapenzi tu ambao wana mshikamano. Hawana matawi wala nini na ni wa kimbizi baada ya serikali yetu ya CCM kumwaga damu kule Zanzibar.

      Napinga kitendo cha bwana Majaliwa Sharif kuwa kiongozi wa CCM wakati mkewe ni Balozi tutashindwa kuuamini Ubalozi na kufika kusaidiwa na ni vyema watu wa Ubalozini kujitenga na Siasa za aina yeyote wawapo on duty. Mumewe balozi ni kiungi kikubwa hatuwezi kusema tu kwamba si balozi na hafanyi kazi Ubalozini lakini influency je ?

    2. FemaTV & Radio

    3. #361
      Jekyll+Hyde's Avatar
      Member Array
      Join Date : 23rd July 2009
      Posts : 41
      Rep Power : 508
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Ufunguzi wa matawi ya CCM ughaibuni, je Taifa letu linapata faida gani?

      Quote By Maria Roza
      Mie nadhani hawajiamini na maisha yao, hivi mfano unakazi au unasoma utaweza kupata muda wa kuhudhuria upuuzi huu??? mhh asilimia kubwa ya hao watu ni chadirishani:D:D
      Kama una muda wa kwenda shopping, kanisani, msikitini, ama kwenda pub/bar na sehemu zingine za starehe wakati unakazi au unasoma utaweza pia kupata muda wa kuhudhuria vikao ama shughuli za ccm
      "It's such a fine line between a good man and a bad"

    4. #362
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Ufunguzi wa matawi ya CCM ughaibuni, je Taifa letu linapata faida gani?

      Quote By mmakonde
      Hata walioko Italy wamefungua !Lakini kama kuna mtu anajua mambo ya Italy,especially ya immigrant wa kiafrika walioko huko,tuliotembea tunajua .
      CCM itakuja kuadhirika na watu hawa ,wengi wana history mbaya.
      Mwenye macho haambiwi ona mkuu! Watayaona mbele ya safari baada ya kukusanya kila wanalotaka kukusanya hata kama ni mabomu ya kutegwa
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    5. #363
      MmasaiHalisi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th January 2009
      Posts : 175
      Rep Power : 562
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Matawi ya ccm ughaibuni

      Napenda kuchukua fursa hii kuwaulizeni wanajamii kuibuka hivi karibuni kwa matawi ya CCM huko Ughaibuni e.g,Moscow,Italy,Germany,UK,US A,je kuwa na mtawi huko kuna tija gani kwa Taifa au nini malengo hasa,mbona vyama vya huko havina matawi Tanzania?

    6. #364
      Kamongo's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 20th March 2009
      Posts : 206
      Rep Power : 559
      Likes Received
      10
      Likes Given
      0

      Default Re: Matawi ya ccm ughaibuni

      hao wanaoanzisha matawi huko wanajipendekeza, waendelee kuosha vyombo ulaya, wapuzi

    7. #365
      Paul Kijoka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th October 2010
      Location : KIMARA, DAR
      Posts : 1,337
      Rep Power : 701
      Likes Received
      226
      Likes Given
      172

      Default Re: Matawi ya ccm ughaibuni

      Hao ni aidha Misukule (Mazuzu) au wanafaidika na ubaya ubaya wa CCM kwa taifa letu. Wametelekeza ndugu zao na ni walamba miguu ya MAFISADI.

    8. Miaka 50

    9. #366
      SONGOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : umasaini
      Posts : 136
      Rep Power : 390
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      wakuu labda mnisaidie!kuna umuhimu gani wa chama pinzani kuanza kufungua matawi nje ya nchi wakati kuna baadhi ya maeneo ndani ya nchi hii hawajayafikia, ukizingatia watanzania wengi nje ya nchi hawaji kupiga kura wakati wa uchaguzi,na hatuna mfumo wa ON LINE VOTING?? inanitatiza sana hii

    10. #367
      JingalaFalsafa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Location : Africa.
      Posts : 336
      Rep Power : 425
      Likes Received
      211
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By SONGOKA
      wakuu labda mnisaidie!kuna umuhimu gani wa chama pinzani kuanza kufungua matawi nje ya nchi wakati kuna baadhi ya maeneo ndani ya nchi hii hawajayafikia, ukizingatia watanzania wengi nje ya nchi hawaji kupiga kura wakati wa uchaguzi,na hatuna mfumo wa ON LINE VOTING?? inanitatiza sana hii
      Kwa jukwaa hili, subiri matusi, lakini isikutishe, ni bora kupuuzwa na wajinga 1000mil. ila ukaungwa mkono na mwerevu mmoja!

      ........Kwanini tufuge paka tutarajie kula mayai?
      Si tumetaka Demokrasia, wanaojifanya wajanja ndio hao wanaitumia! Walianza ccm, nccr, cuf, cdm, na upuuzi mwingine kama huo! Ukishangaa ya Musa, utaona ya Firauni! Ndio hayo.
      Ila tukithubutu tunaweza, Mungu wetu anaita!

    11. #368
      SONGOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : umasaini
      Posts : 136
      Rep Power : 390
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      Quote By JingalaFalsafa
      Kwa jukwaa hili, subiri matusi, lakini isikutishe, ni bora kupuuzwa na wajinga 1000mil. ila ukaungwa mkono na mwerevu mmoja!

      ........Kwanini tufuge paka tutarajie kula mayai?
      Si tumetaka Demokrasia, wanaojifanya wajanja ndio hao wanaitumia! Walianza ccm, nccr, cuf, cdm, na upuuzi mwingine kama huo! Ukishangaa ya Musa, utaona ya Firauni! Ndio hayo.
      Ila tukithubutu tunaweza, Mungu wetu anaita!
      apo nafikiri bado nashangaa ya MUSA mkuu...

    12. #369
      Power G's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 20th April 2011
      Location : Msoga Kijijini
      Posts : 2,406
      Rep Power : 991
      Likes Received
      773
      Likes Given
      259

      Default Re: vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      Kwa mawazo yako ni kwamba watanzania walio nje ya nchi hawana haki kushiriki siasa za nchi yao, siyo?
      TANZANIA ITAJENGWA NA WENYE MOYO NA KULIWA NA WENYE MENO KAMA AKINA EL, JK, EC na RA

    13. MKL
      #370
      MKL's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd March 2012
      Posts : 96
      Rep Power : 541
      Likes Received
      62
      Likes Given
      6

      Default Re: vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      Quote By SONGOKA
      wakuu labda mnisaidie!kuna umuhimu gani wa chama pinzani kuanza kufungua matawi nje ya nchi wakati kuna baadhi ya maeneo ndani ya nchi hii hawajayafikia, ukizingatia watanzania wengi nje ya nchi hawaji kupiga kura wakati wa uchaguzi,na hatuna mfumo wa ON LINE VOTING?? inanitatiza sana hii
      Kuna hisi kuwa chama kikiwa na matawi nje ya nchi chaweza kuvuna hela toka kwa wanachama wake walioko huko kwa kukichangia, si hivyo tuu lakini Viongozi wetu wanaopenda kusafiri kila uchao wanapenda kila nchi ambayo wanamaslahi nayo kiuchumi (kule wanakofichia hela wanazoiba hapa home) wanajitahidi waweke kama si watoto wao basi ni vimada wao, kama umewahi kufatilia sana utagundua mara nyingi wanaofungua matawi ya vyama hivi huko ughaibuni ni wale wanaojifanya wanasoma hasa Masters na wengi wao kama si watoto wa mafisadi walioko home basi ni vimada wao (MADEMU) wao au ni wale wale wanaonufaika na mfumo wa kijizi uliopo hapa home.

      Na Maafisadi wetu huwa hawaishi kutembelea nchi hizo mara kwa mara, nikupe kesi moja tuu ya VICK Kamata (mbunge Viti maalumu Geita) kwanza alikuwa ni demu wa gamba ingawa naye alikuwa ni kiruka njia lakini labda sura ilimuuza, baada ya kumaliza saut alipelekwa kusoma Ungereza na alipokuwa huko alikuwa ni mmoja wa viongozi wa chama cha baba na mama al maarufu Gamba, baadda ya kumaliza alipwa kazi ya kuwa afisa mahusiano BOT na sasa ni "KITU MAALUMU" mjengoni namtolea mfano kwa sababu namfahamu toka akiwa SAUT alikuwa ni kimada wa niliowataja awali. mwenye mfano mwingineamwage najua ipo...

    14. #371
      SONGOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : umasaini
      Posts : 136
      Rep Power : 390
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      Quote By Power
      Kwa mawazo yako ni kwamba watanzania walio nje ya nchi hawana haki kushiriki siasa za nchi yao, siyo?
      mkuu nadhani hujanielewa tu, nachoomba kujua ni umuhimu wa huo ushiriki uko nje wakati hatujawafikia wengi waliomo humu ndani(tz)

    15. #372
      OSOKONI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th October 2011
      Posts : 3,607
      Rep Power : 1104
      Likes Received
      997
      Likes Given
      751

      Default Re: vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      ni show za kijinga tu! mbona vyama vya nje hatuoni matawi yake hapa kwetu?
      Narrow minded people discuss people,common minded people discuss events great minded people discuss ideas!!!

    16. #373
      kichomiz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 4,053
      Rep Power : 1231
      Likes Received
      652
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By JingalaFalsafa
      Kwa jukwaa hili, subiri matusi, lakini isikutishe, ni bora kupuuzwa na wajinga 1000mil. ila ukaungwa mkono na mwerevu mmoja!

      ........Kwanini tufuge paka tutarajie kula mayai?
      Si tumetaka Demokrasia, wanaojifanya wajanja ndio hao wanaitumia! Walianza ccm, nccr, cuf, cdm, na upuuzi mwingine kama huo! Ukishangaa ya Musa, utaona ya Firauni! Ndio hayo.
      Ila tukithubutu tunaweza, Mungu wetu anaita!
      Sijui nisemeje?

    17. #374
      SONGOKA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th March 2012
      Location : umasaini
      Posts : 136
      Rep Power : 390
      Likes Received
      58
      Likes Given
      17

      Default Re: vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      Quote By OSOKONI
      ni show za kijinga tu! mbona vyama vya nje hatuoni matawi yake hapa kwetu?
      duh!kweli mkuu, nafikiri vyama vya india na china vingeongoza kwa matawi duniani!

    18. #375
      JingalaFalsafa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2012
      Location : Africa.
      Posts : 336
      Rep Power : 425
      Likes Received
      211
      Likes Given
      80

      Default

      Quote By SONGOKA
      apo nafikiri bado nashangaa ya MUSA mkuu...
      Tujiulize tu kwanza...
      Kunaweza kuwa na urafiki wowote mwema kati ya mtumwa na bwana wake?
      Au, sisi kama sisi tunaweza kupandikiza mamluki wetu ughaibuni? Je, wao kwetu?
      Kwani huko siko zinakopotelea mali zetu? Tuna uhakika gani kama hao watakaoongoza matawi nje hawawezi kununuliwa ili watuuze? Mbona waliopo hapa nchini tu wananunulika? Si tumewaona kwenye EPA, Richmond, nk.
      Utegemezi, Utegemezi, Utegemezi +Utumwa, Utumwa, Utumwa, zao la UNAFIKI NA ULAGHAI WA WANASIASA WETU!
      Mungu wetu anaita!

    19. #376
      chuki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2011
      Posts : 519
      Rep Power : 518
      Likes Received
      49
      Likes Given
      36

      Default Re: vyama vya siasa TZ na matawi ughaibuni

      Wanajaribu kufuta nyao!
      Hawataweza kabisa.
      CHADEMA NI FREEMASON.
      WAMEANZISHA MTANDAO WA KIGAIDI.

    20. #377
      vena's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th April 2011
      Location : Cienfuegos
      Posts : 315
      Rep Power : 473
      Likes Received
      33
      Likes Given
      10

      Default Kwanini matawi nje ya nchi?

      Wana forum na wataalamu wa siasa za bongo naombeni mnijuze hili swala manake sielewi, je kuna umuhimu gan wa vyama vya siasa kuwa na matawi nje ya nchi? Na je wanachama wanaweza kupiga kura wakiwa nje ya nchi? may be online voting?

      Hiv kuna nchi yeyote ya dunia ya kwanza ambayo vyama vyake vya siasa vina matawi nje ya nchi? (to be specific ni Africa)
      Richard and The Boss like this.
      VeNa's

    21. #378
      ZeMarcopolo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th May 2008
      Posts : 7,141
      Rep Power : 5028
      Likes Received
      2389
      Likes Given
      2216

      Default Re: Kwanini matawi nje ya nchi?

      Idea ya kuanzishwa kwa TANU ilitokea kwa watanganyika waliokuwa Burma. Waliporudi nyumbani jitihada zikaanza, vikazaliwa vyama vya awali and later TANU.
      Jasusi and Richard like this.
      "To greed, all nature is insufficient"

    22. #379
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,082
      Rep Power : 41561
      Likes Received
      5982
      Likes Given
      1051

      Default Re: Kwanini matawi nje ya nchi?

      Mie nami nimejiuliza sana swali hili, nikaona ufanisi wa matawi haya utakuwa mdogo kutokana na mazingira ya kuwa mbali na wananchi.

      Lakini pia nikatambua kwamba kukataa matawi ya vyama nje ya nchi ni kuwanyima Watanzania walio nje ya nchi haki yao ya kikatiba ya kujumuika kwa madhumuni ya pamoja ya kisiasa.

      Mbali na vyama kuwa ndani au nje ya nchi, kwa kuangalia majibizano ya sasa ya kisiasa, nimefikia wakati wa kujiuliza umuhimu wa vyama kabisa.
      Richard and ZeMarcopolo like this.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    23. #380
      Jasusi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th May 2006
      Posts : 10,612
      Rep Power : 2890
      Likes Received
      3826
      Likes Given
      12202

      Default Re: Kwanini matawi nje ya nchi?

      Quote By ZeMarcopolo
      Idea ya kuanzishwa kwa TANU ilitokea kwa watanganyika waliokuwa Burma. Waliporudi nyumbani jitihada zikaanza, vikazaliwa vyama vya awali and later TANU.
      Zemarcopolo,
      That is a good one. Halafu hakuna ubaya kila mahali walipo Watanzania kuji organize kuzungumzia masuala ya nyumbani na kutoa mchango wao kama utahitajika. Nakumbuka mwaka 1979 Mwalimu Nyerere pale London aliwahimiza wanafunzi kushiriki katika mijadala ya kusaidia kujenga nchi yao hata kama wako nje ya nchi. Akakumbushia kuwa hata yeye alipokuwa mwanafunzi alijitahidi kujielimisha juu ya nchi yake na kwa kukutana na Waafrika wengine kutoka diaspora akapata mwamko wa kuikomboa Tanzania.
      Richard likes this.

    24. Study Abroad
    Page 19 of 22 FirstFirst ... 91718192021 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Vyama vya upinzani matawi ya CCM ni hivi hapa!
      By MTWA in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 20
      Last Post: 28th October 2010, 09:03
    2. Replies: 22
      Last Post: 17th February 2009, 03:28
    3. Matawi ya CCM ndani ya vyama vya Upinzani
      By Kidatu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 39
      Last Post: 6th February 2009, 00:34
    4. Matawi ya juu!
      By Asha Abdala in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 2
      Last Post: 14th October 2007, 23:21

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...