WanaJF, nimetafuta soft copy ya Kanuni za Kudumu kwa Utumishi wa Umma, 2009 (Standing Orders For the Public Service, 2009) bila mafanikio. Kama kuna mtu anayo naomba msaada aiweke hapa pls!
WanaJF, nimetafuta soft copy ya Kanuni za Kudumu kwa Utumishi wa Umma, 2009 (Standing Orders For the Public Service, 2009) bila mafanikio. Kama kuna mtu anayo naomba msaada aiweke hapa pls!
"Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).
Learned bros and sisters bado kutembelea mitaa hii?
"Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).
Tupo pamoja nawe ile nami mweupe, yaani sijui pa kuzipata hii ndio habari ya ofisi ya bi ghasia kwenye website yao hakuna?
Wrong is a mirror for the rights
Ninayo hard copy
"Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).
Wadau thread msg iliwekwa muda mrefu. Kama hii soft copy ipo naitafuta sana
standing order ni kama nyaraka za serikali mm nilishawahi kwenda wizara ya utumishi nikaambulia patupu nilijibiwa niende maktaba yao nikaenda nikakuta inauzwa tshs 25000 bado nikaambiwa kopi walizotoa zimeisha nisubiri kama baada ya wiki moja hivi nikaona uzushi kwanza mtu mwenyewe nakaa mkoani ikabidi nisepe!
hata mimi nazitafuta
Hakika wanaokula mali ya mayatima kwa dhuluma, bila shaka wanakula moto matumboni mwao na wataungua katika huo moto.
The Holy Quran 4:10
NIMEPATA LINK YA PDF DOCUMENT YA STANDING ORDERS ZA 2009 :
http://www.google.com/url?sa=t&rct=j...TN32Uw&cad=rja
[COLOR="rgb(139, 0, 0)"][/COLOR]Hope and optimism...... in-spite of the present difficulties!!!
"You can't make a scene if you don't have little green"-------Jim Carrey
regulation
zake mkuu 2003
I HAVE SPOKEN
"Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).
"Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).
Follow Us Here