Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

    Report Post
    Page 10 of 11 FirstFirst ... 891011 LastLast
    Results 181 to 200 of 210
    1. #1
      Paulo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th January 2009
      Location : TZ
      Posts : 337
      Rep Power : 599
      Likes Received
      32
      Likes Given
      18

      Default Wasifu wa Godbless Lema (MP)



      Amani iwe kwenu Great thinkers
      Kwa kweli wote tumeona ushujaa uliooneshwa na Mbunge wa Chadema Arusha mjini katika kudai uchaguzi huru wa meya na naibu wake. Katika harakati hizo ilipelekea yeye kupigwa kionevu na polisi hadi kulazwa hospitali. Still hakukata tamaa, na akaanda maandamano makubwa ya kudai haki hiyo ambapo polisi walimkamata pamoja na viongozi wengine wa CDM huku wakimwaga damu za watu wasiokua na hatia. Hili limetikisa nchi na tunaamini lazima uchaguzi urudiwe. Hivyo basi kwa kutambua mchango wa GODBLESS LEMA, tunaomba yeyete mweye kujua background yake atujuze hapa jamvini.
      Wisdom likes this.
      IN EASY TIMES ANYONE CAN MAKE MONEY BUT IN DIFFICULT TIMES YOU CAN TELL THE MEN FROM THE BOYS.

    2. Miaka 50

    3. #181
      Fredrick Sanga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th January 2011
      Location : Kijitonyama
      Posts : 2,982
      Rep Power : 2589
      Likes Received
      637
      Likes Given
      776

      Default Re: Ccm wazomewa ubungo stendi kuu

      Kwanini walishukia stendi kuu. wajifichefiche hawa

    4. #182
      MVUA GAMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 102
      Rep Power : 430
      Likes Received
      54
      Likes Given
      0

      Default Re: Ccm wazomewa ubungo stendi kuu

      Kiherehere tu hicho, yaani wako kwenye mabasi yao bado wanaingia stendi badala ya kwenda Lumumba

      Quote By Fredrick Sanga
      Kwanini walishukia stendi kuu. wajifichefiche hawa

    5. #183
      Kyachakiche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2009
      Posts : 824
      Rep Power : 690
      Likes Received
      38
      Likes Given
      122

      Default Re: Ccm wazomewa ubungo stendi kuu

      Quote By MVUA GAMBA
      Kiherehere tu hicho, yaani wako kwenye mabasi yao bado wanaingia stendi badala ya kwenda Lumumba
      Huwa hawana aibu hao. Sijui mtu anakatizaje mitaani huku ametinga kijani na njano na mkononi amebeba tochi kwa sababu ya mgao wa umeme!!

    6. #184
      chumakipate's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th December 2010
      Posts : 66
      Rep Power : 440
      Likes Received
      2
      Likes Given
      20

      Default Re: Ccm wazomewa ubungo stendi kuu

      CCM hawasafishiki tatizo wanaoga maji yenye tope na kujipaka oil chafu eti ni mafuta halafu wanaulizana hivi tunang'aa?halafu style hiyo unaiita kujivua gamba kichekesho na watazomewa sana tu wananchi si wajinga kama walivyozoea kuwadhani.Walikua wanawavumilia sasa wamesema BASI.

    7. #185
      MVUA GAMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 102
      Rep Power : 430
      Likes Received
      54
      Likes Given
      0

      Default Re: Ccm wazomewa ubungo stendi kuu

      Kweli vichaa ni wengi sana mjini yaani waliamini kuwa wamevua magamba na kila mwananchi sasa anawaona kama masupastaa waliofanya kazi inayotakiwa kusifiwa na kuenziwa! Thubutu they didnt get us all

    8. FemaTV & Radio

    9. #186
      Kundasenyi's Avatar
      Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 58
      Rep Power : 421
      Likes Received
      2
      Likes Given
      0

      Default Background ya mh.godbless lema na kiwango chake cha elimu.

      Wapendwa wana jf naombeni kujuzwa kwa anaejua historia fupi ya mh. Godbles lema nakiwango chake cha elimu alichonacho kwa sasa.. Maana huyu ni mpambananaji mzalendo mwenye mawazo pevu na mjasiri.. Naomba kuwasilisha

    10. #187
      fangfangjt's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th April 2008
      Location : MISRATA
      Posts : 483
      Rep Power : 661
      Likes Received
      33
      Likes Given
      18

      Default Re: Background ya mh.godbless lema na kiwango chake cha elimu.

      "Upambanaji na Uzalendo" vinatosha kabisa!
      For when they are saying, “Peace and safety,” then sudden destruction will come on them

    11. #188
      howard's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 21st February 2011
      Posts : 172
      Rep Power : 451
      Likes Received
      21
      Likes Given
      12

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Jackbauer
      umeimalizia vizuri sana post yako.wananchi wamechoka na 'wasomi' waliotegemewa kuleta mabadiliko wamechemsha hivyo wenyenchi wametumia haki yao kumuweka mtu atakayetekeleza wanachokikata.
      jackbauer nimekupa thanks hapo kwa kweli

    12. #189
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,754
      Rep Power : 1262
      Likes Received
      210
      Likes Given
      8

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Chadema kuna mashujaa wengi sana japo pia kuna mamluki kibao km zitto, safari,shibuda
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    13. #190
      LINCOLINMTZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th March 2011
      Location : Opposite The JF Web Page
      Posts : 1,355
      Rep Power : 694
      Likes Received
      348
      Likes Given
      216

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Michelle
      Najua imechukuliwa kisiasa lakini ukweli ni kuwa serikali haijawasaidia vijana wa Arusha kuwa tofauti,hawana utaratibu mzuri wa kuuza madini yao,wanadhulumiwa na hawalipwi huko wanakofanya kazi,wengi wao pia hawana ajira na mbaya zaidi kuna kazi kama za tours sasa hivi zimeingiliwa na Wakenya na ndo maana wamefika point ya kukata tamaa,Arusha ni mji wa kitalii maisha ni magumu,mazingira ya kufanya biashara pia ni magumu na vitu ni ghali sana.......Serikali ya Chama cha Mapinduzi inapaswa kuangalia sana suala la Arusha na kwa kushirikiana na Lema anayeelewa undani wa maisha ya vijana.....kufanya siasa na kutumia nguvu haviwezi kubadili tabia ya watu wenye njaa.....gap kati ya maskini na tajiri ni kubwa sana Arusha kuliko sehemu yeyote ya nchi hii,its a point of no return,wanasema bora kufa kwa ajili ya nchi yao kuliko kuishi maisha marefu watu wachache wakifaidi mali asili na opportunities zinazopatikana nchini...........mi sishangai watu wa Dar kutofautiana na wa Arusha na kushangaa kwa nini hawa vijana ni wakali hivyo,ni ugumu wa maisha.....
      Hivi Madam Michelle mida mingine huwa unapotelea wapi? Napenda sana uchangiaji wako hapa JF. Kwa kweli wewe ni great thinker. Ninakukubali
      Michelle likes this.

    14. #191
      Gurti's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th November 2010
      Posts : 208
      Rep Power : 472
      Likes Received
      47
      Likes Given
      20

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      God bless lema ni kijana safi, anayempenda Mungu na familia yake. Sidhani hata kidogo kama aliwahi kuwa tapeli. Acheni usanii tutumie jf vizuri.

    15. #192
      ngurati's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th February 2011
      Posts : 201
      Rep Power : 462
      Likes Received
      208
      Likes Given
      4

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Lema maepitia maisha ya kila aina, anazifahamu shida. Mwaka 2005 alipogombea ubunge kwa mara ya kwanza kupitia TLP alikuwa anatumia voks wagen (kobe) kwenye kampeni tena ilikuwa mpaka isukumwe ndo iwake. Lema alishawahi kuuza apples (matunda)mitaani south africa na botswana, Leo ni mbunge wa jimbo nyeti kama arusha na wana- arusha mimi nikiwepo tunamkubali kupindukia. Kwa kifupi tumekubali kuipa cdm hati miliki ya hili jimbo. Wanamagamba mlie

    16. #193
      WATANABE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th April 2011
      Posts : 783
      Rep Power : 570
      Likes Received
      272
      Likes Given
      83

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Kinyambiss
      Kwhiyo Bunge 'tukufu' la Tanzania lina stahili kuwa na uwakilishi wa MATAPELI? lol Democracy is interesting...
      Nani ambaye si tapeli? Ni Kikwete aliyeingia ikulu kwa fedha za EPA? Rostam, Lowassa, Mkapa aliyejitwalia mgodi wa nchi, Magufuli aliyeuza nyumba za Serikali. Wote katika CCM pia ni Matapeli.

    17. #194
      msosholisti's Avatar
      Member Array
      Join Date : 17th February 2011
      Posts : 46
      Rep Power : 427
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Quote By Michelle
      Amesoma kama sikosei advanced Diploma ya Human Resources Management( Cambridge International University,Certificate of Effective Management of Leadership,he is doing Bachelor of Business Adiministration,same college)
      Ni mume wa Neema Tarimo
      Ana watoto wawili
      Ni mchaga wa Machame
      Ni mfanyabiashara
      Amejiunga CHADEMA akitokea TLP,aligombea ubunge kupitia TLP 2005
      Dini yake ni mkristo wa dhehebu la Lutheran
      .............................. .............................. ...................
      .............................. .............................. ...................
      .............................. .............................. ...................
      Umesahau kwani alipogombea 2005 alishinda lakini alivuta millions kwa Felix ili akubali kushindwa. 2010 dau lilikuwa dogo kakataa.

    18. #195
      Kinyambiss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2007
      Posts : 1,406
      Rep Power : 900
      Likes Received
      31
      Likes Given
      18

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      So where is his professional CV? Non to speak off..

    19. #196
      Mzizi wa Mbuyu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2009
      Posts : 3,183
      Rep Power : 1266
      Likes Received
      530
      Likes Given
      403

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Mie namwona Lema ni mwanaume wa shoka, mpignaji wa kweli wa shida za wanyonge, mchikia mafisadi, kiboko yapinda n.k
      Namkubali mno! naleo akamshushua Mkinda kuwa anamwogopa asimuulize Pinda maswali, Makinda ajiumauma mno mara oooh nafuata jenda, oooh maeneo wanakotoka......lakini ukweli nikuwa wanamwogopa mno Lema kwani ni kisu cha bucha!
      Ukweli ni maji ya chumvi unayotakiwa kuyaoga, ukiona mahali panawasha usiyachukie hayo maji....jua hapo pana jeraha pafanyie kazi.

    20. #197
      GAMA LUGENDO's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th October 2010
      Posts : 133
      Rep Power : 461
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Godbless lema seems to be patriotic, intelligent enough, strong, tough, persuasive character and a good public speaker. Si msemaji tu, bali anaonekana ni mtu wa vitendo.mimi namkubali sana, na nadhani tungekuwa na wabunge vijana angalao 20 tu wenye character kama yake, nadhani spika annie makinda angeomba to resign because ile approach yake ya wewe mbishi sana, hebu kaa chini , isingekuwa na nafasi bungeni.

    21. #198
      kintu's Avatar
      Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 35
      Rep Power : 439
      Likes Received
      2
      Likes Given
      10

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      Naomba ile sigle yake...

    22. #199
      kakini's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 31st March 2011
      Posts : 198
      Rep Power : 451
      Likes Received
      32
      Likes Given
      59

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      sidhani kama watu wanaoda Lema ni muhalifu wako timamu kiakili wao hawawaoni majuha ya chama cha revolution wanavozomea zomea inakera na wao ndo wanaongoza kwa mijihalifu mikubwa mikubwa yenye kesi mahakamani mpaka sasa

    23. #200
      Hute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th November 2010
      Posts : 1,402
      Rep Power : 710
      Likes Received
      354
      Likes Given
      23

      Default Re: Wasifu wa Godbless Lema (MP)

      anafanya biashara gani? pale mwanza karibu na uwanja wa ccm chirumba pale anapouza bia makontena kwa makontena kwa siku vipi? ana uhusiano gani na ccm? inakuwaje chadema akawa tenant wa ccm, hotel gani ile anayomiliki mwanza, nikumbusheni tafadhali...
      Kama huna meno,usile bisi, kula Bwimbwi yaani kimbugi. Uongozi ukikushinda waachie wanaoweza!

    24. Study Abroad
    Page 10 of 11 FirstFirst ... 891011 LastLast

    Similar Topics

    1. Siku za Godbless Lema zinahesabika..
      By Crashwise in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 42
      Last Post: 8th January 2012, 10:05
    2. Godbless Lema hakawishi....!
      By Sizinga in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 23
      Last Post: 21st July 2011, 17:04
    3. Kwako Mh. Godbless Lema......
      By PapoKwaPapo in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 17
      Last Post: 23rd May 2011, 00:16

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...