Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

    Report Post
    Results 1 to 19 of 19
    1. #1
      BabieWana's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 3rd November 2010
      Posts : 136
      Rep Power : 461
      Likes Received
      17
      Likes Given
      0

      Default Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      Kamishna mkuu wa sensa na mkurugenzi wa takwimu kutoka NBS wamekutana na masheikh kujadili suala la waislam kutoshiriki sensa ya mwaka huu
      Wakiongea na masheikh hao waliwataka waislam washiriki sensa kwani suala la kipengele cha dini halipo kwa mujibu wa katiba kwa kifungu walichokitoa, pia waliwataka waelewe kua suala la sensa maandalizi yote yamekamilika hivyo kurudia kuchapa karatasi itakua ni gharama kubwa mno.

      Kwa upande wao masheikh waliwaambia kua suala la katiba haikatazi kuwatambua watu kwa makundi yao, pia wakaongeza kua hata muongozo wa umoja wa mataifa unataka sensa ifanyike kwa kufuata makundi ya watu
      pia wakasema kama karatasi zimechapwa tayari zinaweza kurudiwa ili kipengele kiwekwe maaana hakuna ugumu ila kama muda umekua mfupi wanaweza kusogeza sensa mbele kukamilisha maandalizi haya kwani hata uchaguzi mara nyngi tunaona unasogezwa mbele. pia waliwaomba kama kurudia karatasi zote kuchapa ni gharama basi wanaweza kuweka appendix ya kipengele hicho , hii itakua rahisi


      Kamishna na mkurugenzi wakaahidi suala hili watalipeleka mbele kwenye mamlaka za juu

      Masheikh wanasema bila kipengele hicho waislam hawatahesabiwa, hiyo ndio maoni yao

      Jmabo hili litaumiza kichwa kwani kundi dogo hili la waislam lisipohesabiwa itakuwa lina impact kubwa kwa watu wanaojua maana halisi ya sensa ili jambo hili lisiharibike serikali ijitahidi kukubaliana na waislam ili wananchi wote wahesabiwe

      Jmabo baya la kushangaza mikoa yote tanzania bara wameitisha kikao cha masheikh na viongozi wengine wa kidini lakini hapa kwetu arusha, mkuu wa mkoa amewatishia kuwafanyia dhambi kubwa masheikh hasa wanao hamasisha watu wasihesabiwe amesema "wapelekeeni salamu akina ...,... na .... kuwa mimi nina dhamabi nyingi sana hivyo wasitake kuniongezea dhambi zingine kwa kitendo chao cha kuhamsisha watu wasikubali kuhesabiwa". chakujiuliza hapa ni dhambi gani ambayo mkuu wa mkoa huyu anataka kuifanya kwa masheikh hawa?

      Sote tuko kimya ila kwa sasa tunasema HATUHESABIWI KAMA KIPENGELE CHA DINI HAKIMO, hii ndo busara yetu kwa sasa


      Ila waislam wengine hawana uchungu weneyewe kila kitu poa kama wale wa shinyanga, naona hawa hata kwa familia zao hawana uchungu hata wakiona mtu anabaka wanawake zao watafurahi

    2. RukaaJuu Final

    3. #2
      Ipycalypse's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2011
      Location : Mjini hapa
      Posts : 1,175
      Rep Power : 640
      Likes Received
      248
      Likes Given
      148

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      Ngoja nitafute kivuli nipate kinywaji. Huku nikisubiri movie ianze.

    4. #3
      khamsa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 121
      Rep Power : 369
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      sijui serikali inaogopa nini kuweka hicho kipengele cha dini. Au kuna siri imejificha hapa?. Kwa nionavyo sensa ya mwaka huu inaelekea kuharibika.

    5. #4
      hendeboy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 150
      Rep Power : 463
      Likes Received
      12
      Likes Given
      5

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      jamani tatizo kama serikali imesema kipengele cha dini kisiwemo basi wote tutii amri tusipende kurumbana na serikali kila wakati

    6. #5
      NEW NOEL's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st May 2011
      Posts : 432
      Rep Power : 491
      Likes Received
      105
      Likes Given
      28

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      Sasa mimi nashindwa kukuelewa,unasema kamishina wa sensa kakutana na masheikh. Ina maana ni masheikh wote wa Tanzania au viongozi wa masheikh? Pili ninachofahamu ni kuwa waislamu wana wakilishwa na vyombo kama Bakwata.
      Mimi naomba tuache siasa na uchonganishi. Serikali imeshasema kuwa lengo la sensa ni kwa ajili ya kujua idadi ya watu kwa kuangalia umri na jinsia. Sasa ninachokiona hapa ni kuwa kuna watu wanataka kuleta ushindani wa kidini kati ya wakristo na waislamu. Ilo halitawasaidia waislamu wala halitawasaidia wakristo. Tuwe objective na sio subjective.

    7. Miaka 50

    8. #6
      khamsa's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th July 2012
      Posts : 121
      Rep Power : 369
      Likes Received
      34
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By NEW NOEL
      Sasa mimi nashindwa kukuelewa,unasema kamishina wa sensa kakutana na masheikh. Ina maana ni masheikh wote wa Tanzania au viongozi wa masheikh? Pili ninachofahamu ni kuwa waislamu wana wakilishwa na vyombo kama Bakwata.
      Mimi naomba tuache siasa na uchonganishi. Serikali imeshasema kuwa lengo la sensa ni kwa ajili ya kujua idadi ya watu kwa kuangalia umri na jinsia. Sasa ninachokiona hapa ni kuwa kuna watu wanataka kuleta ushindani wa kidini kati ya wakristo na waislamu. Ilo halitawasaidia waislamu wala halitawasaidia wakristo. Tuwe objective na sio subjective.
      Bakwata wanaiwakisha serikali dhidi ya waislamu.

    9. #7
      filonos's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 13th October 2011
      Posts : 445
      Rep Power : 474
      Likes Received
      56
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By khamsa
      Bakwata wanaiwakisha serikali dhidi ya waislamu.
      na WASIOKUA NA DINI NAO wako wangapiiiiiiiii ??????

    10. #8
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,625
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      790
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By NEW NOEL
      Sasa mimi nashindwa kukuelewa,unasema kamishina wa sensa kakutana na masheikh. Ina maana ni masheikh wote wa Tanzania au viongozi wa masheikh? Pili ninachofahamu ni kuwa waislamu wana wakilishwa na vyombo kama Bakwata.
      Mimi naomba tuache siasa na uchonganishi. Serikali imeshasema kuwa lengo la sensa ni kwa ajili ya kujua idadi ya watu kwa kuangalia umri na jinsia. Sasa ninachokiona hapa ni kuwa kuna watu wanataka kuleta ushindani wa kidini kati ya wakristo na waislamu. Ilo halitawasaidia waislamu wala halitawasaidia wakristo. Tuwe objective na sio subjective.
      Bakwata ipo ipo tuu ! Kama stamp, unagonga unapojisikia !

    11. #9
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,625
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      790
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By hendeboy
      jamani tatizo kama serikali imesema kipengele cha dini kisiwemo basi wote tutii amri tusipende kurumbana na serikali kila wakati
      Serikali ni nani na anakaa wapi ?

    12. #10
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      serikali ya ccm inawa handle hawa jamaa kama mayai yasije kuvunjika kwa sababu ni mtaji wao pekee uiobaki wa kubaki madarakani...kama ni kosa kisheria kugomea sensa, mimi sioni sababu ya serikali kuwabembeleza hawa mashehe...

    13. #11
      NG'ONGOVE's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th April 2012
      Posts : 151
      Rep Power : 5168
      Likes Received
      19
      Likes Given
      13

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      Hivi miaka yote ambayo sensa ilifanyika kulikuwa na hicho kipengele? kwanini mwaka huu imekuwa nongwa kutokuwepo hicho kipengele cha udini. ? Unajua hata BOKO HARAM kule Nigeria walianza kwa kutafuta visababu hadi wakafanikiwa kufanya hayo wanayoyafanya mpaka sasa. Hivi ni kwanini waislamu kila wanapotaka kufanya jambo lihusulodini yao wanataka serikali ihusike? au kwasababu uongozi wote wa juu wa serikali yetu ni wa upande huo? Mh! tusubiri tuone.

    14. #12
      Kaka mwisho's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 19th December 2011
      Posts : 161
      Rep Power : 407
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default

      tatizo nini kama serikali inahesabu idadi za nyumba za ibada kama msikiti na makanisa lengo lao nini? Baadae wanataka kutumbia kuwa makanisa ni
      mengi kuliko miskiti wakati wakristo hawachangie makanisa kama waislam.

    15. #13
      RedDevil's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th April 2009
      Location : Hapa Hapa
      Posts : 1,456
      Rep Power : 804
      Likes Received
      271
      Likes Given
      513

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      Mimi naona waweke wasiweke maisha yako pale pale, kama ni tight ni tight tuu!! Na kama mtu ni mzembe ni mzembe tu hakunaga unafuu wa jambo lolote!! Cha msingi ni kujua kuwa dini zilikuwepo, zitakuwepo na zitakuwepo. Tuungane kujenga nchi yetu kwa kujadili masuala ya msingi!! Na hivi vitu ndiyo wamalawi wanatuona tumegawanyika wanaanza kutulia timing za kutuibia hadi sehemu ya ziwa nyasa!!
      "Never argue with stupid people, they will drag you down to their level and then beat you with experience" Mark Twain

    16. #14
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      Quote By Kaka mwisho
      tatizo nini kama serikali inahesabu idadi za nyumba za ibada kama msikiti na makanisa lengo lao nini? Baadae wanataka kutumbia kuwa makanisa ni
      mengi kuliko miskiti wakati wakristo hawachangie makanisa kama waislam.
      Nimeuliza sana hili lakini kila nikiuliza watu wanaingia mitini...wanahesabu nyumba za ibada tu au wanataka kujua exactly ni kanisa/misikiti etc ?? niletee hapa hicho kipengele cha dodoso kinachoonyesha hiyo kitu...

    17. #15
      Ally Kombo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th November 2010
      Location : Dar es salaam
      Posts : 5,625
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      790
      Likes Given
      169

      Default

      Quote By sweke34
      serikali ya ccm inawa handle hawa jamaa kama mayai yasije kuvunjika kwa sababu ni mtaji wao pekee uiobaki wa kubaki madarakani...kama ni kosa kisheria kugomea sensa, mimi sioni sababu ya serikali kuwabembeleza hawa mashehe...
      Hao wengine ambao si Waislaam ni mtaji wa chama gani kinachotaka kuingia madarakani !?.....................mdomo ulimponza kichwa !

    18. #16
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1255
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      Aisee... nimeona ITV waislam wengi Shinyanga wameandamana na wamewalaani VIKALI hao mashehe wanaohamasisha kugomea sensa vilevile wamempongeza mufti mkuu kwa kumchagua Kadhi mkuu...ngoma inogile...

    19. #17
      kidee's Avatar
      Member Array
      Join Date : 14th April 2012
      Posts : 18
      Rep Power : 361
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default Re: Kamishna wa sensa na mkurugenzi wa takwimu wakutana na masheikh

      serikali niwatu nawatu ni waislam na wakristo kilakitu wewenikutii kwasababu niserikali sikuinasema mwanamume kwa mwanamume wawowane nalo utatiiamri ndomalengoo?

    20. #18
      Rogate's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th September 2010
      Posts : 164
      Rep Power : 471
      Likes Received
      34
      Likes Given
      55

      Default

      Quote By ally kombo
      Hao wengine ambao si Waislaam ni mtaji wa chama gani kinachotaka kuingia madarakani !?.....................mdomo ulimponza kichwa !
      Serikali pia itoe takwimu suni ni wangapi na shia ni wangapi kwasababu waislam halisi ni suni na hawapewi haki zao.

    21. #19
      Mzi2 Mpole's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st July 2012
      Posts : 11
      Rep Power : 349
      Likes Received
      0
      Likes Given
      0

      Default

      Hivi uchaguzi 1995 kurudi nyuma kulikuwa na kadi ya mpiga kura jibu ni hapana sawasawa na katika sensa kuanzia sensa ya mwaka 2002 kurudi nyuma hapakuwepo kipengele cha dini ila kwa sasa kinahitajika kiwepo kutokana na mabariko ya mazingira .mabadiliko ni hali ya kawaida katika maisha.FUNGUKA WEWE.

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...