inasemekana kua demokrasia ni mfumo ulio dhaif kuliko zote ktk kutawala.lakin unapendwa sana na wanadam kwakua unahalalisha mambo ya kila aina ilimradi usiharib uhuru wa mwenzako...je tutegemee mfumo mwingine tofaut na huu?au ndo wa mwisho?tuelezane.

Reply With Quote
Follow Us Here