Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Traffic police arusha.

    Report Post
    Page 2 of 2 FirstFirst 12
    Results 21 to 29 of 29
    1. #1
      Arushaone's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 31st March 2012
      Location : Arusha
      Posts : 6,410
      Rep Power : 40145
      Likes Received
      5055
      Likes Given
      16252

      Default Traffic police arusha.

      Ni habari ya uhakika kabisa ambayo nimeifanyia uchunguzi wa kutosha. Wakiingia kazini hawa askari wanapewa jukumu la kila mmoa hataruhusiwa kuondoka alipopangiwa hadi akamate magari 20 ambayo yatalipa notification ya 30,000 each! Tunapelekwa wapi?

    2. RukaaJuu Final

    3. #21
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,374
      Rep Power : 12711
      Likes Received
      2192
      Likes Given
      1820

      Default Re: Traffic police arusha.

      Quote By Arushaone
      Ni habari ya uhakika kabisa ambayo nimeifanyia uchunguzi wa kutosha. Wakiingia kazini hawa askari wanapewa jukumu la kila mmoa hataruhusiwa kuondoka alipopangiwa hadi akamate magari 20 ambayo yatalipa notification ya 30,000 each! Tunapelekwa wapi?
      Siyo kweli ilikuwa kila mmoja ni lazima akamate magari matatu ambayo yana makosa hasa kipindi kile cha foleni kubwa Arusha ambapo watu walikuwa wanatanua tu hasa kutoka Mbauda, Kisongo jambo ambalo siyo gumu kabisa maana kuna watu wana vichwa ngumu sana barabarani.

      Na kwa kukujuza tu hilo ni agizo toka serikalini ili kupunguza makosa barabarani na kuongeza pato la taifa kwa kupitia fines & penalties.


    4. #22
      mkiva's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 28th January 2012
      Posts : 912
      Rep Power : 551
      Likes Received
      254
      Likes Given
      1

      Default

      Quote By Arushaone
      Sijakurupuka Inno laka, ni utafiti wa kweli nilioufanya kwa makini na kubali kataa ndivyo ilivyo: hujakamata magari 20 yatakayolipa notification ya 30,000 @ kwa siku hutapata posho/renumeration.
      Wala asibishe kama haamini mwambie aendeshe gari mchana barabara za mosh arusha.namanga arusha.mirongoine na kisongo.kama pale ngaramtoni ya chini hakuna gari inayopita bure

    5. #23
      Mzee wa Rula's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th October 2010
      Posts : 6,374
      Rep Power : 12711
      Likes Received
      2192
      Likes Given
      1820

      Default Re: Traffic police arusha.

      Quote By Puppy
      Juzi wamenisimamisha Boma wakachukua 5000, pale KIA (less than 5 KMs from BOMa) wakata 20000 nikagoma wakachukua 10000. Kufika King'ori (Pia Less ama equal na 5 KMs from KIA) wakasimamisha nikaona ushenzi nikasepa, kufika KIKATITI (almost 5 KMs from King'ori) wakasimamisha tena nikasepa wakanifuata kwa gari, kufika USA nikawekewa Barrier nikapeleka Gari kituoni wanataka All Charges plus mafuta ya kunikimbiza kama 150,000 nikawaambia sina kama vipi bakini na gari.
      Nikaita Taxi nikiwa pale pale, wakaona hiyo Confidence wakaogopa wakanipa gari yangu nikasepa.
      Kwao ni kawaida sana na kama wewe ni muoga ukitoka Sakina mpaka ufike Moshi mjini unakuwa umepoteza zaidi ya 150,000 barabarani.

      Kama Huamini njoo ujionee na gari yako isiwe na Kile kitambaa (alama) ya CCM ndani uone utatoa bei gani kutoka tu Mianzini mpaka Usa-River.
      Kuna siku nilikuwa natoka Arusha nakwenda Moshi, kufika Moshi nikakamatwa. Wakakagua gari yangu wakaona haina makosa isipokuwa nilikuwa sina stika ya week kwa nenda kwa usalama. Akaniambia inabidi nukushitue kidogo, nikamwambia wapi???? Hapa hapa au polisi, maana nina haraka kidogo tehe tehe tehe. Akaingia ndai ya gari nikaondoka kwa kasi sana, akanipiga mkwara nikamwambia nina haraka sana na nimekwambia na hivi ulivyopanda gari hii itabidi unifuate ratiba yangu, nipo serious. Akaniuliza unafanya kazi gani nikamwambia haukusu kazi yangu. Nikaenda mpaka idara ya maji Moshi kule karibu na nyuma ya uwanja wa ndege, nikaingiza gari ndani. Kwa akili yake akajua ofisi za jamaa zetu wae wanaolalamikiwa sana kuhusiana na sinema ya Ulimboka, nikamwacha kwenye gari nikamwambia nakuja sasa hivi.

      Nikaingia ndani kurudi sikumkuta, kuuliza nikaambiwa alichukua boda boda akasepa, inahitaji confidence lakini ndiyo hivyo.
      Puppy likes this.


    6. #24
      BUBE's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th November 2010
      Location : KIMANZICHANA
      Posts : 629
      Rep Power : 558
      Likes Received
      170
      Likes Given
      174

      Default Re: Traffic police arusha.

      Mmbangifingi! Trafki wanapaswa kunufaikaje zaidi ya kupunguza ajali na kuhakikisha sheria zinafuatwa? Wale watumiaji barabara wanalipa faini na kuipeleka kunakohitajika wala sio matumbo binafsi?
      Quote By mmbangifingi
      Vitabu vitakuwa fake malipo yanaingia matumboni mwao, otherwise hata wao hawana wanachonufaika kama zote zaenda serikalini kweli

    7. #25
      mmbangifingi's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th March 2011
      Posts : 2,569
      Rep Power : 858
      Likes Received
      452
      Likes Given
      2908

      Default Re: Traffic police arusha.

      Quote By BUBE
      Mmbangifingi! Trafki wanapaswa kunufaikaje zaidi ya kupunguza ajali na kuhakikisha sheria zinafuatwa? Wale watumiaji barabara wanalipa faini na kuipeleka kunakohitajika wala sio matumbo binafsi?
      Mkuu,,polisi ya Tz sio hivo.ushasahau kashfa ya askari aliyekamatwa Chang'ombe Dar akiwa na Certificate of Competences fake? Na wale wa Ubungo na vitabu vya Notifications fake? HAawana time/focus ya kupunguza ajali bali kujitafutia rizki ya kila siku
      Who Jah bless, No one Curse!

    8. Miaka 50

    9. #26
      mdoe mchaina's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 1st December 2011
      Posts : 136
      Rep Power : 405
      Likes Received
      20
      Likes Given
      0

      Default Re: Traffic police arusha.

      A town daah mpaka ninavyo ongea wameshakula elfu mbili yangu na jioni wanakula elfu hiyo ni kawaida hapa frency corner hiace za ungalimited na zipo zaidi ya hiace 80 nimejaribu takukuru wana ruka ruka kuja .zinaniuma kinoma hizi elfu tatu za kila siku .

    10. #27
      daisy's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 22nd January 2011
      Posts : 100
      Rep Power : 442
      Likes Received
      27
      Likes Given
      133

      Default Re: Traffic police arusha.

      Da, mkuu ni kweli kabisa kuhusu Trafiki Arusha ni noma yaani ni ujinga mtupu hapa mjini tu unawza kusimamishwa mara 4 alafu ujinga zaidi wanasimama kwenye junction hivyo wanasababisha foleni zisizo na msingi. mfano utasimamishwa technical then mianzini ukipita huku makongoro unakutana nao pale kituo cha polisis ni kero balaa.

    11. #28
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 752
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Traffic police arusha.

      Hii habari ni ukweli maana hata mimi nilikamatwa juzi traffic alisimamisha gari na akaingia ndani ya gari na akasema inakosa twende kituoni, nilipofika kituoni wakasema side mirror imechakaa wakanandikia 30,000 ila kiukweli ilikuwa iko poa sana wala haina mkwaruzo......Traffic wa Arusha wanaambiwa na officer wao kila mmoja apeleke magari kadhaa kila siku kituoni so hakuna wanachofanya zaidi ya kuhesabu amepeleka magari mangapi kituoni.
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    12. #29
      Kifulambute's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 8th May 2011
      Posts : 1,729
      Rep Power : 752
      Likes Received
      453
      Likes Given
      176

      Default Re: Traffic police arusha.

      Quote By Mzee wa Rula
      Siyo kweli ilikuwa kila mmoja ni lazima akamate magari matatu ambayo yana makosa hasa kipindi kile cha foleni kubwa Arusha ambapo watu walikuwa wanatanua tu hasa kutoka Mbauda, Kisongo jambo ambalo siyo gumu kabisa maana kuna watu wana vichwa ngumu sana barabarani.

      Na kwa kukujuza tu hilo ni agizo toka serikalini ili kupunguza makosa barabarani na kuongeza pato la taifa kwa kupitia fines & penalties.

      wewe nadhani unaongea hauko Arusha matraffic wa Arusha huwa h awaangalii makosa bali ni magari mangapi amepeleka kituoni
      Ukikuta kuna njia inapitika jua kuna aliyeianzisha

    Page 2 of 2 FirstFirst 12

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...