Maswali haya mwezi huu yanahitaji majibu toka kwa JK
Nakaa na kufikiri sana kama hotuba ya JK mwezi huu itaweza kujibu maswali yetu yote muhimu ambayo yanahitaji majibu ya haraka. Tungependa kujua tume ya BOT imefikia wapi? Vipi kuhusu Attoney general,atawajibika lini? vipi kuhusu Hosea,amefikia wapi? Watuhumiwa wa Richmond,serikali inachukua hatua gani au imechukua hatua gani? Vipi kuhusu pesa tunazolipa serikali inachukua hatua gani? IPTL,Songa's na Downs vipi?
"Flaming enthusiasm, backed by horse sense and persistence, is the quality that most frequently makes for success."
Re: Maswali haya mwezi huu yanahitaji majibu toka kwa JK
Hivi Balali yuko wapi? nadhani ni Mtanzania mwenye furaha kupata wote wakati huu maana kwa karibu mwezi mzima fisadi numero uno amekuwa ni Lowassa; na sitashangaa siku chache zijazo Mwanyika naye atajiuzulu halafu tutamsahau Lowassa...!!
[email protected] Tunapotaka kubadilisha watawala si kwa sababu tunataka kubadilisha sura; bali kubadilisha utawala! Yaani, tunataka kubadilisha jinsi tunavyotawaliwa siyo tu sura za wanao tutawala M. M. Mwanakijiji
Follow Us Here