Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

    Report Post
    Page 1 of 2 12 LastLast
    Results 1 to 20 of 24
    1. #1
      Muangila's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 24th February 2010
      Posts : 816
      Rep Power : 633
      Likes Received
      186
      Likes Given
      497

      Default sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Uzalishaji ndani ya mgodi wa Bulyanhulu KMCL umesimama kabisa kuanzia jioni ya leo tar.01.08.12 kufuatia wafanyakazi kutaka mpaka wapatiwe ufafanuzi kuhusu mustakabali wa fedha zao walizochangia NSSF na PPF hali hiyo imeanza jana baada kikao kati ya mwakilishi kutoka SSRA na wafanyakazi kuvunjika hali hii imepelekea mwajiri kusimamisha uzalishajikwa saa 48 mpaka kieweke.Wakati huo huo makamu wa rais wa BARRICK duniani ameingia nchini kwa mazunguzo na serikali kuhusiana na sheria hii.

    2. Miaka 50

    3. #2
      TOWNSEND's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Location : kwa ngulelo
      Posts : 1,116
      Rep Power : 630
      Likes Received
      196
      Likes Given
      31

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      ngoja tuone lazima wataachia serikali legelege hata hawajui wanafanya nini ...mkuuu wa mkoa wapi na wapi na waalim..nashindwa hata kuelewa nani anafanya nini.......yaani wamejenga majumba kwa faida ya mishahara yetu lkini wanataka kutudhulumu
      For tommorow belonging to those people who prepared fo it

    4. FJM
      #3
      FJM's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 7,175
      Rep Power : 2569
      Likes Received
      5327
      Likes Given
      4587

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Quote By Muangila
      Uzalishaji ndani ya mgodi wa Bulyanhulu KMCL umesimama kabisa kuanzia jioni ya leo tar.01.08.12 kufuatia wafanyakazi kutaka mpaka wapatiwe ufafanuzi kuhusu mustakabali wa fedha zao walizochangia NSSF na PPF hali hiyo imeanza jana baada kikao kati ya mwakilishi kutoka SSRA na wafanyakazi kuvunjika hali hii imepelekea mwajiri kusimamisha uzalishajikwa saa 48 mpaka kieweke.Wakati huo huo makamu wa rais wa BARRICK duniani ameingia nchini kwa mazunguzo na serikali kuhusiana na sheria hii.
      Celebrating 50 years of Independence!

    5. #4
      Scofied's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th June 2012
      Location : A-City
      Posts : 1,278
      Rep Power : 606
      Likes Received
      332
      Likes Given
      58

      Default

      Quote By TOWNSEND
      ngoja tuone lazima
      wataachia serikali legelege hata hawajui wanafanya nini ...mkuuu wa mkoa
      wapi na wapi na waalim..nashindwa hata kuelewa nani anafanya
      nini.......yaani wamejenga majumba kwa faida ya mishahara yetu lkini
      wanataka kutudhulumu
      dah! kwanini hawakumuuliza dhaifu leo swala la mafao? wahariri wetu nao!!!

    6. #5
      MD25's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 27th January 2012
      Location : Mugumu, Serengeti
      Posts : 1,914
      Rep Power : 0
      Likes Received
      540
      Likes Given
      66

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Hata iweje hiyo sheria haiwezi kubadilika. JK ameshakula pesa yote kwenye hiyo mifuko ya jamii, ikikubaliwa kubadilisha sheria, lazima JK adhalilike, itakuwa ni sawa na kumvua nguo adharani...

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Ila ni kwa nini wagome hawa wa MIGODI PEKEE? wafanya kazi wengine wako wapi? Hii nchi mageuzi yatacheleweshwa na WAFANYAKAZI, haiwezekani ishu siriazi kama hii, wanagoma wafanya kazi wa MIGODI PEKEE,

    9. #7
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,220
      Rep Power : 13077
      Likes Received
      14123
      Likes Given
      14986

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      mbona wameanza salimu amri migodini?
      Nimeona waraka leo kwa ajili ya mgodi wa GGM, ukisema fao hili litakuwepo kwa wale waliosaini mikataba kabla sheria hii haijapitishwa, hii ni kutokana na mikataba na mazingira ya kazi ya watu wa GGM.

      Pia waraka huo umeendelea kueleza kuwa, wafanyakazi wa migodi watachagua mfuko wa kujiunga unaotoa fao hilo(nimesahau kidogo jina)

      My take, wanaweza wakasalimu amri kwa watu wa migodini.

      Nitautafuta waraka huo niuweke hapa.

    10. #8
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      kwa wafanya kazi wengine inakula kwao, make wafanya kazi wengine ni kama hawana uchungu na hizo pesa na wanabakia kulalamikia mitaani tu,

    11. #9
      Kongosho's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st March 2011
      Location : Location loading...
      Posts : 25,220
      Rep Power : 13077
      Likes Received
      14123
      Likes Given
      14986

      Default

      mazingira ya kazi ya migodi ni magumu sana.
      Afu huwa wagumu kweli kuelewa sijui kwa nini, huchukui hata sh.100 ya miner bure na wana solidarity.

      Si rahisi mtu kuwa 'miner' wa mgodi wa underground kwa miaka 25.

      Labda wengine wanaona wanaweza kaa kazini kwa miaka angalau 30.

      Quote By KOMANDOO
      Ila ni kwa nini wagome hawa wa MIGODI PEKEE? wafanya kazi wengine wako wapi? Hii nchi mageuzi yatacheleweshwa na WAFANYAKAZI, haiwezekani ishu siriazi kama hii, wanagoma wafanya kazi wa MIGODI PEKEE,

    12. #10
      Edson's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th March 2009
      Posts : 7,308
      Rep Power : 0
      Likes Received
      1799
      Likes Given
      433

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Kampuni ya African Barrick Gold imeusimamisha mgodi wake wa Bulyanhulu kwa masaa 48, kuanzia jioni ya August 1st. Uongozi wa Bulyanhulu umechukuwa uamuzi huo jioni hii baada ya mgomo wa siku mbili wa wafanyakazi. Mgomo huo ambao ulianza jana asubuhi July 31st ulisababishwa na sheria ya kufuta fao la kujitoa kwenye mifuko ya hifadhi ya jamii. Baada ya wafanyakazi kuona uongozi wa Barrick Bulyanhulu umelala sana na hakuna jitihada zozote za kupata official reports from SSRA. Jana asubuhi wafanyakazi wakaamuwa kuanzisha mgomo mpaka hapo watakapoitiwa watendaji wa juu wa SSRA ili waelezwe na wafafanuliwa juu ya mafao yao na wao kutoa kilio chao juu ya hiyo sheria mpya. Baada ya wafanyakazi kukusanyika na kujadili. Ilionekana ni bora aje mbunge Jafu ambaye anakusanya maoni, au Waziri wa Kazi. Lakini uongozi ulifanya jitihada na kumleta Afisa uhusiano wa SSRA toka Dar office. Afisa uhusiano aliondoka bila kutowa jawabu la kuridhisha kwa wafanyakazi. Hivyo wafanyakazi waliamuwa waendelee na mgomo mpaka atakapoletwa Jafu au waziri mwenye dhamana. Hivyo wafanyakazi wakaendelea na mgomo mpaka wakati wa kutoka jioni. Jioni waliukabidhi mgomo kwa wafanyakazi wa zamu ya usiku. Zamu ya usiku waliupokea mgomo kwa mikoni miwili na kuahidi mgomo watauendeleza mpaka asubuhi na kuwarudishia waasisi wa mgomo huo. Kweli bwana, pamoja na vitisho vyote toka utawala, lakini jamaa wa usiku waliendelea kukaza uzi mpaka asubuhi. Ilipofika leo asubuhi, waanzilishi wa mgomo walikuja kupokea mgomo wao. Shift ya leo asubuhi iliendelea na mgomo huku mijadala na uongozi ikiwa inaendelea. Lakini wafanyakazi wakashikilia uamuzi wao wa kuonana na Jafu ama waziri mwenye dhamana. Ulipofika muda kama wa saa kumi na moja jioni, uongozi ukatoa taarifa kwa wafanyakazi wote. Kwamba uongozi umeamuwa kusimamisha shughuli za uchimbaji kwa masaa 48 kuanzia muda huo wa jioni. Wafanyakazi ambao ilibidi waingie kwa zamu ya usiku jioni hii hawakuingia kazini. Na waliokuwepo walirudi nyumbani kusubiri kwa masaa 48. Nje ya geti wafanyakazi walikuta police wakiwa wametawanywa. Lakini hakukuwa na tukio lolote la vurugu ama utumiaji nguvu. Wafanyakazi waliingia kwenye ma-bus ya kampuni na kurudi nyumbani kwa amani.
      Source: Shuhuda wa tukio.
      I'm Naturaly Evasive..

    13. #11
      laboratory's Avatar
      Member Array
      Join Date : 20th March 2012
      Posts : 41
      Rep Power : 370
      Likes Received
      3
      Likes Given
      0

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      DHAIFU alisaini hakujua kuwa ,alishakula ten percent ya BARRICK,na kila cku anaenda mikono nyuma UNITED STATES,,kuomba,,sasa leo BARRICK wanashindwa kupata DHAHABU,, mpaka CHIEF EXECUTIVE OFFICER WA BARRICK,, kaja ,kujua kumetokea nini?mpaka wafanyakazi wagome?wanagundua ni ujinga ,wa GOV DHAIFU,,sasa itabidi sheria waibadili tu ,,bila hivyo DHAHABU HAKUNA ,na hela zao walishazila na wanaendelea kuzila..

    14. #12
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Quote By Kongosho
      mazingira ya kazi ya migodi ni magumu sana.
      Afu huwa wagumu kweli kuelewa sijui kwa nini, huchukui hata sh.100 ya miner bure na wana solidarity.

      Si rahisi mtu kuwa 'miner' wa mgodi wa underground kwa miaka 25.

      Labda wengine wanaona wanaweza kaa kazini kwa miaka angalau 30.
      Mkuu Mazingira ya Kazi ni magumu sehemu nyingi sana, Cheki mfano wa hivi viwanda vy wahindi na wachina Wafanyakazi wana mazingira magumu sana, na ni kwa nini ilegezwe kwa wafanya kazi wa sehemu fulani tu, Mimi nazani kuna presha ya wamiliki wa Migodi na watakuwa wametishia kustisha uchimbaji,
      Kongosho likes this.

    15. #13
      Njowepo's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 26th February 2008
      Location : Santiago
      Posts : 7,624
      Rep Power : 22060
      Likes Received
      1002
      Likes Given
      793

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Sasa kama mpaka makamu wa raisi wa Barrick anakuja then ujue huo mgodi utakuwa ni kama Cash Cow kwao!
      WB Tanzania lead economist Jacques Morisset said the GDP doubled in 10 years, but it has failed to produce any significant decline in poverty levels.

    16. #14
      maswitule's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 420
      Rep Power : 517
      Likes Received
      119
      Likes Given
      47

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Napendekeza na sie wengine tugome kuanzia kiwanda cha mchina urafiki, madereva wa mabasi, malori nk. mgomo uanzie Ubungo terminal. pendekezeni tarehe wakuu

    17. #15
      The last don's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 3rd August 2011
      Location : Tanganyika
      Posts : 350
      Rep Power : 465
      Likes Received
      116
      Likes Given
      31

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Hawa wazushi wa SSRA wao wamekuja na tamko hili .

    18. #16
      King Kong III's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 15th October 2010
      Location : Enaboishu-Umenyeni
      Posts : 11,927
      Rep Power : 5063
      Likes Received
      3200
      Likes Given
      2661

      Default

      Quote By KOMANDOO
      Ila ni kwa nini wagome hawa wa MIGODI PEKEE? wafanya kazi wengine wako wapi? Hii nchi mageuzi yatacheleweshwa na WAFANYAKAZI, haiwezekani ishu siriazi kama hii, wanagoma wafanya kazi wa MIGODI PEKEE,
      Yani ndio hicho nashangaaa,yani sector nyingine wamekula jiiiii yani hawana wasiwasi.

    19. #17
      KOMANDOO's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 30th March 2012
      Posts : 413
      Rep Power : 631
      Likes Received
      254
      Likes Given
      17

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Quote By maswitule
      Napendekeza na sie wengine tugome kuanzia kiwanda cha mchina urafiki, madereva wa mabasi, malori nk. mgomo uanzie Ubungo terminal. pendekezeni tarehe wakuu
      Mkuu hapa kugoma ni vigumu sana na kumbuka hii Sheria inawahusu sana wafanya kazi wa sekita Binafisi make kwa upande wa serikali wao hii kitu wanaijua kabisa,

      Hakuna Umoja na hakuna wa ku initiate huu mgomo kwa sababu Sekta binafisi nyingi hazina Vyama, Chukulia mfano wa wafanya kazi wa Mashirika/NGOs za ndani na za nje ya Nchi mfano, Waorld vision, Plan international na kazalika, so inakuwa ngumu

      SOLUTION NI KILA IDALA KUGOMA KIVYAO, WA KIWANDA CHA WACHINA WANAGOMA KIVYAO, wa kiwand wahini wanagoma kivyao

    20. #18
      Crucifix's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 20th February 2011
      Posts : 1,569
      Rep Power : 0
      Likes Received
      430
      Likes Given
      321

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Bora mimi mjasiriamali, sina fao lolote la kujitoa ila nahurumia staff wangu ninaowalipia vijisarafu kila mwezi maana biashara ikidoda nafunga nahama nchi wabaki na NSSF yao

    21. #19
      Nyakageni's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 1st February 2011
      Posts : 5,249
      Rep Power : 1541
      Likes Received
      769
      Likes Given
      52

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      hii sheria ni kandamizi idara zote! Si migodi peke yao. Mbaya zaidi mbunge gamba aliyeipitisha ndo analeta mbwembwe! Upuuzi mtupu

    22. #20
      mgodi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 5th November 2010
      Posts : 994
      Rep Power : 631
      Likes Received
      114
      Likes Given
      81

      Default Re: sheria mpya ya mafao yazidi kuleta balaa uzalishaji wasimama kabisa KMCL

      Wafanyakazi wa migodini hawaitaki kabisa hii sheria mpya, na lazima itabadilishaw. maana haina manufaa yoyote kwa mfanyakazi!

    Page 1 of 2 12 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...