Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Dkt Mvungi: Muungano Ulishavunjika!

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 53
    1. #1
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,260
      Rep Power : 8974
      Likes Received
      811
      Likes Given
      340

      Exclamation Dkt Mvungi: Muungano Ulishavunjika!

      Nimeangalia kipindi cha Pambanua cha Channel Ten ambapo David Ramadhan alikiongoza akiwa amewakaribisha Dkt Sengodo Mvungi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Alex Mgongolwa wa Kituo cha Haki za Binadamu ambapo Dkt Sengodo Mvungi amedai kwamba mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 ya kuanzisha "Nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" ni kuvunja Jamhuri ya Muungano kwa sababu nchi ni Jamhuri ya Muungano na si vinginevyo. Kwa hiyo Jamhuri hiyo ilishavunjika tangu mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar ambayo alidai kwamba "yalichomekewa!" Ni kwa sababu kulikuwa na swali kwenye kura za maoni: "Je, unataka mabadiliko ya Muundo wa Serikali baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2010" ambalo alidai ni swali pana sana! Katika Orodha ya Mambo ya Muungano Dkt Mvungi alidai kwamba Katiba ya Jamhuri ya Muungano nayo ni jambo la Muungano, kwa hiyo kuivunja Katiba hiyo ni kuvunja moja kati ya mambo ya Muungano. Pia amedai Wagombea wenza ni "batili" kwa sababu wanatoka "katika nchi nyingine!" Amedai kwamba saratani imeula Muungano wetu mpaka uko mahututi, tutafute suluhisho la kuachana na wazanzibari kwa amani tusije tukapigana. Tutapendana zaidi kuliko Wakenya na Waganda!

      Kwa upande wa Alex Mgongolwa amedai kwamba tukae chini tutafute suluhisho kwa mazungumzo.

      JK wetu ndio huyo hana habari kwamba hata urais wake wa "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" haupo! Tujadili!
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    2. Miaka 50

    3. #2
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,234
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      376
      Likes Given
      51

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Lol... Kazi ipo... Hana habari JK yupo zake Kagera ana-campaign URAHISI wa Tanganyika bila ya kujua...

    4. #3
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,260
      Rep Power : 8974
      Likes Received
      811
      Likes Given
      340

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Tusker Bariiiidi
      Lol... Kazi ipo... Hana habari JK yupo zake Kagera ana-campaign URAHISI wa Tanganyika bila ya kujua...
      Anagombea urais wa nchi ambayo haipo kisheria! Kaaazi kweli kweli!
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    5. #4
      Junius's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th March 2009
      Posts : 3,117
      Rep Power : 1143
      Likes Received
      47
      Likes Given
      12

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Huyu Profesa wenu mushkila!
      HAKI SAWA KWA WOTE

      If you don't up set at least one person, you are not doing it right (whatever "it" might be).

      [email protected]

    6. #5
      BinMgen's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 18th June 2008
      Posts : 1,484
      Rep Power : 854
      Likes Received
      110
      Likes Given
      229

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Buchanan
      Anagombea urais wa nchi ambayo haipo kisheria! Kaaazi kweli kweli!
      Sasa basi itabidi tuiweke kisheria, ukiangalia baadhi ya mambo utagundua Tanganyika ipo, kunamawaziri ambao si wa mungano hawa ni watanganyika, ukiangalia nembo ya Tanganyika ndio nembo ya Tanzania. Kwahiyo Tanganyika ipo lakini sio kisheria, na wazenj wamepiga kelele sana muungano unamatatizo,
      Life is too short don't wait



    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Mtazamaji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th February 2008
      Location : global village
      Posts : 5,979
      Rep Power : 1776
      Likes Received
      1323
      Likes Given
      2661

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Hivi huko kwenye kampeni hawatoi muda wa wapiga kua kuuliza maswali. Au ndo danganya watoto wanapangwa watu kuuliza maswali ya ya kitoto.

      Huu muungano kwa maoni yangu unaweza kusurvive zaidi CUF wakishindaat least kwa muda fulani.Lakini sio CCM. CUF watahitaji muungano sana kuongoza zenj. CCM zenj wanataka kuchomoka kivyao as soon as possible.

    9. #7
      Msanii's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th July 2007
      Posts : 6,207
      Rep Power : 1927
      Likes Received
      210
      Likes Given
      249

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Hivyi ninyi mnamlalamikia nani?
      hakuna kiongozi wa nchi hii ambaye anajali masuala ya muungano.
      Dawa ni kwenda mahakamani kuishtaki jamhuri na serikali ya zanzibar kwa kutishia uhai wa UWEPO WA TANZANIA
      " If you hear a voice within you say "you cannot paint", then by all means paint, and that voice will be silenced"
      [email protected]

    10. #8
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22279

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Buchanan, namkubali Prof. Mvingi kama msomi wa sheria aliyebobea kama ambavyo nitamkubali Prof. Mwakiembe, ila sizikubali comments zake kwenye baadhi ya issues kwa sababu yeye Mvungi, ameshajipambanua kushiriki siasa, na ndivyo ambavyo Prof. Mwakiembe atakavyo jipambanua kulinda mauza uza yote ya CCM.

      Honest opinion kwenye hili, inatakiwa kutoka kwa wanasheria independent kama Prof. Shivji.

      Kusu Zanzibar kuwa nchi ndani ya nchi, nilisema yafuatayo,
      Zanzibar na Tanzania ni kama Baba na mwana. Wewe ndiye baba, unaitwa baba kwa sababu ndiye mkuu wa kaya, bread winner mwenye mamlaka yote.

      Inapotokea mtoto wako umpendaye akaanza kulia kutwa kucha kwamba kwa nini ni wewe tuu unaitwa baba, na yeye anataka lazima aitwe baba, na kuendelea kulia kwa makelele mpaka unakosa amani, lakini wife alipomwambia 'nyamaza baba', ghafla alinyamaza na kuanza kufurahi sana, na yeye ameitwa Baba!, akamwambia mama na mimi ni baba. Jee wewe baba wa ukweli, utakasirika au kununa kuwa mwanao amechukua nafasi yako ya kuitwa baba, ama na yeye anataka kuitwa baba jina tuu lakini sio baba chochote, kwa vile powers za ubaba hana!.

      Ndivyo ilivyo kwa JMT, Zanzibar kwanza walianza kwa kuomba bendera yao, wakapewa, kisha wakaomba wimbo wao wa taifa, wakapewa, kisha wale wagambo wao, (KMKM na JKU) kumpigia saluti rais wao, wakapewa, ndipo juzi wakajitwalia jina la 'nchi' na kuliingiza kwenye katiba ya Zanzibar ili hali kwenye katiba ya JMT, Zanzibar sio nchi ni sehemu tuu ya JMT. Jee JMT inasababu wa kuwakatalia kujiita majina yoyote inayoyataka hata wakiuita Falme za Zanzibar na kiongozi wao akawa Sultani Seif/Shein etc.

      Zanzibar ni nchi kweli kama Zanzibar ndani ya Tanzania, kama mwanao atakavyoitwa baba ndani ya nyumba yenu, lakini nje ya nyumba, mwanao ni mtoto tuu, hana ubaba wowote mbale ya macho ya umma, ndivyo ilivyo nchi hii mpya ya Zanzibar, ni nchi jina tuu, haina uinchi yoyote mbele ya mataifa, ni nchi jina isiyo na nguvu zozote za dola. Sasa unamashaka na jina tuu?.

      Zanzibar nchi jina!.

    11. #9
      Jile79's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th May 2009
      Posts : 3,770
      Rep Power : 1267
      Likes Received
      213
      Likes Given
      9

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      kwa hiyo wazanzibar watapiga kura kuchagua rais wa muungano kwa ajili gani..............wakati mambo yote ya muhimu yaliyokuwa chini ya muungano sasa yapo chini ya zanzibar km nchi....
      Mvumilivu hula mbivu... Ila mvundika mbivu hula mbovu

    12. #10
      StaffordKibona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Location : Tabora
      Posts : 673
      Rep Power : 700
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Buchanan
      Nimeangalia kipindi cha Pambanua cha Channel Ten ambapo David Ramadhan alikiongoza akiwa amewakaribisha Dkt Sengodo Mvungi ambaye ni Mhadhiri wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam na Alex Mgongolwa wa Kituo cha Haki za Binadamu ambapo Dkt Sengodo Mvungi amedai kwamba mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar, 1984 ya kuanzisha "Nchi ndani ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" ni kuvunja Jamhuri ya Muungano kwa sababu nchi ni Jamhuri ya Muungano na si vinginevyo. Kwa hiyo Jamhuri hiyo ilishavunjika tangu mabadiliko ya 10 ya Katiba ya Zanzibar ambayo alidai kwamba "yalichomekewa!" Ni kwa sababu kulikuwa na swali kwenye kura za maoni: "Je, unataka mabadiliko ya Muundo wa Serikali baada ya uchaguzi wa Oktoba, 2010" ambalo alidai ni swali pana sana! Katika Orodha ya Mambo ya Muungano Dkt Mvungi alidai kwamba Katiba ya Jamhuri ya Muungano nayo ni jambo la Muungano, kwa hiyo kuivunja Katiba hiyo ni kuvunja moja kati ya mambo ya Muungano. Pia amedai Wagombea wenza ni "batili" kwa sababu wanatoka "katika nchi nyingine!" Amedai kwamba saratani imeula Muungano wetu mpaka uko mahututi, tutafute suluhisho la kuachana na wazanzibari kwa amani tusije tukapigana. Tutapendana zaidi kuliko Wakenya na Waganda!

      Kwa upande wa Alex Mgongolwa amedai kwamba tukae chini tutafute suluhisho kwa mazungumzo.

      JK wetu ndio huyo hana habari kwamba hata urais wake wa "Jamhuri ya Muungano wa Tanzania" haupo! Tujadili!
      alikuwa Harold Sungusia -

    13. #11
      Tusker Bariiiidi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd July 2007
      Location : Sinza Dar es Salaam.
      Posts : 3,234
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      376
      Likes Given
      51

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Mkuu Pasco umesema vizuri lkn si baadaye watataka vya ziada...

    14. #12
      StaffordKibona's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2008
      Location : Tabora
      Posts : 673
      Rep Power : 700
      Likes Received
      28
      Likes Given
      2

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Samahani walikuwa Sengondo Mvungi na Harold Sungusia

    15. #13
      Pasco's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 22nd September 2008
      Posts : 9,839
      Rep Power : 7368
      Likes Received
      6154
      Likes Given
      22279

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Tusker Bariiiidi
      Mkuu Pasco umesema vizuri lkn si baadaye watataka vya ziada...
      Ni kweli, tayari wameshayaomba mafuta na gesi asilia yatolewe kwenye orodha ya Muungano, na pia wamepitisha rasmi sheria ya kura za maoni ili baadaye waje wapige kura ya maoni kuhusu Muungano, hawakujua kuwa Nyerere ni Mkatoliki, ndoa ya Katoliki haina talaka, hata mke alete vitimbi gani vya kudai talaka, ndio maana CCM imemuweka pale Dr. Shein, maana Seif hata akishinda kura, hapewi nchi asijehatarisha muungano wetu huu adhimu ulioasisiwa na waasisi wa taifa letu tukufu.

    16. #14
      LeopoldByongje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2008
      Posts : 374
      Rep Power : 639
      Likes Received
      8
      Likes Given
      9

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Walichosema wataalam hao ni kweli na sahihi. Huwezi kuwa na Muungano wa Tanzania na Wakati huo na Nchi ya Zanzibar. Katika moja ya threads nililizungumza hili. Hata huu uchaguzi ni batili kwa sababu nchi inayoitwa Tanzania tayari imeishamegwa kipande na Kisheria haipo. Sijui hata hao wanaowania Ubunge kutoka Zanzibar wanajua wanalolifanya. Kuna mgogoro wa Kikatiba na jambo hili linaweza kutupeleka pabaya. Kwenye Gazeti la Mwanahalisi toleo la Jumatano tarehe 25/8/2010 kuna mada inazungumzia suala hili.

    17. #15
      LeopoldByongje's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th April 2008
      Posts : 374
      Rep Power : 639
      Likes Received
      8
      Likes Given
      9

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Pasco
      Buchanan, namkubali Prof. Mvingi kama msomi wa sheria aliyebobea kama ambavyo nitamkubali Prof. Mwakiembe, ila sizikubali comments zake kwenye baadhi ya issues kwa sababu yeye Mvungi, ameshajipambanua kushiriki siasa, na ndivyo ambavyo Prof. Mwakiembe atakavyo jipambanua kulinda mauza uza yote ya CCM.

      Honest opinion kwenye hili, inatakiwa kutoka kwa wanasheria independent kama Prof. Shivji.

      Kusu Zanzibar kuwa nchi ndani ya nchi, nilisema yafuatayo,
      Zanzibar na Tanzania ni kama Baba na mwana. Wewe ndiye baba, unaitwa baba kwa sababu ndiye mkuu wa kaya, bread winner mwenye mamlaka yote.

      Inapotokea mtoto wako umpendaye akaanza kulia kutwa kucha kwamba kwa nini ni wewe tuu unaitwa baba, na yeye anataka lazima aitwe baba, na kuendelea kulia kwa makelele mpaka unakosa amani, lakini wife alipomwambia 'nyamaza baba', ghafla alinyamaza na kuanza kufurahi sana, na yeye ameitwa Baba!, akamwambia mama na mimi ni baba. Jee wewe baba wa ukweli, utakasirika au kununa kuwa mwanao amechukua nafasi yako ya kuitwa baba, ama na yeye anataka kuitwa baba jina tuu lakini sio baba chochote, kwa vile powers za ubaba hana!.

      Ndivyo ilivyo kwa JMT, Zanzibar kwanza walianza kwa kuomba bendera yao, wakapewa, kisha wakaomba wimbo wao wa taifa, wakapewa, kisha wale wagambo wao, (KMKM na JKU) kumpigia saluti rais wao, wakapewa, ndipo juzi wakajitwalia jina la 'nchi' na kuliingiza kwenye katiba ya Zanzibar ili hali kwenye katiba ya JMT, Zanzibar sio nchi ni sehemu tuu ya JMT. Jee JMT inasababu wa kuwakatalia kujiita majina yoyote inayoyataka hata wakiuita Falme za Zanzibar na kiongozi wao akawa Sultani Seif/Shein etc.

      Zanzibar ni nchi kweli kama Zanzibar ndani ya Tanzania, kama mwanao atakavyoitwa baba ndani ya nyumba yenu, lakini nje ya nyumba, mwanao ni mtoto tuu, hana ubaba wowote mbale ya macho ya umma, ndivyo ilivyo nchi hii mpya ya Zanzibar, ni nchi jina tuu, haina uinchi yoyote mbele ya mataifa, ni nchi jina isiyo na nguvu zozote za dola. Sasa unamashaka na jina tuu?.

      Zanzibar nchi jina!.
      Mfano huu si mwafaka. Mfano stahiki ni ule mtoto anataka kurithi mali na madaraka wakati ungali hai. Akizidi kukuzonga bila shaka atakuua. Ndivyo walivyofanya akina Karume na Seif na BLWZ na SMZ.

    18. #16
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,260
      Rep Power : 8974
      Likes Received
      811
      Likes Given
      340

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By StaffordKibona
      Samahani walikuwa Sengondo Mvungi na Harold Sungusia
      Sorry, kama nimekosea jina la pili!
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    19. #17
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,575
      Rep Power : 1030
      Likes Received
      534
      Likes Given
      400

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Ibara ya 46B ya katiba inasema bayana:
      Wajibu wa viongozi Wakuu wa vyombo vya Mamlaka ya Utendaji kudumisha Muungano
      (1) Bila ya kuathiri wajibu wa kila raia uliotajwa katika ibara ya 28 ya Katiba hii, viongozi wakuu wa vyombo vyenye mamlaka ya utendaji
      katika Jamhuri ya Muungano vilivyotajwa katika ibara ya 4 ya Katiba hii, watawajibika, kila mmoja wao katika kutekeleza madaraka
      aliyopewa kwa mujibu wa Katiba hii au Katiba ya Zanzibar, 1984, kuhakikisha kuwa analinda, kuimarisha na kudumisha umoja wa
      Jamhuri ya Muungano.

      (2) Kwa madhumuni ya masharti ya ibara ndogo ya (1), kila mmojawapo wa viongozi wakuu wa vyombo vyenye mamlaka ya utendaji
      katika Jamhuri ya Muungano kabla ya kushika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii ataapa kuitetea na kudumisha
      umoja wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa Katiba hii.

      (3) Viongozi wakuu wanaohusika na masharti ya ibara hii–
      (a) Rais wa Jamhuri ya Muungano;
      (b) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano;
      (c) Rais wa Zanzibar; na
      (d) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano.

      Je ni uhaini?????????
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    20. #18
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,260
      Rep Power : 8974
      Likes Received
      811
      Likes Given
      340

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Ngambo Ngali
      Ibara ya 46B ya katiba inasema bayana:
      Wajibu wa viongozi Wakuu wa vyombo vya Mamlaka ya Utendaji kudumisha Muungano
      (1) Bila ya kuathiri wajibu wa kila raia uliotajwa katika ibara ya 28 ya Katiba hii, viongozi wakuu wa vyombo vyenye mamlaka ya utendaji
      katika Jamhuri ya Muungano vilivyotajwa katika ibara ya 4 ya Katiba hii, watawajibika, kila mmoja wao katika kutekeleza madaraka
      aliyopewa kwa mujibu wa Katiba hii au Katiba ya Zanzibar, 1984, kuhakikisha kuwa analinda, kuimarisha na kudumisha umoja wa
      Jamhuri ya Muungano.

      (2) Kwa madhumuni ya masharti ya ibara ndogo ya (1), kila mmojawapo wa viongozi wakuu wa vyombo vyenye mamlaka ya utendaji
      katika Jamhuri ya Muungano kabla ya kushika madaraka yake kwa mujibu wa Katiba hii ataapa kuitetea na kudumisha
      umoja wa Jamhuri ya Muungano kwa mujibu wa Katiba hii.

      (3) Viongozi wakuu wanaohusika na masharti ya ibara hii–
      (a) Rais wa Jamhuri ya Muungano;
      (b) Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano;
      (c) Rais wa Zanzibar; na
      (d) Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano.

      Je ni uhaini?????????
      It is treason in strict terms!
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    21. #19
      Ngambo Ngali's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 17th April 2009
      Posts : 2,575
      Rep Power : 1030
      Likes Received
      534
      Likes Given
      400

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Buchanan
      It is treason in strict terms!
      and complicated sort of, to harmonise the Union constitution with the Zanzibar constitution the union constitution must be changed substantially.It means the whole structure of the Union Constituion will change.

      Are the people responsible aware of that ?
      Injustice anywhere is a threat to justice everywhere.

    22. #20
      Buchanan's Avatar
      Super Moderator Array
      Join Date : 19th May 2009
      Location : Somewhere!
      Posts : 9,260
      Rep Power : 8974
      Likes Received
      811
      Likes Given
      340

      Default re: Dkt Mvungi: "Muungano Ulishavunjika!"

      Quote By Ngambo Ngali
      and complicated sort of, to harmonise the Union constitution with the Zanzibar constitution the union constitution must be changed substantially.It means the whole structure of the Union Constituion will change.

      Are the people responsible aware of that ?
      Is that the way of dealing with the highest criminal act in the land (ie treason), by condoning it?
      "Kwa maana nimekwisha kujua hakika ya kwamba, wala mauti, wala uzima, wala malaika, wala wenye mamlaka, wala yaliyopo, wala yatakayokuwapo, wala wenye uwezo, wala yaliyo juu, wala yaliyo chini, wala kiumbe kinginecho chote hakitaweza kututenga na upendo wa Mungu ulio katika Kristo Yesu Bwana wetu."(Rom. 8:38 - 39).

    Page 1 of 3 123 LastLast

    Similar Topics

    1. Huu ndiyo Ukweli nakubaliana nawe ndugu Mvungi
      By Lunyungu in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 18th February 2012, 17:01
    2. Ni bora kufa mapema kuliko kuona ndoa ya ushoga tanzania!-dk mvungi
      By Pdidy in forum Habari na Hoja mchanganyiko
      Replies: 8
      Last Post: 9th November 2011, 04:07
    3. Replies: 226
      Last Post: 28th January 2011, 19:01
    4. Dr. Sengodo Mvungi on KLHN on "Mwanakijiji Live"
      By Mzee Mwanakijiji in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 8
      Last Post: 24th December 2007, 13:19
    5. Mvungi ampinga Spika kuhusu wanaoshtakiwa
      By BAK in forum Jukwaa la Siasa
      Replies: 13
      Last Post: 11th September 2007, 01:44

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...