Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

    Report Post
    Results 1 to 12 of 12
    1. #1
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Wadau nimeona tujadili hili la serikali yetu kutumia mahakama zetu kama chaka la kuficha maovu yake!!! Tuliona swala la madaktari walipoanza tuu mgomo serikali ikakimbilia mahakamani kusitisha mgomo ikidai kuwa ni batili, limekuja swala la walimu wanasema swala liko mahakamani!! Sasa tuseme mahakama zetu ni dhaifu hazina sheria kali za kuweza kudhibiti watu kukimbilia mahakamani kuweka stop order??? Je ikiwa wakipeleka kesi wakashindwa adhabu zinazotolewa ni dhaifu kiasi hawaziogopi kama vile kutolewa amri ya kutaifisha na kuuza mali za serikali hadi walipe madai ya watu??? Nawasilisha!!!

    2. Miaka 50

    3. #2
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,705
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1483
      Likes Given
      574

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Mahakama hawana nguvu yeyote ile kwa sababu ndio walewale ndio wapo huko, Ila Watanzania cha kufanya ni moja tu!
      Tumweleze MUNGU haya yote ya kwmb tumechoka na haya Mungu wetu.
      Na ni Imani tosha kabisa iko nyakati itafika na Watanzania watafurahia maisha bora lakini ni mpaka uongozi wote uliko madarakani ubwagwe chini!
      Mahakama wameifanya maficho yao.

      Mwisho wao waja hakika!
      Mtumishi Wetu likes this.

    4. #3
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Quote By LiverpoolFC
      Mahakama hawana nguvu yeyote ile kwa sababu ndio walewale ndio wapo huko, Ila Watanzania cha kufanya ni moja tu!
      Tumweleze MUNGU haya yote ya kwmb tumechoka na haya Mungu wetu.
      Na ni Imani tosha kabisa iko nyakati itafika na Watanzania watafurahia maisha bora lakini ni mpaka uongozi wote uliko madarakani ubwagwe chini!
      Mahakama wameifanya maficho yao.

      Mwisho wao waja hakika!
      Nashukuru mkuu kuliona hilo, mahakama zetu zinashushiwa hadhi siku hizi hata Majaji wanawekwa wa magumashi!!!

    5. #4
      Mpita Njia's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 3rd March 2008
      Posts : 6,708
      Rep Power : 3256
      Likes Received
      984
      Likes Given
      760

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Ni dalili ya udhaifu na kushindwa kutatua matatizo yanayowakabili wananchi wake
      Mtumishi Wetu likes this.
      I assume full responsibility for my actions, except the ones that are someone else's fault.

    6. #5
      Gagurito's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th February 2011
      Location : Gangilonga....
      Posts : 5,271
      Rep Power : 1458
      Likes Received
      694
      Likes Given
      696

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Hakuna kitu, mahakama ni zile zile wale wale!
      Mtumishi Wetu likes this.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      LiverpoolFC's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th April 2011
      Posts : 6,705
      Rep Power : 11284
      Likes Received
      1483
      Likes Given
      574

      Default

      Quote By Mpita Njia
      Ni dalili ya udhaifu na kushindwa kutatua matatizo yanayowakabili wananchi wake


      Kauli ya PM hii hapa: (LIWALO na LIWE)
      Kweli mtu anapewa mamlaka ya kuongoza raia zaidi ya 40M halafu anadiriki kuja na kauli kama hiyo jamani tutafika?

      2015 Mi ningetamani iwe baadae nione ujeuri wa ccm iko wapi!
      Mpita Njia and Mtumishi Wetu like this.

    9. #7
      Mkwai's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 29th February 2012
      Posts : 107
      Rep Power : 386
      Likes Received
      32
      Likes Given
      10

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Quote By Mtumishi Wetu
      Wadau nimeona tujadili hili la serikali yetu kutumia mahakama zetu kama chaka la kuficha maovu yake!!! Tuliona swala la madaktari walipoanza tuu mgomo serikali ikakimbilia mahakamani kusitisha mgomo ikidai kuwa ni batili, limekuja swala la walimu wanasema swala liko mahakamani!! Sasa tuseme mahakama zetu ni dhaifu hazina sheria kali za kuweza kudhibiti watu kukimbilia mahakamani kuweka stop order??? Je ikiwa wakipeleka kesi wakashindwa adhabu zinazotolewa ni dhaifu kiasi hawaziogopi kama vile kutolewa amri ya kutaifisha na kuuza mali za serikali hadi walipe madai ya watu??? Nawasilisha!!!
      Kuna wakati nashindwa kuelewa utofauti uliopo kati ya serikali na mahakama, sometimes nashawishika huenda serikali na watawala ndio mahakama yenyewe. Katika patashika zote zilizotokea kwa wafanyakazi kudai stahiki zao, serikali ndio imekuwa ikitoa matamko kwa niaba ya mahakama. Nilitegemea mahakama ndio itoe stop order katika matimbwili haya lakini la hasha, ni matamko ya serikali tu.
      Mtumishi Wetu likes this.

    10. #8
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Quote By LiverpoolFC
      Kauli ya PM hii hapa: (LIWALO na LIWE)
      Kweli mtu anapewa mamlaka ya kuongoza raia zaidi ya 40M halafu anadiriki kuja na kauli kama hiyo jamani tutafika?

      2015 Mi ningetamani iwe baadae nione ujeuri wa ccm iko wapi!
      Kuna haja mkuu hata mahakama zetu kwenye katiba mpya kuwe na kipengele cha maadili mtu asipewe kazi ya Ujaji bila kufanyiwa vetting tena ipitie bungeni kuthibitishwa !!! Mtu mwenye dalili za rushwa asipitishwe kuwa hakimu hata wa mahakama ya mwanzo, wenzetu Kenya wanaendelea na zoezi hilo la kuondoa uozo kwenye judicially yao!!


    11. #9
      Lastname's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 23rd February 2012
      Posts : 464
      Rep Power : 518
      Likes Received
      123
      Likes Given
      71

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Wahuni wenzao

    12. #10
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Quote By Lastname
      Wahuni wenzao
      Mihimili ya ya dola si lazima itofautishwe, mahakama inatakiwa kuwa ndio kipimo cha utawala bora yenyewe iwe check and balance, sasa inasikitisha ikigeuzwa ni njia ya kukandamiza wanyonge???


    13. #11
      Mwanamayu's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 7th May 2010
      Location : Manzese
      Posts : 3,049
      Rep Power : 1069
      Likes Received
      240
      Likes Given
      112

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Quote By Mtumishi Wetu
      Wadau nimeona tujadili hili la serikali yetu kutumia mahakama zetu kama chaka la kuficha maovu yake!!! Tuliona swala la madaktari walipoanza tuu mgomo serikali ikakimbilia mahakamani kusitisha mgomo ikidai kuwa ni batili, limekuja swala la walimu wanasema swala liko mahakamani!! Sasa tuseme mahakama zetu ni dhaifu hazina sheria kali za kuweza kudhibiti watu kukimbilia mahakamani kuweka stop order??? Je ikiwa wakipeleka kesi wakashindwa adhabu zinazotolewa ni dhaifu kiasi hawaziogopi kama vile kutolewa amri ya kutaifisha na kuuza mali za serikali hadi walipe madai ya watu??? Nawasilisha!!!
      Ukiangalia kwa undani Tanzania kuna mihimili miwili - Bunge an executive. Mahakama ni mkono wa state hivyo kusema ni mhimili sion sahihi kwa sababu inawajibika kwa state!
      Mtumishi Wetu likes this.

    14. #12
      Mtumishi Wetu's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 12th October 2010
      Location : Arusha
      Posts : 2,857
      Rep Power : 3548
      Likes Received
      543
      Likes Given
      5186

      Default Re: Hivi mbona serikali inatumia mahakama kama chaka la kuficha maovu yake?

      Quote By Mwanamayu
      Ukiangalia kwa undani Tanzania kuna mihimili miwili - Bunge an executive. Mahakama ni mkono wa state hivyo kusema ni mhimili sion sahihi kwa sababu inawajibika kwa state!
      Ndio maana tunasema lazima katiba mpya iwe wazi kuhusu mahakama ili ipate haki yake inayostahili, kuliko kutumiwa na serikali kama tambala la kufuta uchafu wake!!!


    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...