TiGo Says
    Show/Hide This

    Topic: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

    Report Post
    Page 26 of 37 FirstFirst ... 16242526272836 ... LastLast
    Results 751 to 780 of 1109
    1. #1
      fangfangjt's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2008
      Location : MISRATA
      Posts : 428
      Rep Power : 598
      Likes Received
      20
      Likes Given
      15

      Default Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Mabomu yanalipuka Gongo la Mboto polisi....

      Taarifa zaidi kufuatia.

      UPDATES: (by Invisible)

      1. Hali ni mbaya jijini Dar, nyumba zinabomoka, watu wanakimbia ovyo!

      2. Barabara ya Nyerere haitembei (kama unafikiria kwenda uwanja wa ndege ahirisha mapema), magari yameingiliana watu wanakimbia ovyo mitaani na barabarani kulikimbia eneo la maafa.

      3. Dalili zinaashiria mabomu ni mengi zaidi na milipuko itaongezeka, kuna uwezekano wa kupoteza raia na watumishi (wanajeshi) wengi kufuatia milipuko hii

      4. Watu kadhaa wamekufa kwa kugongwa na magari

      5. Mnadhimu Mkuu wa JWTZ, Luteni Abdulrahman Shimbo amesema:

      "Hali ni mbaya Kikosi namba tano maghala yamelipuka ni hatari, watu wahame, maghala yako karibu karibu sana, tunaomba wananchi wahame sasa hivi, tunajitahidi kuzuia moto unaotokana na hilo unaweza kwenda mbali sana hadi Kilomota kumi, wananchi walioko karibu na maghala ya kikosi Gongo la Mboto wasogee mbali sasa hivi.

      6. Kwa mujibu wa FikraPevu, anga limefungwa kwa muda na ndege hazitaweza kutua uwanja wa ndege wa Dar es Salaam.

      7. Mkono wa mtu (mwanamke), moyo na viatu (na khanga) vimeokotwa... - Radio One

      8. Bunge limeahirishwa kufuatia tukio hili

      9. Waziri Mkuu Mizengo Pinda anadai idadi ya waliokwisha kufa ni zaidi ya 19 lakini tunaarifiwa kuwa idadi halisi huenda ni zaidi ya 100.

      10. Jeshi la Polisi linawaarifu wale wanaotafuta watoto wao na hawawaoni kwenda kwenye vituo vya polisi jijini kwani kuna watoto wengi wamepelekwa huko.

      11. Wananchi wanaombwa kukaa mbali na eneo la tukio kwani hali haijawa shwari.


      Picha ya tukio kwa mbali sana...







      VIDEOS:

      Last edited by Invisible; 16th February 2011 at 21:35. Reason: More Updates


    2. #751
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 3,931
      Rep Power : 1435
      Likes Received
      1320
      Likes Given
      857

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By Candid Scope View Post
      Yametokea katika kipindi cha wiki moja tu
      - Pinda anapindisha sheria kwa kulidanganya bunge na wananchi bungeni
      - Msafara wa mke wa kikwete unapata ajali na dereva wake anakufa ajalini
      - Spika Makinda anafunika uwongo wa pinda kwa kutomruhusu Mheshimiwa Lema kutoa ushahidi
      - Leo tunaona mabomu yanalipuka Gongolamboto kitu ambacho kilishatokea kabla ndani ya miaka miwili huko mbagala.
      Tuendelee kuingia kanisani kusali Mungu atunusuru
      Sijapata kuona uzembe wa hali ya juu kama huu kutokea Mbagala na ndani ya miaka miwili itokee tena? kwa sababu serikali haikufanya chochote kwa yaliyotokea Mbagala hapa sasa kuna mambo mengi ya kujiuliza serikali itafanya nini.

      Viongozi wa serikali kama wana akili nzuri wanaweza kusoma ishara za nyakati.

    3. #752
      Nicky82's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2009
      Posts : 936
      Rep Power : 658
      Likes Received
      55
      Likes Given
      0

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      TUJIKUMBUSHE MABOMU YA APRILI 2009 MBAGALA




      Picha tu inatosha kuonyesha kuwa huyu prezident sio makini.........Huwezi kuwana na furaha katika mazingira kama hayo hayo, inaonyesha kuwa jamaa ni kama alionekana kutoguswa kabisa na hilo tukio huwezi kutabasamu wakati watu wamepoteza maisha!

    4. #753
      Sikonge's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 19th January 2008
      Location : Sikonge, Tabora
      Posts : 6,148
      Rep Power : 1772
      Likes Received
      1293
      Likes Given
      2039

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Katika pitapita yangu, nimekumbuna na hii kwenye Forum za Watanzania:

      MABOMU KIKOSI CHA JESHI 511 GONGO LA MBOTO
      · Mimi nimeona mwanga mkali nauona nikiwa hapa ubungo nikafikri labda kuna kituo cha mafuta kinaungua moto huko tabata kumbe ni Gongo la moto imelipuliwa???
      · USIOMBE KUSIMULIWA ONA MWENYEWE KAMA VILE MUVI FULANI HIVI, jIji linarindima kwa sauti ya kutisha ya mabomu inasikika.
      · Tayari redio zinatangaz na TV, KUMBE GHALA LA SILAHA LIMELIPUKA HUKO JESHINI Gongo la Mboto.
      · Nimepiga simu kwa shemeji yangu, akiwa kazini, ametoka mbio kwenda nyumbani gongo lamboto, anasema hali ni mbaya sana, amekimbilia nyumbani kuangalia USALAMA WA FAMILIA, amekuta hakuna watu nyumba zote zimehamwa, watu wanakimbia ovyo ovyo, hajuin familia iko wapi, kibaya zaidi aliacha watoto na houseirl, nyumba za karibu zimesawazishwa ardhini. Anasema atanipigia baadae.
      · Nilipofuatilia kwa simu baadae akawa hapatikani kwenye simu, sijui kilichompata mpaka hapo kesho nitakapo kwenda huko nitajua.
      · Rafiki yangu mwingine anasema jamaa zake walikimbilia kanisa la karibu, bomu bomu limewafuata na watun saba wamekufa humo ndani na watu 40 wako mahututi.
      · Kisukuru nao huko tabata bomu limetua na haijajulikana watuy wangapi wamekufa.
      · Mwanga mkali na anga la jiji lilikuwa jekundu kwa mlipuko wa mabomu maeneo ya huko Vingunguti, hgongola mboto , Airport.
      · Watu wangi kutoka eneo la Mombasa, banana wanakiimbia mchaka mchaka mkuelekea mjini.
      · Ni kama vile ambush ya kivita maeneo hayo, mabomu yanalipuka hovyo hovyo maeneo hayo, watu wamechanganyikiwa wanakimbia ovyo hawajui waendako ili mradi tu kuliepuka eneo hilo.
      · Hakuna usafiri tena wa kwenda huko Magari yote ya wakaazi wa huko tokea mjini hayaendi huko, hakufikiki usiku huu.
      · Watu wamezuiwa kurudi huko, wamezuiwa kulaa kwenye viwanja vya uhuru Dar.
      · Ukonga Mageraza: Boumu limedondoka karibu na gereza, wakati watu wanakimbilia uwanja wa magereza mbele yao likadondoka bomu , watu wanaelekea kichanganyi mbele yanaendelea kundoka kwenye nyuma za karibu, hapo kila mtu anaangalia wapi akafiche kichwa chake.
      · Vibaka nao ndio peak ya mavuno yao.
      · Majeshi yanasaidia kuzima moto mitaani, lakini pia Serikali inawaomba wanachi waondoke katika maeneo hayo kiasi cha umbali wa kiliomita 10 tokansehemu ya mlipuko wa silaha hizo.
      · Majeshi yoteya polisi yameamuliwa kuelekea huko kutoa msaada kuokoa watu na mali usiku huu.
      · Mabomu mengi ne yameingia kwenye nyumba za watu na bado hayajalipuka
      · MAWASILANO YA SIMU NA WATU WA E NE HILO YAMEKUWA MAGUMU. SIJUI NDUGU ZANGU WATAKUWA HAI MPAKA ASUBUHI HII
      · Taarifa zaidi zinaendelea...kesho.
      · Ni saa saba hii usiku naomba nikalale.

      Swali BINAFSI:
      Tulipendekeza na kushauri serikali ya Kikwete kuwa ghala za silaha zihamishwe zitoke kwenye makazi ya watu kutokana na somo tulilolipata kule Mbagla. MABOMU YA MBAGALA!!!
      Kuna organization au uongozi wowote uliofuatilia uhamishwaji wa silaha hizo??
      Bado maghala ya jeshi ya Lugalo, MBWENI,Makongo/ Mwenge, nyuma ya chuo Kikuu nk
      Hii ni hujuma au bahati mbaya??UZEMBE AU NI MAKUSUD??
      Tukio la mwaka ule liliongelewa sana na watu walipiga sana kelele juu ya maghala ya silaha na utunzwaji wake, je tulifikia wapi??
      Hili ndilo jeshi letu la karne hii la wasomi.........
      Bado tutaendelea kujiua wenyekufa kabla hatujaenda vitani
      Usiku mwema
      Kansa aliyopandikiziwa JKN aliipata through toilet paper south africa! walio-initiate ni UWT(Waberoya wa JF).

    5. #754
      newmzalendo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd March 2009
      Location : tanganyika
      Posts : 1,045
      Rep Power : 675
      Likes Received
      146
      Likes Given
      65

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      what went wrong?viongozi wanazidi kuneemeka ktk kamati za utafiti na uchunguzi,hawafanyi bure ktk hizi tafiti so wanakula posho za kufa mtu kila kikao its about 250 laki na kuendelea,mpaka kamati iishe mtu ana mshiko wa maana.then hamna kinachotendeka kutokana na findings hizo.sasa hili la gongo la mboto lisingetokea kama findings za mbagala zingekuwepo na kufanyiwa kazi.
      asante kwa kuweka hizi picha ,a picture says a thousands words.
      haya Mh.Dokata raisi Jakaya kikwete its time kuwa wajibisha wahusika bila aibu kwani bila kufanya hivyo utakuwa umejiabisha mwenyewe ikizingatiwa umepiga hadi picha zako ukiwa muhimbili kuwapa pole waathirika wa mabomu ya mbagala,
      Quote By bagamoyo View Post
      TUJIKUMBUSHE MABOMU YA APRILI 2009 MBAGALA

      Aprili 30. 2009 Mh. Rais J.K Kikwete akiwa eneo la Mbagala jirani na kambi ya jeshi DSM akiwa na wasaidizi wake kuanzia kushoto Naibu waziri ulinzi wa Nchimbi Pili shoto, Mkuu wa JWTZ Jenerali Mwamunyange tatu kushoto na Inspekta jenerali wa Polisi Saidi Mwema.


      Aprili 30. 2009 Mh. Rais J.K Kikwete akiwa kitengo maalumu cha mifupa- MOI hospitali ya Taifa Muhimbili akiwafariji majeruhi wa milipuko ya mabomu ya Mbagala DSM. Watu 20 alipoteza maisha na zaidi ya 200 kujeruhiwa na mamia ya nyumba kuharibiwa.


      Aprili 2009, Brigedia Jenerali F. Ulomi akitoa maelezo kwa Makamu wa Rais Dk.Shein.

      RIPOTI YA MKUU WA MKOA WA DSM KUHUSU MADHARA YA MABOMU YA 2009
      Mkuu wa Mkoa wa Dar es SaLaam, Willium Lukuvi ametoa ripoti maalumu ya milipuko ya mabomu katika kambi ya jeshi Mbagala yaliyotokea na kuharibu nyumba zilizokuwepo karibu na maeneo hayo.
      Ripoti hiyo imetolewa na mkuu wa mkoa wa Dar es SaLaam, Willium Lukuvi na ilifanyiwa uhakiki na kamati maalumu ambayo iliundwa kuhakiki nyumba zilizoharibika ili waweze kupatiwa fidia.
      Lukuvi amesema kuwa katika ripoti hiyo nyumba ambazo ziliteketea kabisa na hakuna kitu kilichookolewa ndani zilikuwa jumla ya nyumba 235.
      Nyumba 54 ziliharibika ambazo hazifai kwa matumizi ya binadamu ambazo hazikuteketea kabisa na kuanguka.
      Amaesema nyumba zingine ziliathiriwa kidogo kidogo na si kuanguka chini na kufaa kwa matumzi ya binadamu.
      Amesema jumla ya nyumba zote ambazo ziliathirika hata kama hazikuanguka zilikuwa jumla ya nyumba 9200.
      Amesema ripoti ya awali ilionyesha jumla ya nyumba zilizoathiriwa na mabomu hayo zilikuwa nyumba 9254 ambazo si sahihi.

      Amesema serikali imeshaanza mchakato wa kuwalipa fidia wananchi hao ili waweze kupata makazi.

    6. #755
      BWANYEENYE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 2nd June 2010
      Posts : 51
      Rep Power : 413
      Likes Received
      3
      Likes Given
      25

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Dahh kwanini kila kitu kibaya ni sisi Tanzania hivi ni ujinga au tumemkosea nn Mungu ...then hawa viongozi wanajua ht kuongea na watu wakati wa matatizo ...unaongea vitu serious unazungusha zungusha tu makalio yako kama sio askari its very shame hawajawahi ht kuona viongoz wa nchi nyengine kwenye matatizo kama haya....

    7. EMT is offline
      EMT
      #756
      EMT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th January 2010
      Location : Mahuta
      Posts : 6,021
      Rep Power : 18825
      Likes Received
      3926
      Likes Given
      4542

      Default Re: Hata Ajali Inatumiwa kisiasa?

      Quote By Kishongo View Post
      Inasikitisha kuona wachangiaji wengi kwenye hii forum wakichukulia ajali iliyotokea Gongo la Mboto kisiasa.

      Pamekuwa na wachangiaji wanaothubutu hata kuhusisha chama cha siasa au ufisadi na milipuko hiyo.

      Si ustaarbatu kukurupuka na kutoa majumuisho yasiyo na mantiki. Kulilaumu jeshi au serikali kabla ya kujua chanzo cha milipuko hiyo ni kukosa busara. Wengine wanajidai wanajua hata umri wa mabomu yale, yalivyohifadhiwa na mambo mengine ya taaluma za kijeshi ambazo si kila mtu anazijua.

      Tuwe na subira. Kama itagundulika kuwa ni ajali, ieleweke kuwa ajali ni ajali, hata kama ilitokea Mbagala yaweza kutokea pengine pia, hizo ndo ajali.

      Mtaalam mmoja wa milipuko amenieleza kuwa mlipuko kama ule unaweza kusababishwa na mambo mbali mbali. Inawezekana ikawa kweli ni umri wa mabomu, au shoti ya umeme au uzembe wa mtu mmoja au hujuma kutoka kwa watu wabaya kama baadhi ya wanachama wa chama cha siasa wanaotaka Tanzania isitawalike.

      Tuache kupotosha mambo, tusubiri wataalam wafanye kazi yao na umma utataarifiwa tatizo lilikuwa nini.
      Tusubiri wataalamu gani? Yale ya Mbagala mpaka leo bado tunasubiri taarifa kutoka kwa wataalamu. Kumbuka kuna watu humu humu JF ambao ndugu, jamaa na marafiki wameathirika na janga hili. Wengine wamepotzea maisha yao. Hili ni janga la taifa, sio ajali. Yalitokea Mbagala tukahaidiwa na mkky wa nchi kuwa hayatatokea tena. Leo exactly the same incident imetokea tena. Then, utataka kutuambia ni ajali tena. Na kesho kutwa yakilipuka Mgulani utatuambia nini?

      Nakubali si ustaarbatu kukurupuka lakini this is too much. Baada ya janga la Mbagala tuliaidiwa kuwa it will never happen again. Wananchi wanayo haki ya kukasirika. Serikali na vyombo vyetu vya habari vimekaa kimya kama vile kilichotokea ni kitu kidogo sana. Nchi nyingine tayari zimeshatoa tahadhari kwa raia wao walio Tanzania kutokanyaga sehemu ya tukio kwa sababu sio salama. Sisi tunawaambia watu warudu kwenye makazi yao.

      Kama unasema tusubiri wataalam wafanye kazi yao, then kwa nini wananchi waambiwe eti warudi majumbani mwao? Kweli tuwe na subira but kwa nini Kova anang'ang'ania watu warudi huko? Yeye hana subira? Watu wanalaumu serikali b'se chanzo tayari kinajulikana. Kilichotikea Mbagala is exactly what happened to Gongo la Mboto. Watanzania sio wajinga vile.

      Umesema wengine wanajidai wanajua hata umri wa mabomu yale na yalivyohifadhiwa. Inaonekana kama unafanya assumption vile. Unafikiri watu wote hapa ni kama wewe. Eti mlipuko unaweza kuwa umesababishwa na shoti ya umeme. Hivi unaishi wapi wewe to the extent kuwa hujui hata kuwa hakuna umeme?

      Na posts zaidi ya 700 kweye hii thread kwako wewe unaona wote wamekurukupa. Ya kwako ndio sahihi. Mkuu unaonyesha hujali kabisa. Badala hata ya kuanza post yako kwa kuwapa pole wale wote waliopoteza maisha au kujeruhiwa kutokana na uzembe unaanza kwa kuponda. Jaribu kuwa na ubinadamu hata kidogo tafadhali.
      Last edited by EMT; 17th February 2011 at 02:54.

    8. #757
      B.O.G's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th February 2011
      Posts : 140
      Rep Power : 394
      Likes Received
      38
      Likes Given
      60

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      aibu kubwa sana kwa jambo kama hili kiongozi kusema kwenye vyombo vya habari huku akisoma kwenye makaratasi as if ametumwa aseme nini. then anawambia watu warudi makwao na je kama mabomu yameingia ndani kwao kitatokea nini?

    9. #758
      Ninaweza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2010
      Posts : 1,292
      Rep Power : 642
      Likes Received
      194
      Likes Given
      322

      Default

      selikali iliyo corrupt hushindwa kucmamia mambo ya mcngi mku wa majeshi ajiudhuru

    10. #759
      Hofstede's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th July 2007
      Posts : 3,313
      Rep Power : 21231
      Likes Received
      754
      Likes Given
      776

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By B.O.G View Post
      aibu kubwa sana kwa jambo kama hili kiongozi kusema kwenye vyombo vya habari huku akisoma kwenye makaratasi as if ametumwa aseme nini. then anawambia watu warudi makwao na je kama mabomu yameingia ndani kwao kitatokea nini?
      Mbaya zaidi anaonesha kuwa alikuwa hajui kinachoendelea na yeye katumwa kutuliza watu, asivyojua lugha ya Public(diplomasia) anasema eti "NA KUZAGAA HOVYO MITAANI", lugha gani hii anatumia?, Kwa nini jeshi la polisi lisiajiri Public relation officer?, maana kama wasemaji wenyewe ndiyo hawa basi kazi ipo.

    11. #760
      Ndjabu Da Dude's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 1,537
      Rep Power : 0
      Likes Received
      220
      Likes Given
      98

      Default Re: Ripoti ya Mabomu kwenye CNN Ireport

      No big deal (and I ain't tryin' to diss nobody either). However, the truth is CNN iReport is more like DIY kind of journalism. Anybody anywhere with an internet connection can register on CNN iReport and post "Mighty Big Breaking News" or whatever.

    12. #761
      Papa Diana's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st December 2010
      Posts : 263
      Rep Power : 431
      Likes Received
      9
      Likes Given
      12

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By Hofstede View Post
      Mbaya zaidi anaonesha kuwa alikuwa hajui kinachoendelea na yeye katumwa kutuliza watu, asivyojua lugha ya Public(diplomasia) anasema eti "NA KUZAGAA HOVYO MITAANI", lugha gani hii anatumia?, Kwa nini jeshi la polisi lisiajiri Public relation officer?, maana kama wasemaji wenyewe ndiyo hawa basi kazi ipo.
      Wanae tena anauwelewa mpana na ni makini......Lakini siunajua Kova anavyopenda Sifa/ kujionyesha.....


    13. #762
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 26,634
      Rep Power : 22539
      Likes Received
      8482
      Likes Given
      4308

      Default Re: Ripoti ya Mabomu kwenye CNN Ireport

      Quote By Coach Parcells View Post
      No big deal (and I ain't tryin' to diss nobody either). However, the truth is CNN iReport is more like DIY kind of journalism. Anybody anywhere with an internet connection can register on CNN iReport and post "Mighty Big Breaking News" or whatever.
      yes you can; but.. there are certain things you can't just report: Did you read the Producer's note? Why do you think they had to vet the story? Of course we are not claiming legitimacy cuz of that but being able to report and create a profile and credibility will help in the "future" think about it.
      mwanakijiji@jamiiforums.com
      Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz

    14. #763
      niweze's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Posts : 1,000
      Rep Power : 643
      Likes Received
      110
      Likes Given
      79

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Chanzo ni ccm hii sio ajali. Hakuna credibility yeyote kutoka kwa Kikwete.

    15. #764
      Ndjabu Da Dude's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 29th August 2008
      Posts : 1,537
      Rep Power : 0
      Likes Received
      220
      Likes Given
      98

      Default Re: Ripoti ya Mabomu kwenye CNN Ireport

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      yes you can; but.. there are certain things you can't just report: Did you read the Producer's note? Why do you think they had to vet the story? Of course we are not claiming legitimacy cuz of that but being able to report and create a profile and credibility will help in the "future" think about it.
      Whatever man. What's clear to me is that Safaripilot gave a more decent description of events on the ground than you did.

    16. #765
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 26,634
      Rep Power : 22539
      Likes Received
      8482
      Likes Given
      4308

      Default Re: Ripoti ya Mabomu kwenye CNN Ireport

      Quote By Coach Parcells View Post
      Whatever man. What's clear to me is that Safaripilot gave a more decent description of events on the ground than you did.
      true..
      mwanakijiji@jamiiforums.com
      Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz

    17. #766
      Rugemeleza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2009
      Posts : 625
      Rep Power : 564
      Likes Received
      97
      Likes Given
      37

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By RockSpider View Post
      mungu ibariki Tanzania...Zidumu fikra sahihi zinazotuepusha na majanga kama haya ya milipuko ya mabomu, mgao wa umeme, kukosekana kwa maji,madawa mahospitalini, kupanda kwa bei za:- petrol, diesel, mafuta ya taa, nyanya, samaki, kunde, nazi, mapera... Kidumu chama cha mapinduzi kwa kudumisha amani na mshikamano kwa watanzania...
      Kweli kidumu na kiendelee kutuletea maafa haya makubwa kwani hatuko tayari kutumia nguvu ya mbaga (watu) kukiondoa madarakani baada ya kushindwa kuingoza na kuamua kuipeleka nchi yetu kuzimu.
      Last edited by Rugemeleza; 17th February 2011 at 05:10.

    18. #767
      Madela Wa- Madilu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th March 2007
      Location : NORTH WEST USA
      Posts : 2,367
      Rep Power : 2358
      Likes Received
      160
      Likes Given
      179

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Dr Slaa alisema kuchagua CCM ni kuchagua Maafa.

      Mimi sishangai wewe milipuko ya mabomu wewe Je?
      MYPEOPLE PERISH FOR LACK OF KNOWLEDGE. HOSEA 4:6

    19. #768
      Ms Judith's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th December 2010
      Posts : 2,464
      Rep Power : 900
      Likes Received
      777
      Likes Given
      566

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      lo, poleni sana waathirika wote, yaani sasa ndio na mimi napata nguvu, nilkuwa na wasiwasi sana. nimeambiwa na mtu kuwa kitunda kuna mabomu yameanguka na yameleta madhara. nina dada yangu anasoma KIU kule gongo la mboto nilipoongea naye na akaniambia yu mzima na yuko nyumbani ndio nimepumua. Glory to God
      Mtu awaye yote asiyempenda BWANA, na awe amelaaniwa. MARAN ATHA!!!
      (1 Wakorintho 16:22)

    20. #769
      Rugemeleza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2009
      Posts : 625
      Rep Power : 564
      Likes Received
      97
      Likes Given
      37

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By mpevu View Post
      Yaani hata sijui usalama wa nyumba yangu na mali maana nimefunga na kuendesha gari hovyo,, EE MOLA WETU TUNUSURU.
      Pole sana ndugu yangu na wote mlioathirika na janga hili ambalo limeletwa na uzembe usiovumilika ambao unatakiwa kusababisha kuondolewa madarakani Amiri Jeshi Mkuu. Haiwezekani maafa kama haya yakatokea mara mbili katika kipindi kisichozidi miaka miwili. Huu ni uzembe na ni lazima vichwa viviringishwe ili kuondoa aibu hii. Ni lazima Watanzania tuamuke na kusema katu kamwe na kudai kuwajibishwa wote wale waliosababisha haya kuanzia Amiri Jeshi Mkuu na wasaidizi wake ambao walitakiwa kuepusha janga hili la makusudi.

    21. #770
      Mzee Mwanakijiji's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 10th March 2006
      Location : Kijijini
      Posts : 26,634
      Rep Power : 22539
      Likes Received
      8482
      Likes Given
      4308

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Tangu vita ya Uganda na wakati wote wa vita baridi tulikuwa tunatunza mabomu sehemu mbalimbali nchini; haijawahi kutokea matukio ya kufuatana namna hii na ukubwa wa namna hii. Matukio zaidi yalikuwa ni yale ya mtu kaokota bomu akidhania kiazi; lakini leo chini ya miaka miwili kunatokea tukio hili... sidhani kama Mungu amekula njama dhidi ya Tanzania!
      mwanakijiji@jamiiforums.com
      Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz

    22. #771
      Companero's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th July 2008
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1266
      Likes Received
      449
      Likes Given
      501

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      Tangu vita ya Uganda na wakati wote wa vita baridi tulikuwa tunatunza mabomu sehemu mbalimbali nchini; haijawahi kutokea matukio ya kufuatana namna hii na ukubwa wa namna hii. Matukio zaidi yalikuwa ni yale ya mtu kaokota bomu akidhania kiazi; lakini leo chini ya miaka miwili kunatokea tukio hili... sidhani kama Mungu amekula njama dhidi ya Tanzania!
      Ina maana kale kakabrasha kalikotumwa humu kuhusu hujuma itakayopelekea vita vya wenyewe kwa wenyewe jeshini kana kaukweli fulani?
      "Each generation must, out of relative obscurity, discover its mission, fulfil it, or betray it"/Kila kizazi, katika utata wa kipindi chake, lazima kiutambue wajibu wake na kiutekeleze au kiusaliti - Frantz Fanon

    23. #772
      niweze's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Posts : 1,000
      Rep Power : 643
      Likes Received
      110
      Likes Given
      79

      Default Mabomu ya CCM "Yameanzia Ufisadi", Uzembe, Wizi, Incompetent, "JK and CCM Have to Go"

      Its enough now. Tunayoyaona ni dalili za kuuwa Taifa letu. Kila kitu kinapokuja juu ya Wananchi utaona lawama either ni "ajali" au "sio makosa yao" Hakuna anaye wajibika, ukianzia uchaguzi NEC, Dowans, EPA na mikataba ya uongo kila mahali. Excuse ya Kikwete inakuja na watanzania jiandaeni kwa uongo na kamati za kula pesa za Watanzania. Tuangalie hili "Janga la Leo" Tutaona wananchi wengi wamekufa na Mali za wananchi nyingi zimeharibiwa. Kilicho leta haya yote ni "Kikwete people" Mara nyingine tena Wananchi Wamekufa Bila Sababu Yeyote. Taifa linaendelea mbele na Mapambano yetu yanaendelea.

      Majibu ni Maandamano na Kupinga Udanganyifu na Serikali ya Kikwete


      Explosions at munitions depot rock district near Dar es Salaam airport - CNN.com
      Last edited by niweze; 18th February 2011 at 04:26.

    24. #773
      JOANNA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st November 2010
      Location : USA
      Posts : 24
      Rep Power : 386
      Likes Received
      0
      Likes Given
      1

      Default Re: Ripoti ya Mabomu kwenye CNN Ireport

      Quote By Mzee Mwanakijiji View Post
      yes you can; but.. there are certain things you can't just report: Did you read the Producer's note? Why do you think they had to vet the story? Of course we are not claiming legitimacy cuz of that but being able to report and create a profile and credibility will help in the "future" think about it.
      Goooo M Mwanakijiji!!!!I c it will real help

    25. #774
      Rugemeleza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2009
      Posts : 625
      Rep Power : 564
      Likes Received
      97
      Likes Given
      37

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By Kinto View Post
      Jirani yangu hapa pugu amekatwa mguu ametangulia mbele ya haki, ndo hawa jamaa JWTZ wamekuja kuchukua mwili wake hapa
      Pole sana na Mungu ampumzishe kwa amani. Hili ni janga la kitaifa lililosababishwa na uzembe mtupu. Ni lazima vichwa vya wakubwa uchwara wa nchi na jeshi viviringishwe.

    26. #775
      Rugemeleza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2009
      Posts : 625
      Rep Power : 564
      Likes Received
      97
      Likes Given
      37

      Default Re: Hata Ajali Inatumiwa kisiasa?

      Quote By Kishongo View Post
      Inasikitisha kuona wachangiaji wengi kwenye hii forum wakichukulia ajali iliyotokea Gongo la Mboto kisiasa.

      Pamekuwa na wachangiaji wanaothubutu hata kuhusisha chama cha siasa au ufisadi na milipuko hiyo.

      Si ustaarbatu kukurupuka na kutoa majumuisho yasiyo na mantiki. Kulilaumu jeshi au serikali kabla ya kujua chanzo cha milipuko hiyo ni kukosa busara. Wengine wanajidai wanajua hata umri wa mabomu yale, yalivyohifadhiwa na mambo mengine ya taaluma za kijeshi ambazo si kila mtu anazijua.

      Tuwe na subira. Kama itagundulika kuwa ni ajali, ieleweke kuwa ajali ni ajali, hata kama ilitokea Mbagala yaweza kutokea pengine pia, hizo ndo ajali.

      Mtaalam mmoja wa milipuko amenieleza kuwa mlipuko kama ule unaweza kusababishwa na mambo mbali mbali. Inawezekana ikawa kweli ni umri wa mabomu, au shoti ya umeme au uzembe wa mtu mmoja au hujuma kutoka kwa watu wabaya kama baadhi ya wanachama wa chama cha siasa wanaotaka Tanzania isitawalike.

      Tuache kupotosha mambo, tusubiri wataalam wafanye kazi yao na umma utataarifiwa tatizo lilikuwa nini.
      Hii ni kauli ya kizembe na isiyo kuwa na mantiki hata kidogo. Itakuwaje mtu huzuie watu wasitoe hisia zao na kukemea uzembe kama huu. Hakuna namna yoyote ile ambayo mtu anaweza kutoa kauli kama yako kama sio mtu anayefurahia maafa yaani kwa Kiingereza Sadist. Hutakiwi mtu kuwa na elimu zaidi ya darasa la kwanza kujua kuwa silaha kama hizo hazitakiwi kuwa karibu na makazi ya watu na kuwa kitendo cha kuzihifadhi katika maeneo hayo ni uzembe mkubwa. Tena uzembe huu umeendelea kutokea hata baada ya milipuko ya Mbagala. Ndugu yangu serikali iliyojaa uzembe na ambayo ina watu waliopigwa sindano ya nusu-kaputi ndiyo inaweza kutoa sababu kama unazozitoa hapo. Huu ni uzembe na ni lazima serikali na viongozi wake wawajibike. Kituo.
      Last edited by Rugemeleza; 17th February 2011 at 23:13.

    27. #776
      Rugemeleza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th October 2009
      Posts : 625
      Rep Power : 564
      Likes Received
      97
      Likes Given
      37

      Default Re: Ghala la silaha Gongo la Mboto lalipuka!

      Quote By newmzalendo View Post
      what went wrong?viongozi wanazidi kuneemeka ktk kamati za utafiti na uchunguzi,hawafanyi bure ktk hizi tafiti so wanakula posho za kufa mtu kila kikao its about 250 laki na kuendelea,mpaka kamati iishe mtu ana mshiko wa maana.then hamna kinachotendeka kutokana na findings hizo.sasa hili la gongo la mboto lisingetokea kama findings za mbagala zingekuwepo na kufanyiwa kazi.
      asante kwa kuweka hizi picha ,a picture says a thousands words.
      haya Mh.Dokata raisi Jakaya kikwete its time kuwa wajibisha wahusika bila aibu kwani bila kufanya hivyo utakuwa umejiabisha mwenyewe ikizingatiwa umepiga hadi picha zako ukiwa muhimbili kuwapa pole waathirika wa mabomu ya mbagala,
      Ni kweli nchi yetu ina uongozi usio na kumbukumbu kama maji ya mto.Aibu, Aibu narudia Aibu juu yao.

    28. #777
      Smartboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 785
      Rep Power : 541
      Likes Received
      83
      Likes Given
      1

      Default Re: Mabomu ya CCM "Yameanzia Ufisadi", Uzembe, Wizi, Incompetent, "JK and CCM Have to

      Hii nchi use*ge umezi wazembe wachache wanaleta maafa af wanazidi kuwepo kazini tugomeni kwa pamoja

    29. #778
      kakapeter's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th October 2009
      Posts : 36
      Rep Power : 441
      Likes Received
      9
      Likes Given
      8

      Default Re: Inaelekea inspection ya explosives haufanywi na jeshi letu

      Kiungwana kabisa nategemea kuna watu watawajibika kwa kujiuzulu.Pls mwenye details za hasara na vifo vilivyotokana na hili if any tujulishe.

    30. #779
      Elli's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th March 2008
      Location : Kijito-Upele
      Posts : 5,276
      Rep Power : 1582
      Likes Received
      715
      Likes Given
      604

      Default

      Jamani nimekutana na familia nne ubungo, watoto wapowapo tu, jamani kwanini jeshi lisisaidie kuwakusanya hawa watu, kazi ya magari ya jeshi ni nini?

    31. #780
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,555
      Rep Power : 6046
      Likes Received
      5638
      Likes Given
      4701

      Default

      Quote By Elli View Post
      Jamani nimekutana na familia nne ubungo, watoto wapowapo tu, jamani kwanini jeshi lisisaidie kuwakusanya hawa watu, kazi ya magari ya jeshi ni nini?
      Waziri wa ulinzi asipowajibika this time nitajua ni jinsi gani anavyopenda madaraka

    Page 26 of 37 FirstFirst ... 16242526272836 ... LastLast

    Similar Topics

    1. a GHALA LA SILAHA LALIPUKA CYPRUS, HUSEIN MWINYI WAO AJIUZURU.
      By Khakha in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 3
      Last Post: 11th July 2011, 21:08
    2. Replies: 17
      Last Post: 23rd February 2011, 23:48
    3. Gongo la mboto in pictures....
      By hashycool in forum Jamii Photos
      Replies: 127
      Last Post: 19th February 2011, 13:52
    4. KIini cha 'Gongo la Mboto'
      By Mzee2000 in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 12
      Last Post: 30th November 2010, 16:12

    User Tag List

    Tags for this Topic

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...