Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

    Report Post
    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast
    Results 41 to 60 of 210
    1. #1
      Paulo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2009
      Location : TZ
      Posts : 337
      Rep Power : 604
      Likes Received
      34
      Likes Given
      18

      Default Wasifu wa Godbless Lema (MP)



      Amani iwe kwenu Great thinkers
      Kwa kweli wote tumeona ushujaa uliooneshwa na Mbunge wa Chadema Arusha mjini katika kudai uchaguzi huru wa meya na naibu wake. Katika harakati hizo ilipelekea yeye kupigwa kionevu na polisi hadi kulazwa hospitali. Still hakukata tamaa, na akaanda maandamano makubwa ya kudai haki hiyo ambapo polisi walimkamata pamoja na viongozi wengine wa CDM huku wakimwaga damu za watu wasiokua na hatia. Hili limetikisa nchi na tunaamini lazima uchaguzi urudiwe. Hivyo basi kwa kutambua mchango wa GODBLESS LEMA, tunaomba yeyete mweye kujua background yake atujuze hapa jamvini.
      Wisdom likes this.
      IN EASY TIMES ANYONE CAN MAKE MONEY BUT IN DIFFICULT TIMES YOU CAN TELL THE MEN FROM THE BOYS.


    2. #41
      Mnyagundu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd October 2008
      Posts : 117
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Elizaa View Post
      Umekosea sana we mkaka, maana huyu ni kaka yangu wa damu, na kwa taarifa yako ni mpambanaji humuwezi acha kabisa Kashfa zako.

      Amezaliwa machame Nronga. Na hili jina Lema sio la hivihivi. Ni watu wanaojua wanachotaka na wanakokwenda. Sio Bendera fuata upepo. Google search hilo jina LEMA usome wasifu wao ndio utaelewa!!!

      Ndio maana mnapeleka nchi mrama maana manaongea tu bila kufikiri. na Hamshauriki. Huu mwaka wenu sisem
      Hawala yako mimi nakufahamu!

    3. #42
      Mnyagundu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd October 2008
      Posts : 117
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By FirstLady View Post
      hata angekuwa kijana wa mtaan,Lema ni mwanaume wa kweli,shujaa wa 2011,dume la uhakika asiye na ubabaishaj ktk kutetea maslai ya wananchi wake.uwezo na dhamira yake ndio mwanzo wa arusha mpya tunayoisubiria.Mungu na amlinde na kumtia nguvu, AMEN.
      Aendelee kupata kipigo tena kutoka polisi ili 2015 aje asema nilipigwa kwa ajili yenu ndio mana sija leta maendeleo!

    4. #43
      Mnyagundu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd October 2008
      Posts : 117
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By michelle View Post
      Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....
      Huwezi punguza ukali wa maisha kwa kula milungi! Ndio zao vijana wa arusha wasipo angalia watashikwa makalio wamezidi kukaa na kubweteka!

    5. #44
      Arafat's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th November 2009
      Posts : 2,372
      Rep Power : 966
      Likes Received
      583
      Likes Given
      576

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      CV ya nini hapa CV inajionyesha tayari; leteni hapa ya Sofia S wa ccM CV ya Leme ipo wazi inajionyesha yenyewe hatujui ya makamba, Rostam, Hawa Ghasia, hata mpaka leo hatujaambiwa nini kilimuua Mama Mbatia
      Siku tutakapoacha kuwa mashabiki wa wanasiasa ndio siku hatua ya kwanza ya kujikomboa itakapo anza

    6. #45
      Saint Ivuga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Posts : 20,741
      Rep Power : 10184
      Likes Received
      5679
      Likes Given
      12666

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      JF the best place to be. and the POWER of God be with us all the time.


    7. #46
      VoiceOfReason's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Everywhere
      Posts : 5,239
      Rep Power : 1898
      Likes Received
      1152
      Likes Given
      603

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Sometimes the Past does not Determine the Future...... Tusipende kuchimba yaliyopita.... hata kama zamani alikuwa Malaika au Shetani... it does not determine huko mbele atakuwaje... nadhani chapter yake ndio imefunguka sasa tuanze kumjudge from now....
      Even a Genius Asks Questions....

    8. #47
      Elizaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 129
      Rep Power : 465
      Likes Received
      32
      Likes Given
      23

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Mnyagundu View Post
      Hawala yako mimi nakufahamu!
      Mmezoea kutukana ,pole, inaonekana wewe unamfahamu kila mtu. Usilolijua ni kama usiku wa giza. Mwanaume hapendezi kuongea ovyo. N

      Hiyo home work ushafanya au bado unakakaa tu hapa. Usipende kupoteza muda. Hebu na wewe fanya Jambo la maana ujulikake kama Lema.

      Upende usipende. Lema ndio Mbunge wa Arusha. Acha kijiba cha Roho. Unajibu hoja kwa kashfa.

    9. #48
      Reyes's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st September 2010
      Posts : 188
      Rep Power : 484
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani View Post
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
      Makamba niaje? upo tuu

    10. #49
      Mapinduzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2008
      Posts : 2,429
      Rep Power : 1037
      Likes Received
      14
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By VoiceOfReason View Post
      Sometimes the Past does not Determine the Future...... Tusipende kuchimba yaliyopita.... hata kama zamani alikuwa Malaika au Shetani... it does not determine huko mbele atakuwaje... nadhani chapter yake ndio imefunguka sasa tuanze kumjudge from now....
      Tuache kabisa kuongelea mambo ya DOWANS, Richmonds, Meremeta, Rada deals etc. na wahusika wao. Tusipende kuchimba yaliyopita, eti......

      Past does not determine the future!? Kwa ile ni MCHADEMA?.

      Stereotype!
      Usiogope kufa, ogopa kukosa pesa. Kilimo kwanza

    11. #50
      Crashwise's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd October 2007
      Location : Safarini
      Posts : 13,482
      Rep Power : 19246
      Likes Received
      4197
      Likes Given
      3376

      Default

      Quote By Mnyagundu View Post
      Hawala yako mimi nakufahamu!
      Kwa hiyo na wewe unataka uwe hawala?

    12. #51
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,859
      Rep Power : 19823
      Likes Received
      5657
      Likes Given
      3878

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Crashwise View Post
      Kwa hiyo na wewe unataka uwe hawala?


      Naogopa kuijibu mijingamijinga hiyo ya ccm nitapigwa ban, maana wao kuandika hoja za kudhiaki ni ruksa hapa.
      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    13. #52
      mapambano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th March 2008
      Posts : 538
      Rep Power : 682
      Likes Received
      8
      Likes Given
      15

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      As long as Lema is with chadema, JF atapigiwa debe tu! its that simple...Sasa ngoja atoke chadema ndio utajua madhambi yake....

      CV yake ni chadema
      IT'S TIME TO STOP RELIGIOUS LEADERS FROM MAKING POLITICAL STATEMENTS THAT CAN DIVIDE US BEFORE IT'S TOO LATE OR WE ARE BOUND TO START KILLING EACH OTHER

    14. #53
      Gurudumu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th February 2008
      Posts : 2,343
      Rep Power : 1061
      Likes Received
      226
      Likes Given
      104

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Nilipata bahati ya kuwa karibu na lema, mbowe, na viongozi wa Chadema mkoa wa arusha wakati wa maandalizi hadi mazishi ya wapigania uhuru. Wakati wa kampeni za Uchaguzi thread zilizokusudia kuwabomoa mbowe na lema ili wasichaguliwe. Nimewahi kuwa karibu kiasi na zitto.

      Leo najivunia sana kupata nafasi ya kushirikiana na lema na mbowe japo kidogo kwenye harakati za mazishi ya wapigania uhuru wetu. Natamani kama ningekuwa na nguvu, determination, organizing skills, uzalendo, ufamamu wa kuzitambua na ku deal na dirty politics za serikali na ccm. Angalau robo yao tu. Viongozi wa mkoa pia hasa mwenyekiti, nawatamani kweli kweli.

      Team work, team spirit, kujituma kwa nguvu zote kabisa, kazi usiku na mchana bila kulala, upendo, kusikilizana, heshima kwa kila wazo, kujitolea garama kwa Hali na mali, n.k.

      Ukumbuke kwamba ile shughuli ya mazishi ya wapigania uhuru ingekuwa ni ya ccm, Leo hii tungeambiwa zilitimuka billioni tano. Lilikuwa ni tukio kubwa sana kwetu sisi tuliobahatika kuwa behind the camera. Pia ukumbuke polisi na ccm walikuwa wanawasiliana live na wafiwa ili maiti zisije NMC.

      Nikipata muda nitaanzisha thread ingine kuwasilisha obseration yangu kuhusu maandalizi na mazishi. Ni rahisi kutazama picha hapa janvini na kutoa maoni yako lakini siyo rahisi kujua what it meant and how it feels like kwa wale wahusika wakuu, yaani lema, mbowe, na viongozi wa Chadema arusha.

      Lakini nilifurahi zaidi mno kuona, siku ya tukia, machalii walivyokuwa wanawapenda lema, mbowe, na mwenyekiti wa mkoa. Kila walipoonekana watu walitaka kuwabeba. Kumbuka bila lema fujo ingetokea pale mortuary baada ya maiti kuchelewa kutoka kwa zaidi ya saa nne. Wakati machalii walipoanza kupandisha pale mlango wa mortuary, mbowe aliwaambia subirini lema anakuja. Lema alikuwa getini akimanage machalii wengine. Alipoitwa aliwaambiwa twendeni getini tukacheze regge. Walishangilia wakamfuata kama yule mpiga filimbi aliyehamisha panya kwenye mji fulani. Akakaa pale getini akiwakeep busy na regge na nyimbo za sarafina hadi msafara ulipoanza kwenye saa nane mchana

    15. #54
      STEIN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2010
      Location : Arusha
      Posts : 1,348
      Rep Power : 720
      Likes Received
      308
      Likes Given
      157

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani View Post
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
      You are sick!!!!!

    16. #55
      niweze's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st October 2009
      Posts : 1,011
      Rep Power : 702
      Likes Received
      113
      Likes Given
      82

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      We are Building Leaders na Tunamwona. Vijana Tuangalie Jinsi Gani ya Kuingia Kisiasa na Kujijenga. This is Excellent and May be Future Tanzania President.

    17. #56
      Waberoya's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2008
      Location : Busia-Uganda
      Posts : 5,948
      Rep Power : 1746
      Likes Received
      1519
      Likes Given
      2835

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Elizaa View Post
      Umekosea sana we mkaka, maana huyu ni kaka yangu wa damu, na kwa taarifa yako ni mpambanaji humuwezi acha kabisa Kashfa zako.

      Amezaliwa machame Nronga. Na hili jina Lema sio la hivihivi. Ni watu wanaojua wanachotaka na wanakokwenda. Sio Bendera fuata upepo. Google search hilo jina LEMA usome wasifu wao ndio utaelewa!!!

      Ndio maana mnapeleka nchi mrama maana manaongea tu bila kufikiri. na Hamshauriki. Huu mwaka wenu sisem
      Umesema ndugu wa damu, hujajibu hoja, kuna wt mnatia kichefuchefu humu!

      angalia asiye ndugu wa damu anavyojibu na uone jibu lake lilivyo zuri!

      Even if was tapeli, SAULI turned to be PAUL yet today ia a hero! siona kabisa kama alikuwa tapeli na leo shujaa then he ie best than those who are padre, rev, shekh yet they are coward!

      Quote By FirstLady View Post
      hata angekuwa kijana wa mtaan,Lema ni mwanaume wa kweli,shujaa wa 2011,dume la uhakika asiye na ubabaishaj ktk kutetea maslai ya wananchi wake.uwezo na dhamira yake ndio mwanzo wa arusha mpya tunayoisubiria.Mungu na amlinde na kumtia nguvu, AMEN.
      Well said! hoja ikijibiwa vizuri inamuua kabisa muharibuji!
      You are not supposed to be so blind with patrotism that you cant face reality. Wrong is wrong no matter who says it. Malcom X

    18. #57
      Chakaza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 10th March 2007
      Location : everywhere
      Posts : 3,725
      Rep Power : 1515
      Likes Received
      974
      Likes Given
      565

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Ama View Post
      Tuache kabisa kuongelea mambo ya DOWANS, Richmonds, Meremeta, Rada deals etc. na wahusika wao. Tusipende kuchimba yaliyopita, eti......

      Past does not determine the future!? Kwa ile ni MCHADEMA?.

      Stereotype!
      Hayo sio past kwa vile yanaendelea kutafuna nchi na watu wake, usikurupuke. Hata kama mtu alikuwa mwovu hapo kale na akabadilika na kuwa mtu safi na mwenye faida kwa jamii hilo sio mjadala tena zaidi ya pongezi. Heba waambieni wale viongozi wazembe,wabinafsi,wadini na wasiojali utu nk ndani ya uongozi wa CCM wajirudi na kutubu mbele yetu makosa yao na kubadilika kwa kutoa utumishi ulio bora kama hawataiona support ya wananchi na kusifiwa kwa hayo.
      Hatutajua chochote iwapo hatutahoji na kudadisi

    19. #58
      Diehard's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd November 2010
      Posts : 339
      Rep Power : 502
      Likes Received
      35
      Likes Given
      81

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Luis Lula Da Silva? Mshona viatu aliye tawala Brazil???????????????????
      Wrong is wrong no matter who says it , If you don't stand for something you will fall for anything'.

    20. #59
      Gudboy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th August 2009
      Location : DSM
      Posts : 805
      Rep Power : 662
      Likes Received
      9
      Likes Given
      10

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Mimi nadhani ukiona huna cha kuchangia si lazima uandike wakati mwingine unaweza kuipotezea tu thread kama uhuisani nayo, mdau ameomba cv ya mtu kwa kua yeye anahitaji kumfahamu, lakini baadhi ya wachangiaji wameanza kwa kutoa majibu ya dharau, yasiyohusiana lakini pia wapo waliotoa jibu la moja kwa moja kulingana na maswali. Tuheshimu mada/mawazo/kutoelewa/kuelewa kwa jambo ambalo mtu anahitaju ufafanuzi. Ni hayo tu
      Kuwa na Mashori wengi si kipimo cha Urijali, kama mwanaume wa kweli, nyumbani wapate Ugali

    21. #60
      MAKALA's Avatar
      Member Array
      Join Date : 31st March 2009
      Posts : 28
      Rep Power : 526
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      kwa kweli mm simjui mbunge huyu wa arusha, ila kwa matukio ninayoyaona kupitia tv na redio anaonekana ni mtu jasiri sana, mungu amsaidie asonge mbele,tunahitaji watu majasiri kama lema kwa wakati huu ili tuweze kutoka katika minyororo ya utawala thalimu wa CCM.

    Page 3 of 11 FirstFirst 12345 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Siku za Godbless Lema zinahesabika..
      By Crashwise in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 42
      Last Post: 8th January 2012, 10:05
    2. Godbless Lema hakawishi....!
      By Sizinga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 23
      Last Post: 21st July 2011, 17:04
    3. Kwako Mh. Godbless Lema......
      By PapoKwaPapo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 17
      Last Post: 23rd May 2011, 00:16

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...