Mashehe wapinga kampeni ya uzazi wa Mpango- Kilimanjaro
Jukwaa la Sheria (The Law Forum)Wewe ni mwanasheria? Je, wahitaji na ufafanuzi kuhusiana na sheria mbalimbali Tanzania? Ni fursa yako ya kuweza kuuliza, kuzipambanua na kuzidadavua sheria mbalimbali za Tanzania na za Kimataifa
VIONGOZI wa dini ya kiislamu wakiwemo mashehe na maimamu wamepinga kampeni ya Taifa dhidi ya matumizi ya njia za uzazi wa mpango nchini. Hayo yalijulikana jana katika semina iliyowashirikisha viongozi hao wa dini iliyowataka watambue juu ya matumizi ya njia hizo Mkoani Kilimanjaro.
Kampeni hiyo ya Taifa ambayo ipo kwenye michakato ya kuwakutanisha viongozi wa dini mbalimbali nchini ili wapewe elimu ya njia hizo na wao wakawafikishie wananchi na kuwapa hamasa juu ya matumizi ya njia hizo.
Viongozi hao walipinga vikali juu ya kampeni hiyo na kusema kuwa hawatahamasisha jamii kwa kuwa njia hizo zinakwenda kinyume na maandiko ya dini hiyo.
Wakizungumza kwa masikitiko baadhi ya mashehe na viongozi wengine wa dini hiyo ya kiislamu wakiwemo na walimu wanawake wamesema kuwa kutokana na maandiko ya dini ya kiislamu kampeni hiyo ambayo wamepatiwa elimu wao hawataitekeleza kwa kuwa ni kinyume na maandiko ya dini.
Wamesema kuwa njia hizo kwanza ni kama ni kumkufuru mwenyezi mungu kwa kuwa yeye hakusema binadamu wazuie uzazi na kusema aliwataka wanadamu waje kuujaza ulimwengu na sio kuzuia kizazi.
Wamesema kuwa kampeni hiyo wanaipinga vikali na hawatawaambia waumini wao watumie njia hizo wao watawaelimsha waumini wao kulingana na maandiko yanavyosema.
Afisa Mipango zoezi la Mpango wa Uzazi wa Mpango Taifa, Bw. Safiel amesema kuwa, wanawakutanisha viongozi wa dini hao na wameonekana kama kutofahamu lengo la Taifa, na dhumuni la kuwakutanisha ni kutaka watambue njia hizo na waelimishe jamii juu ya njia hizo zinazoonekana wananchi walio wengi hawazitambui.
Na kusema kuwa sio kwamba wanawazuia wananchi wasizae bali kwa kudhibiti wimbi la watoto ambao hawapati huduma stahili kutoka kwa wazazi wao na vilevile kuelimisha jamii kuzaa kulingana na uwezo walio nao.
Jamani turudi kwenye swali asilia. Kama Waislamu katika nchi nyingi wanaweza kukubali njia za kupanga uzazi wakitoa sababu za maandiko na mafundisho yao - je kwa nini mashehe wa Kilimanjaro (pia wengine wa Tanzania??) wanaamini ya kwamba haiwezelani??
Now you are talking my language. May be they lack koranic knowledge or understanding the phreases in koran.
__________________ For if I preach the gospel, I have nothing to boast of, for I am under compulsion; for woe is me if I do not preach the gospel. -1 Corinthians 9:16 ...
Re: Mashehe wapinga kampeni ya uzazi wa Mpango- Kilimanjaro
Inawezekana kuwa Mashehe wameliangalia hili jambo kwa wepesi, bila ya utafiti yakinifu.
Ni vema waangalie the good part of birth control na walinganishe na ubaya wa birth control. Then they can come to a conclusion ya birth control kama ni ethical au unethical kwa jamii ya Uislam.
__________________ For if I preach the gospel, I have nothing to boast of, for I am under compulsion; for woe is me if I do not preach the gospel. -1 Corinthians 9:16 ...
Re: Mashehe wapinga kampeni ya uzazi wa Mpango- Kilimanjaro
Quote:
Hili ndilo tatizo lenu wanyenyekevu mnapo kosa hoja katika mada. Mashehe unao wapigia debe, wapo mstari wa mbele kuongoza ufuksa na mashoga. Hivi hujuwi sababu ya kuwa na MAANTI MODI kila kona imetokana na tabia chafu ya kimasheke iliyo kuwa inafanywa misikitini mwenu?
Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam, ndio maana mtume wenu Marehemu Mwamadi akawapa ruhusa ya kuoa wake WANNE, lakini bado hamjaridhika, na kuendelza biashara ya ushoga na umaumba.
Mnavisha wake wenu majoho kama maninja, lakini bado mnaongozwa na mafadhaiko wa akili na kuamua kurukia MAANTI MODI.
wanaongoza kwa Ushoga ni Wakatoliki. Wao mpaka wameruhusu kikanisa ndoa za jinsia moja. vile vile Mapadre ndio wanaongoza kuwa na vimada sababu wao hawaruhusiwi kuoa.
Re: Mashehe wapinga kampeni ya uzazi wa Mpango- Kilimanjaro
Dini comes out of culture. Yaani, religion is an outgrowth of culture. Naturaly, a given culture will evolves with time. But some religious doctrine insists on remaining unchanged, and hence you get conflicting interpretation of its core value.
Fundamentaly, Uislamu hautaki kuchange na wakati. Lakini nirahisi kuona kwamba maisha ya wakati wa Mohamed (wasalah lah waleih wasalam) haya wezi kufanana na maisha ya wakati huu, hata ukilazimisha. Na sio Uislamu tuu, Wakatoliki nao wanapoteza jamii. Kumbuka juzi tu hapa yule mkuu wao kwenye ziara yake Afrika alisisitiza kwamba kondom zisitumike - yaani binadamu msiingilie natural process ya muumba.
Nyinyi vizazi vya sasa nimuhimu kutambua kwamba mkiweka sana huyo mungu mbele, hamta fanikiwa. Actually, imani ya dini is very much associated with illiteracy and poverty.
God = false hope.
False hope = "naamini ya kwamba matatizo yangu hapa duniani hii hayata kuwepo nikifa, kwani nikifa nitakwenda mbinguni. Kwahiyo, sio muhimu kutumia akili yangu kuweka maisha yangu hapa duniani yawe sawa. Duniani tuna pita tuu. Kuna uzima wamilele unaningoja huko mbinguni…”
__________________ Remember not to adhere on attributes that will disconnect you from your land. The holy foundation is on the mountain, and you are already there – Afrika!
Re: Mashehe wapinga kampeni ya uzazi wa Mpango- Kilimanjaro
si vyema kutukana imani za watu mwanajamii,ustarabu hauna shule!NA USILOLIJUA LITAKUSUMBUA.
nilisikia kuwa nchi za ulaya zinaongoza kwa ushoga,tupe idaidi ya waislam huko na je ni nani wanafungisha ndoa za mashoga!
si vyema kutukana imani za watu mwanajamii,ustarabu hauna shule!...!
My bad!
__________________ Remember not to adhere on attributes that will disconnect you from your land. The holy foundation is on the mountain, and you are already there – Afrika!
Hili ndilo tatizo lenu wanyenyekevu mnapo kosa hoja katika mada. Mashehe unao wapigia debe, wapo mstari wa mbele kuongoza ufuksa na mashoga. Hivi hujuwi sababu ya kuwa na MAANTI MODI kila kona imetokana na tabia chafu ya kimasheke iliyo kuwa inafanywa misikitini mwenu?
Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam, ndio maana mtume wenu Marehemu Mwamadi akawapa ruhusa ya kuoa wake WANNE, lakini bado hamjaridhika, na kuendelza biashara ya ushoga na umaumba.
Mnavisha wake wenu majoho kama maninja, lakini bado mnaongozwa na mafadhaiko wa akili na kuamua kurukia MAANTI MODI.
UMEANDIKA
Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam
Wakristo Wamechoshwa na wanawake sasa wanahalalisha mpaka ndoa za wanaume na kwa wanaume makanisani.
Hata MAASKOFU WANAUME WAMEANZA KUOANA WENYEWE KWA WENYEWE KANISANI TENA KWA JINA LA YESU
Hili ndilo tatizo lenu wanyenyekevu mnapo kosa hoja katika mada. Mashehe unao wapigia debe, wapo mstari wa mbele kuongoza ufuksa na mashoga. Hivi hujuwi sababu ya kuwa na MAANTI MODI kila kona imetokana na tabia chafu ya kimasheke iliyo kuwa inafanywa misikitini mwenu?
Dini pekee hapa duniani inayo ongoza kwa kupenda ngono, ni ya Uislam, ndio maana mtume wenu Marehemu Mwamadi akawapa ruhusa ya kuoa wake WANNE, lakini bado hamjaridhika, na kuendelza biashara ya ushoga na umaumba.
Mnavisha wake wenu majoho kama maninja, lakini bado mnaongozwa na mafadhaiko wa akili na kuamua kurukia MAANTI MODI.
wapendwa tusiingize imani za kdiini kiasi hiki cha kuanza kukashifiana. kwa ujumla dini haizuii uzazi wa mpango, kinachozungumziwa hapa ni aina ya njia ya uzuiaji uzazi na matumizi mabaya ya njia hizo. kwa sasa mfano, wasichana ambao hawajaolewa, wanafunzi ndio wanaaongoza kutumia njia hizo! sasa kidini msichana/mvulana ambaye hajaoa/kuolewa hapaswa si tu kutumia njia za uzazi wa mpango bali haruhusiwi kabisa kufanya zinaa. labda tatizo hapa ni namna hao masheikh walivyo lichkulia/kulielewa jambo hilo (