Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Skendo: Watu watatu wakamatwa wakifanya biashara ya kusafirisha watu hai

    Report Post
    Results 1 to 7 of 7
    1. #1
      Gumzo's Avatar
      Guest Array
      Join Date : 2nd January 2012
      Posts : 211
      Rep Power : 0
      Likes Received
      5
      Likes Given
      0

      Default Skendo: Watu watatu wakamatwa wakifanya biashara ya kusafirisha watu hai

      POLISI mkoani Kigoma inawashikilia watu watatu wakiwemo wafanyakazi wawili wa basi la Osaka linalofanya safari kati ya Kigoma na Dar es Salaam, wakituhumiwa kufanya biashara haramu ya kusafirisha watu hai.


      Kamanda wa Polisi Mkoa Kigoma, Fraiser Kashai aliwaambia waandishi wa habari mjini hapa kwamba juzi saa 10 jioni askari wa upelelezi wakiwa katika doria, waliona basi la abiria katika kijiji cha Heru Juu wilayani Kasulu likikusanya watu kwa ajili ya kuwasafirisha.


      Alisema katika kufuatilia hayo askari hao wa upelelezi waligundua basi hilo lilifika kijijini hapo kwa ajili ya kuwachukua abiria 44 ambao walikuwa katika mpango wa kuwasafirisha kuwapeleka Msumbiji kwa ajili ya kwenda kufanya kazi za kukata mbao.



      KWA HABARI KAMILI BOFYA HAPA GUMZO LA JIJI

    2. Miaka 50

    3. #2
      Mourinho's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 24th July 2012
      Location : Tanganyika
      Posts : 1,186
      Rep Power : 581
      Likes Received
      263
      Likes Given
      185

      Default

      Sasa wat's wrong kusafirisha watu HAI?,ulitaka wasafirishe wafu?

    4. #3
      ALEYN's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 12th November 2011
      Location : Dar es Salaam
      Posts : 1,010
      Rep Power : 582
      Likes Received
      122
      Likes Given
      17

      Default Re: Skendo: Watu watatu wakamatwa wakifanya biashara ya kusafirisha watu hai

      Hivi kwa nini watu kama hawa wakikamatwa WASINYONGWE!!??. Serikali NYONGENI hivi Viumbe

    5. #4
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,578
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      425
      Likes Given
      625

      Default Re: Skendo: Watu watatu wakamatwa wakifanya biashara ya kusafirisha watu hai

      Ngoja nimalize saumu, huenda nitaelewa.

    6. #5
      SIMBA mtoto's Avatar
      Member Array
      Join Date : 13th July 2011
      Posts : 63
      Rep Power : 410
      Likes Received
      13
      Likes Given
      7

      Default Re: Skendo: Watu watatu wakamatwa wakifanya biashara ya kusafirisha watu hai

      Habari kamili ni kuwa watu hao walikuwa wanaenda nchini Msumbiji ambako, walipata kazi ya kupasua mbao na aliyekuwa anawasafirisha ni Mtanzania wa Kigoma, na ndiye aliyenunua misitu nchini Msumbiji na akarudi nyumbani kuwachukuwa wananchi wasiokuwa na ajira kwa kuwapatia ajira nchini Msumbiji, lalamiko la jeshi la polisi ni idadi kubwa ya wananchi kuchukuliwa kwa mkupuo mmoja ambao inadaiwa idadi yao inakaribia watu 40.

      Sioni tatizo lolote kwa watu hao kwenda huko walikokuwa wanaenda kuanza ajira yao, nashauri jeshi la polisi liache kufanya kazi kwa kukurupuka na taarifa za kusafirisha watu wakiwa hai.

    7. RukaaJuu Final

    8. #6
      Gama's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 9th January 2010
      Posts : 4,578
      Rep Power : 1359
      Likes Received
      425
      Likes Given
      625

      Default

      Quote By SIMBA mtoto
      Habari kamili ni kuwa watu hao walikuwa wanaenda nchini Msumbiji ambako, walipata kazi ya kupasua mbao na aliyekuwa anawasafirisha ni Mtanzania wa Kigoma, na ndiye aliyenunua misitu nchini Msumbiji na akarudi nyumbani kuwachukuwa wananchi wasiokuwa na ajira kwa kuwapatia ajira nchini Msumbiji, lalamiko la jeshi la polisi ni idadi kubwa ya wananchi kuchukuliwa kwa mkupuo mmoja ambao inadaiwa idadi yao inakaribia watu 40.

      Sioni tatizo lolote kwa watu hao kwenda huko walikokuwa wanaenda kuanza ajira yao, nashauri jeshi la polisi liache kufanya kazi kwa kukurupuka na taarifa za kusafirisha watu wakiwa hai.
      na geshi la polis halijui kuwa linaichafua nchi kwa kauli/shauri hili.

    9. #7
      peri's Avatar
      JF Senior Expert Member Array
      Join Date : 22nd March 2011
      Posts : 1,193
      Rep Power : 652
      Likes Received
      372
      Likes Given
      40

      Default Reply With Quote


    User Tag List

    style="display:none;visibility:hidden;" data-cfsrc="template/JamiV1/default/buttons/collapse_40b.png" alt="" /> Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...