Legrande Mupao! Suveree anashikiliwa na kituo cha polisi cha magomeni kwa tuhuma za mauaji.
Source:magazeti ya leo
Legrande Mupao! Suveree anashikiliwa na kituo cha polisi cha magomeni kwa tuhuma za mauaji.
Source:magazeti ya leo
"The usual conclusion is that you can't put a price on a human life. But you can if you must".
ile kauli ya 'ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga' ina maana pana kweli ila ukiangalia hapo on red&bold ni kuwa maisha yana misingi yake na ukiifuata daima utakuwa awarded hivyo hivyo bila kujali kama una pesa au huna lakini uki tress pass na kufanya mambo mengi chini ya kapeti mara nyingi unakuwa revealed kabla hujamaliza muda wako katika dunia hii!
Naanza kuiamini hii kauli kutokana na matukio mengi niliyoshuhudia na huyu 'mkuu' ndiko anako elekea huko kama sio kufika!
Wapi Massawe ???!! The ring leader
wala usijali hawa ni kawaida sana kuwa na makesi mengi mahakamani na polisi,siku zote wanaishi kwa pesa za kutapeli wengine na wako tayari kukuua kupunguza kero maana hawako tayari hata kurudisha......pia wako wale wa uchwara wao wanatapeli mpaka laki 5 na kudhulumu watu km kina Shomari kimbau anavyodhulumu mabondia anaowapiganisha bila kuwalipa na wngine wengi tu.....na huwa wanatumia gharama kubwa tu kujifisha na kuhonga polis
Hivi bandugu benzangu huyo Papaa Musofe ni mutu ya wapi?
Follow Us Here