Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

    Report Post
    Page 2 of 11 FirstFirst 1234 ... LastLast
    Results 21 to 40 of 210
    1. #1
      Paulo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2009
      Location : TZ
      Posts : 337
      Rep Power : 599
      Likes Received
      32
      Likes Given
      18

      Default Wasifu wa Godbless Lema (MP)



      Amani iwe kwenu Great thinkers
      Kwa kweli wote tumeona ushujaa uliooneshwa na Mbunge wa Chadema Arusha mjini katika kudai uchaguzi huru wa meya na naibu wake. Katika harakati hizo ilipelekea yeye kupigwa kionevu na polisi hadi kulazwa hospitali. Still hakukata tamaa, na akaanda maandamano makubwa ya kudai haki hiyo ambapo polisi walimkamata pamoja na viongozi wengine wa CDM huku wakimwaga damu za watu wasiokua na hatia. Hili limetikisa nchi na tunaamini lazima uchaguzi urudiwe. Hivyo basi kwa kutambua mchango wa GODBLESS LEMA, tunaomba yeyete mweye kujua background yake atujuze hapa jamvini.
      Wisdom likes this.
      IN EASY TIMES ANYONE CAN MAKE MONEY BUT IN DIFFICULT TIMES YOU CAN TELL THE MEN FROM THE BOYS.

    2. Study Abroad

    3. #21
      Mungi's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 23rd September 2010
      Location : Hapa!!!
      Posts : 10,154
      Rep Power : 24267
      Likes Received
      4668
      Likes Given
      2294

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.

      Tapeli ****** yako!
      Hata kama una chuki naye huwezi mfananisha hivyo, huna mamlaka ya kututukana sisi wana Arusha tuliomchagua awe Mbunge wetu. Sisi ndio tunaomjua Lema siyo wewe uliyejaa udini mpaka kwenye haja.
      Inaonyesha wewe kwa namna moja ama nyingine umehusika kuwaua raia wasio na silaha.
      NYAAAMBAFF!!!!
      "Peace is not simply about the absence of violence. It is defined by the presence of fundamental liberties and the prevalence of economic opportunities."

    4. #22
      tama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th December 2010
      Posts : 341
      Rep Power : 495
      Likes Received
      15
      Likes Given
      6

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
      Sometimes we need to be serious,coz mtu akiuliza swali ina maana anahitaji kujua ukweli na sio ----.

    5. #23
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8702
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2691

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Paulo
      Niliposoma post ya Selemani niliona kama ---- flani hivi ....ila Michelle alipoiunga mkono basi mi nikawa sina shaka na hiyo post. ila nayo ni sehemu ya wasifu na nimfano wa kuigwa kwa vijana kuwa unaweza kubadilika kutoka maisha flani kwenda maisha mengine. Hata obama wakati wa kampeni zake alikiri kuwahi kuvuta bangi ila akaweza kuacha na kujikita kwenye masomo na kufanikiwa kudahiliwa Havard. So The guy is still a god example for youths who have found themselves in the midst of peer pressure to do immoral things.......
      Ni kweli unajua kuna mambo mengine unapitia kama kijana kwenye maisha(Si kama na-justify) kwenye kutafuta maisha,na unapokuwa na deal kama za madini una deal na watu tofauti sana na pia baada ya kugombea kupitia TLP watu wakaona nguvu yake ambapo pia inasadikiwa alishinda,basi watu wakawa wanamwekea mitego ya kiaina ili aharibu image yake but deep down he is just a guy aliyekuwa anatafuta maisha kwenye mazingira yenye utapeli ndo maana ni rahisi sana watu kumuona naye tapeli.But kitu kikubwa kwa Lema anaielewa Arusha na matatizo yake,na ana uchungu sana....na kama mlimsikiliza kipindi cha uchaguzi kwenye TBC alieleza vyema kwanini anagombea na nini anataka kufanya na akasisitiza umuhimu wa kubadili attitude akijua wazi anaomba uongozi jimbo ambalo vijana wengi wanaamini kwenye utapeli na mambo kama hayo.
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.

    6. #24
      Kibunango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2006
      Location : Tampere
      Posts : 6,802
      Rep Power : 44129
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1424

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By michelle
      ...na kama mlimsikiliza kipindi cha uchaguzi kwenye TBC alieleza vyema kwanini anagombea na nini anataka kufanya na akasisitiza umuhimu wa kubadili attitude akijua wazi anaomba uongozi jimbo ambalo vijana wengi wanaamini kwenye utapeli na mambo kama hayo.
      Vizuri kujua hilo..
      Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
      But, if you think again, neither does milk."
      Vituko Vya Zenj

    7. #25
      Michelle's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th November 2010
      Location : Empire State of Mind
      Posts : 6,926
      Rep Power : 8702
      Likes Received
      1867
      Likes Given
      2691

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Kibunango
      Vizuri kujua hilo..
      Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....
      I understand that God did not put in me the ability to always make right decisions.He did,however put in me the ability to make a decision and then make it right.My mind will live in the solution of the future.

    8. FemaTV & Radio

    9. #26
      Elizaa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 128
      Rep Power : 460
      Likes Received
      32
      Likes Given
      23

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
      Umekosea sana we mkaka, maana huyu ni kaka yangu wa damu, na kwa taarifa yako ni mpambanaji humuwezi acha kabisa Kashfa zako.

      Amezaliwa machame Nronga. Na hili jina Lema sio la hivihivi. Ni watu wanaojua wanachotaka na wanakokwenda. Sio Bendera fuata upepo. Google search hilo jina LEMA usome wasifu wao ndio utaelewa!!!

      Ndio maana mnapeleka nchi mrama maana manaongea tu bila kufikiri. na Hamshauriki. Huu mwaka wenu sisem

    10. #27
      kada wa ccm's Avatar
      Member Array
      Join Date : 9th January 2011
      Posts : 18
      Rep Power : 426
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By selemani
      godbless lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana arusha.
      exactly,,,tena ni mchaga kama mbowe

    11. #28
      bagamoyo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th January 2010
      Posts : 1,308
      Rep Power : 1097
      Likes Received
      300
      Likes Given
      354

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By michelle
      Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....
      Nakubaliana na wewe Michelle, kwa kuongeza hata ukisikiliza nyimbo za vijana wa kizazi kipya (Hip Hop/ Rap/ Reggae) wenye makazi yao Arusha mistari yao siyo ya ki-'bling-bling' kama vijana wa Dar-es-Salaam, Machalii wa Arusha nyimbo zao ni kukosoa maovu ktk jamii, kushutumu wanaotumia madaraka vibaya kama SISIEM.

      Hivyo sishangai kuona machalii baada ya kipindi cha 'kuimba' sasa 'wanafanya vitu kwa matendo' kama kuchagua chama makini CHADEMA, kuandamana bila hofu na hatimaye kuilazimisha serikali kusalimu amri kwa polisi kutotokea ktk mazishi ya mashujaa wanaotaka kuleta mabadiliko ya kweli kwa Mtanzania. Saa ya Ukomboziwa Kweli Imetimia.
      .

    12. #29
      Mnyagundu's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 3rd October 2008
      Posts : 117
      Rep Power : 0
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By Paulo
      Wadau tudondosheeni CV za huyu shujaa mpya
      Ameishia form four na alikua dalali wa mazao ya nafaka sokoni arusha mjini na badae mbunge wa arusha mjini kupitia chadema! Anafaa kibongobongo

    13. #30
      Kibunango's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th August 2006
      Location : Tampere
      Posts : 6,802
      Rep Power : 44129
      Likes Received
      368
      Likes Given
      1424

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By michelle
      Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....
      Kwa kuwa anajua matatizo ya vijana wengi mkoani humo na yeye binafsi ameshawahi kuwa katika kadhia hiyo, hapana shaka atatumia muda wake wa ubunge kutatua matatizo hayo. Badala ya kupoteza muda kwa shughuli ambazo hazina tija kwa wapiga kura wake!
      Save Water Drink Beer. "Alcohol doesn't solve any problem,
      But, if you think again, neither does milk."
      Vituko Vya Zenj

    14. #31
      Kinyambiss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2007
      Posts : 1,406
      Rep Power : 900
      Likes Received
      31
      Likes Given
      18

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Kwhiyo Bunge 'tukufu' la Tanzania lina stahili kuwa na uwakilishi wa MATAPELI? lol Democracy is interesting...

    15. YE
      #32
      YE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th November 2008
      Posts : 446
      Rep Power : 623
      Likes Received
      8
      Likes Given
      46

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
      Inaonekana hakimu alikuwa bro chapombe nini?
      WHERE IS THE LOVE?

    16. #33
      mama kubwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 529
      Rep Power : 542
      Likes Received
      107
      Likes Given
      8

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      pole mtoa mada kama nia yako ilikuwa kumchafua nitakupa mfano wa jimbo moja mgombea wa ccm anaejiita msomi mwenye digree aligombea na muuza kuku wananchi pamoja na wasomi walimchagua muuza kuku wakachakachua msomi akamzidi muuza kuku sokoni kura moja.jimbo liliokolewa kwa gharama za kuchoma kura kupoteza ushahidi kifupi hichi kinawakera sana wananchi ndio asili ya maandamano ya kudai haki.mabadiliko ni lazima wapende wasipende.leo hii tumeona wananchi wa mbarari wakihoji kwa nini lori la mafuta linaruhusiwa kupita wakati wao wanazuiwa kupitisha malori ya kubeba mazao yao.hao wasomi na wanaodaiwa ni safi wamefanyia wananchi nini zaidi ya kuwaibia?

    17. #34
      Quinine's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 26th July 2010
      Posts : 3,698
      Rep Power : 1199
      Likes Received
      380
      Likes Given
      114

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. Ila demokrasia imechukua mkondo wake na kapewa ubunge na wana Arusha.
      Si kila post lazima uchangie.
      Walianza na ukabila haukulipa wakaja na ukanda haukulipa, wakaleta singo ya udini imechuja, mwisho wameibuka kwa matusi.

    18. #35
      Selemani's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th August 2006
      Posts : 585
      Rep Power : 0
      Likes Received
      74
      Likes Given
      5

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Quinine
      Si kila post lazima uchangie.
      Since 2006, I have only 359 posts. Sichangii kila ----- mkuu. Contrary to u.

    19. #36
      FirstLady's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th December 2007
      Posts : 537
      Rep Power : 694
      Likes Received
      102
      Likes Given
      88

      Default

      Quote By Mnyagundu
      Ameishia form four na alikua dalali wa mazao ya nafaka sokoni arusha mjini na badae mbunge wa arusha mjini kupitia chadema! Anafaa kibongobongo
      hata angekuwa kijana wa mtaan,Lema ni mwanaume wa kweli,shujaa wa 2011,dume la uhakika asiye na ubabaishaj ktk kutetea maslai ya wananchi wake.uwezo na dhamira yake ndio mwanzo wa arusha mpya tunayoisubiria.Mungu na amlinde na kumtia nguvu, AMEN.

    20. #37
      Selemani's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th August 2006
      Posts : 585
      Rep Power : 0
      Likes Received
      74
      Likes Given
      5

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By FirstLady
      hata angekuwa kijana wa mtaan,Lema ni mwanaume wa kweli,shujaa wa 2011,dume la uhakika asiye na ubabaishaj ktk kutetea maslai ya wananchi wake.uwezo na dhamira yake ndio mwanzo wa arusha mpya tunayoisubiria.Mungu na amlinde na kumtia nguvu, AMEN.
      InshaAllah. Tusubiri tuone. Its nice that you are so hopeful. It is inspiring aisee.

    21. #38
      Matola's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th October 2010
      Posts : 12,465
      Rep Power : 19740
      Likes Received
      5425
      Likes Given
      3612

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Mnyagundu
      Ameishia form four na alikua dalali wa mazao ya nafaka sokoni arusha mjini na badae mbunge wa arusha mjini kupitia chadema! Anafaa kibongobongo

      Kwa sisi wengine wenye uelewa mdogo, ningeomba kwa manufaa ya wengi utujuze sifa ya kuwa mbunge wa bunge la Tanzania inatakiwa uwe na kiwango gani cha elimu? maana sisi wengine hatuna kipaji cha kuropoka ropoka kama katibu mkuu wa ccm Makamba. Pili anaejuwa University aliyosoma Rais Jacob Zuma naye atujuze tupate kuelimika, na ningependa kufahamishwa hivi huyu Bill gates ana elimu gani? ni PHD? PROFESA? AU?.
      kuna mtu mmoja hapa kwetu ana degree ya uchumi, lakini hebu angalia hapo chini madudu yake.








      Division four point 29 = Masters Mzumbe University. Nape Nnauye is my role model.

    22. #39
      KAMARADE's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th November 2009
      Posts : 63
      Rep Power : 495
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By michelle
      Ni kweli unajua kuna mambo mengine unapitia kama kijana kwenye maisha(Si kama na-justify) kwenye kutafuta maisha,na unapokuwa na deal kama za madini una deal na watu tofauti sana na pia baada ya kugombea kupitia TLP watu wakaona nguvu yake ambapo pia inasadikiwa alishinda,basi watu wakawa wanamwekea mitego ya kiaina ili aharibu image yake but deep down he is just a guy aliyekuwa anatafuta maisha kwenye mazingira yenye utapeli ndo maana ni rahisi sana watu kumuona naye tapeli.But kitu kikubwa kwa Lema anaielewa Arusha na matatizo yake,na ana uchungu sana....na kama mlimsikiliza kipindi cha uchaguzi kwenye TBC alieleza vyema kwanini anagombea na nini anataka kufanya na akasisitiza umuhimu wa kubadili attitude akijua wazi anaomba uongozi jimbo ambalo vijana wengi wanaamini kwenye utapeli na mambo kama hayo.
      Michelle kwa kusafisha majina ya "wanyumbani" kwa kweli nakukubali....Huyu jamaa angekuwa wa kwengine sidhani kama kungelika hapa na CV yake ya ubabaishaji Bin ujanjaujanja....

    23. #40
      Mo-TOWN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th October 2010
      Posts : 1,135
      Rep Power : 5161
      Likes Received
      221
      Likes Given
      84

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Selemani
      Godbless Lema ni mtoto wa mjini, tapeli turned into politics. Kama ukiweza fanya background check yake pale mahakamani utaona mara ngapi alivyoburuzwa kortini kwa tuhuma kibao za utapeli. ...........
      Acha roho ya kwanini. Ndio maana kuna watu hawataendelea maishani mwao kwa kufocus on the negative side of life.
      IT CAN BE DONE - PLAY YOUR PART!!

    24. Miaka 50
    Page 2 of 11 FirstFirst 1234 ... LastLast

    Similar Topics

    1. Siku za Godbless Lema zinahesabika..
      By Crashwise in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 42
      Last Post: 8th January 2012, 10:05
    2. Godbless Lema hakawishi....!
      By Sizinga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 23
      Last Post: 21st July 2011, 17:04
    3. Kwako Mh. Godbless Lema......
      By PapoKwaPapo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 17
      Last Post: 23rd May 2011, 00:16

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...