Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mabasi yaendayo kasi....!

    Report Post
    Results 1 to 8 of 8
    1. jcb
      #1
      jcb's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 6th July 2010
      Posts : 211
      Rep Power : 496
      Likes Received
      26
      Likes Given
      82

      Default Mabasi yaendayo kasi....!

      Serikali inaanzisha mradi wa mabasi yaendayo kasi kuja katikati ya jiji ili kupunguza msongamano na foleni katikati ya jiji.
      Barabara ndo hivyo Mh. John P. Magufuli anaendelea nayo ili kufanikisha hili.

      Hivi kweli hili ndilo suluhisho la foleni? Na mabasi haya yataleta tija kwa Taifa hili?
      Je fedha inayo wekezwa katika mradi huu itakuwa na faida?
      Je kuna shughuli za uzalishaji kiasi gani katikati ya jiji au ndo tuna kwenda kariakoo kununua bidhaa? Maana shopping zetu nyingi tunafanyia kariakoo hata mtu akihitaji chupi anakuja katikati ya jiji kununua.

      Wana JF naomba mnisaidie katika hili kwani nimetafakari nimekosa jibu au majibu juu ya hili.

    2. Miaka 50

    3. #2
      Utingo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2009
      Location : Lyazumbi
      Posts : 4,416
      Rep Power : 1380
      Likes Received
      588
      Likes Given
      404

      Default Re: Mabasi yaendayo kasi....!

      suluhisho ni train, mabasi is already too late!
      Without justice – Government is nothing but a band of robbers

    4. #3
      Dr wa ukweli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th February 2011
      Posts : 856
      Rep Power : 587
      Likes Received
      169
      Likes Given
      54

      Default Re: Mabasi yaendayo kasi....!

      suluhisho ni watu kuacha kutumia private cat na watumie buplic cars kama daladala na tax

    5. #4
      Ndibalema's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th April 2008
      Location : Mbagala
      Posts : 6,555
      Rep Power : 1992
      Likes Received
      1602
      Likes Given
      1595

      Default Re: Mabasi yaendayo kasi....!

      Suluhisho ni wizara zote zihamie Dodoma.
      "Makalio ya sufuria hayaogopi moto"

    6. #5
      Vumbi's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 7th November 2010
      Posts : 189
      Rep Power : 470
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Mabasi yaendayo kasi....!

      Huu mradi sitaki hata kuusikia maana umechosha masikio yangu. Tangu 2003 huu mradi unapigiwa kilele za siasa leo ni zaidi ya miaka 8 hata mradi wenyewe haujaanza, hivi kweli huu mradi utakuwa na ufanisi uliotarajiwa? nadhani inaweza chukua miaka mingine 5 kabla ya mradi ku-kamilika, je mikakati mingine ni ipi ilikukabilaina na tatizo la foleni? hizi siasa za CCM ni hatari sana, ni mambingwa wa kugawana posho lakini kuteleza miradi ni shida kweli.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Rukiko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th May 2009
      Posts : 83
      Rep Power : 527
      Likes Received
      10
      Likes Given
      13

      Default Re: Mabasi yaendayo kasi....!

      naungana na aliyesema tukitaka kupunguza msongamano dar, basi tuhakikishe tunatumia treni, ambapo kutakuwa na route kama tatu ama nne hivi kwa kuanzia: toka stesheni hadi ubungo kwenda kimara, stesheni hadi vingunguti-gongo la mabomu-pugu na nyingine stesheni -tabata reli-kimanga, na ile ya mbagala. pia kwa watu wa masaki na kawe boti ziendazo kasi zaweza kutumika.

      Lakini pia, watu wa mipango miji na mamlaka zinazoruhusu ujenzi dar, usiruhusu ubomoaji na ujenzi wa maghorofa city centre. kama mtu ana hela yake anataka kujenga ghorofa, apelekwe kibamba, kinyerezi, chanika, mbagala rangi tatu- n.k ili kuepusha watu wote kujazana katikati ya miji.

      na tatu suala la wizara kuhamia Dod ni sawa, na hata kama ofisi ndogo zitabaki zipelekwe mbali na city centre. vilevile serikali ijipange kuhakikisha kuwa huduma zile muhimu mfano ufuatiliaji wa malipo baada ya kustaafu(pensheni),mashule, mahospitali mazuri vipatikane paia katika mikoa mingine huko, ikishindikana basi kwa kuanzia kila kanda ipewe mamlaka ya kumaliza mambo huko bila kwenda dar.

      kingine ni barabara zilizopo zipanuliwe kiasi cha kupitisha magari mengi kwa wakati. kwani hayo yaendayo kasi yenyewe yatakuwa yanaruka hewani? serikali pia ifanye kwa matendo pia kuwa na barabara za juu kwenye junctions zote kubwa.

    9. #7
      birungi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 390
      Rep Power : 515
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: Mabasi yaendayo kasi....!

      mimi nahisi haya mabasi yaendayo kasi ni mazuri ila yatatugharimu miundo mbinu yake.
      kuokoa gharama wangetuletea treni za kisasa kila wilaya,still machuma ya reli bado yako mengi kule stoo ya reli. na kwa mradi huu serikali itajiingizia kipato sana.
      as long as my lord is inside,nothing impossible outside.

    10. PPM
      #8
      PPM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2010
      Posts : 403
      Rep Power : 473
      Likes Received
      65
      Likes Given
      38

      Default Re: Mabasi yaendayo kasi....!

      Quote By Rukiko
      naungana na aliyesema tukitaka kupunguza msongamano dar, basi tuhakikishe tunatumia treni, ambapo kutakuwa na route kama tatu ama nne hivi kwa kuanzia: toka stesheni hadi ubungo kwenda kimara, stesheni hadi vingunguti-gongo la mabomu-pugu na nyingine stesheni -tabata reli-kimanga, na ile ya mbagala. pia kwa watu wa masaki na kawe boti ziendazo kasi zaweza kutumika.

      Lakini pia, watu wa mipango miji na mamlaka zinazoruhusu ujenzi dar, usiruhusu ubomoaji na ujenzi wa maghorofa city centre. kama mtu ana hela yake anataka kujenga ghorofa, apelekwe kibamba, kinyerezi, chanika, mbagala rangi tatu- n.k ili kuepusha watu wote kujazana katikati ya miji.

      na tatu suala la wizara kuhamia Dod ni sawa, na hata kama ofisi ndogo zitabaki zipelekwe mbali na city centre. vilevile serikali ijipange kuhakikisha kuwa huduma zile muhimu mfano ufuatiliaji wa malipo baada ya kustaafu(pensheni),mashule, mahospitali mazuri vipatikane paia katika mikoa mingine huko, ikishindikana basi kwa kuanzia kila kanda ipewe mamlaka ya kumaliza mambo huko bila kwenda dar.

      kingine ni barabara zilizopo zipanuliwe kiasi cha kupitisha magari mengi kwa wakati. kwani hayo yaendayo kasi yenyewe yatakuwa yanaruka hewani? serikali pia ifanye kwa matendo pia kuwa na barabara za juu kwenye junctions zote kubwa.
      Mwenye maeneo mengi mjini ni NHC, na huyu Mkurugenzi mpya wa NHC mipango yake ya kufikia 2020 ni kubomoa majeno yote ya zamani yaliyopo town center na Upanga na kujenga mengine mapya yatakayozidi 10 floor. wahusika kwenye traffic planning and managment naombeni mwelimisheni huyu jamaa maana hajui anachokifanya.

    Similar Topics

    1. Replies: 217
      Last Post: 11th May 2013, 08:38
    2. Hii ya magari yaendayo kwa kasi imekaa je?
      By Shine in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 1
      Last Post: 21st September 2011, 15:47
    3. Replies: 70
      Last Post: 12th May 2011, 11:47
    4. Mradi wa mabasi yaendayo kasi Dar
      By Mgumu in forum Business & Economic Forum
      Replies: 88
      Last Post: 26th February 2011, 15:24
    5. Kwa mtaji huu mradi wa Mradi wa mabasi yaendayo kasi jijini ni hadithi!
      By Tusker Bariiiidi in forum Business & Economic Forum
      Replies: 1
      Last Post: 3rd May 2010, 17:16

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...