Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)
Mimi nadhani ukiona huna cha kuchangia si lazima uandike wakati mwingine unaweza kuipotezea tu thread kama uhuisani nayo, mdau ameomba cv ya mtu kwa kua yeye anahitaji kumfahamu, lakini baadhi ya wachangiaji wameanza kwa kutoa majibu ya dharau, yasiyohusiana lakini pia wapo waliotoa jibu la moja kwa moja kulingana na maswali. Tuheshimu mada/mawazo/kutoelewa/kuelewa kwa jambo ambalo mtu anahitaju ufafanuzi. Ni hayo tu
Kuwa na Mashori wengi si kipimo cha Urijali, kama mwanaume wa kweli, nyumbani wapate Ugali
Follow Us Here