Wana JF nimekaa na kutafakari kwa makini lakini sijapata jibu sahihi kuhusu mabadiliko yanayohusumifuko ya jamii, je waheshimiwa wabunge nao wanahusika na sheria hii? na kama siyo je wao si wanachama wa mifuko ya jamii? Nielimisheni tafadhari
Wana JF nimekaa na kutafakari kwa makini lakini sijapata jibu sahihi kuhusu mabadiliko yanayohusumifuko ya jamii, je waheshimiwa wabunge nao wanahusika na sheria hii? na kama siyo je wao si wanachama wa mifuko ya jamii? Nielimisheni tafadhari
Ingekuwa inawahusu wasingeipitisha.
Wao wakimaliza miaka yao mitano wanavuta fedha yao yote hata kama wanaendelea na ubunge.
... our Conflict has never been about the establishment of a Palestinian state, it's always been about the existence of the Jewish state. - Benjamin Netanyahu.
Follow Us Here