Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Mamilioni yachotwatwa nssf kupelekwa kwenye ajali ya meli znz.

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      matongo manawa's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 6th April 2011
      Posts : 304
      Rep Power : 471
      Likes Received
      56
      Likes Given
      46

      Default Mamilioni yachotwatwa nssf kupelekwa kwenye ajali ya meli znz.

      Serikali imechota burungutu la mamiioni kinyume cha utaratibu kutoa mfuko hifadhi ya jamii
      pesa hizo ni michango ya wanachama wa mfuko huo,inasemekana serikali haina fedha.

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      chachu's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 17th May 2011
      Posts : 101
      Rep Power : 425
      Likes Received
      7
      Likes Given
      0

      Default Re: Mamilioni yachotwatwa nssf kupelekwa kwenye ajali ya meli znz.

      Hilo tunalifahamu siku nyingi na sio leo kwa ajili ya meli. Fedha nyingi ilichukuliwa kwa ajili ya ujenzi wa chuo kikuu cha dodoma na miradi mingine.
      Nachowasihi serikali msitunge sheria za kugandamiza mfanyakazi ambaye analipa kodi kubwa kwa mwaka kupitia pay ass you earn na kama mtumiaji wa bidhaa wa mwisho ni mlipa kodi kwa kila anachonunua. KODI HIZO ZINAWATOSHA. NSSF TUACHIENI NI HAKI ZETU.
      Quote By matongo manawa
      Serikali imechota burungutu la mamiioni kinyume cha utaratibu kutoa mfuko hifadhi ya jamii
      pesa hizo ni michango ya wanachama wa mfuko huo,inasemekana serikali haina fedha.

    4. #3
      Himawari's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 21st August 2008
      Location : Somewhere in this world
      Posts : 666
      Rep Power : 681
      Likes Received
      75
      Likes Given
      56

      Default

      Quote By matongo manawa
      Serikali imechota burungutu la mamiioni kinyume cha utaratibu kutoa mfuko hifadhi ya jamii
      pesa hizo ni michango ya wanachama wa mfuko huo,inasemekana serikali haina fedha.
      Sijali kama hii habari ni ya kweli sababu hakuna chanzo cha habari.
      Huu msamiati wa serikali haina hela hauniingii akilini kabisa! Sasa kama haina hela hizi akiba za wanyonge ndio za kutumia?! Nachelea kuwa serikali ikishatumia kurudisha itakuwa historia maana mifano iko mingi. Na hii sheria waliyojitungia inayotukataza kudai mafao yetu kabla hatujatembea na mkongojo ndio siielewi kabisa.! Au ndio uchochoro/ simple solition serikali inatumia kufuja mafao yetu?
      Chondechonde serikali na akiba yangu ya uzeeni, tutaja onana wabaya mbeleni!!
      Jasusi likes this.

    5. #4
      Zatara's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 11th April 2012
      Location : M/Nyamala
      Posts : 276
      Rep Power : 413
      Likes Received
      67
      Likes Given
      58

      Default Re: Mamilioni yachotwatwa nssf kupelekwa kwenye ajali ya meli znz.


      Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi , akizungumza na Meneja Mahusiano wa Shirika la Hifadhi ya Jamii kwa Mashirika ya Umma (PPF), Lulu Mengele, aliyefika Zanzibar kutoa mkono wa pole kwa niaba ya uongozi wa mfuko huo na wafanyakazi kufuatia ajali ya boti ya Skagit iliyotokea Julai 18, mwaka huu. PPF imetoa hundi ya Sh. 5,000,000 kama pole.

    6. #5
      Hon.MP's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 15th July 2012
      Posts : 136
      Rep Power : 372
      Likes Received
      66
      Likes Given
      30

      Default Re: Mamilioni yachotwatwa nssf kupelekwa kwenye ajali ya meli znz.

      Nani katoa kibali hicho? Hivi vyama vya wafanyakazi vunafanya nini?

    7. Miaka 50

    8. #6
      KengeWaKijani's Avatar
      Senior Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 103
      Rep Power : 367
      Likes Received
      16
      Likes Given
      0

      Default

      Quote By matongo manawa
      Serikali imechota burungutu la mamiioni kinyume cha utaratibu kutoa mfuko hifadhi ya jamii
      pesa hizo ni michango ya wanachama wa mfuko huo,inasemekana serikali haina fedha.
      Hela ndogo hyo wacha watoe.

    9. #7
      Ti Go's Avatar
      Member Array
      Join Date : 28th June 2012
      Posts : 47
      Rep Power : 356
      Likes Received
      4
      Likes Given
      8

      Default

      Quote By KengeWaKijani
      Hela ndogo hyo wacha watoe.
      hiyo ndogo, wewe ukistaafu utaambiwa mfuko hauna hela. ni kujipendekeza tu

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...