Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: C.C.M tukiri udhaifu!!

    Report Post
    Page 3 of 3 FirstFirst 123
    Results 41 to 50 of 50
    1. #1
      Mwana CCM.'s Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th January 2011
      Posts : 83
      Rep Power : 441
      Likes Received
      9
      Likes Given
      13

      Default C.C.M tukiri udhaifu!!

      Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

      Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.

    2. Miaka 50

    3. #41
      Ngandema Bwila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 680
      Rep Power : 578
      Likes Received
      115
      Likes Given
      2

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      WW Mwana CCM, jina lako ndio hapa jamvini ni moja ya kileo kinacho walevya hao mafisadi. Wakiona jina lako wanajipa moyo kuwa pamoja na upuuzi wao bado kuna watu wajiita mwana CCM. Ruzuku imepungua sijui kama mwezi ulipita kuna senti ilikuja kwako. Soma alama, achana nao changia mabadiriko.

    4. #42
      Kashaijabutege's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 20th October 2010
      Location : Kabuteigi
      Posts : 1,918
      Rep Power : 823
      Likes Received
      371
      Likes Given
      241

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      Quote By Mwana CCM.
      Mimi ni mwanachama wa C.C.M, na kiongozi ndani ya Chama katika ngazi ya Wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, Malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya Taifa kuhusiana na maandamano ya CHDEMA yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? na wanawaambia nini wananchi? kuna ukweli ndani yake? kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

      Msema kweli ni mpenzi wa Mungu.
      Huyu hajajua ofisi za CHADEMA zilipo. Kichwa kama hiki hakifai ndani ya CCM.
      NAKUSHUKURU MUNGU KWA KUIADHIBU CCM MCHANA KWEUPE, BABA NINAKUOMBA UZIDI KUWAUMBUA, KWA KUYAWEKA WAZI MCHANA WANAYOYAFANYA USIKU. OMBI KWA MUNGU: MUNGU WEWE NI MWEZA WA YOTE, NA SIKU ZOTE UNAYASIKILIZA MAOMBI YA WAKUCHAO, NAKUOMBA UKAFUNGE NGUVU ZA GIZA ZINAZOINYEMELEA M4C; NA UVUNJE MIPANGO YOTE YA MASHETANI WALIOPO NDANI YA CHADEMA. AMINA

    5. #43
      kweleakwelea's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th November 2010
      Posts : 1,301
      Rep Power : 706
      Likes Received
      237
      Likes Given
      496

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      msimlaumu...wako wengi wanaoteseka sana na hakuna wa kuwasikiliza hasa baada ya kuuza chama kwa matajiri.....

      cha msingi, kama uko kwa kuwahudumia umma, hama chama...chama cha sisiemu si mama yako wala baba yako...alisema nyerere itakuwa wewe?

      karibu sana chadema!

    6. #44
      kilolambwani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd December 2010
      Posts : 377
      Rep Power : 571
      Likes Received
      68
      Likes Given
      67

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      CCM bajaji zetu vp? wake zetu wanahangaika kwenda kujifungua. Sisi na bajaji, wabunge na milioni 90. CCM Oyeeeeeeee!!!

    7. #45
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 835
      Likes Received
      107
      Likes Given
      67

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      Mwana CCM wewe una akili za ki utu uzima.....HAKIKA...wewe ......SI .....FISADI...I'm SUre

    8. RukaaJuu Final

    9. #46
      Raia Fulani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th March 2009
      Posts : 9,258
      Rep Power : 2624
      Likes Received
      1294
      Likes Given
      834

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      Ndugu mwana ccm inaonyesha ni jinsi gani ulivyo mdogo kimaadili kama kweli uko chamani. Tunatarajia kiongozi wa chama tumjue kwa matunda yake na si vingine. Hiyo avatar yako ni disqualification tosha! We utakuwa mpiga debe tu huko. Tutake radhi kwa kupoteza muda wetu
      Beware of a sucker punch

    10. #47
      Mvaa Tai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th August 2009
      Location : Ngudu, Mwanza
      Posts : 3,456
      Rep Power : 1189
      Likes Received
      1429
      Likes Given
      933

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      Quote By Raia Fulani
      Ndugu mwana ccm inaonyesha ni jinsi gani ulivyo mdogo kimaadili kama kweli uko chamani. Tunatarajia kiongozi wa chama tumjue kwa matunda yake na si vingine. Hiyo avatar yako ni disqualification tosha! We utakuwa mpiga debe tu huko. Tutake radhi kwa kupoteza muda wetu
      Mimi ni mpenzi wa Manchester, ninge mjibia hivyo
      Mnang'oa meno ya Tembo ili mukayauze, mnang'oa meno na Kucha za Watanzania wasio na hatia ili iweje?

    11. #48
      Kishili's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 241
      Rep Power : 481
      Likes Received
      34
      Likes Given
      21

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      Quote By elimumali
      Jamani haya maandamano ya CDM na maneno yanayotolewa kwenye mikutano ni uchochezi ili wananchi waichukie Serikali. Uchaguzi umefanyika miezi mitatu tu iliyopita. Si msubiri basi kidogo muone kasi zaidi na ari zaidi itatoa matunda gani? Viongozi ndio kwanza wamechaguliwa (Mawaziri, wabunge n.k.). Si muwape muda basi muone watafanya nini? Kama kuna makosa ndani ya Chama na Serikali ni dhahiri yameshaonekana, kwani wao wajinga kuendelea na makosa hayo? Naamini wako katika harakati za kuyarekebisha makosa na kutafuta ufumbuzi wa kuleta mabadiliko na maendeleo kwa wananchi na kuondoa kero. Hii mikutano sioni kama inalenga kuleta maendeleo, ni kuleta uvunjaji wa amani tu. Mimi sio mwanasiasa na siko upande wowote, lakini naipenda nchi yangu na napenda Amani. Tusimuandame Rais wetu na Serikali yetu kwa mambo ambayo yako katika mchakato wa kutekelezwa. Mabomu, umeme, ukali wa maisha n.k. vinatakiwa kutafutiwa ufumbuzi, sio kuandamana na kutoa lawama tu.
      Unajua wanatii maneno ambayo rais alikuwa akinena kuwa hivi vyama vya msimu, tumpongeze JK kwa kupata chama cha upnzani cha kudumu kisicho cha msimu, nae asiwe na presha maana kapata alichokuwa akiota siku za nyuma sasa hatasema tena kuwa achaneni na vyama vya musimu

    12. #49
      mageuzi1992's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th April 2010
      Posts : 1,856
      Rep Power : 835
      Likes Received
      107
      Likes Given
      67

      Default Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      Heri wewe uliyekiri udhaifu wenzako wanafisadua tu!

    13. #50
      Jiwe Linaloishi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th May 2008
      Location : Mlimani
      Posts : 3,106
      Rep Power : 17238
      Likes Received
      1622
      Likes Given
      1122

      Unhappy Re: C.C.M tukiri udhaifu!!

      Quote By mwana ccm.
      mimi ni mwanachama wa c.c.m, na kiongozi ndani ya chama katika ngazi ya wilaya lakini kwa mara ya kwanza nalazimika kusema ukweli, malalamiko ya viongozi wetu ngazi ya taifa kuhusiana na maandamano ya chdema yalenge katika ukweli, tujiulize hawa watu wanalaumu nini? Na wanawaambia nini wananchi? Kuna ukweli ndani yake? Kama hakuna ukweli kwa yale wanayoyasema tuwashitaki haraka iwezekanavyo, nahisi kama hatuwatendei haki kusema wana dhamira ya kumwaga damu, so far sijaona kosa walilofanya na ndo maana hawajapelekwa mahakamani na wakapatikana na hatia hizo, unajua kwa haya malalamiko yetu inaonyesha hatutaki changamoto za kweli na hatupendi vyama vya upinzani viwe strong. Nadhani sisi kama chama tuwe wa kweli wananchi wamechoka na maisha duni yanayozidi kuwa makali kila kukicha nadhani umefika wakati sasa viongozi wetu kutekeleza ilani zetu kwa vitendo na tusifanye siasa katika hili, tukiri katika utawala huu mambo yamekuwa tofauti sana ukilinganisha na vipindi vilivyopita kwa mfano itakuwa ni busara sana tukitumia muda mwingi kujibu maswali yanayoulizwa kwa mifano hai ya utekelezaji wa tuliyo waahidi kuliko kulaumu tu na umefika wakati sasa tuwe na ahadi chache na zinazotekelezeka ni hatari kuahidi maisha bora kwa kila mtu ilihari hata nchi tajiri zinapata changamoto kubwa sana kufikia hiyo hatua, tunatakiwa tujipange vinginevyo watatushinda kwa hoja mbele ya wananchi.

      msema kweli ni mpenzi wa mungu.
      sauti pweke nyikani
      SEMA UKWELI UMWAIBISHE SHETANI

    Page 3 of 3 FirstFirst 123

    Similar Topics

    1. Ni Ubaya Wa Lowassa Au Udhaifu Wa JK?
      By Panga La Shaba in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 35
      Last Post: 9th June 2011, 15:04
    2. Udhaifu wa viungo vya mwili
      By Yusuph Salehe in forum JF Doctor
      Replies: 5
      Last Post: 13th January 2011, 13:58
    3. Udhaifu wa CCM kisiasa
      By MchunguZI in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 30th November 2010, 13:54
    4. CCM inafurahia udhaifu wa watanzania
      By Masauni in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 5
      Last Post: 19th September 2010, 16:24
    5. Udhaifu na changamoto kwa wafanyakazi
      By Mtazamaji in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 16th August 2010, 18:08

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...