Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mbarali Kwafukuta

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 27 of 27
    1. #1
      coby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2008
      Posts : 339
      Rep Power : 601
      Likes Received
      35
      Likes Given
      40

      Default Mbarali Kwafukuta

      Nimepigiwa simu na rafiki yangu ambaye yupo Mbeya Wilaya ya Mbarali kuwa vikosi vya FFU vimepiga kambi kule baada ya wananchi kuzuia mwekezaji wa mashamba ya mpunga (NAFCO) kuondoa machine ya kukoboa mpunga iliyokuwepo pale shirikani muda mrefu. Wananchi wanadai ni mwekezaji ni wa muda tu na kila kitu amekikuta na hakuna kuondoka na kitu na wamefunga barabara toka jana hali iliyofanya polisi wa wilayani hapo kuomba msaada wa polisi zaidi kutoka makao makuu ya mkoa ambao wamemwagwa leo pale wakiwa full na bendera nyekungu mikononi.

      Inasemekana yamepigwa baadhi ya mabomu ya machozi na kuwakamata baadhi ya viongozi wa wananchi jambo ambalo limeamsha hasira za wananchi hao na sasa wanasema wanalitaka shamba lote lililochukuliwa na mwekezaji huyo. wanadai hakuna kulala hadi hadi haki itendeke.

      Mwenye habari zaidi tafadhari tumwagie.

      Source: Eye witness
      CHANGE must Come

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Tiba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2008
      Posts : 1,708
      Rep Power : 895
      Likes Received
      399
      Likes Given
      497

      Default Re: Mbarali Kwafukuta

      Quote By Jeykey
      leta uzibitisho sio ushabiki na udaku

      mimi niko huku hakuna kitu cha namna hiyo
      Uzuri wako ni kwamba matukio mengi yanayotokea na kuripotiwa hapa, wewe unapinga na kudai uko sehemu hiyo!!!! Hii inakuwaje wewe upo kila mahali?

      Very interesting!!!!

      Tiba

    4. #22
      coby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2008
      Posts : 339
      Rep Power : 601
      Likes Received
      35
      Likes Given
      40

      Default Re: Mbarali Kwafukuta

      Nimepokea taarifa nyingine kuwa FFU wamechemka kuwatawanya wananchi ambao wamefunga barabara kuu inayounganisha makao makuu ya wilaya (Rujewa) na Mbarali rice farms katika mji mdogo maarufu uitwao Ubaruku. Polisi wamerudi kituo kikubwa cha wilaya cha polisi mjini Rujewa, sijui wanakusanya nguvu au vipi. Mtoa taarifa anasema watu wamekusudia kuyarejesha mashamba mikononi mwa wananchi kwa nguvu kwani wansemezana "kama misri na Libya".
      Source: eye witness

    5. #23
      coby's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th November 2008
      Posts : 339
      Rep Power : 601
      Likes Received
      35
      Likes Given
      40

      Default

      Quote By Tiba
      Uzuri wako ni kwamba matukio mengi yanayotokea na kuripotiwa hapa, wewe unapinga na kudai uko sehemu hiyo!!!! Hii inakuwaje wewe upo kila mahali?

      Very interesting!!!!

      Tiba
      Achana naye unaweza ukajikuta unajibizana na mr. Ibilisi ndio maana mi nimempotezea

    6. #24
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,248
      Rep Power : 1541
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default

      Quote By Jeykey
      mimi niko mbarali hakuna kitu cha namna hiyo
      hatudanganyiki na ujinga wako fisadi we.

    7. #25
      Mwamatandala's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th July 2009
      Posts : 42
      Rep Power : 509
      Likes Received
      3
      Likes Given
      3

      Default

      Mbarali ni nyumbani kwetu,hivyo tunasikia mambo hayaendi sawa,ni lazima tuhoji na kudadisi ili tujue ukweli wa mambo.na kama ni kweli kwamba kuna hali tete inayohusisha suala la shamba lililokodishwa kwa mwekezaji,basi hapo kuna tatizo tena tatizo kubwa.na kama serikali yetu ni sikivu,basi tunatarajia itaheshimu matakwa na wananchi.

    8. Miaka 50

    9. #26
      gidytitus's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th October 2010
      Posts : 296
      Rep Power : 497
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By coby
      Nimepigiwa simu na rafiki yangu ambaye yupo Mbeya Wilaya ya Mbarali kuwa vikosi vya FFU vimepiga kambi kule baada ya wananchi kuzuia mwekezaji wa mashamba ya mpunga (NAFCO) kuondoa machine ya kukoboa mpunga iliyokuwepo pale shirikani muda mrefu. Wananchi wanadai ni mwekezaji ni wa muda tu na kila kitu amekikuta na hakuna kuondoka na kitu na wamefunga barabara toka jana hali iliyofanya polisi wa wilayani hapo kuomba msaada wa polisi zaidi kutoka makao makuu ya mkoa ambao wamemwagwa leo pale wakiwa full na bendera nyekungu mikononi.

      Inasemekana yamepigwa baadhi ya mabomu ya machozi na kuwakamata baadhi ya viongozi wa wananchi jambo ambalo limeamsha hasira za wananchi hao na sasa wanasema wanalitaka shamba lote lililochukuliwa na mwekezaji huyo. wanadai hakuna kulala hadi hadi haki itendeke.

      Mwenye habari zaidi tafadhari tumwagie.

      Source: Eye witness
      Ndiyo ni haki yenu hakikshen wanachukua ilo shamba. Haya na hapo vp CDM wamechochea mana cxx ndo zao kutulalamikia. Iyo ndo kaz ya pipoz power!

    10. #27
      Bulesi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th May 2008
      Posts : 3,347
      Rep Power : 1241
      Likes Received
      344
      Likes Given
      73

      Default Re: Mbarali Kwafukuta

      Quote By Vincent Augustino
      Tokea achukue hilo shamba amewekeza kiasi gani? Kwa nini anawakodishia wananchi shamba wakati amepewa ili alilime kibiashara?
      Wananchi wa Mbarali wana kila sababu ya kumfanya huyo muwekezaji alikimbie hilo shamba kwani ardhi hiyo ilikuwa yao kabla ya kuipa serikali enzi za Nyerere kufungua mashamba ya serikali chini ya NAFCO; ilikuwa busara baada ya sera za nchi kubadilika serikali ilitakiwa kuwarudushia wananchi ardhi yao ili waendelee kulima mpunga badala ya kumuuzia huyo muhindi kwa bei ya kutupa!! Nawaunga mkono wananchi wa Mbarali kwa kudai kile lilicho chao!! ALUTA CONTINUA!!

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    Similar Topics

    1. Mbunge wa CCM Mbarali Kizimbani
      By Mwanaukweli in forum JF Chit-Chat
      Replies: 7
      Last Post: 14th October 2011, 00:44
    2. CCM kwafukuta.... Majeraha ya chaguzi hayatibiki!
      By Rutashubanyuma in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 7
      Last Post: 14th December 2010, 06:02
    3. UVCCM kwafukuta
      By Luteni in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 9
      Last Post: 20th May 2010, 18:03
    4. Kwa Madiba nako kwafukuta na ufisadi.
      By Indume Yene in forum International Forum
      Replies: 0
      Last Post: 7th January 2009, 06:30
    5. ATC kwafukuta sakata la mahujaji
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 14th January 2008, 13:12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...