| Find/Invite Friends | Register | Calendar | Search | Today's Posts | Mark Forums Read |
| FAQ | Members List | Bongo Flava | Zilipendwa | Taarab | Injili |
|
|
#1 | |||||||||||
|
||||||||||||
|
Views: 916
|
||||||||||||
|
#2
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hivi unategemea nini kutoka kwa Mashehe ambao wanaongoza kwa kuoa wanawake. Kama unawake wanne, uzazi wa mpango unafaida gani?
Inatia aibu sana kuona kuwa viongozi wa dini wapo mstari wa mbele katika kupinga na kurudisha/zorootesha maisha ya jamii.
__________________
For if I preach the gospel, I have nothing to boast of, for I am under compulsion; for woe is me if I do not preach the gospel. -1 Corinthians 9:16 ... |
|
#3
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Tatizo lenu nyie mnaojiita watumishi wa Mungu mnang'ang'ani uzazi wa mpango kwa kuwa wengi wenu mnaongoza kuwa na vimada nje ya ndoa zenu, sasa manona kama msiposapoti uzazi wa mpango utatumia kigezo gani kumshawishi kimada wako ili asikuletee mtoto na mkeo wa ndoa nyumbani akaja juu? Au mnafikiri hatujui mambo yenu.
lakini kama hujaelewa wanachopinga Masheikh ni njia zinaotumika kuzuia mimba hazikubaliki na sheria ya dini, lakini zaidi kampeni hizi zinachochea zinaa kwa kasi kubwa. kama hamfanyi uchunguzi vizuri, watumiaji wa njia hizi, wengi wao ni wasichana wa mashuleni na wanawake wasioolewa ambao ni vimada wenu. |
|
#4
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Sidhani ya kwamba tatizo ni dini yenyewe mbali ni utamaduni pamoja na dini. Waislamu katika nchi nyingi hukubali njia nyingi za uzazi wa mpango. Wakikataa katika nchi fulani ni ya kwamba wanaamini utamaduni wao ni sawa na dini kwa sababu hawakuzoea kuangalia tofauti hizi.
Max: swali la wake wengi wa shehe si jambo kuu. Kila mtu anapaswa kugharamia watoto wake (asipotoroka!); akipaswa kulisha watoto 10 basi ni watoto 10 kama anawazaa na mke mmoja (au kama mama amekuwa mdhaifu baada ya kuzaa mara nyingi ameaga dunia basi anaoa tena) au kama anazaa na wake wengi. Watoto wengi ni ishara ya umaskini; katika mazingira ya mjini na penye maendeleo idadi inazidi kupungua - hivyo ndivyo kote duniani. Kinachoweza kusaidia ni jitihada ya maafisa wa miradi ya uzazi wa mpango kuonyesha heshima kwa kila dini na pia kujielimisha kwanza. Nadhani Uganda na nchi mbalimbali utapata wataalamu Waislamu wanaoweza kuonyesha kwa Qurani, ahadith na fiq ya kwamba kuna njia zinazokubaliwa. Mimi naona ya kwamba kwenye uwanja wa elimu ya kijinsia ni vema kuongea na viongozi wa dini lakini si njia bora kuwachukua wote mahali pamoja kwa sababu kila mmoja ana mapokeo yake; wangeongea nao mmoja-mmoja na kama wote ni wagumu basi kumchukua mtaalamu wa dini yao kutoka nje kwa semina. Last edited by Kipala; 3rd July 2009 at 01:52 PM.. |
|
#5
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
NB:
angalia maelezo yafuatayo kutoka tovuti za Kiislamu: Islamic View of Birth Control - IslamonLine.net - Ask The Scholar "Now coming to the issue of birth control, there is nothing in Islam that prohibits it so long as it is done consensually for valid reasons such as the following: putting off pregnancy until such time when the spouses are in a better position to shoulder the responsibilities of parenting, to allow for space between pregnancies in order to provide proper nurturing and care to existing children, et cetera. Birth control is, however, forbidden or undesirable when it is resorted to as a permanent measure to prevent conception altogether...” Family Planning and Islam: A Review (muslim-canada.org) "A Muslim has three sources of knowledge to obtain answers to the questions pertaining to various aspects of human life. These sources are: 1. The Holy Qur'an; 2. Sayings (hadith) and acts (Sunnah) of the Holy Prophet (pbuh); and 3. The views of the leaders of juristic schools qualified to interpret the teachings of Islam. 1. The Holy Qur'an No Qur'anic text forbids prevention of conception. There are, however, some Qur'anic verses which prohibit infanticide and these are used by some Muslims to discourage birth control. But contraception does not amount to killing a human being. These verses in fact were revealed to forbid the pre-Islamic Arab practice of killing or burying alive a newborn child (particularly a girl) on account of the parents' poverty or to refrain from having a female child. Perhaps in those days, people did not know safe methods of contraception and early abortion." (inaendelea kuchungulia ahadith ikionyesha ya kwamba mtume Muhamad aliruhusu "'azl" = azili.) Last edited by Kipala; 3rd July 2009 at 05:18 PM.. Reason: kunyosha quote |
|
#6
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
NB II:
hapa naongeza jibu la shehe wa madhhab ya Shafi'i (ambayo ni mwelekeo wa waislamu wengi wa Afrika ya Mashariki kati ya madhhab 4 za Wasunni) - anaruhusu njia mbalimbali kama azili, kondomu, na kidonge. Modern Birth Control (qa.sunnipath.com) (Question ID:3949 Date Published: July 03, 2005 Modern Birth Control Answered by Shaykh Amjad Rasheed) Sijui ni swali la elimu ya mashehe wa Kilimanjaro au ni athira ya Wahhabi kutoka Saudia?? Tazama pia "Encyclopedia of Women & Islamic Cultures: Family, body, sexuality and health by Suad Joseph, Afsaneh Najmabadi" ukurasa 213 angalia google books http://books.google.de/books?id=bzXz...esult&resnum=8 Last edited by Kipala; 3rd July 2009 at 05:36 PM.. |
|
#7
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Msimamo wa mjinga mmoja usichukuliwe kuwa ndiyo msimamo wa dini husika. Ni makosa ku-generalise mambo.
|
|
#8
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Hili ndilo tatizo lenu wanyenyekevu mnapo kosa hoja katika mada. Mashehe unao wapigia debe, wapo mstari wa mbele kuongoza ufuksa na mashoga. Hivi hujuwi sababu ya kuwa na MAANTI MODI kila kona imetokana na tabia chafu ya kimasheke iliyo kuwa inafanywa misikitini mwenu? Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam, ndio maana mtume wenu Marehemu Mwamadi akawapa ruhusa ya kuoa wake WANNE, lakini bado hamjaridhika, na kuendelza biashara ya ushoga na umaumba. Mnavisha wake wenu majoho kama maninja, lakini bado mnaongozwa na mafadhaiko wa akili na kuamua kurukia MAANTI MODI.
__________________
For if I preach the gospel, I have nothing to boast of, for I am under compulsion; for woe is me if I do not preach the gospel. -1 Corinthians 9:16 ... |
|
#9
|
|||||||||||
|
|||||||||||
|
Tazizo, je, hao wenye wake wengi na watoto kibao, wanauwezo wa kuhudumia watoto wao? Sababu kuu iliyo sababisha kuanzisha uzazi wa mpango au kuwekea umuhimu katika jambo hilo la uzazi wa mpango, ni kuwa, Familia zenye watoto wengi zimeshindwa kuonyesha na/au kutoa ushaidi wa kuhudumia watoto wao, na kusababisha watoto kupata taabu sana ya maisha. Haina maana wala haileti mwelekeo kuwa na watoto kumi na kushindwa kuwaudumia kimaiasha. Mwisho wake, hao watoto wanakuwa wa mitaani na kuongozwa na dunia isiyo wajali zaidi ya kuwaangamiza. Ndio maana kuna umuhimu wa kufikiria zaidi ya mara mbili kuhusu uzazi wa mpango.
__________________
For if I preach the gospel, I have nothing to boast of, for I am under compulsion; for woe is me if I do not preach the gospel. -1 Corinthians 9:16 ... |
|
#10
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||
|
MaxShimba, nina mawili:
1) je unaweza kuonyesha takwimu halisi kama Waislamu wanazaa kuliko Wakristo? Sidhani takwimu hii ipo. Sikubali kama mtu anasema "Mimi najua Waislamu wenye watoto wengi...". Kwa sababu hata hapa mwingine atasema: Na mimi najua Wakristo wenye watoto wengi. Hoja kama hizi hazina thamani. Mtu akitaka kujua anaweza kulinganisha wilaya za vijijini penye Waislamu wengi na wilaya nyingine penye Waislamu wachache na kulinganisha idadi ya wakazi kufuatana na sensa mbili. Ukifanya kazi hii tunaweza kujadiliana. Watu maskini vijijini huzaa kuliko watu wa mjini; dini inaweza kuwa sababu ya ziada lakini hili ni swali la uchunguzi kamili. 2. nashangaa sana unajitangaza kama "bondservant of Jesus Christ" lakini ukiongea habari za Waislamu lugha yako mara nyingi inajaa hasira na chuki. Jibu lako kwa Ibnally mimi naona aibu kuitwa Mkristo kama wewe unajitangaza hivyo na kufyatulia matusi mengi.
«
Previous Thread
|
Next Thread
»
Tuma Ukurasa huu kwa rafiki yako! All times are GMT +3. The time now is 12:18 PM.
Powered by JamiiForums.com
Copyrights reserved to JamiiForums.com | ||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||||