Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

    Report Post
    Page 1 of 3 123 LastLast
    Results 1 to 20 of 41
    1. #1
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,602
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2862

      Default Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita




      Hii ni dalili kwamba Tanzania hatuna sheria ya kutetea haki za watoto. Maandamano ya hawa watoto au wanafunzi hayakuwa uvujaji wa amani au sheria, bali kuisaidia serikali kufungua zaidi na kuona madai ya walimu yafikiwe mwafaka ili wasiendelee kukosa vipindi madarasani sababu ya mgomo wa walimu.

      Askari polisi kutumia silaha za kivita kutishia uhai wa wanafunzi ni jambo hatari kabisa kwa malezi ya watoto hawa, la ajabu, na lisilo la kistaarbu kabisa, na kabisa kisaikolojia ni kuwaharibu hawa watoto. Athari za matukio ya polisi kutishia watoto kwa silaha kali za kivita ni kubwa katika maisha yao, na hapo ndipo busara inapokosekana kwa serikali na jeshi la polisi nchini ni kielelezo tosha.




      Tanzania hatuna wanasaikolojia wanaoweza kuwasaidia hawa watoto kuongea nao wakaelewa na pengine wakachukua mawazo ya watoto hawa na kuyafanyia kazi, na badala ya watoto hawa kuwatisha wanafunzi uhai wao ka mitutu ya bunguki na mabomu ya machozi, je walikuwa na silaha gani kama si mikono mitupu kudai haki yao ya kupata elimu jambo ambalo linaeleweka kwa kila mmoja? Wizara ya jamii na watoto kazi yao nini , na wanafanya nini kutetea hawa watoto?



      Hawa watoto ni haki yao kudai muda unaopotezwa na walimu wanapodai haki zao wakati wanakosa masomo madarasani. Binafsi sioni kosa la watoto kama maandamano yao yalikuwa ya amani, na kama waliziba njia ni bora kutumia njia za kisaikolojia kuwatuliza wanafunzi kuliko tishio la silaha za kivita.

      Serikali iko tayari kusikiliza kilio cha wanasiasa wabunge kuwaongezea mishahara na malupulupu, lakini wanaosota maisha yao yote kuandaa hili taifa la kesho wamewapiga danadana siku nyingi na leo wanapochukua hatua serikali inaamua kumalizia hasira kwa hawa malaika wasio na makosa, waadhiriwa na mgomo wa walimu.

      Je, serikali inapotumia jeshi la polisi kutishia watoto hawa ambao ni waadhirika wa kukosa masomo bila ridhaa yao kwa uzembe wa serikali yenyewe, je inajengwa taswira gani katika maisha, malezi na future ya watoto hawa?

      Hili ndilo tatizo la vyombo vya dola vinapotumika zaidi kisiasa.
      Ogah, Davie and kofiliko like this.

    2. Miaka 50

    3. #2
      DEMBA's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 10th May 2012
      Posts : 139
      Rep Power : 381
      Likes Received
      21
      Likes Given
      9

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      hiyo ndo tanzania kila kitu kinawezekana ndugu.

    4. #3
      dagjrtz's Avatar
      Member Array
      Join Date : 18th January 2011
      Posts : 19
      Rep Power : 425
      Likes Received
      1
      Likes Given
      2

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Mmmh Jamani?!!!

    5. #4
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Candid Scope, something is very wrong somewhere! I wish leaders could know what it is before too late.
      Candid Scope and The Stig like this.
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    6. #5
      The Stig's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2011
      Posts : 493
      Rep Power : 508
      Likes Received
      210
      Likes Given
      56

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Quote By Ndahani
      Candid Scope, something is very wrong somewhere! I wish leaders could know what it is before too late.
      Ile picha ya mtoto akipanda karandinga pasipo uoga inaongea mengi sana. I hope watawala wanasoma kinachoendelea - wasipuuzie na kudharau
      Ndahani likes this.

    7. FemaTV & Radio

    8. #6
      Kiranga's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 29th January 2009
      Posts : 14,078
      Rep Power : 41560
      Likes Received
      5982
      Likes Given
      1051

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Hata Ufalme wa Mfalme Jean Bedel Bokassa uliangushwa kwa kunyanyasa watoto wa shule.

      Endeleeni kuwafunza protest ni nini hawa watoto ili waujue kiuhalisi udhalimu wenu mapema kabisa.
      Banda lishavunjika, jogoo kaondoka. Vifaranga hangaika, kumtoa nyoka.


    9. #7
      Angel Msoffe's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st June 2011
      Posts : 6,266
      Rep Power : 1825
      Likes Received
      1397
      Likes Given
      0

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Anguko la serikali

    10. #8
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,602
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2862

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Quote By Ndahani
      Candid Scope, something is very wrong somewhere! I wish leaders could know what it is before too late.
      Kuwatishia uhai watoto hawa kwa bunduki ni kitu ambacho hakiingii akilini mwangu, siwezi kuelewa seikalini kuna matatizo gani. Hakuna chombo cho chote cha serikali kijamii kukemea tukio hilo, maana yake imehalalishwa, I don't understand at all, can't be acceptable
      Ndahani likes this.

    11. #9
      sweke34's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th September 2010
      Posts : 2,493
      Rep Power : 1254
      Likes Received
      734
      Likes Given
      1240

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Dah...nakumbuka mimi wakati nipo darasa la saba hata ningeulizwa mgomo ni nini nisingeweza kujibu lakini leo hii hata mtoto wa darasa la kwanza anaujua mgomo na kale ka wimbo ka "tunaka haki yetu".
      Candid Scope likes this.

    12. #10
      Candid Scope's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th November 2010
      Posts : 7,602
      Rep Power : 15259
      Likes Received
      3727
      Likes Given
      2862

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Quote By sweke34
      Dah...nakumbuka mimi wakati nipo darasa la saba hata ningeulizwa mgomo ni nini nisingeweza kujibu lakini leo hii hata mtoto wa darasa la kwanza anaujua mgomo na kale ka wimbo ka "tunaka haki yetu".
      Mchelea mwana mwisho hulia, kama hatua stahiki zingechukuliwa toka awali na kutolimbikiza madai hayo, leo isingekuwa tatizo kugombana na walimu na kusababisha vitisho vya uhai wa wanafunzi kitu ambacho ni aibu sana tunayojitwika ukilinganisha na mataifa yanayojali haki za mtoto.

    13. #11
      kofiliko's Avatar
      Member Array
      Join Date : 1st August 2012
      Posts : 14
      Rep Power : 344
      Likes Received
      5
      Likes Given
      5

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Tatizo ni mazoea ya kufilikili kwamba kila maandano ni vurugu na kushindwa kutambua jinsi ya kukabili maandamano kulingana na nature yake wao wanachojua ni kila maandano ni vurugu.Kweli inasikisha sana kuona askali wetu wanakimbilia mitutu ya bunduki kwa watoto wadogo hapa ni mwanzo wa kuwafundisha ujasili wa kivita kabla ya umri wao na hii tutegemee watoto wasiojali maslai ya nchi hapo baadae.Tufikilie njia za kisakologia katika jambo linalo husu watoto wetu.

    14. #12
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Quote By Candid Scope
      Kuwatishia uhai watoto hawa kwa bunduki ni kitu ambacho hakiingii akilini mwangu, siwezi kuelewa seikalini kuna matatizo gani. Hakuna chombo cho chote cha serikali kijamii kukemea tukio hilo, maana yake imehalalishwa, I don't understand at all, can't be acceptable
      Nimepoteza imani na mambo mengi sana yanayoendelea. Yaashiria tumeamua kukosa umakini kwa makusudi kabisa. I don't understand....
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    15. #13
      Froida's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 25th May 2009
      Posts : 3,707
      Rep Power : 1309
      Likes Received
      713
      Likes Given
      146

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Huyu Kikwete sasa naona anakaribia kaburi ,Kifo ndicho kilichobaki nchi imesaini na imeridha mkataba wa kimataifa wa 1990 wa ulinzi wa watoto, sheria ya watoto ya mwaka 2010 Kikwete kasaini ataamrishaje Polisi na mitutu ya bunduki wawakamate watoto na kuwatia kwenye karandiga huu ni uozo uliopitiliza huyu kweli ni Raisi wa nchi ya mmaamuma you cant just swallow this nosense

    16. #14
      Ndahani's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd June 2008
      Location : Somewhere
      Posts : 9,646
      Rep Power : 4015
      Likes Received
      2940
      Likes Given
      5063

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Quote By The Stig
      Ile picha ya mtoto akipanda karandinga pasipo uoga inaongea mengi sana. I hope watawala wanasoma kinachoendelea - wasipuuzie na kudharau
      I dont understand...ninashindwa kuelewa tunaelekea wapi. Tunataka kutengeneza Taifa la watu wakorofi korofi? Kwa faida ya nani?
      We are all inventors, each sailing out on a voyage of discovery, guided each by a private chart, of which there is no duplicate. The world is all gates, all opportunities.
      Ralph Waldo Emerson

    17. #15
      andrews's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 28th March 2012
      Posts : 1,683
      Rep Power : 0
      Likes Received
      142
      Likes Given
      76

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      ​wacha watoto wazoee mitutu siku wakiingia mtaani kijani na njano mna hali mbaya
      Quote By The Stig
      Ile picha ya mtoto akipanda karandinga pasipo uoga inaongea mengi sana. I hope watawala wanasoma kinachoendelea - wasipuuzie na kudharau

    18. #16
      MPIGA ZEZE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 16th May 2011
      Posts : 574
      Rep Power : 519
      Likes Received
      202
      Likes Given
      198

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Quote By Candid Scope
      Kuwatishia uhai watoto hawa kwa bunduki ni kitu ambacho hakiingii akilini mwangu, siwezi kuelewa seikalini kuna matatizo gani. Hakuna chombo cho chote cha serikali kijamii kukemea tukio hilo, maana yake imehalalishwa, I don't understand at all, can't be acceptable
      Candid Scope, tatizo kubwa tulilo nalo sisi Wabongo ni kufikiri kuwa tuna serikali. Hiki tulicho nacho ni genge la mafisadi (kleptocractic regime). Kwa hivyo, kusema huwezi "kuelewa serikalini kuna matatizo gani" ni bahati mbaya kufikiri hivyo -Bongo hakuna serikali!

    19. #17
      massai's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 2nd May 2011
      Posts : 625
      Rep Power : 532
      Likes Received
      109
      Likes Given
      2

      Default

      Quote By The Stig
      Ile picha ya mtoto akipanda karandinga pasipo uoga inaongea mengi sana. I hope watawala wanasoma kinachoendelea - wasipuuzie na kudharau
      unawajua hao watawala kweli?mambo mazito kama hayo hawayaoni.wanachukulia poa ,mabweg.e yale hayana jipya

    20. #18
      sesy nzenga's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 16th June 2012
      Posts : 118
      Rep Power : 372
      Likes Received
      11
      Likes Given
      94

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      ukiona mpaka watoto wa miaka saba wanaandamana na kubebwa na polisi kama majambazi ujue tumefika mwisho tunahitaji maombi sana....

    21. #19
      commited's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 27th February 2012
      Posts : 820
      Rep Power : 528
      Likes Received
      273
      Likes Given
      18

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      So sad... Kila chenye mwanzo kina mwisho

    22. #20
      Elizabeth Dominic's Avatar
      JF Premium Member Array
      Join Date : 7th December 2007
      Posts : 2,729
      Rep Power : 5461
      Likes Received
      1959
      Likes Given
      2652

      Default Re: Nimeshtushwa Polisi kutishia uhai wa watoto kwa silaha za kivita

      Inasikitisha kwakweli. Mlolongo wa matukio ya kipuuzi huku kukiwa hakuna sauti zenye mwangwi wa kutosha kuyakemea imefanya mambo kama haya kuonekana ya kawaida. TUKO WAPI WATANZANIA? TUKO WAPI WAZAZI? Hali tusiwasimamie watoto hawa na madai yao hadi waonekane ni watukutu tu waliotumwa na si wenye kilio cha kweli

    23. Study Abroad
    Page 1 of 3 123 LastLast

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...