Wakati akihailisha kikao cha bunge jana jioni' Naibu spika alitoa tangazo la
kwamba wabunge wote wa CCM na CUF kutoka Zanzibar wanaitwa kwenye
kikao fulani. Ndipo mh. zito kabwe akauliza kwa kuhoji, hata CDM wanawa
bunge kutoka Zanzibar mbona hamuwaiti kwenye hicho kikao? Naibu spika
alijibu kwa kupotezea......
Swali langu ni - Hivi kitu kama hicho wanamaanisha nini? Hapo kweli kuna
upinzani? - Nawasilisha

Reply With Quote
Counting down on CCM downfall.

Follow Us Here