Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Sheria mpya udhitibi vyombo vya habari: Je CDCM na Kanisa Katoliki wamo?

    Report Post
    Results 1 to 5 of 5
    1. #1
      ByaseL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd November 2007
      Posts : 1,773
      Rep Power : 942
      Likes Received
      89
      Likes Given
      11

      Default Sheria mpya udhitibi vyombo vya habari: Je CDCM na Kanisa Katoliki wamo?

      Serikali inaanda rasimu ya sheria ya kudhitibi umuliki wa vyombo vya habari. Katika mapendekezo ya awali ya sheria hii yanalenga kuzuia mtu (au taasisi?) mmoja kutomiliki zaidi ya chombo kimoja cha habari. Kwa mfano kama mtu anamiliki magazeti hataruhusiwa kumili radio au Television. Hivyo hivyo ukimiliki kituo cha television hutaruhusiwa kumiliki magazeti, n.k. Mapendekezo haya yamelalamikiwa sana na wadau kwamba yanawalenga watu wawili hususan Bwana Mengi na Mhe. Antony Diallo ambao wanamiliki magazeti, radio na vituo vya television. Swali langu ni: Je sheria hii itawagusa Chama Tawala cha CCM ambacho kinamiliki Gazeti la Uhuru na Radio Uhuru pamoja na Kanisa Katoliki linalomiliki magazeti ya Kiongozi na Tumaini Letu, Radio Tumaini na Tumaini Television? Wenye kujua undani wa rasimu hii mpya ya udhibiti wa vyombo vya habari watufafanulie tafadhali

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Kyachakiche's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th February 2009
      Posts : 824
      Rep Power : 691
      Likes Received
      38
      Likes Given
      123

      Default Re: Sheria mpya udhitibi vyombo vya habari: Je ccm na kanisa katoliki wamo?

      Kwanini ulichanganye Kanisa Katoliki na CCM kwenye umiliki wa vyombo vya habari zaidi ya kimoja?

    4. #3
      Offish's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th August 2008
      Posts : 176
      Rep Power : 585
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Sheria mpya udhitibi vyombo vya habari: Je ccm na kanisa katoliki wamo?

      Quote By byasel
      Je sheria hii itawagusa Chama Tawala cha CCM ambacho kinamiliki Gazeti la Uhuru na Radio Uhuru pamoja na Kanisa Katoliki linalomiliki magazeti ya Kiongozi na Tumaini Letu, Radio Tumaini na Tumaini Television?

      Mlengwa mkuu wa rasimu hii bila shaka unamfahamu, ukijaribu kutafuta wengine utaiua hoja iliyo mbele yetu. Mbona huulizi kama serikali yenyewe nayo itaguswa kwa kumiliki TBC Taifa, TBC One, Daily News na HabariLeo?

    5. #4
      Kinyambiss's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd December 2007
      Posts : 1,406
      Rep Power : 901
      Likes Received
      31
      Likes Given
      18

      Default Re: Sheria mpya udhitibi vyombo vya habari: Je CDCM na Kanisa Katoliki wamo?

      this is just stupid.. limiting freedoms

    6. #5
      Bluray's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th March 2008
      Posts : 3,450
      Rep Power : 1273
      Likes Received
      26
      Likes Given
      0

      Default Re: Sheria mpya udhitibi vyombo vya habari: Je CDCM na Kanisa Katoliki wamo?

      Overt Orwellian ombudsmanship.

    7. Miaka 50

    Similar Topics

    1. Replies: 3
      Last Post: 11th May 2011, 09:10
    2. Replies: 24
      Last Post: 14th March 2011, 09:08
    3. Replies: 1
      Last Post: 24th January 2011, 11:54
    4. Replies: 0
      Last Post: 17th January 2011, 16:11
    5. Replies: 2
      Last Post: 17th January 2011, 09:25

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...