Kwa nchi yetu kwa sasa imekuwa kawaida kwa kuto kufaata sheria. Ukianzia kwa mabasi. Basi likikamatwa ni unyanyasaji. Ukikamatwa kwa kutupa taka ni unyanyasaji. Ukidaiwa kodi na TRA ni unyanyasaji. Ukiandamana bila sheria ni unyanyasaji. Nchi yetu kwa sasa inakosa viongozi wanaoweza kutoa amri ya kufuata sheria za nchi. Jf yenyewe inatumia matusi sana ikifungiwa ni unyanyasaji. Lazima sasa tuangalie both side the rules and the ruled. Utaona wengi tunapenda kuyafanya yale tuyotaka kwa muda huo bila kujali athari zake kwetu binafsi au kwa taifa. Naamini mambo yako hivi kwa vile no one who is serious. Umeya ni wa madiwani but uongozi wa kitaifa wa siasa they make it an issue. Hii haijatulia. Wananchi lazima tuangalie hoja inakuja kwa manufaa ya vyama au wananchi. Porojo za wanasiasa zitatumaliza. Nchi za magharibi have managed us. We have to be think on our own mind. Politics is going to finish Africa while the western country have reluxed.
Nimegundua Jf ni sehemu ya kujadili 'News' au kupokea 'news'. Habari nyingi zinazopostiwa utakuta ni kutoka kwa gazeti, redio au Tv. Lakini hoja za kushirikishana wengi wanakwepa. Nafikiri hii pia inachangiwa na uelewa mdogo tulionao katika mambo mengi yanayotuzunguka katika maisha. Unachangia news then. Toja hoja.
ZHU Lazima ufikirie kwanza ndipo ulete hoja usilete hoja ambayo wewe mwenyewe huielewi na huna uhakika nayo. JAMBO LA MSINGI NI LAZIMA UJUE NI KWANINI WATANZANIA WANAONA UNYANYASAJI KWA HAYO YOTE ULIYOYASEMA.JIBU NI KUWA ASILIMIA KUBWA YA VIONGOZI WA TANZANIA HAWA TEKELEZI HAYO, NA WAO NI DIRA, JE MWANANCHI ITAKUWAJE. Pia watu wanalipa kodi kwa maendeleo, mafisadi wanakula.JE WEWE IKIWA NI MTOAJI UTATOA WAKATI UNAFAHAMU ukitoa mtu anakula bure bure! Sasa unakuta uzembe na ujinga wa viongozi unaleta hasara kwa nchi na kusababisha wananchi kuwa na tabia mbovu. PIA UWE NA AKILI WEWE UNAPOLETA HOJA,maandamano ni haki ya mtu/kundi kuyafanya kwa amani, lakini Tanzania hakuna demokrasia na utawala wa sheria hivyo maandamano si haki kwa sababu madudu mengi hivyo wakiruhusu maandamano yatakuwa nchi nzima kutokana na hali halisi. LA KUTUKANWA,hivi mtu mjinga kama wewe ZHU itakuwaje usitukanwe kwa hoja zako za kipuuzi?
Kwa nchi yetu kwa sasa imekuwa kawaida kwa kuto kufaata sheria. Ukianzia kwa mabasi. Basi likikamatwa ni unyanyasaji. Ukikamatwa kwa kutupa taka ni unyanyasaji. Ukidaiwa kodi na TRA ni unyanyasaji. Ukiandamana bila sheria ni unyanyasaji. Nchi yetu kwa sasa inakosa viongozi wanaoweza kutoa amri ya kufuata sheria za nchi. Jf yenyewe inatumia matusi sana ikifungiwa ni unyanyasaji. Lazima sasa tuangalie both side the rules and the ruled. Utaona wengi tunapenda kuyafanya yale tuyotaka kwa muda huo bila kujali athari zake kwetu binafsi au kwa taifa. Naamini mambo yako hivi kwa vile no one who is serious. Umeya ni wa madiwani but uongozi wa kitaifa wa siasa they make it an issue. Hii haijatulia. Wananchi lazima tuangalie hoja inakuja kwa manufaa ya vyama au wananchi. Porojo za wanasiasa zitatumaliza. Nchi za magharibi have managed us. We have to be think on our own mind. Politics is going to finish Africa while the western country have reluxed.
Viongozi wenyewe ndo wamekuwa mahiri katika kukiuka sheria na taratibu!! Unataka kusema sheria zetu haziruhusu watu kukusanyika, kupeana taarifa na kuonesha misimamo yao????? TRA wangekua wanafuata sheria watu wasingelalamika!! Huko nako ni uonevu mtupu?? Wanaotakiwa kulipa kodi hawalipi!!!! Walala hoi ndo tunakamulia!!! Serikali inakusanya mahali ambako haikutawanya na kuvuna mahali ambako haikupanda!!! Wewe unamkamata mtu anatupa taka Je umemuwekea miundo mbinu madhubuti ya kukusanya taka????? Miji yenyewe inaachwa inajengwa hovyo bila mipango!!! Kwani kazi ya Serikali ni nini? Si kuratibu yote hayo?? Badala yake Serikali inakaa na kufanya kazi ya kulazimisha DOWANS walipwe!!! CHICKEN SHIT!!!
Prepared for the worst....... Hope for the best....
Ninakubali kuitwa mjinga and what ever name you give. Ukweli ni kwamba kwa nchi hii
ni vigumu kuendelea kwa akili zetu za kuto jali sheria. Iwe ni viongozi au wananchi kwa sasa sheria imekuwa ni kuonea wananchi. Kwa mfano swala la Dowansi. Ikumbukwe kuwa bunge ndio lilishinikiza mkataba uvunjwe. Kuna wanasheria walisema kuvunja mkataba kuna gharama zake. Wanasiasa walipinga kwa nguvu. Sasa leo serikali imeshindwa kesi inatakiwa kulipa wanasiasa hao hao wanajifanya hawajui kama kuna sheria za mikataba.
Ikija katiba mpya ndoulete hoja yako ya unyanyasaji mi nitachangia.
Kuhusu kodi mi nakatwa kny mshahara, mazao, biashara yangu , bidhaa nazonunua bila kuangalia nimelipa kodi tayari ya paye, lazima nijione nanyanyasika maana sioni maendeleo kila siku nakaa gizani na umeme nimeweka nyumbani kwangu na ninalipia kodi huko kny luku je kwako wewe zhu si manyanyaso hayo?
"HE WHO BUILD ON PEOPLE, BUILDS ON MAD" DON VITO CORLEONE AND " KEEP YOUR FRIEND CLOSE BUT YOUR ENEMY CLOSER"
Ni unyanyasaji ndio kwa sababu sheria lazima ifatwe na watu wote. Sisi wananchi tunapoona sheria inavunjwa na viongozi na sisi ndipo tunapoamua kufanya tunayoyataka sisi.
Hata katika ngazi ya familia ukiona kuna matatizo ujue baba/mama au wote wameshindwa kuwajibika effectively as heads of family.
Wewe huwezi kunikataza kitu wakati wewe nakuona unakifanya na unabenefit.
Siasa inatumaliza kweli. Hofu kwa vizazi vya kesho maana watakuta nchi nyeupe resource zote zishatafunwa na hata zile renewable zitakuwa katika hali mbaya zaidi.
Follow Us Here