Re: Mbaroni kwa kuoa mtoto wa miaka minane
oh my god hizi mila zitatuumbua jamani mtoto wa miaka minee hawa wamasai hawabadiliki kumbe kale katabia chakuchumbia toka tumboni bado kipo maski ni kasha mwaribia maisha hivi wazazi wengine wakoje?hasa wanaume ni balaa kabisa ndio sababu kumpa baba mtoto wa kike akae nae ataishiwa kubakwa tu jamani maana hawatabirirki ina maana huyo baba kaona huyo mtoto kashafikia kulala na mwanaume?
SODOMA NA GOMORA HII IMERUDI WATOTO WENGI CHINI YA 12 YEARS HAPA TZ WANATENDEWA VITENDO VIOVU SANA PIA NI KUTOKANA NA MAADILI MABAYA YA NDOA ZETU NA SHERIA ZA NDOA KUBADILIKA BADILIKA KILA SIKU MFANO YULE MAMA ANANYANGANYA MTOTO WA 4MONTH MAHAKAMA INAPEWA PESA WANAHALALISHA MTOTO HUYO AKAISHI KWA BABA YAKE JE BABA HUYO ATAMNYONYESHA? ONA NDOA ZINAVUNJIKA KILA SIKU WANAWAKE HUKIMBIA NAKUWAACHIA WANAUME WATOTO WANAISHIA KUBAKWA NAKULAWITIWA INABIDI KUMWOMBA MUNGU SANA NA SHERIA ZA NDOA KUREKEBISHWA.
Kosea njia utaelekezwa,lakini usikosee mtu wakuoa /kuolewa naye,vinginevyo majuto yatakuwa sehemu ya maisha yako.tuliza kichwa unapochagua mwenzi wa maisha.
Follow Us Here