Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Chadema ndani ya Bukoba

    Report Post
    Page 1 of 12 12311 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 229
    1. #1
      Regia Mtema's Avatar
      R I P Array
      Join Date : 21st November 2009
      Posts : 2,988
      Rep Power : 1111
      Likes Received
      763
      Likes Given
      397

      Default CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Wakuu, Habari!!!

      Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

      Kutoka Kahama
      Regia E Mtema
      Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.

      =================
      KATIKA PICHA


      Hapa ni Kemondo


      Hapa ni Rwamishenye

      Last edited by Regia Mtema; 2nd March 2011 at 18:19.
      Kilombero For Change(K4C)-Mfuko wa Maendeleo Kilombero

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      maselef's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st October 2010
      Posts : 254
      Rep Power : 484
      Likes Received
      41
      Likes Given
      92

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Daima big up dada yetu hata sisi tulio nje ya nchi tunapata taarifa za uhakika mara zote toka kwako - Edmonton Canada

    4. #3
      SARAWAT's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 39
      Rep Power : 425
      Likes Received
      1
      Likes Given
      1

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      big up CDM, tuko pamoja, usisahau picha za matukio, kazi njema. peoplessssssssssssssssssssssss ssssssssssss! power

    5. #4
      TzPride's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Location : Downhole
      Posts : 1,650
      Rep Power : 972
      Likes Received
      174
      Likes Given
      70

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Kazi njema. Kikwete anagwaya kweli. CDM wape wananchi hali halisi ya nchi, elimisha umma wa Tz huenda watu wakaamka kutoka usingizini.
      " Counting down on CCM downfall.

    6. #5
      Ngandema Bwila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th September 2010
      Posts : 680
      Rep Power : 578
      Likes Received
      115
      Likes Given
      2

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Be blessed Regia. We play for you all.

    7. Miaka 50

    8. #6
      miradibubu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st September 2010
      Posts : 136
      Rep Power : 467
      Likes Received
      17
      Likes Given
      8

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Hongera dada yangu na Mungu awatangulie daima tupo pamoja nanyi. Ninaomba nifahamu mikakati ya kuimarisha ofisi za CDM wilaya na mikoa kwa kweli nguvu inahitajika kufanikisha hili ninaamini hata ikiitishwa harambee tutafanikisha hili, kwa mfano ofisi ya CDM mkoa wa Dodoma inatia huruma ninaamini hata wewe dada yangu unapokuwa dodoma huwa haikupi hata hamu ya kwenda kupumzika au kufanyia kazi zako mahali pale. Mimi nipo tayari kulitetea hili la uimarishaji au ujenzi wa ofisi hizi

    9. #7
      Lord's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th February 2009
      Posts : 87
      Rep Power : 540
      Likes Received
      16
      Likes Given
      4

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Quote By Regia Mtema
      Wakuu.Habari!!!

      Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

      Kutoka Kahama
      Reagia E Mtema
      Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
      Dada Reagia asante kwa taarifa. Na wilaya ya ngara mtafika maana huku kuna wafuasi wengi ambao hawajafikiwa na kuhamasishwa hata kipindi cha kampeni CDM haikufika. Kwa maono yangu haya maeneo ndo ya kuja kuhamasisha zaidi na watu wapo tayari kubadilika.

    10. #8
      kapotolo's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 19th September 2010
      Location : Tanzania
      Posts : 2,407
      Rep Power : 1195
      Likes Received
      1282
      Likes Given
      392

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Yes We Can Dada Regia.
      Kiongozi shupavu hawezi kutumia mabavu kuongoza, ni kiongozi dhaifu tu ndio atatumia mabavu kuficha udhaifu wake - Jenerali Ulimwengu

    11. #9
      bulunga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th October 2010
      Posts : 224
      Rep Power : 479
      Likes Received
      15
      Likes Given
      23

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Quote By Regia Mtema
      Wakuu.Habari!!!

      Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

      Kutoka Kahama
      Reagia E Mtema
      Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
      Regia, nini kinaendelea Kahama maana kuna Habari Dr na wabunge wawili wamekamatwa

    12. #10
      Mpevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Location : Anonymous
      Posts : 1,586
      Rep Power : 748
      Likes Received
      76
      Likes Given
      103

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Safari ya ukombozi ni ndefu sana, na yenye harakati nyingi.
      Ahsante mheshimiwa sana, nataraji mtafika TBR awamu ijayo.
      I'LL BE WEARING A SMILE ON MY FACE.... but firm on issues,, JK's 1st address to the national assembly in Dodoma-2006.

    13. #11
      sulphadoxine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Posts : 2,131
      Rep Power : 926
      Likes Received
      550
      Likes Given
      2008

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Quote By Regia Mtema
      Wakuu.Habari!!!

      Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

      Kutoka Kahama
      Reagia E Mtema
      Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
      Dada regia tujunze kwanza na hizi tetesi kuwa Dr.slaa mekamatwa kahama,na wabunge wawili.source redio one.

    14. #12
      Mpevu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Location : Anonymous
      Posts : 1,586
      Rep Power : 748
      Likes Received
      76
      Likes Given
      103

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Quote By sulphadoxine
      Dada regia tujunze kwanza na hizi tetesi kuwa Dr.slaa mekamatwa kahama,na wabunge wawili.source redio one.
      If this is true...it MUST be a breaking nuz,
      I'LL BE WEARING A SMILE ON MY FACE.... but firm on issues,, JK's 1st address to the national assembly in Dodoma-2006.

    15. #13
      figganigga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th October 2010
      Location : dar es salaam
      Posts : 8,182
      Rep Power : 12009
      Likes Received
      2652
      Likes Given
      1583

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      unavyo vuta manati ndivyo unaongeza speed ya jiwe.so wanavyomsumbua dr.Slaa ndivyo wanavyomuongezea makali.ni wafa maji

    16. #14
      kilimasera's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2009
      Posts : 3,038
      Rep Power : 1098
      Likes Received
      183
      Likes Given
      245

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      hili nalo neno
      Quote By miradibubu
      Hongera dada yangu na Mungu awatangulie daima tupo pamoja nanyi. Ninaomba nifahamu mikakati ya kuimarisha ofisi za CDM wilaya na mikoa kwa kweli nguvu inahitajika kufanikisha hili ninaamini hata ikiitishwa harambee tutafanikisha hili, kwa mfano ofisi ya CDM mkoa wa Dodoma inatia huruma ninaamini hata wewe dada yangu unapokuwa dodoma huwa haikupi hata hamu ya kwenda kupumzika au kufanyia kazi zako mahali pale. Mimi nipo tayari kulitetea hili la uimarishaji au ujenzi wa ofisi hizi

    17. #15
      HM Hafif's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th August 2009
      Posts : 1,372
      Rep Power : 771
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Quote By Regia Mtema
      Wakuu.Habari!!!

      Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.

      Kutoka Kahama
      Reagia E Mtema
      Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
      Mama sisi tunaomba tu AMANI itawale na kusiwe na maneno ya uchochezi na ya kuleta chuki na mifarakano miongoni mwa jamii kiasi cha kuleta vita katika jamii.

      CHADEMA KUMBUKENI MDOMO ULIKIPONZA KICHWA

    18. #16
      anti-fisadi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Location : poorest country
      Posts : 357
      Rep Power : 502
      Likes Received
      26
      Likes Given
      57

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Mungu awaongoze,maandamano yaishe kwa amani na utulivu

    19. #17
      nsimba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th October 2010
      Posts : 762
      Rep Power : 589
      Likes Received
      46
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      tunawatakia heri na baraka tele

    20. #18
      Panga la Yesu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 220
      Rep Power : 557
      Likes Received
      12
      Likes Given
      146

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Quote By miradibubu
      Hongera dada yangu na Mungu awatangulie daima tupo pamoja nanyi. Ninaomba nifahamu mikakati ya kuimarisha ofisi za CDM wilaya na mikoa kwa kweli nguvu inahitajika kufanikisha hili ninaamini hata ikiitishwa harambee tutafanikisha hili, kwa mfano ofisi ya CDM mkoa wa Dodoma inatia huruma ninaamini hata wewe dada yangu unapokuwa dodoma huwa haikupi hata hamu ya kwenda kupumzika au kufanyia kazi zako mahali pale. Mimi nipo tayari kulitetea hili la uimarishaji au ujenzi wa ofisi hizi
      HIli hata mimi na hamasika kuchangia, ebu lifanyiwe kazi kwa kina na hasa mnapokuwa kwenye hizo operations basi na maMbo ya Ofisi yaangaliwe, kwani Dr anaweza akafanya kaharambe kwa ajili ya eneo maalum na ikapatikana pesa ya kutengeneza OFISI zinazoendana na Hadhi ya CDM.

      Lakini lililo moyoni mwangu ni kujuzwa kwanini siku hizi hatuoni taarifa za maandamano kwenye TV zote, je zimepigwa marufuku kurusha habari za maandamano? Kama kuna uwezekano basi kuwe na kipindi maalum kitakacho rusha matukio ya maandamno na sisi Wadau tutachangia, mradi muweke utaratibu maalum.

      HIVI CDM hamuwezi anzisha kituo chenu cha TV?


      CDM GO GO GO GOOOOO!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!

    21. #19
      Zempugwa's Avatar
      Junior Member Array
      Join Date : 12th January 2011
      Posts : 8
      Rep Power : 425
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      haihitaji tena CDM kupingwa na vilaza wa ccm

    22. #20
      Jeremiah's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th February 2009
      Location : Geita
      Posts : 332
      Rep Power : 589
      Likes Received
      37
      Likes Given
      25

      Default Re: CHADEMA Kuhitimisha Maandamano Kanda ya Ziwa Mkoa wa Kagera Leo

      Go Slaa go. We are behind. Changes. time will tell.

    Page 1 of 12 12311 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Dr Slaa ndani ya Bukoba
      By Kaa la Moto in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 142
      Last Post: 17th October 2010, 21:03
    2. CHADEMA Bukoba
      By Plato in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 1
      Last Post: 15th September 2010, 18:13
    3. CHADEMA Jimbo la Bukoba haooo mpaka kwa msimamizi
      By Kaa la Moto in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 10
      Last Post: 21st August 2010, 20:48
    4. Chadema watoa elimu ya uchaguzi Bukoba
      By Kaa la Moto in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 3
      Last Post: 18th June 2010, 20:02
    5. CUF Ndani ya Bukoba Leo
      By Kaa la Moto in forum Jamii Photos
      Replies: 10
      Last Post: 23rd July 2009, 21:36

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...