WanaJF natafuta mwanasheria anisaidie kudai haki zangu kwa mwajili, tafadhali aniPM nimpe ufafanuzi, na namna ya kulipana.
Natanguliza shukrani
WanaJF natafuta mwanasheria anisaidie kudai haki zangu kwa mwajili, tafadhali aniPM nimpe ufafanuzi, na namna ya kulipana.
Natanguliza shukrani
Eleza tatizo pls!
Nenda msaada wa kisheria udsm...........
"No matter how far down the wrong road you've gone,TURN BACK"
Wanasheria wako wengi tu, jaribu kuwapitia alafu waeleze shida yako nadhani utapata mtakaye elewana atakusaidia na pia anaweza kuwa Mwanasheria wako wa kudumu.
Mtafute Kuhani aka Dilunga
Miafrika Ndivyo Tulivyo.
Kuhani anaweza piga bill kuliko ya Nimrod Mkono kule BOT....$ 500 kwa saa!
Kindness is the language which the deaf can hear and the blind can see - Mark Twain
CCM is enemy of GOD
Follow Us Here