Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 35
    1. #1
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi lao.

      Dereva Yassin Twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda Bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.
      Jasusi likes this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,920
      Rep Power : 5062
      Likes Received
      3199
      Likes Given
      2653

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Aisee sie tunawapapatikia sana hawa ngozi nyeupe!! Ndio maana nao wanatunyanyasa wakiwa kwao na hata huku kwetu!! Ndio maana mie simfagilii mzungu kabisa!
      Boflo likes this.

    4. #3
      Bujibuji's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th February 2009
      Location : NYUMBANI PANONO
      Posts : 13,830
      Rep Power : 11192
      Likes Received
      7020
      Likes Given
      5189

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Hivi wachina wako wangapi nchini hadi watutawale!???????
      Tuwarudi hawa hata kwa manati. Wamesha jua bei ya mahakimu, huko hamna haki kwa mzawa
      Boflo likes this.

    5. #4
      Kimbunga's Avatar
      JF Platinum Member Array
      Join Date : 4th October 2007
      Location : Kisiwani Juma
      Posts : 7,478
      Rep Power : 6168
      Likes Received
      3054
      Likes Given
      1017

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Mkuu Mwanaharakati huru imekuwaje?Tuhabarishe ni wapi hayo yametokea?

    6. #5
      Ubungo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th April 2012
      Posts : 1,151
      Rep Power : 589
      Likes Received
      204
      Likes Given
      185

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Wachina wanapata kiburi kwa ajili ya rushwa wanazotoa kwa Polisi.
      Jasusi likes this.

    7. Miaka 50

    8. #6
      Baba V's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th December 2010
      Location : Buguruni Mnyamani
      Posts : 10,871
      Rep Power : 30216
      Likes Received
      4696
      Likes Given
      3477

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Mkiwaudhi watampiga BAN baba yenu asiende kwao!

    9. #7
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Quote By Mwanaharakatihuru
      Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi lao.

      Dereva yassin twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.
      Kila kazi ina kanuzi zake, msaada upi? walikuwa hatarini kupoteza maisha? au walikuwa wameharibikiwa tu na gari? unaweza kuona unatoa msaada kumbe unahatarisha zaidi usalama wao. mfano kuwavuta na wao wamo ndani ya gari linalovutwa, kama kafanya hivyo anastahiki kichapo, kwani alikuwa anahatarisha maisha ya hao wanafuzni zaidi ya kuwasaidia.

      Huyo dereva ni punguani avute basi na kuna wanafunzi ndani? huyo alistahiki kulimbokwa.
      Boflo likes this.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    10. #8
      Kiwalani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 25th February 2010
      Posts : 118
      Rep Power : 492
      Likes Received
      7
      Likes Given
      19

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Quote By Bujibuji
      Hivi wachina wako wangapi nchini hadi watutawale!???????
      Tuwarudi hawa hata kwa manati. Wamesha jua bei ya mahakimu, huko hamna haki kwa mzawa
      Jiulize ilikuwaje askari wachache tu waliweza kuswaga watumwa kibao toka Kigoma mpaka Bagamoyo .... wakipita sehemu nyingi tu zenye wazawa wengi (mfano Tabora, Dodoma, Morogoro etc.) .... hakuna mtu alithubutu kusaidia kuwatoa utumwani ndugu zetu! .... Inasikitisha, lakini Waafrika Ndivyo Tulivyo.

    11. #9
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Nyie manotetea mnaona huy dereva alikuwa anafanya la maana kuvuta basi liliharibika lenye wanafunzi ndani? amma kweli Watanzania bado tupo nyuma sana kuhusu mambo ya usalama.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    12. #10
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Kama unaijua hiyo barabara huyo dereva alifanya kitendo cha uungwana kikubwa ila polisi wetu are for sale

    13. #11
      Marketer's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th April 2012
      Posts : 167
      Rep Power : 392
      Likes Received
      44
      Likes Given
      19

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      kijana kabla ya kwenda kufanya kazi kwa wahindi/wachina/waarabu inabidi uchukue training ya self defence au judo lasiivo yatakayo kukuta sauri yako! ohooo! Unless uwe umeaga kwenu na kwenu kwenyewe sumbawanga/tanga/pemba/ukingani hapo mchina akikupiga mkono unanasa mpaka akuombe msamaha mwenyewe. chezea african technology!!!!

    14. #12
      JIULIZE KWANZA's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th November 2010
      Posts : 1,591
      Rep Power : 751
      Likes Received
      249
      Likes Given
      678

      Default re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Serikali dhaifu huongozwa na watu dhaifu.......
      There shall be no peace without right for all...By Bob Marley.

    15. #13
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By zomba
      Kila kazi ina kanuzi zake, msaada upi? walikuwa hatarini kupoteza maisha? au walikuwa wameharibikiwa tu na gari? unaweza kuona unatoa msaada kumbe unahatarisha zaidi usalama wao. mfano kuwavuta na wao wamo ndani ya gari linalovutwa, kama kafanya hivyo anastahiki kichapo, kwani alikuwa anahatarisha maisha ya hao wanafuzni zaidi ya kuwasaidia.

      Huyo dereva ni punguani avute basi na kuna wanafunzi ndani? huyo alistahiki kulimbokwa.
      Zomba nilishakuambia huo upolisi wako utakucost wewe kuwa shushu tu lakini you are in the wrong move mkuu. Jamaa amedhalilishwa kwa ajili ya kuwaondoa watoto wale waliokuwa wanaenda kwenye umitashumta ili wasivamiwa na majambazi ile barabara nadhani unawajua. Lakini kwa kumvunja mkono na kumtengua nyonga sio ubinadamu we will fight chico company and we will build chinese phobia kitaeleweka tu
      Jasusi likes this.

    16. #14
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By zomba
      Nyie manotetea mnaona huy dereva alikuwa anafanya la maana kuvuta basi liliharibika lenye wanafunzi ndani? amma kweli Watanzania bado tupo nyuma sana kuhusu mambo ya usalama.
      Una gari wewe au unategemea PT

    17. #15
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Quote By Mwanaharakatihuru
      Una gari wewe au unategemea PT
      Inahusu nini?

      Huyo dereva alikuwa punguani na wachina wamempa fundisho safi kabisa. Harudii tena na nna uhakika na kazi hana kwa kuhatarisha maisha ya wanafunzi. Msitake kutetea ujinga.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    18. #16
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Quote By Mwanaharakatihuru
      Zomba nilishakuambia huo upolisi wako utakucost wewe kuwa shushu tu lakini you are in the wrong move mkuu. Jamaa amedhalilishwa kwa ajili ya kuwaondoa watoto wale waliokuwa wanaenda kwenye umitashumta ili wasivamiwa na majambazi ile barabara nadhani unawajua. Lakini kwa kumvunja mkono na kumtengua nyonga sio ubinadamu we will fight chico company and we will build chinese phobia kitaeleweka tu
      Hata wawe wanakwenda wapi. Huwezi kuvuta gari lenye aboiria ndani, ni makosa makubwa sana. Huyo dereva kichapo halali yake. Usitete ujinga.

      Kama unajuwa kuwa haya mabasi ya siku hizi, breki, usukani, gear hufanya kazi kwa kutegemea injini usingesema yote hayo. Gari ikizima ikawa inavutwa hata ndogo haitakiwi ipakie abiria, hata kuivuta na dereva ndani ni makosa. Ikiharibika inatakiwa ije breakdown kuivuta au kuipakia iiondoe ilipo ili isisababishe madhara zaidi.

      Huyo dereva kulimbokwa ni sawa kabisa. Atarudia?
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    19. #17
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,606
      Rep Power : 15261
      Likes Received
      3731
      Likes Given
      2866

      Default Re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Quote By Mwanaharakatihuru
      Katika hali ya kuendelea kuwanyanyasa wazawa wachina watatu wa kampuni ya CHICO wamemfanyia unthinkable mfanyakazi alietaka kuwapa msaada watoto sabini baada ya kutaka kuwapa msaada wa kuvuta basi lao.

      Dereva yassin twaha alichofanyiwa na maelezo ya kamanda bundala yanatia kinyaa wazalendo wa nchi hii sasa tusimame tujilinde wenyewe.
      Asante kwa taarifa.

      Ningependa kurudia tena, tunapoweka mada hapa tuwe tunajaribu kutoa picha kamili, lakini kama ulivyoleta mada kama mipasho kana kwamba tunakijua unachozungumzia ujumbe wako haujakamilika, nikama katika english structure unapoletewa sentence isiyobeba subject and predicate, na hivyo kuwekwa katika kundi la "flag."

      Kwa hiyo naweza kusema ujumbe ulioleta sijauelewa, ni flag, samahani kwa hillo. Unapoleta ujumbe jaribu kujibu maswali yale muhimu matano, hata kama yote huna walao matatu yanaweza kusaidia wasomaji kuelewa, lakini ilivyo hapa nashindwa nichangie nini kwani sijuia undani wa habari hiyo kwa vile imeelea hewani tu.

    20. #18
      LE GAGNANT's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 20th January 2011
      Posts : 1,228
      Rep Power : 709
      Likes Received
      222
      Likes Given
      184

      Default Re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Quote By zomba
      hata wawe wanakwenda wapi. Huwezi kuvuta gari lenye aboiria ndani, ni makosa makubwa sana. Huyo dereva kichapo halali yake. Usitete ujinga.

      Kama unajuwa kuwa haya mabasi ya siku hizi, breki, usukani, gear hufanya kazi kwa kutegemea injini usingesema yote hayo. Gari ikizima ikawa inavutwa hata ndogo haitakiwi ipakie abiria, hata kuivuta na dereva ndani ni makosa. Ikiharibika inatakiwa ije breakdown kuivuta au kuipakia iiondoe ilipo ili isisababishe madhara zaidi.

      Huyo dereva kulimbokwa ni sawa kabisa. Atarudia?
      ala! Kumbe kosa la dereva!
      SI VYOTE VING'AAVYO NI DHAHABU

    21. #19
      zomba's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th November 2007
      Posts : 15,822
      Rep Power : 14621
      Likes Received
      2842
      Likes Given
      1961

      Default Re: Wachina wampiga dereva, Mkuu wa kituo asema utaratibu wa kazi

      Quote By Mwanaharakatihuru
      Kama unaijua hiyo barabara huyo dereva alifanya kitendo cha uungwana kikubwa ila polisi wetu are for sale
      Hakuna cha barabara wala njia, Kafanya makosa kuvuta gari yenye wanafunzi ndani. Usitetete ujinga, madhara yake yangeweza kuwa makubwa zaidi. ya kuwawacha hapo na kwenda kuwaombea msaada unaostahili. Tanzania hii huwezi kwenda Kilomita 20 bila kukutana na kijiji kama hakuna hifadhi ya serikali. Angekwena hata kambini kwao kuwaombea usafiri mwngine badala ya kujidai uhodari wa kuwavuta.

      Sijui aliviona videmu vya seko ndio vikamzuzuwa. maana ushasema Umitashumta lazima vilikuwepo vyenye T shirt zinazoonyesha ramani ya nido, akazuzuka.
      System At Work

      "nimetembea angani na ardhini Tanzania nzima sijaona Rais na serikali iliyotukuka kiutendaji kama hii ya KIKWETE." - Freeman Aikaeli Mbowe

    22. #20
      Mwanaharakatihuru's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2012
      Posts : 474
      Rep Power : 0
      Likes Received
      114
      Likes Given
      14

      Default

      Quote By zomba
      Hata wawe wanakwenda wapi. Huwezi kuvuta gari lenye aboiria ndani, ni makosa makubwa sana. Huyo dereva kichapo halali yake. Usitete ujinga.

      Kama unajuwa kuwa haya mabasi ya siku hizi, breki, usukani, gear hufanya kazi kwa kutegemea injini usingesema yote hayo. Gari ikizima ikawa inavutwa hata ndogo haitakiwi ipakie abiria, hata kuivuta na dereva ndani ni makosa. Ikiharibika inatakiwa ije breakdown kuivuta au kuipakia iiondoe ilipo ili isisababishe madhara zaidi.

      Huyo dereva kulimbokwa ni sawa kabisa. Atarudia?
      Kwa taarifa yako CCK wakichukua nchI usajili wakada zote unaanza upya matoyoyo kama nyie mnao walinda wawekezaji tunafukuza

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...