Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 47
    1. #1
      apolycaripto's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Posts : 576
      Rep Power : 531
      Likes Received
      136
      Likes Given
      0

      Default Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
      wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
      Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

      peeeeeeopleeeees Power!

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Babu Lao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Location : Korokocho
      Posts : 2,019
      Rep Power : 837
      Likes Received
      133
      Likes Given
      69

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Mmmhhhh!!! akili za kuambiwa changanya na zako..........
      Tanzania inajengwa na wenye moyo na kuliwa na wenye meno, tuwang'oe meno walaji ili wenye moyo wasijekata tamaa ya kuijenga!!!!

    4. #3
      Uswe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 1,785
      Rep Power : 795
      Likes Received
      440
      Likes Given
      437

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Kufa kwa ajili ya mbowe na slaa hapana!

      .
      Nipo tayari kupigania demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli, uchumi bora, elimu nzuri, maisha bora kwa kila mTZ, lakini nife ili mboe achukue milioni tisini HAPANA!

    5. #4
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By Babu Lao
      Mmmhhhh!!! akili za kuambiwa changanya na zako..........
      acha woga babu lao, hata hivyo umenichekesha sana.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    6. #5
      ChiefmTz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th April 2008
      Posts : 1,478
      Rep Power : 862
      Likes Received
      109
      Likes Given
      36

      Default

      Quote By kapotolo
      acha woga babu lao, hata hivyo umenichekesha sana.
      Haya shime wanajf. Hii ndo fursa muhimu

    7. Miaka 50

    8. #6
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,200
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4194
      Likes Given
      636

      Default

      Quote By apolycaripto
      ,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe
      heee! Nifafanulie hapo kabla sijahairisha kuja.

    9. #7
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,718
      Rep Power : 22527
      Likes Received
      6374
      Likes Given
      2844

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Mjomba,

      Nakupongeza kwa wazo lako!

      Kama unamaanisha unachoandika, hili ni wazo la msingi kabisa!

      Kukaa nyuma ya keyboard tu na kuandika sentenso, productivity yake ni minimal.
      Kwa wale ambao watakuwa radhi kukusanyika, napendekeza yafuatayo YAFANYWE NA MLETA MADA!

      i. Weka hadharani agendA ZA KUSANYIKO lenu, maana wengine tunavutwa zaidi na agenda.

      ii. Anonimity iwe utilized at maximum...i mean Aidha watu watumie majina ya nyumbani, au waachane na
      agenda ya utambulisho kabisa.

      iii. Agenda ziwe result-Oriented, na si hadithi za kufurahishana...Kuna mambo mengi sana ambayo yapo kwenye uwezo wa wanaJF, yanayoweza kufanyiwa maamuzi ya bila kuvuta muda.

      iv. Kama tunaweza kukutana kwaajili ya starehe na kupongezana kwa wikiendi, kwanini tusiweze kukutana kwaajili ya yale tunayohubiri kila siku hapa majukwaani.


      Naunga mkono hoja!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    10. #8
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,718
      Rep Power : 22527
      Likes Received
      6374
      Likes Given
      2844

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By Uswe
      Kufa kwa ajili ya mbowe na slaa hapana!

      .

      Nipo tayari kupigania demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli, uchumi bora, elimu nzuri, maisha bora kwa kila mTZ, lakini nife ili mboe achukue milioni tisini HAPANA
      !
      .
      Utopian politician...Ni bora kuwa maiti kuliko kuwa na mawazo ya jinsi hii!...Bora kuwa mfu!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    11. #9
      Godwine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th January 2010
      Location : dar
      Posts : 1,317
      Rep Power : 742
      Likes Received
      217
      Likes Given
      124

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      nadhani wote tunapenda taifa letu zaidi ya vyama vya siasa na wana jf si wapenzi wa vyama zaidi ya taifa nadhani mboe. dr slaa na jk watapita lakini taifa litabaki kwa hiyo basi nadhani si vema watu wa jf wasikutane wakiwa na majibu ya kile wanachotaka kujadili cha msingi ni watu wataodhani wanaweza kukutana wakutane na kuzungumza juu ya mwenendo wa taifa na nini cha kufanya ili kuliwezesha taifa kuneemeka kutokana na rasilimali zake.
      napenda kueleza ya kuwa isifike wakati mawazo ya wanajf yakawa yanafanana kwani kutapoteza radha ya forum yenyewe kwani wengi tulio humu tunakuwepo kwa sababu ya kupata mawazo tofauti na si hitikadi za watu fulani
      Last edited by Godwine; 6th March 2011 at 19:14.

    12. #10
      Wambandwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2006
      Posts : 1,209
      Rep Power : 883
      Likes Received
      193
      Likes Given
      411

      Default

      Quote By apolycaripto
      Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
      wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
      Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

      peeeeeeopleeeees Power!
      You're Jf Seniour member with inducement from accross those two ways. Kuna watu wanavuta bangi pale!

    13. #11
      Quinty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2010
      Location : Ouagadougou
      Posts : 464
      Rep Power : 558
      Likes Received
      66
      Likes Given
      105

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Tuko pamoja kabisa
      Why...everybody wants to go to heaven, but nobody wants to die....?

    14. #12
      PakaJimmy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2009
      Posts : 14,718
      Rep Power : 22527
      Likes Received
      6374
      Likes Given
      2844

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By apolycaripto
      Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
      wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
      Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

      peeeeeeopleeeees Power!
      Hapo kwenye red naamini ulitaka kuandika aidha saa 3.30 za asubuhi, au saa9.30 za alasiri, lakini kwa hivyo ilivyo sasa haiko clear!..Weka sawa hilio....Uzungu huu unatuathiri, au msisitizo!
      "The only thing that walks back from the tomb with the mourners and refuses to be buried is the character of a man.
      What a man is, survives him... it can never be buried"
      (GENEKAI-Jamiiforums, 4th November 2010 07:32PM).
      [email protected]

    15. #13
      Butola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th January 2010
      Posts : 1,520
      Rep Power : 783
      Likes Received
      266
      Likes Given
      647

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By apolycaripto
      tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe!
      Ha ha ha haaaa!!

      Mie ntakuwa tayari kufa kwa ajili ya familia yangu, i, me and myself......ujamaa ulishakufa ati!!
      Last edited by Butola; 6th March 2011 at 19:15.

    16. #14
      TANMO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2008
      Location : Tanzagiza
      Posts : 5,046
      Rep Power : 7769
      Likes Received
      1808
      Likes Given
      3439

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By PakaJimmy
      .
      Utopian politician...Ni bora kuwa maiti kuliko kuwa na mawazo ya jinsi hii!...Bora kuwa mfu!
      Mkuu PJ Heshima mbele,

      Binafsi namuunga mkono Ndugu Uswe kutokana na ukweli kuwa mwanzisha mada amekusudia zaidi hili suala kuwa kichama. Tukumbuke kwamba hapa JF kuna members ambao siyo wana-CHADEMA lakini wanaunga mkono harakati za CHADEMA kutokana na ukweli kuwa zinagusa maslahi ya watanzania wote. Hivyo badala ya kumshambulia Ndugu hapo juu, tungeangalia namna ya kulitengeneza hili wazo ili lisiegemee chama chochote. Na kwa kuanza mwanzisha mada afute kauli yake ya Kufa kwa ajili ya Mbowe na Dr. Slaa badala yake iwe ni kwa ajili ya watazania wote wanaoteseka na mfumo mbovu wa Uongozi.

      Naomba kuwasilisha.
      Do Something......

    17. #15
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By apolycaripto
      Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
      wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
      Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

      peeeeeeopleeeees Power!
      Leo umekuwa mpenzi wa Chadema na kupongeza maandamano ya CDM you must be joking, endelea na mipango yako ila humpati mtu kwa njia hiyo, changanya na zako.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    18. #16
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1200
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By apolycaripto
      Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,..........

      tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

      peeeeeeopleeeees Power!
      Quote By apolycaripto
      Sikiliza bwana mdogo,nguvu ya umma huwa haiamshwi na wanasiasa kama wanavyofanya Slaa na kundi lake.Umma unapozidiwa usimama wenyewe na wanasiasa wakatokeza baadae.Hii ya CDM si nguvu ya umma ni Chama cha siasa katika uzushi ili kupata member wa kudhani watakifikisha ikulu baada ya ballot box kushindikana.Huu ni uchochezi na hakuna nguvu ya umma hapa dogo.
      Wewe ndiyo upo tayari kufa kwa ajili ya Slaa usifikiri unaandikia watoto wadogo, siku nyingine waza kwanza kabla ya kufikiri.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    19. #17
      Silas Haki's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 361
      Rep Power : 508
      Likes Received
      23
      Likes Given
      49

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By Uswe
      Kufa kwa ajili ya mbowe na slaa hapana!

      .
      Nipo tayari kupigania demokrasia ya kweli, uhuru wa kweli, uchumi bora, elimu nzuri, maisha bora kwa kila mTZ, lakini nife ili mboe achukue milioni tisini HAPANA!
      Acha kuwa mwoga wa kivuli chako, ni maisha bora gani unayoyapigania kwenye meli yenu ya CCM ambayo nahodha wake ni mafisadi?
      “Samaki ana nguvu akiwa majini, si vinginevyo, ...” Mnauye

    20. #18
      komedi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th March 2011
      Location : Darfur
      Posts : 205
      Rep Power : 457
      Likes Received
      10
      Likes Given
      22

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      Quote By apolycaripto
      Baada ya kufanya tathmini,tumebaini member wa Chadema ni wakutosha humu janvini,wana mapenzi bora yaliyotukuka kwa chama na wako tayari kufa ama kuona damu inamwagika ili ukombozi upatikane kwa maana ya CCM kung'ooka.Tumekuwa tukiwapa moyo
      wapiganaji wenzetu Arusha na haya maandamano ya kanda ya Ziwa.
      Tukiwa great thinkers na kama sehemu muhimu katika hizi movement,sasa badala ya wapenzi wetu kutusoma tu,tumeona ni wakati muafaka na sisi kukutana na kutoa tamko rasmi siku ya tarehe 9/3/2011 saa 9.30 Asub Ubungo Plaza ambapo mkutano huu utakuwa na coverage ya kutosha .Kufanya hivi kutaongeza na kukuza imani kubwa kwa Watanzania kuwa tupo pamoja nao na kweli ni wapiganaji wa kweli,tupo tayari kufa kwa sababu ya Dr. Slaa na Freeman Mbowe na wala wasidhani kuwa sisi ni waoga na watoa sauti nyuma ya pazia.

      peeeeeeopleeeees Power!
      Naomba uniuzie hii komedi. Nikiifanyia editing kidogo tu inalipa.

    21. #19
      Husninyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 17,200
      Rep Power : 24908
      Likes Received
      4194
      Likes Given
      636

      Default

      Quote By Quinty
      Tuko pamoja kabisa
      katika lipi?

    22. #20
      Smarty's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th February 2011
      Posts : 579
      Rep Power : 532
      Likes Received
      141
      Likes Given
      69

      Default Re: Wito wa kikao kwa WanaJf Ubungo Plaza

      duh mkutano huo utakuwa wa ukwe-e. Ila itapendeza kama moja ya ajenda itakuwa juu ya kupunguza mapato(mavuno) ya wabuge wetu. Million 12 kwa mwezi sawa na Tsh laki nne kwa siku. Juzi kati wamepewa million 90 mkopo ambazo ukigawa kwa mwaka ni million 18, anafanya kazi gani itakayomuwezesha kurudisha mkp huo ndani ya miaka 5?. Akiacha ubunge analipwa kiinua mgng million 60. Ha ha ha ha mbowe unawapenda wtz kweli mbona hujakataa hela hiyo kaka?? Ongeza ya kwako,....

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Kongamano la katiba mpyandani ya ubungo plaza
      By TUNTEMEKE in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 20th July 2011, 08:09
    2. JK na Wajumbe wa Nyumba Kumi Ubungo Plaza
      By Sooth in forum Jamii Photos
      Replies: 19
      Last Post: 11th July 2011, 16:19
    3. Wizi-vodafone m-pesa ubungo plaza
      By Manyanza in forum Business & Economic Forum
      Replies: 26
      Last Post: 1st June 2011, 16:22
    4. UwT, UvCCM na wanafunzi Ubungo Plaza kulikoni?
      By Kiroroma in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 5
      Last Post: 30th April 2010, 06:18
    5. Raisi kikwete anaozesha ubungo plaza kimyakimya!!
      By Pdidy in forum Mahusiano, mapenzi, urafiki
      Replies: 13
      Last Post: 27th August 2008, 10:17

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...