Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

    Report Post
    Page 1 of 4 123 ... LastLast
    Results 1 to 20 of 79
    1. #1
      Mpaka Kieleweke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 2,672
      Rep Power : 1167
      Likes Received
      680
      Likes Given
      7

      Default Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      ndugu hali ni mbaya sana mount meru hospitali kwani wamelazwa watu 42 ambao walipigwa risasi na polisi na huenda vifo vikaongezeka wakati wowote.Nawaambia ukifika hospitali utalia kwani wengine wamechanwa utumbo ,wengine miguu,wengine mikono nk. la kushangaza watu hawa hawakushitakiwa na polisi kwenye hati za mashitaka za leo. guys its terrible mno.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      malipula's Avatar
      Member Array
      Join Date : 30th September 2010
      Posts : 86
      Rep Power : 455
      Likes Received
      14
      Likes Given
      45

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      tupe picha
      Change of personal levels is a guarantee over breakthroughs in life challenges

    4. #3
      Kishongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Posts : 933
      Rep Power : 646
      Likes Received
      62
      Likes Given
      47

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By Mpaka Kieleweke
      ndugu hali ni mbaya sana mount meru hospitali kwani wamelazwa watu 42 ambao walipigwa risasi na polisi na huenda vifo vikaongezeka wakati wowote.Nawaambia ukifika hospitali utalia kwani wengine wamechanwa utumbo ,wengine miguu,wengine mikono nk. la kushangaza watu hawa hawakushitakiwa na polisi kwenye hati za mashitaka za leo. guys its terrible mno.
      Ondoa utumbo huu hapa.

      Tukuamini wewe au Polisi?

      Usijaze upuuzi humu tafadhali.

    5. #4
      Mapinduzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2008
      Posts : 2,429
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By Mpaka Kieleweke
      ndugu hali ni mbaya sana mount meru hospitali kwani wamelazwa watu 42 ambao walipigwa risasi na polisi na huenda vifo vikaongezeka wakati wowote.Nawaambia ukifika hospitali utalia kwani wengine wamechanwa utumbo ,wengine miguu,wengine mikono nk. la kushangaza watu hawa hawakushitakiwa na polisi kwenye hati za mashitaka za leo. guys its terrible mno.

      Poleni kwa matatizo.

      Any way, mmechukua hatua gani kuhusiana na hii hali? To be terrible, kulia hakusaidii kuokoa maisha na kuberesha hali za afya za majeruhi.

      Quote By malipula
      tupe picha

      ukishaona?
      Usiogope kufa, ogopa kukosa pesa. Kilimo kwanza

    6. #5
      DENYO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th September 2010
      Posts : 582
      Rep Power : 565
      Likes Received
      12
      Likes Given
      0

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By kishongo
      ondoa utumbo huu hapa.

      Tukuamini wewe au polisi?

      Usijaze upuuzi humu tafadhali.
      nafikiri wewe kishongo ni shetani -yaani unataka tuamini wauaji?? Polisi haiwezi kusema nimeua 40, lazima itapunduza huo ndio ukweli. Sisi tupo arusha na tumetoka hapo hospital muda si mrefu majeruhi ni wengi na hali zao ni mbaya harafu wewe unasema utumbo au upuuzi kweli wewe ni shetani mkubwa. Hata kama wewe unaipenda ccm lakini sio upende na wenzako kuuwawaw. Alichosema mpaka kieleweke ndio ukweli-tupo arusha hata wewe njoo

    7. Miaka 50

    8. #6
      Mpaka Kieleweke's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2007
      Posts : 2,672
      Rep Power : 1167
      Likes Received
      680
      Likes Given
      7

      Default Re: Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      ndugu hali ni mbaya dr.slaa,mbowe na viongozi wote cdm wamelia hadharani wodini. huu sio ushabiki . polisi wamesema wameua 2 hospitali wamepokea miili 4 na kcmc wamekufa 4 waliopewa refferal leo asubuhi.

    9. #7
      We know next's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th September 2010
      Posts : 574
      Rep Power : 555
      Likes Received
      151
      Likes Given
      119

      Default Re: Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Sasa kwa kweli hii ni hatari na inatisha. Hembu tujuzeni yote yaliyojili huko, kwani ni kawaida kwa Polizi ya nchi hii kuchakachua habari.

    10. #8
      Kishongo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th May 2010
      Posts : 933
      Rep Power : 646
      Likes Received
      62
      Likes Given
      47

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By DENYO
      nafikiri wewe kishongo ni shetani -yaani unataka tuamini wauaji?? Polisi haiwezi kusema nimeua 40, lazima itapunduza huo ndio ukweli. Sisi tupo arusha na tumetoka hapo hospital muda si mrefu majeruhi ni wengi na hali zao ni mbaya harafu wewe unasema utumbo au upuuzi kweli wewe ni shetani mkubwa. Hata kama wewe unaipenda ccm lakini sio upende na wenzako kuuwawaw. Alichosema mpaka kieleweke ndio ukweli-tupo arusha hata wewe njoo
      Wape pole waliokuwa wanapita njia wakapata dhahama. Hawakuwa na hatia.

      Waliokuwa kwenye maandamano poleni pia lakini mmejitakia.

      Hili liwe ni fundisho na msirudie tena.

    11. #9
      Hassan J. Mosoka's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 26th October 2010
      Posts : 538
      Rep Power : 0
      Likes Received
      160
      Likes Given
      183

      Default Re: Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Kishongo wewe kama sio JK basi umeajiriwa na JK na unalipwa hela za ufisadi ili umwage Jamvini kula kuwahurumia ndugu zako ulowaacha kijijini kwenu wanaoishi kwa uji wa chumvi!!!!!!!!!!!!!!

    12. #10
      Masanilo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2007
      Location : Swat valley, Keta Keta
      Posts : 19,057
      Rep Power : 5466
      Likes Received
      3485
      Likes Given
      1898

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By Kishongo
      Wape pole waliokuwa wanapita njia wakapata dhahama. Hawakuwa na hatia.

      Waliokuwa kwenye maandamano poleni pia lakini mmejitakia.

      Hili liwe ni fundisho na msirudie tena.
      Ficha upumbavu wako kwa kuonyesha hekima!

      Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
      CCM is enemy of GOD

    13. #11
      olele's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2010
      Posts : 260
      Rep Power : 481
      Likes Received
      57
      Likes Given
      22

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      [QUOTE=Kishongo;1455821]Wape pole waliokuwa wanapita njia wakapata dhahama. Hawakuwa na hatia.

      Waliokuwa kwenye maandamano poleni pia lakini mmejitakia.

      Hili liwe ni fundisho na msirudie tena. you! talking shit! hebu jaribu kutafuta kazi nyingine ya kufanya badala ya kuendelea kusema ovyo,
      nenda hata kalale, hujui hata unalosema, umelewa nini?

    14. #12
      hashycool's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd October 2010
      Location : network search....
      Posts : 4,957
      Rep Power : 1457
      Likes Received
      559
      Likes Given
      141

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By Kishongo
      Wape pole waliokuwa wanapita njia wakapata dhahama. Hawakuwa na hatia.

      Waliokuwa kwenye maandamano poleni pia lakini mmejitakia.

      Hili liwe ni fundisho na msirudie tena.
      A closed mouth catches no flies.
      hivi vrusi vya H.I.V na wewe nani mchokozi?

    15. #13
      junior2008's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th April 2009
      Posts : 512
      Rep Power : 614
      Likes Received
      38
      Likes Given
      1

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By Kishongo
      Ondoa utumbo huu hapa.

      Tukuamini wewe au Polisi?

      Usijaze upuuzi humu tafadhali.
      Kama polisi walikuwa wanawazuia waandishi wa habari kuingia kwenye kituo cha polisi, wataaminikaje taarifa wanazotoa? Polisi ndio walalamikiwa kuua raia kwahiyo hawawezi kutoa taarifa sahihi, na ukumbuke pia hiyo huwa pia ni strategy ya serikali katika matukio kama haya ili kuonyesha kuwa madhara sio makubwa!! Ameshakwambia ukitaka kujiridhisha fuatilia mount Meru Hospital Arusha!!!

    16. #14
      Simba Mangu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th November 2010
      Location : matiti hills ndutu
      Posts : 146
      Rep Power : 459
      Likes Received
      21
      Likes Given
      21

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      kishongo unatakiwa kuwa na akili za mtu mzima sio uwe unapost vitu kwa ushabiki kwani ipo cku yatakukuta na wewe sio kwa hao wanachama polisi wenzenu ila ipo cku soma kitabu cha mwlimu mkuu wa watu ujue kinafuata nini?

    17. #15
      whistle blower's Avatar
      Member Array
      Join Date : 5th January 2011
      Posts : 59
      Rep Power : 435
      Likes Received
      1
      Likes Given
      0

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By [I
      Kishongo;1455719]Ondoa utumbo huu hapa.

      Tukuamini wewe au Polisi?

      Usijaze upuuzi humu tafadhali.
      [/I]inawezekana una mashimo kichwa ambayo yaliruhususu ubongo ukamwagika, sasa unafikiri police wanaweza kusema ukweli ilihali ni vibaraka wa ccm?

    18. Shy
      #16
      Shy's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd November 2006
      Posts : 4,922
      Rep Power : 0
      Likes Received
      75
      Likes Given
      0

      Default Re: Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Mkakati wa Kusaidia WanaArusha .


      Tunapenda kuwafahamisha kwamba FOS Imeanzisha Mkakati wa Kuchangia WanaArusha waliopata Shida kwenye Maandamano ya Wafuasi wa CHADEMA na Viongozi wao .


      Kwa sasa namba zitakazotumika kwa michango ni
      ZAP – 0786 806028
      MPESA – 0766334049
      Email : [email protected]


      Ni vizuri ukaweka na jina lako kwenye mchango wako kama utapenda liwepo kwenye kumbukumbu .


      Tunashukuru sana kwa wale wote wanaoendelea kutoa msaada wa hali na mali kwa FOS katika kutekeleza majukumu yake .


      Mwanzo wa wiki Ijayo wawakilishi wa FOS toka Dar es salaam watakuwa Arusha kwa ajili ya Kuona Majeruhi Na kuendelea na jitihada za majadiliano .


      Tembelea www.naombakazi.com Kwa Nafasi za kazi Kila siku

      Tembelea Wanabidii | Google Groups kwa Majadiliano Moto Moto

    19. #17
      nginda's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Posts : 453
      Rep Power : 523
      Likes Received
      31
      Likes Given
      4

      Default Re: hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By Kishongo
      Ondoa utumbo huu hapa.

      Tukuamini wewe au Polisi?

      Usijaze upuuzi humu tafadhali.
      Huyu anatumia makalio kufikiri. Lazima atakuwa bwabwa.

    20. #18
      Popompo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Posts : 305
      Rep Power : 493
      Likes Received
      33
      Likes Given
      34

      Default

      Quote By Mpaka Kieleweke
      ndugu hali ni mbaya dr.slaa,mbowe na viongozi wote cdm wamelia hadharani wodini. huu sio ushabiki . polisi wamesema wameua 2 hospitali wamepokea miili 4 na kcmc wamekufa 4 waliopewa refferal leo asubuhi.
      naona hata watu wazima mnasema uongo!kwa mount meru sina cha kusema ila kwa KCMC nasema mpaka saa kumi na mbili hapakuwa na majeruhi wala maiti toka arusha.plse ongea kitu unachokijua na una uhakika nacho

    21. #19
      Mapinduzi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd August 2008
      Posts : 2,429
      Rep Power : 1033
      Likes Received
      13
      Likes Given
      0

      Default Re: Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Quote By Mpaka Kieleweke
      ndugu hali ni mbaya dr.slaa,mbowe na viongozi wote cdm wamelia hadharani wodini. huu sio ushabiki . polisi wamesema wameua 2 hospitali wamepokea miili 4 na kcmc wamekufa 4 waliopewa refferal leo asubuhi.
      Kulia hakusaidii kurudisha uhai wa marehemu, wala kuponyesha majeruhi.

      Tusijibu maswali magumu kwa majibu rahisi. Mnawasaidiaje hao majeruhi wasipoteze maisha? Namaanisha sio lazima wawe kwenye hospitali ya serikali kama huduma haitoshi. Kuna Selian, Dr Babu, IACC. Mmefanya mpango wowote wa kucheki kama hopitali hizi zinaweza kutoa huduma zinazohitajika haraka iwezekanavyo?
      Usiogope kufa, ogopa kukosa pesa. Kilimo kwanza

    22. #20
      Chimunguru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd May 2009
      Posts : 7,794
      Rep Power : 2148
      Likes Received
      1221
      Likes Given
      543

      Default Re: Hali ni mbaya sana Arusha hospitali

      Hizo Damu hazitapotea bureeee, hao ni mashujaa wetuu lzm wawepo kwenye kumbukumbu za chama chetu

    Page 1 of 4 123 ... LastLast

    Similar Topics

    1. JK ana hali mbaya sana ...
      By Mwakalinga Y. R in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 39
      Last Post: 30th September 2011, 11:43
    2. Hali mbaya SANA.... sikitiko
      By TIMING in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 56
      Last Post: 11th August 2011, 02:28
    3. Shida ya mafuta hali ni mbaya sana hapa Sinza GBP
      By SUYA in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 0
      Last Post: 8th August 2011, 20:12
    4. Hali mbaya sana Muhimbili
      By Sizinga in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 4
      Last Post: 26th June 2011, 15:34
    5. hali ya uchumi serikalini ni mbaya sana
      By carmel in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 48
      Last Post: 1st February 2011, 19:04

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...