Nisaidieni wakuu, nina mgeni toka China alikuwa na kibali cha tourist cha miezi 3, Bado hakijaisha but amebakisha kama siku kumi, nataka aendelee kuwepo yaani aongeze mda wa kukaa mwenye kujua process zake nisaidieni kabla mda wake haijaisha.
natanguliza shukrani zangu!

Reply With Quote
Follow Us Here