Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 49
    1. #1
      carmel's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th August 2009
      Posts : 2,804
      Rep Power : 1070
      Likes Received
      202
      Likes Given
      128

      Default hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana katika idara zote za serikali kuliko hata ile iliyowahi kuripotiwa wakati wa uchaguzi. Chanzo cha kuaminika kutoka idara moja nyeti kinasema wamepelekewa waraka mzito wa kuwaamuru kurudisha hazina OC walizokuwa wamepelekewa kwa ajili ya matumizi ya kazi za serikali. Kwa ufupi hata OC zenyewe kuna wizara yenye idara kama kumi inapelekewa sh miliion kumi which means kila idara ipewe million moja kwa mwezi na bado wanataka pesa hizo zirudishwe kwa kisingizio kuna watu hawajalipwa mishahara kwa hiyo bora kazi zote zisimame mishahara ilipwe. hali inatisha especially kwa sukari kufikia 2000 kwa kilo. Tunaenda wapi?
      My Take: huu ni mkakati maalumu wa kutafuta fungu la kuilipa dowans.
      Amueni wananchi wakati ni huu wa kufanya kama Tunisia.
      A gossip betrays a confidence; so avoid a man who talks too much.
      Proverbs 20:19


    2. Study Abroad

    3. #21
      Mtumiabusara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th November 2009
      Posts : 443
      Rep Power : 571
      Likes Received
      25
      Likes Given
      29

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By BONGOLALA
      na mtaani napo hali mbaya leo mfuko wa sukari kg50, sh 90000 bei ya jumla wakati jk anaingia madarakani ilikua sh 35 000
      Kwa kweli maisha ni magumu sana, hivi sukari inapandaje bei iwapo miwa tunalima wenyewe, mashamba ni yetu ya asili si ya kukodi, umeme viwanda vya sukari hawauziwi na Tanesco (wanafua wenyewe), kuna justification gani ya kupandisha bei zaidi ya asilimia 200 in 5 years

    4. #22
      Kiraka's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2010
      Location : ILOGANZALA
      Posts : 1,352
      Rep Power : 742
      Likes Received
      258
      Likes Given
      438

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Bora iendelee hivi wajinga na wanafiki wote wapate somo!!!
      Form is temporary, Class is permanent...

    5. #23
      kapuchi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th October 2008
      Posts : 80
      Rep Power : 557
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      sio kweli wala sitaki kuamini hivyo ,nenda TCRA UONE MABOSI WANAVYOENDA NJE NA KURUDI KAKA kARIAKOO.KAMA UNABISHA KAFANYE RESEARCH HALAFU UJE KUNIAMBIA

    6. #24
      Baba_Enock's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Bunju "B"
      Posts : 5,812
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1155
      Likes Given
      964

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Aisee, Nawashukuruni sana wakuu..

      OC = Other Charges!

      Kwahiyo pesa ya ku-run Wizara zetu inatolewa on monthly basis and on merits?
      Ad Majorem Dei Gloriam - "For the greater glory of God"

    7. #25
      limited's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th February 2009
      Posts : 222
      Rep Power : 566
      Likes Received
      9
      Likes Given
      51

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By furahi
      OC maana yake "Other Charges" apart from mshahara huwa kuna hela inatoka Hazina inaitwa OC kwa ajili ya ku-run office. Kununulia karatasi, wino, kulipia internet, umeme,fax,simu, chai asubuhi, kulipa vibarua, kununua vifaa kama computer, printers, photocopier, posho za vikao,mafuta ya gari,vifaa vya usafi na mengine mengi kama hayo. Huwa kwa idara moja ya wizara ina matumizi ya bilioni 5-10 kwa mwaka.
      if that is the case kuna haja ya mtu kuitwa mwanasiasa wa ccm kweli? wanaropoka majukwaani ovyo but nothing is being done wanaendesha nchi kama kiosk

    8. Miaka 50

    9. LAT
      #26
      LAT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th November 2010
      Posts : 4,526
      Rep Power : 1498
      Likes Received
      1156
      Likes Given
      1659

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      nchi sasa ina ugonjwa wa kwashakoo (malnutrition) dawa ya huu ugonjwa kwa nchi ni hali nzuri ya uchumi..... je vyanzo vya nchi vya kipato vitaongezekaje wakati wananchi walipa kodi wanaumia na hata biashara na kazi hawawezi kufanya shauri ya ugumu wa maisha
      "Esprit de Corps"

    10. #27
      GeniusBrain's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Location : CHADEMA Makao Makuu
      Posts : 3,803
      Rep Power : 1142
      Likes Received
      187
      Likes Given
      0

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By carmel
      Hali ya uchumi imekuwa mbaya sana katika idara zote za serikali kuliko hata ile iliyowahi kuripotiwa wakati wa uchaguzi. Chanzo cha kuaminika kutoka idara moja nyeti kinasema wamepelekewa waraka mzito wa kuwaamuru kurudisha hazina OC walizokuwa wamepelekewa kwa ajili ya matumizi ya kazi za serikali. Kwa ufupi hata OC zenyewe kuna wizara yenye idara kama kumi inapelekewa sh miliion kumi which means kila idara ipewe million moja kwa mwezi na bado wanataka pesa hizo zirudishwe kwa kisingizio kuna watu hawajalipwa mishahara kwa hiyo bora kazi zote zisimame mishahara ilipwe. hali inatisha especially kwa sukari kufikia 2000 kwa kilo. Tunaenda wapi?
      My Take: huu ni mkakati maalumu wa kutafuta fungu la kuilipa dowans.
      Amueni wananchi wakati ni huu wa kufanya kama Tunisia.
      Mbona watumishi wa serikali wote wameisha lipwa mishahara ? ww unasemea mishahara ipi sasa ? Hizi ni habari za udaku na hapa si sehemu yake, na picha yako nzuri ulivyo pendeza nataka kuleta posa nikuoe

    11. #28
      Shomoro's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd August 2010
      Posts : 111
      Rep Power : 465
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By nndondo
      hebu achaneni na bubge hivi mmeshajiuliza hiyo semina ya wiki mbili kwa wabunge wote hao ya kumsikiliza fisadi hosea mtu ambaye wao wanatakiwa kum discipline inatumia zaidi ya milion 20 kwa siku bila kujumlisha mafuta yao na perdiem kulikua na umuhimu kweli? Kweli kuna seminar gani ndefu kiasi hicho ya one size fits them all, wabunge wapya na wa zamani wanafundishwa sane thing na same instructo, sawa na wanafunzi wa darasa la kwanza na la saba kusoma somo moja kwa mwalimu mmoja
      Mkuu hapo ndio kuna tatizo kubwa sana hasahasa kwenye hizi serikali zetu za kifisadi. Watu wanahisi wakipata cheo serikalini maana yake ni kuzua safari na vikao visivyo na tija almradi wanapata hizo per diems, night out allowanses et cetera. Kwa kiasi kikubwa inachangiwa na mfumo wa serikali wenyewe ambapo mara nyingi hutoa mshahara kiduchu usiokidhi hata robo mwezi. Matokeo yake watu maofisini wanahaha kutafuta madili na hapo kazi hazifanyiki na unakutana na ma-four by four tu mikoani. What a shame. Tuige wenzetu hata kwa Mandela tu jamani tufanye kazi na tuache ujanja ujanja wa ki-RA.
      AN INJURY TO ONE IS AN INJURY TO ALL

    12. #29
      MMASSY's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th January 2011
      Posts : 91
      Rep Power : 441
      Likes Received
      6
      Likes Given
      12

      Default

      Quote By Baba_Enock
      carmel -

      Naomba kuuliza tu - OC ndiyo nini vile? Maana wengine hatujawahi kufanya kazi serikalini tangia kutoka tumboni mwa Mama zetu!

      It sounds like "salary advance"? right?
      Other Charges

    13. #30
      BLUE BALAA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Posts : 836
      Rep Power : 602
      Likes Received
      59
      Likes Given
      0

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Aibu
      "Goals are dreams we convert to plans and take action to fulfill." - Zig Ziglar

    14. #31
      Inkoskaz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Location : URT
      Posts : 4,396
      Rep Power : 7348
      Likes Received
      1060
      Likes Given
      1088

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By GeniusBrain
      Mbona watumishi wa serikali wote wameisha lipwa mishahara ? ww unasemea mishahara ipi sasa ? Hizi ni habari za udaku na hapa si sehemu yake, na picha yako nzuri ulivyo pendeza nataka kuleta posa nikuoe
      Mkuu nadhani una utani na huyu mdada na mambo ya posa yametoka wapi?
      watu hawazungumzii mishahara hapa mkuu,kama kazi hazifanyiki,miradi ya maendeleo hakuna na hata pesa za uendeshaji wa ofisi kila siku hamna ni aina gani ya kazi hiyo?hata hiyo mishahara itakwama kwa kuwa hakuna uzalishaji
      usije kuwa ni mmoja wao unasubiri tarehe tu wakati hufanyi kazi
      Thinking is the hardest work there is,which is probably the reason why so few engage in it!!

    15. #32
      ANKOJEI's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Posts : 402
      Rep Power : 512
      Likes Received
      98
      Likes Given
      89

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      juu mbali chini mwamba, tutaenda wapi?

    16. #33
      Jackbauer's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th October 2010
      Location : CTU
      Posts : 4,873
      Rep Power : 1690
      Likes Received
      1348
      Likes Given
      277

      Default

      Quote By GeniusBrain
      Mbona watumishi wa serikali wote wameisha lipwa mishahara ? ww unasemea mishahara ipi sasa ? Hizi ni habari za udaku na hapa si sehemu yake, na picha yako nzuri ulivyo pendeza nataka kuleta posa nikuoe
      wewe toa mbwembwe hapa.una uhakika kwamba watu wamelipwa au unaropoka tu.

    17. #34
      Mallaba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th January 2008
      Location : Jerusalem
      Posts : 2,562
      Rep Power : 1089
      Likes Received
      24
      Likes Given
      28

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      hapo umeongea, kama wanasema hawana pesa basi tunataka tusikie hata bunge limeahirishwa au wapunguziwe salary zao, hapo tutajua kama wako serious lasivyo tutaingia street like egypt
      Quote By Consultant
      Hivi ule mkutano wa Bunge letu ''tukufu'' wa mwezi wa pili bado upo pale pale?

      Nadhani wangeanza kwa kuuahirisha huo kwanza.

      Wananchi wafanye kama Tunisia? - ile sumu tuliyopuliziwa ya ''amani, utulivu na mshikamno'' itachukua muda mrefu saaana ku-expire.
      Ee Bwana uyasikilize maneno yangu, ukaangalie kutafakari kwangu.

    18. #35
      Mtoboasiri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th August 2009
      Location : Am at Large!
      Posts : 3,598
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1153
      Likes Given
      745

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By GeniusBrain
      Mbona watumishi wa serikali wote wameisha lipwa mishahara ? ww unasemea mishahara ipi sasa ? Hizi ni habari za udaku na hapa si sehemu yake, na picha yako nzuri ulivyo pendeza nataka kuleta posa nikuoe
      Kama unafanya kazi serikalini kweli tuambie: Posho za nyumba zimelipwa mwezi huu uliopita? Na si mwezi Januari tu hata miezi ijayo hazitalipwa maana kuna waraka umetolewa kuzifuta. Au nao ni udaku?

    19. #36
      Kituko's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th January 2009
      Posts : 3,706
      Rep Power : 1285
      Likes Received
      490
      Likes Given
      173

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By Consultant
      Hivi ule mkutano wa Bunge letu ''tukufu'' wa mwezi wa pili bado upo pale pale?

      Nadhani wangeanza kwa kuuahirisha huo kwanza.

      Wananchi wafanye kama Tunisia? - ile sumu tuliyopuliziwa ya ''amani, utulivu na mshikamno'' itachukua muda mrefu saaana ku-expire.
      Mkuu kwenye maswala ya kupiga Kabobo (mambo ya bunge) una sema letu
      ikija kwenye kudahi haki (Hapo nyekundu) unazungumzia wafanye, wakina nani wafanye? wewe utakuwa wapi wakati huo?

    20. #37
      samora10's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st July 2010
      Location : Kwa-Gude
      Posts : 3,252
      Rep Power : 1102
      Likes Received
      729
      Likes Given
      1163

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      tukinukishe kama tunisia na egypt tu... watanzania bana sijui tunasubiri nini

      mishahara hakuna na sukari ndio hiyo buku mbili kilo
      ''Mipango na Mikakati imekamilika na sasa tuko kwenye mchakato wa mazungumzo na wafadhili"- M Pinda

    21. #38
      nyabhingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Posts : 3,210
      Rep Power : 1288
      Likes Received
      1347
      Likes Given
      2627

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Quote By GeniusBrain
      Mbona watumishi wa serikali wote wameisha lipwa mishahara ? ww unasemea mishahara ipi sasa ? Hizi ni habari za udaku na hapa si sehemu yake, na picha yako nzuri ulivyo pendeza nataka kuleta posa nikuoe
      kaka sio watumishi wote espscially kwenye ofisi za makatibu tawala wa mikoa,...mimi ni mmojawapo nimepokea mshahara leo tarehe moja feb..na oc zinazokuja ni aibu ikifika inafanyiwa proration(pro rata basis) idara yetu ya ukaguzi tulishawahi kupata 400,000/=...napiga CPA yangu nikimbie utumishi wa umma hakufai

    22. #39
      Ronal Reagan's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 2,627
      Rep Power : 958
      Likes Received
      615
      Likes Given
      256

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      It's get seriously horrible by a minunte! I prefer not to laugh nor cry but hold my breath and summon my strength to fight any form of evil till my last breath.

      Mambo yamebadilika, tena bila kutarijiwa kwa upande wa watawala. Walidhani bzness as usual lakini ime-backfire ile mbaya. Swali nalojiuliza kwa muda huu ni kwa utaratibu/njia gani Jk na CCM waliweza kuifisadi Hazina namna hiyo. Kwa sababu kuna misaafu ya kuongoza mambo ya fedha Hazina na kuna watu wenye dhamana na uwezo (kitaaluma)...au ndio yale yale ya taaluma bila maadili?

      Kuna siku, nadhani hiyo siku haiko mbali ambapo mbivu na mbichi zote zitajulikana na kila alichostahili mtenda basi atapewa iwe haki au adhabu.

    23. #40
      Ndachuwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th March 2006
      Location : ARUSHA
      Posts : 2,654
      Rep Power : 1210
      Likes Received
      542
      Likes Given
      415

      Default Re: hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana

      Mafuta ya alizeti kabla ya uchaguzi yalikuwa TShs. 2000 kwa lita. Leo bei ni TShs. 3,500 kwa lita....Tanzania Tanzania Naipenda kwa moyo wote.....
      "Effective leadership is not about making speeches or being liked; leadership is defined by results not attributes" Peter Drucker

    24. FemaTV & Radio
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Hali mbaya ya uchumi wa tanzania
      By regam in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 5
      Last Post: 11th December 2011, 12:18
    2. Replies: 73
      Last Post: 22nd November 2011, 22:46
    3. JK ana hali mbaya sana ...
      By Mwakalinga Y. R in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 39
      Last Post: 30th September 2011, 11:43
    4. Hali mbaya SANA.... sikitiko
      By TIMING in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 56
      Last Post: 11th August 2011, 02:28
    5. Hali mbaya sana Muhimbili
      By Sizinga in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 26th June 2011, 15:34

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...