Re: Atimaye uvccm taifa yasoma alama za nyakati na kutoa tamko zito.
Niliandika hivi kwenye fb yangu jana:
t just hit me.. President might come out the hero of Dowans saga. I have been wondering what is the meaning of his silence. Then like lightning in the middle of the night; it hit me. What if he would emerge the hero by stopping Dowans payments like what he did with the New Constitution? Brilliant!
Tatizo ni kuwa hali iliyopo ni 'damn if you do and damn if you don't'. Akikubali Dowans walipwe Mwakyembe na Sita ni lazima wajiuzulu. Akisema kuwa wasilipwe AG na Ngeleja lazima nao wajiuzulu.
mwanakijiji@jamiiforums.com
Binafsi NAKERWA, NAKASIRISHWA, NA KUCHUKIZWA sana na haya mambo kwamba eti "ameshauriwa vibaya na wasaidizi wake!" Huwa mara zote najiuliza ikiwa anashauriwa vibaya ni kwanini basi kila wakati awe anachukua huo ushauri mbaya!! - NasDaz
Follow Us Here