Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

    Report Post
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast
    Results 21 to 40 of 43
    1. #1
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi


      BALOZI wa Uholanzi nchini, alipotmbelea gazeti la MwanaHALISI na kukutana na uongozi wa gazeti hilo, Saed Kubenea Mhariri Mtendaji na Jabir Idrissa, Mhariri mkuu wa gazeti hilo.


      Wakati huo huo, taarifa zilizolifikia MTANZANIA zilisema kuwa Jumuiya ya Mabalozi nchini jana zilikutana na kufanya kikao cha pamoja kujadili suala la Serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi, kwa kile kilichodaiwa kuandika habari za uchochezi.
      alibaba and zululima like this.

    2. FemaTV & Radio

    3. #21
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By Molemo
      Asante nchi zetu wahisani
      nchi zenu wahisani???wewe na nani.

    4. #22
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      naunga mkono kufungiwa kwa gazeti la udaku la mwanahalisi.safi sana.

    5. #23
      Mwanamayu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Location : Manzese
      Posts : 3,048
      Rep Power : 1068
      Likes Received
      240
      Likes Given
      112

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By mtotowamjini
      Naona hapo mnataka kupigana na kinyago...mtaumia wenyewe na si kinyago!!
      Kama ni kinyago dhaifu kitavunjika!!!!!!!!!!!!

    6. #24
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,184
      Rep Power : 12561
      Likes Received
      5746
      Likes Given
      748

      Default

      Quote By maandamano
      anategemea nchi za kiarabu zitaisaidia tanzania kwa sharti la kuwa nchi ya kiislam
      Afadhali kuchakaa nguo kuliko akili, nguo unaweza kununua zingine akili je...udini utatumaliza aisee! Wewe JF kwako ni uwanja wa mapambano ya kidini wakati sie JF ni shule.

    7. #25
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By KIJOME
      dah!!magogoni ipo necked kabisa....aibu sana!!
      unajidanganya kweli,yaani ule uongo na uzushi wa sadist kubenea ndo uiweke serikali necked,yeye mzushi ndio ameachwa uchi

    8. Study Abroad

    9. #26
      maandamano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,052
      Rep Power : 626
      Likes Received
      354
      Likes Given
      915

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      watalifungia hadi uhuru
      Women are not allowed to attend school. You can be jailed for owning a television. A man can be jailed in Afghanistan if his beard is not long enough.George W.Bush,2001

    10. #27
      thatha's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th April 2011
      Posts : 4,976
      Rep Power : 0
      Likes Received
      224
      Likes Given
      1

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By maandamano
      anategemea nchi za kiarabu zitaisaidia tanzania kwa sharti la kuwa nchi ya kiislam
      mdini mkubwa sana wewe,umetumwa na katoliki au ni chuki tu ya moyo wako.kumbe unamchukia DR KIKWETE kwa sababu ya dini yake sio?????

    11. #28
      Petram's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 14th June 2011
      Posts : 114
      Rep Power : 423
      Likes Received
      19
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By Mwanaharakatihuru
      na bado kitaeleweka tu Mwanahalisi la wiki iliyopita lilikuwa linakuja na yale majina ya wenye billion 300 uswiss ndio maana jamaa akaenda kugawa ng'ombe teh teh teh
      mwanahalisi watakuja kwa hasira sahv. Hawataficha chochote. Ukilikosa ni sawa na unajinyima haki yako ya msing.

    12. #29
      maandamano's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th March 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,052
      Rep Power : 626
      Likes Received
      354
      Likes Given
      915

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By Ritz
      Afadhali kuchakaa nguo kuliko akili, nguo unaweza kununua zingine akili je...udini utatumaliza aisee! Wewe JF kwako ni uwanja wa mapambano ya kidini wakati sie JF ni shule.
      jf kwako sio shule ni ajira,..nape si anakulipa kuja kumuita dr.slaa padri wakati unajua alishaacha upadri..
      Women are not allowed to attend school. You can be jailed for owning a television. A man can be jailed in Afghanistan if his beard is not long enough.George W.Bush,2001

    13. #30
      Ritz's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 1st January 2011
      Location : Republic of Nauru
      Posts : 18,184
      Rep Power : 12561
      Likes Received
      5746
      Likes Given
      748

      Default

      Quote By maandamano
      jf kwako sio shule ni ajira,..nape si anakulipa kuja kumuita dr.slaa padri wakati unajua alishaacha upadri..
      Tatizo lingine la Pro-Chadema anaandika pumba kusambaza udini ukimbana kwenye hoja anamuingiza Dr Slaa kama ngao yake...wapi nimemtaja Dr Slaa ni Padre?

    14. #31
      Manager's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st April 2011
      Posts : 452
      Rep Power : 499
      Likes Received
      61
      Likes Given
      362

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By Mzalendo JR
      Heri kipofu asieona mambo haya
      Lakini kipofu ana- compensated hearing and understanding ability! Madudu haya hata vipofu 'wanaona!"

    15. MTK
      #32
      MTK's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 19th April 2012
      Posts : 927
      Rep Power : 4494
      Likes Received
      300
      Likes Given
      326

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By Ndinani
      Ndio taabu ya kuwa omba omba, hawa development partners wanajua timing sana kwani sasa wanajua mnapitisha budget yenu tegemezi na hapo hapo ndio watakapokaza screws juu ya misaada yao/ good governance!! Uchumia tumbo utaifanya serikali ifyate mkia na kulifungulia MwanaHalisi ama sivyo hakuna budgetary support na hivyo miradi mliyowaahidi wadanganyika itabaki hivyo hivyo kwenye karatasi!!
      You are very right; thats exactly how it happened in Malawi! mukubwa professor Bingu wa Mutharika akagive inn; aka-kick bucket! Now AID has been restored to Malawi; no wonder wanaanza kiburi kututishia maisha kule Ziwa Nyasa.
      watch out how this saga unravells!

    16. #33
      Manyanza's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 4th November 2010
      Location : Look Behind You......
      Posts : 4,419
      Rep Power : 25469
      Likes Received
      1143
      Likes Given
      909

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By Ritz
      Ameongea kweli au amekufurahisha wewe! Naona mmeamua kujifurahisha na kujiliwaza mnachekesha kweli Tanzania inyimwe misaada sababu ya Mwanahalisi.
      hata kama kanifurahisha alichoongea jamaa ni ukweli mtupu hijalishi kwako umekereka
      Insanity is doing the same thing over and over again and expecting different results.

    17. #34
      chiborie's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th September 2011
      Posts : 173
      Rep Power : 421
      Likes Received
      26
      Likes Given
      51

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Hii ni aibu nyingine kwa taifa. Mimi siwalaumu watu wanaomshauri Rais, Namlaumu mshauriwa kwa uvivu wa kutofikiri faida na hasara ya kile anachoshauriwa!

    18. #35
      Kigogo's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 14th December 2007
      Location : Calabash
      Posts : 8,161
      Rep Power : 2087
      Likes Received
      1225
      Likes Given
      313

      Default

      Itanyimwa misaada kwa vile unatumia hela za serikali kununua maroli ya mafuta

    19. #36
      saragossa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd January 2011
      Location : Mkunazini
      Posts : 1,411
      Rep Power : 706
      Likes Received
      342
      Likes Given
      74

      Default

      Quote By tamuchungu
      unajidanganya kweli,yaani ule uongo na uzushi wa sadist kubenea ndo uiweke serikali necked,yeye mzushi ndio ameachwa uchi
      Povu la nini sasa?

    20. #37
      jossy chuwa's Avatar
      Member Array
      Join Date : 4th April 2012
      Posts : 93
      Rep Power : 377
      Likes Received
      15
      Likes Given
      0

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Hivi hamuwezi kuchangia mada bila kuweka udini udini? Kila wakati midomo imebaki kama vile mk... wa bata ukihara! tak ata ka kabisa!

    21. #38
      njiwa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th April 2009
      Location : ax^2+bx+c=0
      Posts : 4,944
      Rep Power : 2365
      Likes Received
      951
      Likes Given
      171

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      These foreigners they think they can run our government ..??? pathetic
      Pure Matrimony >> Purity starts here (Quran 24:26)
      My loyalty is to reason,and as a reasonable person I reserve the right to change my mind when presented with new information that alters my perspective" Njiwa"ᵀᴴᴱ'ᴼᴿᴵᴳᴵᴻᴬᴸ✯


    22. #39
      alibaba's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 24th June 2009
      Posts : 187
      Rep Power : 541
      Likes Received
      40
      Likes Given
      68

      Default Re: Mabalozi wa jumuia za ulaya wajiandaa kutoa tamko kuhusu kufungiwa mwanahalisi

      Quote By nasema hili

      BALOZI wa Uholanzi nchini, alipotmbelea gazeti la MwanaHALISI na kukutana na uongozi wa gazeti hilo, Saed Kubenea Mhariri Mtendaji na Jabir Idrissa, Mhariri mkuu wa gazeti hilo.


      Wakati huo huo, taarifa zilizolifikia MTANZANIA zilisema kuwa Jumuiya ya Mabalozi nchini jana zilikutana na kufanya kikao cha pamoja kujadili suala la Serikali kulifungia gazeti la Mwanahalisi, kwa kile kilichodaiwa kuandika habari za uchochezi.
      Hao Mabalozi wa Ulaya hawawezi kilazimisha Serekali kuvunja Sheria zake.
      Watakachofanya ni kutoa Tamko la kidplomasia, watajiweka katikati bila kufungamana na upande wowote. Hili ni Swala la Ndani ya nchi, na Maamuzi yake yataisia ndani ya nchi sio from Foreign Powers.


    23. #40
      Mtoto Wa Mbale's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th May 2011
      Posts : 420
      Rep Power : 494
      Likes Received
      143
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Ritz
      Afadhali kuchakaa nguo kuliko akili, nguo unaweza kununua zingine akili je...udini utatumaliza aisee! Wewe JF kwako ni uwanja wa mapambano ya kidini wakati sie JF ni shule.
      Mkileta upuuzi wenu wa udini mnaona sawa tu, sasa mkiambiwa mienendo yenu na matendo yenu yanachochea udini mnang'aka?

    24. Miaka 50
    Page 2 of 3 FirstFirst 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...