Support JamiiForums and Become a 'JF Premium Member' | Click HERE for Details
    Show/Hide This

    Topic: Afisa elimu kwa walipa kodi tra dar longroom - kichefuchefu

    Report Post
    Results 1 to 4 of 4
    1. #1
      Mabala The Farmer's Avatar
      Member Array
      Join Date : 10th July 2012
      Posts : 34
      Rep Power : 352
      Likes Received
      8
      Likes Given
      0

      Default Afisa elimu kwa walipa kodi tra dar longroom - kichefuchefu

      Poleni wadau wa jamvini kwa mihangaiko ya kutwa Nzima. Napenda kutoa dukuduku langu kuhusu afisa mtajwa hapo juu kwani amekuwa na kauli chafu sana kwa wadau walipa kodi nchini. Mama huyu ambaye naamini nafasi hiyo kapewa bila taaluma na wakubwa anayeitwa Rose Mahendeka anatushawishi sisi walipa kodi wa nchi hii kujaribu kuthubutu kukwepa kodi kutokana na kauli mbovu anazotoa kwetu tunapokuwa na malalamiko ya kucheleweshewa Document (Kadhia) ktk kituo cha Forodha.Kwanza tunashangaa taasisi kubwa kama TRA kuajiri watu kwa FACEBOOK ili hali ikijua kuwa ni kitovu cha uchumi wa nchi hii. Kamani wadau mtu mgawa chai kesho valuation officer halafu ukitoa malalamiko huyo dada anadai kukejeli keeli nimeumia sana na naomba kuwasilisha....HATUMTAKI ALIYE MWEKA AKAMUONDOE........+**u****?

    2. FemaTV & Radio

    3. #2
      Rejao's Avatar
      Banned Array
      Join Date : 4th May 2010
      Location : Long Street
      Posts : 8,756
      Rep Power : 0
      Likes Received
      3343
      Likes Given
      2878

      Default Re: Afisa elimu kwa walipa kodi tra dar longroom - kichefuchefu

      Wewe utakuwa na yako, au unataka kuchukua nafasi yake hapo Long rum!! Walipa kodi tunafahamu njia ya kupeleka malalamiko na Kitilya huwa anayafanyia kazi on the spot.

    4. #3
      Kunta Kinte's Avatar
      JF Gold Member Array
      Join Date : 18th May 2009
      Posts : 2,565
      Rep Power : 2535
      Likes Received
      596
      Likes Given
      762

      Default Re: Afisa elimu kwa walipa kodi tra dar longroom - kichefuchefu

      Quote By Rejao
      Wewe utakuwa na yako, au unataka kuchukua nafasi yake hapo Long rum!! Walipa kodi tunafahamu njia ya kupeleka malalamiko na Kitilya huwa anayafanyia kazi on the spot.
      @Rejeo huyu bwana ana hoja japokuwa sina hakika na la huyo mpikachai (japo pia ningefurahi kusikia mpikachai kajiendeleza hadi kufika kuwa afisa), lakini huyu dada anayemzungumzia nadhani angestahili kupewa kazi ambayo haimkutanishi na wateja- ni mjivuni na mwenye maringo kupindukia. Sijui anfanya haya kwa kujiaminisha na nini!- Labda kwa sababu ana umbo lenye kuvutia kidogo! Naamini anatakiwa kujua kwamba tunapoenda Longroom ni kwa ajili ya kulipa kodi sio kuangalia mikogo, dharau na majivuno (afterall ile ni ofisi ya Umma majivuno ampelekee mumewe-kama anaye)
      UPOPO likes this.
      Have patience with all things, but chiefly have patience with yourself.- Saint Francis de Sales

    5. #4
      BADILI TABIA's Avatar
      JF Bronze Member Array
      Join Date : 13th June 2011
      Location : DUNIANI
      Posts : 14,558
      Rep Power : 5614
      Likes Received
      6211
      Likes Given
      2281

      Default Re: Afisa elimu kwa walipa kodi tra dar longroom - kichefuchefu

      watumishi wa umma ni headache, mie leo nimetibuana na mtumishi h/w ya temeke kwa sababu ya majibu ya hovyo!

    6. Miaka 50

    User Tag List

    Posting Permissions

    • You may not post new threads
    • You may not post replies
    • You may not post attachments
    • You may not edit your posts
    •  

    Who are WE?

    JamiiForums is a 'User Generated Content' site; anyone can register (MUST) and comment or start a new topic.

    You are always welcome! Read more...

    Where are we?

    We have our offices in Dar es Salaam but we still work virtually.

    For anything related to this site please Contact us.

    Contact us now...

    DISCLAIMER

    JamiiForums, its partners, affiliates and advertisers are not responsible for the content of threads/topics that are submitted by users..

    Read more...

    Forum Rules

    JamiiForums is moderated under the rules set by users and moderators to safeguard you.

    You MUST read them and comply accordingly. Read more...

    Privacy Policy

    We are committed to respecting your privacy rights when visiting any JamiiForums.com page, such as this one.

    Read our Privacy Policy. Proceed here...