Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 23
    1. #1
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,122
      Rep Power : 6362
      Likes Received
      1479
      Likes Given
      412

      Default Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Kuna tetesi nimezipata kutokea kule Butiama nyumbani kwa muasisi wa taifa hili la bongo marehemu baba wa taifa Mwalimu Nyerere kua ile siku viongozi waandamizi wa chama cha demokrasi na maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na katibu wa chama hicho siku walikwenda kumtembelea mama Nyerere na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la baba wa taifa, kua familia ya hiyo wamejiunga na chama cha chadema kwa siri lakini wataweka wazi baadae kua wameachana na chama cha CCM! Jamani hii ni kweli?
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    2. Miaka 50

    3. #2
      Marytina's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 4,870
      Rep Power : 1429
      Likes Received
      888
      Likes Given
      274

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Familia hii kimatendo na kimawazo ipo chadema hata kama haijachukua kadi na kujitangaza rasmi.

    4. #3
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Habari hii ni ya kuyafikirika. Ingekuwa vizuri ungemuuliza alitekupa hii habari kabla ya kuweka hapa bandiko lako

    5. #4
      Ndallo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st October 2010
      Location : LaRusa
      Posts : 4,122
      Rep Power : 6362
      Likes Received
      1479
      Likes Given
      412

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Quote By Manyanza
      Habari hii ni ya kuyafikirika. Ingekuwa vizuri ungemuuliza alitekupa hii habari kabla ya kuweka hapa bandiko lako
      Lisemwalo lipo! Na kama halipo basi liko njiani mkuu!
      '' Mtu ni Utu sio Kitu''

    6. #5
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,823
      Rep Power : 808
      Likes Received
      518
      Likes Given
      8

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Quote By Ndallo
      Kuna tetesi nimezipata kutokea kule Butiama nyumbani kwa muasisi wa taifa hili la bongo marehemu baba wa taifa Mwalimu Nyerere kua ile siku viongozi waandamizi wa chama cha demokrasi na maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na katibu wa chama hicho siku walikwenda kumtembelea mama Nyerere na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la baba wa taifa, kua familia ya hiyo wamejiunga na chama cha chadema kwa siri lakini wataweka wazi baadae kua wameachana na chama cha CCM! Jamani hii ni kweli?
      Unataka ijiunge mara ngapi? wakati tayari kuna wabunge wawili wa CDM toka mwitongo family.Kinachofanyika kwa sasa ni kukazia mahusiano na mawasiliano tu

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      hmethod's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th February 2008
      Posts : 1,737
      Rep Power : 932
      Likes Received
      116
      Likes Given
      131

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Quote By Ndallo
      Lisemwalo lipo! Na kama halipo basi liko njiani mkuu!
      Ndallo habari yako bana...mi napita tu!
      Salus Populi Suprema Lex Esto

      Salva Veritate

    9. #7
      nyantella's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th December 2010
      Posts : 604
      Rep Power : 547
      Likes Received
      72
      Likes Given
      33

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Quote By Ndallo
      Kuna tetesi nimezipata kutokea kule Butiama nyumbani kwa muasisi wa taifa hili la bongo marehemu baba wa taifa Mwalimu Nyerere kua ile siku viongozi waandamizi wa chama cha demokrasi na maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na katibu wa chama hicho siku walikwenda kumtembelea mama Nyerere na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la baba wa taifa, kua familia ya hiyo wamejiunga na chama cha chadema kwa siri lakini wataweka wazi baadae kua wameachana na chama cha CCM! Jamani hii ni kweli?
      Jini halinyi Moto!!!!
      Power without Control is useless!!!!

    10. #8
      tzjamani's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th October 2010
      Posts : 999
      Rep Power : 645
      Likes Received
      25
      Likes Given
      96

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      watu wa CCM wengi wanaipenda CDM basi wanaogopa nguvu ya mafisadi... kimoyomoyo wanawaombea mafanikio CDM.
      Ukishakuwa against ufisadi=CCM
      The more anger towards the past you carry in your heart, the less capable you are of loving in the present- Barbara De Angelis

    11. #9
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,423
      Rep Power : 1382
      Likes Received
      592
      Likes Given
      405

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      siwezi kushangaa, maana hata mwalimu kabla hajafaa, kimawazo alishahamia CHADEMA nakumbuka aliwahi kuifagilia katiba ya CHADEMA.
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    12. #10
      DOUGLAS SALLU's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th November 2009
      Posts : 3,598
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      315
      Likes Given
      905

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Hivi unafikiri kura zaidi ya million 6 alizopata Dr. Slaa zilitoka kwa wana CDM peke yake?Watu wote wenye mapenzi mema na nchi hii na wasiopenda kufisadiwa waliichagua CDM ndiyo maana ------ na genge lake wakaiba kura kuficha aibu yao.

    13. #11
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,232
      Rep Power : 1293
      Likes Received
      1359
      Likes Given
      2656

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      mama maria namheshim sana ila hiyo gauni ya aliyovaa mmh!!najua anazuga ila asipofanya hivyo mafisadi wanaweza kukata mafao ya mwalimu yasimfikie,.na inaelekea mafisadi walimpa maelekezo ya kuivaa siku hiyo..

    14. #12
      AMARIDONG's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th June 2010
      Posts : 2,488
      Rep Power : 949
      Likes Received
      53
      Likes Given
      47

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      familia ya mwalimu haiwezi kupingana na mawazo ya mwalimu,baba wa taifa alikuwa kiroho na kiakili chadema hata kimwili sema kimdomo tuu ndio alikuwa anazungumza kama muasisi wa CCM ila macho yake,mikono na kila kitu including akili yake alikuwa mwana CDM
      ONLY WISE MAN CAN PLAY THE MELODY OF LIFE

    15. #13
      Iramusm's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2009
      Location : Bongo Darisalama
      Posts : 291
      Rep Power : 542
      Likes Received
      28
      Likes Given
      57

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Sasa wakijiunga kama familia watapewa kadi moja ya familia? Nadhani kila mtu ana uhuru wa kuchagua chama ndo mana kuna wabunge toka familia hiyio wako upinzani na wengine CCM. Hivyo huwezi kusema familia ile sasa hivi ni CCM au Chadema...which means pia haiwezi kuhama kama familia!
      Kuku hata akuwe vipi achinjwi kwa panga

    16. #14
      Lu-ma-ga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 1,823
      Rep Power : 808
      Likes Received
      518
      Likes Given
      8

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      CCM wameweka bayana kupitia mwenyekiti wao kuwa hawamtambui BABA WA TAIFA ila wanamtambua marehemu MZEE NYERERE. Unategemea familia iendelee kujikombo isikoheshimiwa????????? CDM tunaenzi waasisi

    17. #15
      Che Guevara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd May 2009
      Posts : 661
      Rep Power : 1046
      Likes Received
      70
      Likes Given
      21

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Baba wa Taifa alisema kuwa CCM si baba yake wala mama yake, kwamba si lazima awe CCM milele, ikibidi angeweza kutoka huko CCM.

      Sasa imeoza, kwanini watu wang'ang'anie huko kwa chama cha Rostam, Lowassa, Kikwete,Chenge na Makamba?

      Huko ndani ya CCM, watu makini wanapingwa vita na kudhoofishwa na mafisadi wakiungwa mkono na mwenyekiti wao Kikwete. Nani aliye makini atapenda uongozi wao wa sasa?

      Ila kama demokrasia ilivyo, kila mtu ana uhuru wa kuwa mwanachama wa chama cha siasa anachopenda, au kutokuwa mwanachama wa chama chochote. Makongoro yupo CCM, Vincent na Leticia wapo Chadema. Ni maamuzi binafsi.
      "You must be the change you want to see in the world" - Mahatma Gandhi (1869-1948)

    18. #16
      Vin Diesel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st March 2011
      Posts : 5,866
      Rep Power : 19947
      Likes Received
      2792
      Likes Given
      1615

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Quote By Ndallo
      Kuna tetesi nimezipata kutokea kule Butiama nyumbani kwa muasisi wa taifa hili la bongo marehemu baba wa taifa Mwalimu Nyerere kua ile siku viongozi waandamizi wa chama cha demokrasi na maendeleo (CHADEMA) wakiongozwa na katibu wa chama hicho siku walikwenda kumtembelea mama Nyerere na kuweka mashada ya maua kwenye kaburi la baba wa taifa, kua familia ya hiyo wamejiunga na chama cha chadema kwa siri lakini wataweka wazi baadae kua wameachana na chama cha CCM! Jamani hii ni kweli?
      nadhani hii ni tetesi tu mkuu maana kama hauna colour blindness utaona MAMA MARIA kavaa sare ya CCM.

    19. #17
      Codecola's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th February 2011
      Posts : 44
      Rep Power : 427
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Gauni la mama Maria linanikumbusha ule usemi wa matendo hukidhi haja kuliko maneno. Hata hivyo kila mwananchi ana utashi wake wa kisiasa, hili haliwabagui wa familia ya Nyerere aka JK original.
      Son, if you become wise, I will be very happy. I will be proud when I hear you speaking words of wisdom.

    20. #18
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,612
      Rep Power : 2003
      Likes Received
      1635
      Likes Given
      1615

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Nakumbuka hata Makongoro aliwahi kuwa NCCR tena kipindi kile Mwalimu alikuwa hai.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    21. smz
      #19
      smz's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 251
      Rep Power : 481
      Likes Received
      28
      Likes Given
      1

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      Swala hapa siyo Mama Maria alivaa nini. Watu wanaenda mbali zaidi ya mavazi, wanaangalia mahusiano na timu ya CDM, ujue siku hiyo hawakuishia kuweka mashada peke yake, kuna mazungumzo yalifanyika hata kama ni ya dk 10, lakini mwenye akili inatosha kumsoma mtu na kujua kama ana msimamo gani.

      Nadhani waliokuwa kwenye hiyo ziara wanajua vizuri. Sasa kwa akili yako ulitegemea yule mama avae combati za CDM??!!

    22. #20
      Mallaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2008
      Location : Jerusalem
      Posts : 2,562
      Rep Power : 1089
      Likes Received
      24
      Likes Given
      28

      Default Re: Familia Ya Nyerere Wajiunga Na Chadema?

      hilo nalo ni neno la leo.
      Quote By Lu-ma-ga
      CCM wameweka bayana kupitia mwenyekiti wao kuwa hawamtambui BABA WA TAIFA ila wanamtambua marehemu MZEE NYERERE. Unategemea familia iendelee kujikombo isikoheshimiwa????????? CDM tunaenzi waasisi
      Ee Bwana uyasikilize maneno yangu, ukaangalie kutafakari kwangu.

    Page 1 of 2 12 LastLast

    Similar Topics

    1. Replies: 8
      Last Post: 14th April 2011, 00:40
    2. Wanachuo 300 wajiunga CHADEMA
      By Technician in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 60
      Last Post: 22nd March 2011, 20:05
    3. Familia ya Nyerere yaikana CHADEMA
      By Mujumba in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 58
      Last Post: 12th March 2011, 21:16
    4. Familia ya Nyerere yatabiri CHADEMA kushinda 2015
      By mwankuga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 16
      Last Post: 28th February 2011, 16:09
    5. Familia ya Nyerere yatabiri CHADEMA kushinda 2015
      By Babu Lao in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 1
      Last Post: 27th February 2011, 21:00

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...