Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

    Report Post
    Results 1 to 13 of 13
    1. #1
      KAUMZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2010
      Location : kila kona napatikana
      Posts : 439
      Rep Power : 529
      Likes Received
      69
      Likes Given
      18

      Default Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Nimekuwa nikimfuatilia sana Maalim kabla na baada ya kuundwa kwa serikali ya mseto Zanzibar!! Kwa upande wangu naona kama hadhi na umaarufu wakw umepungua sana na ninadhani ni bora asingeingia katika serikali na badala yake atumie muda wake mwingi katika kuimarisha chama chake. Na ninahisi iwapo ndoa hii ya CUF na CCM itaendelea, ushindi wa CUF mwaka 2015 itakuwa ni ndoto. Mnaonaje bandugu
      "I may be wrong, but I am always clear"

    2. Study Abroad

    3. #2
      Uwezo Tunao's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th November 2010
      Posts : 6,867
      Rep Power : 2287
      Likes Received
      1131
      Likes Given
      1478

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Hivi kweli na kelele zile zote na minyanyaso ya wananchi visiwani leo hii Maalim Seif hata kusema japo kaneno juu ya harakati za kutafuta katiba mpya, tume huru ya uchaguzi waa mauaji Arusha kama yalivyotokea Pemba!! Ama kweli hii kali sasa.

    4. #3
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14620
      Likes Received
      2841
      Likes Given
      1961

      Default

      Quote By KAUMZA
      Nimekuwa nikimfuatilia sana Maalim kabla na baada ya kuundwa kwa serikali ya mseto Zanzibar!! Kwa upande wangu naona kama hadhi na umaarufu wakw umepungua sana na ninadhani ni bora asingeingia katika serikali na badala yake atumie muda wake mwingi katika kuimarisha chama chake. Na ninahisi iwapo ndoa hii ya CUF na CCM itaendelea, ushindi wa CUF mwaka 2015 itakuwa ni ndoto. Mnaonaje bandugu
      Ushindi wa yeyote 2015 Zanzibar hautoathiri chochote kwani Serikali Mseto itaendelea.

    5. #4
      limited's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 18th February 2009
      Posts : 222
      Rep Power : 566
      Likes Received
      9
      Likes Given
      51

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      huyu mdudu wa mseto afica anatesa sana ina maana next election cuf ndio waongoze zanzbar na kenya odinga? na yule wa ivory coast nae ana taka mseto what a ---- for african politicians!!!!!

    6. #5
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6123
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Huyo maalim Seif ameishanyamazishwa kwahiyo hautomsikia tena hawezi kuongea chochote ameishaanza kuonja utamu wa madaraka mambo mengine ya wananchi hawezi kuyakumbuka
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    7. Miaka 50

    8. #6
      matawi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th March 2010
      Posts : 1,437
      Rep Power : 751
      Likes Received
      122
      Likes Given
      65

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Njaa mbaya

    9. #7
      The Finest's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th July 2010
      Posts : 21,682
      Rep Power : 6123
      Likes Received
      5861
      Likes Given
      4947

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Tena sana ndio maana huwa wanasema adui yako muombee njaa
      "What is legal, but not logical, logical, but not legal, and neither logical, nor legal?"


    10. #8
      Mpasuajipu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd October 2010
      Posts : 838
      Rep Power : 602
      Likes Received
      24
      Likes Given
      4

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Kaganda huyo unacheza na LIMBWATA la CCM balaa tupu
      "The trouble ain't that there many fools, but the lightning ain't distributed right" Mark Twain

    11. #9
      KAUMZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2010
      Location : kila kona napatikana
      Posts : 439
      Rep Power : 529
      Likes Received
      69
      Likes Given
      18

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Quote By Mpasuajipu
      Kaganda huyo unacheza na LIMBWATA la CCM balaa tupu
      Hiyo kali na mpya
      "I may be wrong, but I am always clear"

    12. #10
      Narubongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 1,886
      Rep Power : 810
      Likes Received
      842
      Likes Given
      680

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      kama zombe, kaumza mmeliona hilo basi cuf wanakufa kifo kibaya sana

    13. #11
      KAUMZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st August 2010
      Location : kila kona napatikana
      Posts : 439
      Rep Power : 529
      Likes Received
      69
      Likes Given
      18

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Quote By Narubongo
      kama zombe, kaumza mmeliona hilo basi cuf wanakufa kifo kibaya sana
      Narubongo: Kwenye ukweli lazima tuseme ukweli. Binafsi huwa sifungwi na mapenzi.
      "I may be wrong, but I am always clear"

    14. #12
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,793
      Rep Power : 1857
      Likes Received
      932
      Likes Given
      367

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Quote By KAUMZA
      Nimekuwa nikimfuatilia sana Maalim kabla na baada ya kuundwa kwa serikali ya mseto Zanzibar!! Kwa upande wangu naona kama hadhi na umaarufu wakw umepungua sana na ninadhani ni bora asingeingia katika serikali na badala yake atumie muda wake mwingi katika kuimarisha chama chake. Na ninahisi iwapo ndoa hii ya CUF na CCM itaendelea, ushindi wa CUF mwaka 2015 itakuwa ni ndoto. Mnaonaje bandugu
      Mkuu,
      Seif Sharif kwa sasa sio vuvuzela tena. Ukifuatilia mwenendo wa ufanyaji kazi wake ni kuwa anakutana na mabalozi wa nje wanaotembelea Zanzibar, lakini pia hata anapofanya shughuli za chama Chake kama kufungua matawi basi ana ulinzi wa polisi sio kama zamani kukimbizana na Polisi.

      Sijui munazitizama siasa kivipi lakini CUF wana nafasi nzuri zaidi kama hali na mambo yataendea kuwa kama yalivyo sasa. Yaani kama CCM hawatocheza foul na kusabotage hapo siku za mbele.

      Anyway, ukweli kila mtu anaujuwa kuwa Dr, Shein ni rais wa kutangazwa na Tume, lakini Seif ni rais wa wananchi, wapiga kura na yumo mguu mmoja ndani, kwa hiyo anafanya siasa kwa nafasi zaidi bila kubughudhiwa na Jeshi la Polisi.
      Nafikiri kwa Seif kuacha kuwa Vuvuzela ni mbinu nzuri tu, kwa vile ana nafasi ya kufanya siasa kimya kimya!

    15. #13
      Nonda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th November 2010
      Location : Gongo La Mboto
      Posts : 5,793
      Rep Power : 1857
      Likes Received
      932
      Likes Given
      367

      Default Re: Maalimu Seif ktk Serikali ya mseto

      Quote By Uwezo Tunao
      Hivi kweli na kelele zile zote na minyanyaso ya wananchi visiwani leo hii Maalim Seif hata kusema japo kaneno juu ya harakati za kutafuta katiba mpya, tume huru ya uchaguzi waa mauaji Arusha kama yalivyotokea Pemba!! Ama kweli hii kali sasa.
      Mkuu,

      Lipumba alishaongelea hilo la mauaji ya Arusha. Kazi ya uvuvuzela inafanya na viongozi walio nje ya serikali. Na wale wa ndani wanafanya kazi kimya kimya. Siasa ni mbinu vile vile sio kufuata mkumbo tu!

    16. FemaTV & Radio

    Similar Topics

    1. Replies: 9
      Last Post: 18th December 2011, 17:36
    2. Maalim Seif anogewa serikali ya mseto
      By mdau wetu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 0
      Last Post: 18th December 2011, 04:42
    3. Maalimu Seif siyo Makamu wa kwanza wa Rais Zanzibar?
      By pascaldaudi in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 21
      Last Post: 17th July 2011, 07:01
    4. Replies: 54
      Last Post: 11th July 2011, 16:54
    5. Dr. Shein na Maalimu Seif wanachuana Z'bar
      By Mwiba in forum Tanzania 2010-2015
      Replies: 112
      Last Post: 1st November 2010, 19:56

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...