Wana jf hapa bukoba barabara zimejaa watu hata magari hayana pa kupita kisa .... Rais wetu slaa na jeshi lake . Watu wamemsubiri uwezi hamini wengi wao. Mwenye simu no. Za pombe ampigie aje apanue haraka barabara ili rais na wanyonge wake waweze kupita

Reply With Quote
Follow Us Here